SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 02. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
Lunnah alibaki kamkumbatia mmewe Huku akizidi kulia.
"" Nilimkosea Nini, Mimi' Mungu!!!?? Muda wote sijawahi kuwa na furaha katika maisha yangu yote! Tangu nilipozaliwa nikiwa mtoto. katika maisha yangu yamekuwa na msukosuko, kwenye 100% ya maisha ya Binadamu, Mimi huwa na 20% ya furaha!!! Et, Dusky!!! Unaona Hatima yangu kwelii!!???" ENDELEA...
"" Wewe sio mkosefu kiasi hichoo!! Mungu huwa anatenda kwa wakati wake hupaswi kuwa mnyonge kiasi hicho!! Naomba upumunzike Nakuja kidogo!!"
Junior Aliondoka pale nakuchukua usafiri wake nakuelekea kwenye Duka moja la mhindi!! Lilikuwa Ni Duka lenye vitabu mbalimbali.
Aliomba kukutana nae Yule mhindi Kisha alimuulizia Kama atapata kitabu kizuri Cha kumjenga mtu aliechelewa kupata mtoto awe anasoma angalau asikate tamaaa!!
Alitafutiwa vitabu Kama vitatu Kisha alitajiwa Bei na kulipia, baadae Aliondoka na kuelekea Hadi Nyumbani.
Alimkuta Nasrah kalala pale sebuleni, Aliamua kumbeba na kumpeleka Chumbani, Kisha alimlaza kwenye kitanda chake, baadae alimsogelea mkewe Alikuwa tayari kapitiwa usingizi, Aliishia kumtizama Huku akimuonea Huruma Sana.
Aliviweka vile vitabu pembeni kabisa na sehemu aliyokuwa kaegama Lunnah!!, baadae alielekea bafuni na kuoga Kisha Alimaliza nakubadili mavazi yake nakuvaa gwanda la kazini!! Alitoka nje na kuchukua usafiri na kuelekea kazini.
Huku Lunnah Ndio Anagutuka kutoka usingizi, aliamua na kuangalia pembeni Ndio anakuta vile vitabu;-
Cha kwanza kiliandikwa, " Maisha yako ya leo!!, kesho yake huwa Ni maisha mengine",
Cha pili kiliandikwa, "Anatenda kwa wakati"
Cha tatu kiliandikwa,_" Hatima yangu imikononi mwa Mungu!!"
Alichukua kitabu kimoja Nakuanza kukipitia, kitabu kilichoandikwa, " Anatenda kwa wakati,
Alikifunua na kukutana na kitabu kile alichokuwa akikiandika Junior'' kipindi kile wakiwa Nyumbani kilichoandikwa... "" DREAMS OF MY LOVE!!" Lunnah alibaki kutabasamu Huku akiongea pekeee.
"" Daaah!! Kumbe kile kitabu changu ulimaliza kukiandika!!?? Okay!; Nimeipenda hii suprise!! Muda wote Dusky!! Unapenda kuniona ninakuwa na furaha!!!"
Lunnah Alianza kupitia kile kitabu Cha Junior'' baadae alimaliza na kuchukua kitabu Cha, " Hatima yako I mikononi mwa Mungu!! Kitabu hiki kilimfariji Sanaa!! Nakubaki akiwa na Amani!!
Alichukua simu yake na kukutana na Ujumbe wa Junior'' alimtumia Sms pindi amelala.
"" Nakupenda Sana mke wangu!! Natamani muda wote uwe na furaha TU!! Kosa vyote ila furaha yako uipate!! Nikutakie mapumnziko mema na mwanao Byeee!!!"
Lunnah aliona ule Ujumbe ulimfanya afarijike tu, Aliamua kumjibu.
"" Nimependa leo umeniita mkeo!! Na sio Dusky tenaa!! Okay!! Nakupenda pia mmewangu!! Ahsante kwa vitabu nimeenjoy!!"
Ilikuwa Ni kesho yake, Junior'' Ndio alitoka kazini na kuamua kumpitia mkewe kazini kwakee.
Njiani walikuwa wakiendelea na sitori pamoja na utani wa hapa na pale, Lunnah alikuwa akiongea na mmewe.
"" Dusky!! Nimefurahi Sana kwa zawadi yako! Kumbe kile kitabu ulichokuwa wakiandika kipindi kile ulikimaliza!! Harafu Ndoto yako kumbe ilikuwa Ni Mimi kuishi na Wewe harafu tuwe mke na mme!!?"
Junior Aliishia kutabasamu tu, Kisha aliongeza sauti ya mziki Huku akiwa kaweka Earphones zake masikioni.
"" Dreams of my love" Ndio kitu nilichokuwa nakipenda Sana toka mwanzoni na Hatima yake nilitamani niifikie!! Kwakuwa imekamilika Sina kitu kingine Tena hapa Duniani ninachokisamini Kama kumpata Dusky wangu, " Mwanamke wa Ndoto zangu".
"" Ushaanza kuongea Sana!! Okay naomba tuwahi Nyumbani tukamwangalie mtoto!!!"
"" Harafu Dusky!!! Naomba nikupumnzishe kwa Sasa!! Nitakuwa nikimfuata mtoto shule na nikikwama nitatafuta mtu atakaekuwa anamrudisha Nyumbani kila siku!! Sihitaji uchoke mke wangu!! Si sawa!??"
"" Ooh!!! Waooo!!! Si nitanenepa mie jamanii!! Lakini Dusky Mimi niliwaza vipi Kama tutamhamisha shule akakae bording si itakuwa nzuri Zaidi!! Make ile mtoto nenda rudi!! Itamfanya Akiwa shule awe anawaza Nyumbani nataka akili yake iwe kishule shule TU.
"" Ni wazo zuri!! Ngoja kesho nitaanza kumtafutia shule nzuri, ila mke wangu tutamumis ujue!!!"
"" Hapo ndo kutakuwa na ukiwa Kweli!! Ila nitakuwa Naenda kila wiki kumuona!!!"
'" okay!! Itapendeza pia!!!
+++++++++++
Ilipita mwezi mmoja, Junior alikuwa yupo kazini, siku hiyo alipokea simu kutoka Nyumbani kwao, zilikuwa Ni taarifa Mbaya kidogo mamake Ni mgonjwa hivyo anahitajika aende wakaangalie taratibu za kumpeleka hospital.
Alipofika Nyumbani alimshirikisha mkewe, kuwa wangeondoka wote waende Kumuona mgonjwa.
"" Dusky!! Ni muda mrefu tumekaa Huku pasipo kuona ndugu zetu kupitia hii likizo niliyonayo naomba tuongozane wote twende Tanzania tenaa!!!""
"" Sawaa!! Hata hivyo nitahitaji kwenda kuzuru makaburini, nikawaone Wazazi wangu!! Pia nikaangalie nyumba yetu pamoja na miradi yetu!!!"
Jioni yake Junior alielekea kukata tiketi moja kwa moja yakutoka USA to Tanzania!!
Siku ya kesho yake tayari Junior na mkewe pamoja na mtoto wao Nasrah walikuwa kwenye Ndege wakielekea Tanzania!!!
Mida ya jioni walikuwa tayari wamefika, rafiki yake Anord Ndio Alikuja kuwapokea na kuelekea Hadi kwenye nyumba ya Junior, Anord Alikuwa Ni mtu mwenye furaha Sana Baada ya kumuona rafiki yake ilibidi amuulize Junior kwanza.
"" Vipi mwanetu kakua hivi!!! Kumbe Ni Mambo mazuri Sanaa!!!"
Junior Alishidwa amjibu vipi, ikabidi ampatie mkono tu Kama kusalimiana baadae walikaa mezani Huku wakieendelea kula chakula Cha pamoja.
Muda kidogo Lunnah alielekea Chumbani kwa Junior angalau apumnzike pamoja na mwanae Nasrah!!
Anord alimuomba Junior watoke nje kidogo angalau watizame mazingira make zilikuwa Ni siku nyingi zimekuwa.
Junior Ilibidi Akamuage kwanza mkewe, Alifika nakumkuta ikiwa Lunnah Ndio usingizi ulimchukua!!! Alimsogelea karibu yake Kisha alianza kumchezea Nywele mpaka kukamfanya Lunnah aamke!!
"" Dusky!! Wewe mchokozi siku zote! Mwenzio nimejilalua zangu Hapa harafu unakuja kuniamsha tenaa!! Vipi wataka ulale??"
"" Nataka tulale wote!! Sio kulala TU!!!
"" Ushaanza bhanaa!! Niache nipumnzike na nilivyochoka Sasa!! Wewe acha tu!!!"
Junior alisogeza kichwa chake karibu na mkewe Kisha alimuinua uso nakuzidi kumtizama.
"" Upo karembo Kweli, yaani pua, macho, midomo yako inavutia Kweli!!!
Alisogea na kumdipkiss mkewe Kisha alimuaga.
"" Naondoka kidogo na Anord!! Nataka nikawaone Jamaa zangu was kazini kwangu!! Tupige sitori mbili tatu hivi!! Ila nawahi kurudi!! Make nahisi Hapa nishakumiss tayari!! Vipi nikuletee zawadi gani Dusky!!?""
"" Hata hivyo huwa wajua napenda kitu gani!!! Lakini leo nataka zawadi itoke super market!! Usisahau Chocolate ya Nasrah!!"
"" Wote!! Nawaletea maziwa ya kopo!! Nataka mtoe aleg ya usafiri!! Byeee!!
Junior Aliondoka na Anord wakawa wameelekea kambini, Huku kwa Lunnah nayeye usingizi ulikataa, Aliamua aende akakae nje Huku akitizama mazingira ya Nyumbani kwa Junior, ukwelii yalionekana kuvutia Sanaa!! Alichukua Kinywaji chake na kwenda kukaa kwenye garden iliyokuwa ikizunguka pale.
Wakati yupo amekaa alisikia akiitwa nyuma yake, Aligeuza shingo na kukutana uso kwa uso na Maneger wake Enock!! Akiwa na kijana mwenzie.
"" Waoo!! Enock!! I'm very happy!! Umejuaje Kama Niko hapaa!!?"
"" Wewe unakaa Dunia gani!!? Hapa magazeti mbalimbali yameandika kuhusu ujio wenu na Junior''!! Na hapa tunavyoongea Junior'' wamembananisha huko wanamhoji!!
Enock Aliwasha simu yake na kumuonesha picha zilizozagaa mtandaoni!! Baadae alimpatia Kadi ya mwaliko.
Lunnah Alichukua ile Kadi na kuisoma, Lakini ilimfanya aduwae kwanza Kisha alimuuliza Enock.
"" Mbona sielewi na inaonekana imeandaliwa toka juzi!! Kwani mulijua kuwa ninakuja!!?"
"" Taarifa tumezipata muda mrefu kidogo, Siku moja katika pita pita tulitoka hapa tukawa tumeenda kumsalimia mamake Junior''!! Ndio tukawa tumemuuliza maswali mengi!! Baadae akasema Mwanae Junior'' atafika hapa kwaajili ya matibabu ya mamake!! Kwahiiyo Kama kampuni tulikuwa na project yetu mpya tunafungua ofsi nyingine ya kulea Watoto yatima na Ofisi ya Mikopo kwa watu wasiojiweza hivyo tukaona uwepo wako wa muhimu!! Tukawa tumeongea na Imlany Ndio akaandaa Kadi ya mwaliko Wewe na mmewe!!
""" Daaah!!! Kwahiiyo Imlany Ndio alisema Kadi nipewe Mimi!!? Mbona mna Mambo ya ajabu Sanaa ninyii!!!""
"" Supplies hiyo!! Najua Imlany kakumisi Kweli!! Make tulivyomwambia tu, Ndani ya Dakika tano Kadi ikawa imekamilika!! So karibu Sana Madam, nimatumaini yangu utafika siku hiyoo!!"
Walimaliza kuongea Kisha wakawa wameondoka na kumuacha Lunnah Akiwa kashikilia ile Kadi akiitizama Mara mbilimbili Huku akijisemea.
"" Inaonekana Duffer!! Hata Wewe unanikumbuka kumbe!!! Ghafura tu, nimetamani kukuona!!
Majira ya usiku Lunnah alikuwa kapumnzika na mmewe ilibidi ampatie ile Kadi ya mwaliko, Kisha aliisoma na kuiweka, baadae alimuuliza Lunnah.
"" Vipi ulimkumbuka Duffer wako!!?"
Lunnah alishidwa kumjibu kwa haraka kutokana na situation aliyoiona kwa Junior Baada ya kusoma Kadi ya mwaliko ilibidi na yeye amjibu kisilencer.
"" Kawaida TU!! Ila nilichokumbuka kutoka kwake Natamani nimuone ili nijue kampuni inaendeleaje!! Kwa kifupi nataka kujua Mali zetu zinaendeshwaje kwa muda ambao sikuwepo mauzo yatakuwa yameongezeka kwa asilimia ngapi!!?""
"" Okay!! Usijali!! Mimi Kama mmeo lazima nitoe saport kwa mtu nimpendae!! Mbona hujaniuliza Kama na Mimi nilimkumbuka Rayna!!!?"
"" Vipi Kama nitakuuliza ukasema Ndio!! Na wakati Ni hapana!! Huoni Kama utaniongopea! Ila kitakacho thibitisha endapo nitazitambua feeling zako Kama huwa zipo kwa Rayna!!?"
" Okay!! Vizuri!! Ile kukitizama tu!! Tayari nimeshaelewa moyo wako kipi ambacho unafikilia kwa Sasa!! Lakini sio Mbaya!! Naomba tupumnzike mke wangu harafu kesho uandae chai mapema baada ya hapo tutaenda kwenye nyumba yako!! Tukimaliza twende kwa mama Sasa!!!!"
,,,,,, Itaendeleaa,,,,,,,,,,
Usikose sehemu ya 03.....
Unazani siku wakionana Hawa Partiners wanne itakuwaje?, je Feeling zao zimeshabadilika!!???
Like, comments, Share!!!
Siku zote MWANDISHI hutegemea saport ya Fans kuona Kama Kazi yake imekubalika naombeni ushirikiano wenu!!!"
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 01. 0746638941 'Whatsp'
SIMULIZI HII NI SEASON TWO YA IKAWE KHERI MY DUFFER. BUT ITASIMAMA KWA JINA LA "MAUMIVU JUU YA MAAMUZI". NAHITAJI USHIRIKIANO WENU HAKIKISHA UNA-LIKE, NA KUCOMMENTS BAADA YA KUSOMA HAPO CHINI.
ANZA NAYO!!!
Leo Ufukweni mwa Bahari yapata Ni Miaka mitatu kupita alionekana Ni Lunnah!! Alikuwa amekaa pembezoni kabisa mwa Bahari huku Akiwa na laptop yake akichezea huku akijaribu kuandika maneno kadhaa!!
"" Kwanini Duffer!! Hivi Ni Wewe ndio ulipagwa uwe mme wangu wa Maisha au Mimi ndio nilikuwa nakuforce ili tuwe wote pasipo kuangalia mipango ya Mungu!!? Kwanini taswira ya Hatima yetu ilibadilika na kuwa tofauti Sana, japo niliamua kukaa mbali na Wewe ila Kumbukumbu zangu siku zote hazijaisha juu yako!! Sijajua huko kwako na Wewe huwa unawaza Kama Mimi ninavyowaza!??" Anyway!!! Yaliyopita si ndwele tugange yajayo!!!??""
Muda kidogo Alifika Junior Akiwa anacheza na mtoto mwenye umri wa Miaka mitatu, Alifika na kukaa karibu na Lunnah, ambae kwa muda huo alikuwa Ni mkewe!! Alifika pale nakumuwekea mkono wake shingoni Kisha alifunika ile laptop na kumtizama usoni na kusemaa!!!
"" Pole Dusky!! Najua Ni Kweli' unapitia wakati mgumu sana!! Kila mara umekuwa ukijaribu kufuta Kumbukumbu za Imlany ila zimekuwa hazifutiki machoni kwako!! Najua ulimpenda Sana Duffer wako, ndio maana umeshidwa kucontrol Hisia zako ila naomba uwekeze moyo wako kwangu!! Na hapa nimefanya Kila kitu kukufanya usahau Lakini bado tu, Nitafikia hatua nitachoka kwa Mambo unayonifanyia, Okay twende Nyumbani!!!"
Lunnah Alliinuka na kumkumbatia mmewe.
"" Hapana Dusky!! Mimi siwazi kuhusu Imlany!! Ila nawaza kwanini hatupati mtoto!!?"
Junior Alishituka kidogo kwa Swali la Lunnah, aliiamua kumtia moyo mkewe huku akijaribu kumbembeleza.
"" Hapana Dusky!! Usiwe hivyo!!! Mwenyezi Mungu naamini yupo anapanga Nyakati nzuri za kutupatia mtoto!! Lakini hata hivyo Nasrah!! Bado Ni faraja kwetu!! "" Harafu Lunnah!! Hivi utakuja siku moja kuniita Mme kweli make imekuwa Ni Dusky!! Dusky!! Siku nyingine niite Mme bhana!!!"
Lunnah Aliishia kucheka TU, Make Ni maisha walikuwa Tayari wamezoea kuishi kwa utani wa hapa na pale.
"" Aaaah!! Dusky'' Unajua nishazoea kweli kukuita hivyo!! At nikisema niite Mmewangu, Honey!! Mpaka najisitukia!! Au nikuite Baba Nasrah!!?"
"" Bora Dusky!! Make hata hivyo jina hili lilinisumbua Sana kulipata, Basii niite Dusky!! Na Mimi nikuite My Dusky!! Litapendeza pia!!!"
Lunnah alimsogelea Nasrah nakumbeba Kisha waliingia Kwenye usafiri wao nakuelekea Nyumbani!!.
Junior na Lunnah Baada ya Ndoa Yao kufunga walihamia USA nakuanzisha maisha yao. Junior aliamua kufanya hivyo ili kumuweka mbali Lunnah na Imlany, aweze kumsahau kabisa, huku kampuni yote ya Lunnah alimwachia Imlany aweze kuusimamia na mkewe Rayna huku wakiwa wanagawana Asilimia 10% ya mauzo yatakayofanyika. Ikiwa Ni kuweka kwenye Account ya Lunnah aliweza kufungua I'll awe anahifadhia pesa zake za Kampuni. Na upande wa Imlany maisha yaliendelea na mkewe huku wakieendelea kuendeleza Kazi ya kampuni na kutengeneza baadhi ya Miundo mbinu baadhi.
Huku Nyumbani kwa Lunnah!! Alikuwa akiandaa Chakula, Mmewe alimufuata jikoni Alifika na kumkumbatia kwa nyuma Kisha alimnong'oneza sikioni.
"" I love you Dusky!!!"
Kisha alimgeuza na kufanya watazamane, Aliamua kumpiga kiss kwenye paji la uso, baadae alimwachia na kushika kisu Nakuanza kukata kata karoti zilizokuwa pale.
Huku Lunnah alibaki akitabasamu, baadae Alishidwa kujizuia na kuanza kucheka, huku akijisemea moyoni.
"" Kweli Dusky!! Kumbe ulikuwa ukinipenda hivi!! Leo umenifungulia Dunia niwe ninachotaka!!! It's Amazing love"
Aliamua kumsogelea mmewe na yeye aliamua kumfanyia Kama alivyomfanyia, Alimsogelea Kisha alimshika kiunoni baadae alimgeuza nakumpatia deep kiss moja lililotulia Kama dakika kumi, baadae alimwachia.
""" Ulivyonifanyia hata Mimi nimependa!! Nimeamua nikulipe na Wewe vivyohivyo Kama maisha ya Dusky!! Huwa anafanya kile kitu kizuri kafanyiwa na yeye humfanyia mwenzake!! Ili wote wafurahie kwa pamoja, Ukwelii nimeipenda hiyoo!!.
Muda huo Junior akili yake ilikuwa mbali Sana Tayari mihemko ilikuwa ikimsumbua, Lunnah alimwangalia Mmewe kwa makini akawa kagundua kitu.
Junior aliamua kumsogelea mkewe Kisha Alimkumbatia huku akiongea nae kwa sauti ya Chini.
"" Dusky!! Wewe Ndio umenichokoza!! Vipi unanisaidiaje!?"
Lunnah alibaki kimya asijibu kitu, huku mapigo ya moyo wake yalikuwa yapo Kasi sana, Junior aligundua Hilo aliamua kumbeba mkewe nakuingia nae Chumbani!!!
Baadae warirudi wote Huku wakiandaa Chakula Cha mchana kwa Mara nyingine, baadae Chakula kilikuwa Tayari!! Lunnah Ndio anakumbuka Nasrah kachelewa kutoka shule.
"" Dusky!! Nasrah mbona hafiki!! Au Ni Nini kimemkuta huko shuleni!?? Nataka nikamwangalie kwanza!!"
"" Kula kwanzaaa my Dusky!! Ukishiba Ndio twende wotee!!""
"" Sorry Dusky!! Wewe baki ngoja Mimi niende sahii tu, Nakuja!! Byee.
Alimkiss mmewe kwenye paji la uso kisha alitoka haraka na kuchukua usafiri na kuelekea Shuleni!!"
Alifika moja kwa moja Hadi Shuleni, Kisha alionana na mwalimu wake na Nasrah,
"" Waoo!! Mrs Junior!! Najua wamtafuta Nasrah, naona Aliondoka na Principle muone Ofsini kwake!!"
Lunnah Aliingia Hadi Ofsini kwa Principal nakumkuta kweli yupo na Nasrah.
"" Habari yako Mkuu!! Mbona bado upo na Nasrah!! Na wakati wanafunzi wameruhusiwa Tayari? Au una Kazi nae!!?
Principle Alimuachia Nasrah!! Kisha alimuagiza apeleke vitabu Staff room, Kisha alimsogelea Lunnah na kumshika mkono.
"" Mtoto mbichi kwelii!! Unaonekana bado Ni Mrembo kwelii!! Hivi Kwanini ombi langu Kila Mara unalicancer!! Nishakwambia Muache Junior Mimi nikuzalishe!! Unamng'ang'ania mtu mwenye mbegu zaifu Yule!!! Hivi hutamani siku moja uitwe mamaa!!?"
Lunnah Alichukia nakubaki akihema juu juu, Aliona Kama anamzalilisha Mmewe.
"" Wewe Ni Mtu mzima Lakini hovyoo!!! Hapo ulipo unaonekana umri wako unamzidi babayangu Lakini vitu unavyovifanya sio sawa na umri wako!! Mtu hujiheshimu kabisaa!!!"
"" Hahahaaa wewe Mrs Junior!! Kumbe bado mchanga kabisa kimawazo!! Umri Ni Namba TU!! Hebu nikabidhi mwili wako uone Kama Nina uzee!! Naamini ukitoka hapo tu Tayari Ni mama mtarajiwa!!""
Lunnah Aliona ili aepushe mengi Ni kuondoka, Lakini principal alimuwahi na kumshika mkono Kisha alimbana ukutani.
""" Unajifanya unajua kupenda!! Wakati siku zote Ndoa Ni kuwa na Watoto!! Unazani Yule mwanaume alikuoa ili muendelee kuishi Kaka na Dada, Mara ya kwanza alikufanya rafiki, ukawa mpenzi, ukawa mchumba hatimae mkawa wanandoa Nia na malengo ilikuwa Ni kujenga familia!!! Na familia siku zote Ni Watoto!! Okay naomba uzidi kulifikilia hilo!!!
Lunnah Aliondoka pale nakumchukua Nasrah Kisha walielekea Nyumbani, japo alionekana Ni mtu mwenye Mawazo Sanaa!!
Alifika Nyumbani nakukaa sebuleni!! Baadae aliamua aingie Chumbani kwake, ndipo alimkuta Junior Akiwa anaongea na mamake, huku walionekana kujibizana Sana!! Lunnah Ilibidi abanze sehemu ili asikie kitu kinacho zungumziwa, Alisikia Junior Akiwa anamjibu Mamake.
"" Mamaa!! Lunnah!! Ninakama Miaka mitatu tu, tupo kwenye Ndoa!! Mbona Ni mapema hivyo!! Harafu huwa Ni mipango ya Mungu kupata mtoto!! Kuwa na subira wajukuu utawapata tuu!!"
Lunnah Alisikia maneno yote yalimfanya yapenye masikioni kwake, Kisha nguvu zilimuishia ikabidi ashuke moja kwa moja chini nakubaki amekaa na kunyosha miguu yake chini.
Huku kwa Junior alimaliza kuongea Kisha alikata simu yake, nakubaki kakaa kitandani Huku akizidi kuwaza Mambo mengi Sana, baadae Alisitushwa na sauti ya Nasrah Alikuwa akiita Dady!!.
Sauti hiyo hiyo ya Nasrah ilimfanya Lunnah nae apate nguvu zakuinuka hapo, Ilibidi aingie Chumbani kwa Mmewe Kisha alijikaza nakuekit hakusikia kitu, Alifika na kumkuta Mmewe mwenye Mawazo Sana.
"" Dusky!! Upo sawa kwelii??
"" Im okay!!! My Dusky!!
"" Hapana!! Sijakuzoea Unakuwa katika khari hiyo Niambie kipi kimekusibu leo?? Au Ni hiyo simu uliyokuwa waongea nayo!!!?""
Muda huo Nasrah na yeye alifika, huku Akiwa amebebelea kitabu.
"" Dady!! Tcher Mnene kanipatia kitabu kizuri!! Nisomee!!"
Lunnah aliwahi kukishika kile kitabu Nakuanza kikifungua Huku akijiuliza maswali mengi.
"" Huyu Tcher anataka kumuweka karibu Nasrah, ili aweze kunipata Mimi, sahii mtoto imekuwa Ni Tcher mnene!! Haikatiki mdomoni, Na hapa Nitafanya Kila njia ili nimhamishe Nasrah shule!!!"
Huku Junior alikuwa busy kucheza na Nasrah kitandani baadae alimuuliza.
"" Naaah'' kwani huyo Tcher mnene yupoje?? Unamaanisha Ni bonge harafu mkubwa!!?"
"" Daddy!! Tcher mnene Ni bonge, Harafu Alikuwa anataka kumpiga mamaa!!!?"
Junior Aliishia kucheka tu, pasipo kufatilia kwa kina kipi kinaendelea hapo katikati!!
"" Ayaaa!! Mtoto mzuri Nenda kacheze game sebuleni!!!
"" Byee Daddy!! Lakini Tcher mnene mkorofi!! Atakuja kumpiga mamaa!!!"
Muda huo Lunnah alikuwa busy akikitizama kitabu, Huku hasira!! Zikimzidi baadae alianza kuchana page kwa page kile kitabu, Ile Junior anakuja kusituka Ndio Lunnah anamalizia kuchana Lile curver la nyuma.
Junior Ilibidi akae kitandani Huku akizidi kumtizama Lunnah, Anachokifanya yupo sawa kweli kiakili??,
Ilibidi asogee na kukaa mbele yake Kisha, Alimtizama nakumuona akitokwa na machozi Huku akionekana kuwa na huzuni Sana.
Junior Ilibidi amnyanganye Lile jarada Kisha alikusanya karatasi zote na kuziweka kwenye dustbin, baadae alimrudia mkewe na kumkumbatia.
""" Dusky!!! Usiwe na hasira kiasi hichoo!! Najua hiki kitu kinakuumiza Sanaa, hata Mimi naumia vilevile!! Ila namwachia Mungu, hupaswi kulia hivyo!! Najua ulisikia simu yangu!! Muda ule naongea na simu ulikuwa waja chumbani, Baada ya kunikuta na simu ukawa umetulia mlangoni na Mimi nilihisi kimvuli mlangoni nikawa nimegundua upo mlangoni!! Nikaona Hamna haja yakukata simu teena!! Hata nilipokata simu ikabidi nitulie kitandani make nisingeweza kukueleza haya yote!! Lakini Hongera najua una moyo wa ushujaa lazima tushinde kwa hili!!!
Lunnah alibaki kamkumbatia mmewe Huku akizidi kulia.
"" Nilimkosea Nini, Mimi Mungu!!!?? Muda wote sijawahi kuwa na furaha katika maisha yangu yote! Tangu nilipozaliwa nikiwa mtoto. katika maisha yangu yamekuwa na msukosuko, kwenye 100% ya maisha ya Binadamu, Mimi huwa na 20% ya furaha!!! Et, Dusky!!! Unaona Hatima yangu kwelii!!???"
,,,,,, Itaendeleaa,,,,,,,
Usikose kufatilia mkasa huu!!
Nataka Shabiki zangu mnifurahishe hata kwa like 500, na comments 200, ili nijue Kama mnapenda simulizi hii iendelee au Tuishie Njiani tuanze nyingine.
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 03. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
" Okay!! Vizuri!! Ile kukitizama tu!! Tayari nimeshaelewa moyo wako kipi ambacho unafikilia kwa Sasa!! Lakini sio Mbaya!! Naomba tupumnzike mke wangu harafu kesho uandae chai mapema baada ya hapo tutaenda kwenye nyumba yako!! Tukimaliza twende kwa mama Sasa!!!!" ENDELEA...
Siku ya kesho yake Lunnah na Junior walielekea Hadi kwenye nyumba ya Lunnah!! Walifika Nakuanza kuangalia mazingira ya hapo baadae waliingia ndani nakukaa sebuleni Huku wakieendelea kupiga stori, baadae Lunnah Alikuwa akituzama picha zilizokuwa zipo ukutani aliona Ni picha ya Duffer wake wakiwa Watoto na picha ya yeye Akiwa na Imlany walipiga pamoja!!
Junior alitambua Hilo ilibidi amuulize mkewe;
"Vipi ukiona picha hizi, wamkumbuka Duffer wako!! Najua ulipotizama tu, hakili yako ikahama hapa ikawa kwa Imlany!! Okay!! Kesho kutwa utamuona live Baada ya kapotezana kwa muda mrefu!! Okay twende Kwanza kwa mama tukamuone!!"
Lunnah alijitahidi kumuonesha mmewe kuwa hakuwa anamuwazia Imlany, Alisimama na kumsogelea mmewe Kisha alifanya kumkumbatia.
"" Dusky!! Najua Wewe na Imlany! Huwa mna wivu kwaajili yangu Lakini Mimi mbona Sina wivu kuhusu Rayna mtu wako!!?"
"" Utakuwaje na wivu wakati hujawahi kunipenda Mimi kwa moyo wako wote!! Ungekuwa wanipenda ungekuwa na wivu kwa Rayna!!!?"
"" Hapana!! Sipo hivyo kabisa'!! Nakupenda Wewe Ndio maana nikaolewa kwako!!!"
"" Ayaaa!!!" Nitaona!!!
Muda kidogo waliondoka kuelekea kwa Wazazi wake na Junior, Walifika nakupokelewa vizuri.
Junior aliingia Chumbani na kumuona Mamake.
"" Mama waendelea vizuri?? Nisamehe nilichelewa kidogo kufika Ila nahitaji ujiandae leo jioni twende Hospital!! Nataka ukatibiwe mapema!! Harafu nmekuja na mkwe!!"
"" Ooh!! Kila Siku mkwe Mimi Natamani kusikia umekuja na mwijukuu!!"
"" Meakani majira Kama haya!! Utakuwa na mjukuuu!!!"
"" Looo!!! Kumbe mkwe mjamzito tiyari!!!??"
Junior alitulia kidogo make Alikuwa akimtania Mamake, ilibidi kwa khari aliyokuwa nayo Mamake ilibidi akubali tu, ili aweze kumtengenezea mazingira mazuri mkewe!!!
"" Ndio!!! Twategemea ifike hatimaa!!!!
Baadae Junior Aliondoka na kumpisha mamake ajiandae yeye alielekea Sebuleni na kukaaa na mkewe.
"" Vipi mbona amanii tangu umefika!!? Kuwa na amani Basi utanifanyia siku yangu iishe vibaya!!!"
"" Wewe nae!! Wataka nianze kubwabwanja wakati nipo ukwenii!!! Kausha basii!!"
Junior Alianza kumchokoza Huku akizidi mtekenya!! Muda huo mama Ndio na yeye anatoka Chumbani kwake, Aliona kila kitu walivyokuwa wanacheza kwakuwa alisikia mkwe mjamzito ilibidi afurahi TU!!!
Muda kidogo wifi mtu aliingia Huku Akiwa amehemea mazaga mengi!! Alifika na kukuta ugeni akawa amemuwahi Junior na kumkumbatia Kisha alimnong'oneza sikioni.
"" Hongera kufikia hatua niliyotamani kuiona inatimia kwako!!!
"" Waooo!! Ahsante pia!! Naona imekuwa Ni muda mrefu hatujaona Ila kupitia mama imekuwa njema kutukutanisha!!!'
"" Aah!! Wewe!! Mimi ilikuwa Ni lazima nifike hapa!! Kwasababu Nina likizo!! Hata hivyo mama alinipigia simu kunijulisha ujio wako namimi nikajua kabisa' lazima tuonane TU!!
"" Vipi taarifa ulipozipata za mama kuumwa!! Ulijisikiaje Kwanzaa!!??"
"" Mamaa!! Kuumwa tenaa??"
"" Hujui kuwa Ni mgonjwa!!!?"
"" Mimi sijaambiwa!!!"
"" Okay!! Tuyaache Kwanza!!!"
Benazir alimsogelea wifi yake Lunnah!! Kisha alimkumbatia nakusema;
"" Nimefurahia maamuzi yako!! Hujakosea kuchagua kumbuka Junior Ni mwanaume mzuri TU!!"
Sitori za wanafamilia ziliiendelea ikabidi Lunnah ajiondoe Kwanza, alielekea Jikoni kumsaidia kuchopoa Mdada wa kazi, baadae alimuuliza Mdada wa kazi Ofsini kutakuwa wapi akawa ameelekezwa.
Lunnah aliingia Ofsini Kwanza kusalimia, kwa jinsi khari ilivyokuwa imetulia maongezi ya Sebuleni yalikuwa yakisikika kwa mbali, ikabidi Lunnah na yeye asogee taratibu asikie!! Ilikuwa Ni sauti ya Benazir akimuuliza Mamake.
"" Mama!! Nimesikia unaumwa mbona Mimi hukuniambia Kama waumwa!!?""
"" Tulia Mwanangu!! Mimi siumwi Wala Nini!!? Niliposikia una likizo ikabidi nitumie akili ili nikukutanishe na kakako angalau tumshauri inakuwaje, anakaa na Mwanamke Miaka mitatu Bila ujauzito!! Huyo Mwanamke hafai na hapa nilitaka tumshauri Lakini bahati nzuri kanithibitishia Ni mjamzito.
Muda huo Lunnah alisikia maneno yote, yalimfanya afadhaike Sana!! Alielekea jikoni Huku Akiwa Hana Raha kabisa' Huku akiwaza Mambo mengi Sana.
"" Dusky!! Unadiliki kudanganya ili Mimi nikubalike Nyumbani kwenu!! Kama sijafanikiwa kupata Mtoto itakuwa Ni hivyohivyo TU!!"
Huku Junior alikuwa akimsikiliza vizuri Mamake, akajua kumbe ni siasa zilitumika siku hiyo mpaka akaja Tz,
Aliinuka kwa hasira pasipo kusema chochote Kisha alimufuata mkewe jikoni na kumshika mkono, Kisha alitoka nae Hadi nje!! Nakufungua Mlango wa Gari.
"" Naomba tuondoke!! Twende Nyumbani haraka!!!"
Lunnah alibaki akishangaa TU. Kisha alishuka kwenye gari, muda huo Junior akawa amemuona, Alifika nakumrudisha Kwenye gari Kisha alibamiza Mlango Lakini kwa bahati Mbaya akawa amembana Lunnah.
Lunnah kwa maumivu aliyoyapata ilibidi apige ukunga Huku akiomba msaada, ndipo Junior Alikuja kumtoa kile kidole Kisha aliingia Ndani nakuchukua mizigo yake nakuwasha gari kuelekea kwake.
Njiani Lunnah aliamua kuchana nguo yake nakufunga!! Kidole chake ili damu isiendelee kuchurizika!!
Junior alielekea kwenye hospital private Kisha alimshusha mkewe nakumpeleka akapate matibabu.
Baadae walipatiwa huduma nakuelekea Nyumbani!! Muda huo Lunnah alikuwa akiugulia maumivu nakubaki kalala Sebuleni!!
Junior aliingia Jikoni nakuchemsha Maji!! Kisha alipeleka bafuni baadae alimchukua mkewe nakwenda kumuogesha, Kisha waliingia chumbani.
Junior Alibaki kumtizama mkewe Kisha alishika mkono wake, Kisha alifanya kuukiss.
"" Dusky!! Nisamehe Mimi!! Leo mke wangu umeumia kwaajili yangu!!! Nitahakikisha unakuwa salama!!!"
Lunnah alibaki kumtizama mmewe, Machozi yalianza kumlengalenga baadae alishidwa kujizuia akaangua kilio.
Junior Alibakiwa na jukumu la kumbembeleza mkewe!! Baadae usingizi ulimchukua akawa amesinzia. Junior alibaki pale akimtazama Lunnah!! Muda wote alimuonea Huruma Sana nakubaki akijiuliza.
"" Kwaajili yangu umeumia!! Kisa hasira zangu na familia yangu!! Mpaka nimeanza kuwa na Mawazo Sana au sikupaswa kukuoa Wewe!!!?""
Ilikuwa Ni siku nyingine ilikuwa Ni siku ya maandalizi kwaajili ya Siku ya kesho yake ufanyike uzinduzi wa kampuni mpyaa!!
Lunnah siku hiyo aliamka Akiwa anajisikia vizuri!! Aliangalia kitandani nakumkuta mmewe hayupo ikabidi amtafute Sebuleni!! Alimkuta Junior'' Akiwa anaandaa chai tayari akiweka Mezani.
Lunnah Alijua mmewe Anamchukulia Kama kamchukia, ilibidi aende kwa kunyata Kisha alifika na kumkumbatia kwa nyuma. Huku alimnong'oneza.
"" Nimekusamehe Dusky!! Hukuwa mkosefu kiasi hicho Hadi uaandae chai wakati Hilo Ni jukumu langu!!"
Junior'' alibaki Akiwa haamini kabisa' Kama mkewe angeamka na furaha Teena, Alimshika mkono na kumtizama Kisha aliishia kutabasamu.
"" Naona umekuwa ka kilema kwa Sasa!!! Sijui kesho kwa Duffer wako!! Utasign vipi mikataba!!!""
"" Ooh!! Aliyeniumiza Ndio atashika usukani!! Mimi nitakuwa nakuendesha Kweli et Nilishee!! Nibebee!!!"
"" Muone nikubebe!! Wakati unaumwa kidole!! Mimi nikikubeba nakupeleka Chumbani!!!" Harafu jiandae tutoke Jioni tukatafute angalau viwalo vya kesho!! Au twavaa hizi hizi!!!"
"" Twende hata Sasa!! Unajua tangu tuje Huku sipati kampani yakuwa karibu na Wewe!! Leo nitaenjoy!!!
✓✓✓✓✓✓✓✓✓✓
Hatimae siku iliyokuwa ikingojwa kwa muda mrefu ilitimia!! Maandalizi ya hapa na pale yalikuwa yakishamili Huku waandishi wa habari na wapiga picha walikuwa sambamba wakiset mitambo Yao.
Wageni mbalimbali walifika siku hiyo, ikiwemo na wafanyakazi wa Imlany katika kampuni anayoisimamia wote walikuwa wameshafika tayari!!.
Sherehe ilianza Huku wakiwa wanasubiliwa wageni rasmi yaani upande wa Dusky na Duffer wakiwa partiners Ndio waingie ili kufungua sherehe hiyo.
Upande wa Nje alionekana Ni Imlany akishuka kwenye gari ya kifahari Huku Akiwa na mkewe Rayna ambae Alikuwa amepakata mtoto Mdogo alionekana Kama kuwa na miezi nane!!
Imlany alimsaidia kubeba mtoto mkewe, na yeye akabakiwa na mkoba pamoja na Babyshoe, Kisha waliongozana moja kwa moja Hadi kwenye viti vyao.
Huku Lunnah na yeye Ndio Alikuwa akiingia Akiwa na Junior'' na mtoto wao Nasrah!! Walifika na wao wakaongozana Hadi Sehemu yao Huku wakipeana mikono na kukaaa!!
Ufunguzi wa kituo Cha kulelea yatima kilifunguliwa na mbunge wa jimbo lao!!
Ilikuwa ni muda wa kusaign mikataba make wawekezaji wakuu walikuwa Ni Imlany na Lunnah!!
Imlany alisogea kusaign Baadae alimpatia pen Lunnah Asaign!! Lunnah alibaki kashikilia pen Huku akifikilia jnsi ya kusaign, Huku Imlany alikuwa kasimama pembeni akimsubili, ndipo anagundua kuwa Lunnah mkono wake umeumia.
Muda huo Junior'' hakuwa mbali na yeye alifika pale nakumsaidia kusaign mkewake baadae waliondoka wote kila mtu akawa amerudi Sehemu yake!!
Ilikuwa Ni muda wa kula, Wageni rasmi walikuwa wameandaliwa Sehemu yao Huku wakijumuika pamoja na Dusky, Duffer!
Kwenye kula wakawa wamechangamana kidogo!! Lunnah Alikuta amekaa Kama safu mbili hivi walikuwa wakitizamana na Imlany hata kwa Junior'' ilibaki vivyo hivyo.
Lunnah alikuwa akila Huku jicho akimtazama Rayna ambae Alikuwa Busy akimpatia mtoto wake maziwa ya Kopo Huku akiwa na maswali mengi.
"" Mtoto wa Rayna anaonekana Ana miezi nane kwanini hamnyonyeshi.
Baadae Alipiga jicho kwa Imlany nakukutana nae uso kwa uso!! Imlany akawa amemkazia jicho, lililopelekea Lunnah kushituka Sana nakubaki akiangalia mezani, Alinyanyua kichwa tenaa na kukutana na Imlany, baadae Imlany alimpatia Ishara akimuoneshea kidole chake, Huku akimuuliza kwa ishara!!
"Umefanyaje!!!??""
,,,,,, Itaendeleaa,,,,,,
Usikose Sehemu ya 04.
Kwa wale tulimisi utani wa Duffer na Duffer wake!! Ndo tunaanzia hapa.❤️
Fanya ku- like, comments, and Share. Mambo yanoge
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 04. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
Baadae Alipiga jicho kwa Imlany nakukutana nae uso kwa uso!! Imlany akawa amemkazia jicho, lililopelekea Lunnah kushituka Sana nakubaki akiangalia mezani, Alinyanyua kichwa tenaa na kukutana na Imlany, baadae Imlany alimpatia Ishara akimuoneshea kidole chake, Huku akimuuliza kwa ishara!!
"Umefanyaje!!!??"" ENDELEA...
Lunnah aliamua kumgeuzia mgongo Imlany Kisha aliendelea kula!! Muda kidogo Nasrah Alikuwa akicheza hapa na pale ghafura Alipita kwa Imlany akawa amemuita na Kumpakata miguuni kwake Huku akiongea.
"" Wewe Ni ndugu yangu!! Kama Ancle Alikuwa akijiita Ancle"" kumbe Ni babangu Mdogo kabisa' Kama alipata mke nayeye akazaa mtoto ambae Ni Ennah!! Basi Ennah!! Ni Dadangu hafu Wewe Ni Ancle Basi jina la Ancle liendelee TU!!""
Nasrah Alikuwa Ni mtoto janja janja Kweli muda huo Alikuwa akinywa juice baadae alimuuliza Imlany.
'" Wewe Ndio Ancle!!?""
Swali lilimsitua kidogo Imlany nakubaki akijiuliza kumbe kitu anachokiwaza yeye na Nasrah anawaza hivyo hivyo, Ilibidi akubali.
"" Ndio mimi, Ni Ancle yako!!"
"" Na Yule mtoto!! Anaitwa Nani!!??
"" Wataka ukamuone Yule anaitwa Najma!!
Nasrah Alitoka pale pasipo kuaga na kwenda Hadi kwa Rayna, Alifika na kumshika mkono Yule mtoto Huku akimuita, Najma Daddy!! Kakumis!!!"
Rayna ilibidi amtizame Kwanza mmewe baadae aligundua Alikuwa akiwatizama sambamba aliamua kumkonyeza TU ishara ya kwamba wako wote!!
Huku kwa Lunnah muda huo alikuwa busy na simu Ndio Anagutuka kumtizama Naaah'' muda huo kamkimbia zamani bila kujua!! Aliangaza Huku na kule nakumuona Naaah'' yupo na Rayna aliamua kukaushia!!
Muda wa Chakula ulikuwa umemalizika ilikuwa Ni muda wakupiga picha ya Pamoja wawekezaji wote!! Picha zilipigwa na kusambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii!!
Baadae Rayna aliamua kuvunja ukimya baada ya kumuona Imlany yupo busy na watu wa kampuni, Ilibidi ajitenge kidogo na kukaa pekeyake ili asiwaingilie, Hata kwa Junior'' na yeye aliamua akae na Nasrah ili anwache ajadili mambo ya kampuni kwanza!!
Baadae Lunnah na yeye akawa amejumuika na wafanyakazi wenzake Wakipiga sitori za hapa na pale!!
Upande wa wafanyakazi wa Lunnah walikuwa wamemumiss Sana!! Mpaka walianza kumshawishi arudi Tanzania awe anafanyia kazi zake tenaa!!"
Kuna zawadi zilikuwa zimeandaliwa Kama kuwapongeza waanzilishi wa kampuni hiyo!! Waliomba wawakabizi wahusika rasmi was zawadi hizo. Huku ziliombwa zipigwe picha za pamoja kwa waanzilishi hao Kama Kumbukumbu.
Imlany na Lunnah Walikaa tayari kuchukuliwa Picha, Lakini mchukuaji wa picha aliwaambia waweke pozi zuri! Make Ni picha zitaenda kusambaa kwenye mitandao!! Na pia zitafanyika Kama tangazo la kampuni.
Imlany ilibidi alivalie junga swala hilo, baada ya kumuona Lunnah yupo Busy harafu anajaribu kumuepuka!! Alimsogelea Lunnah Kisha alimshika mkono wake uliokuwa umefugwa bandange Kisha Aliongea nae.
"" Pole Duffer!! Ni kipi kimekukumba Lakini!!? Okay!! Hakikisha unajisimamia, Sipendi kuona Duffer wangu anakuwa na jeraha!!!"
Muda huo Lunnah Alibaki akimkodolea macho Imlany!! Asiseme kitu chochote, Huku picha zikisidi kuchukuliwa!!
Imlany Alimuona Lunnah kaduwaa Sana aliamua kumbadilishia pouz ikawa Kama wanatizamana!!
Pouz Hilo lilimchanganya Sana Lunnah nakubaki kama kapigwa shot mwilini. Alichofanya nikumuuachia taratibu, huku akichengesha uso wake baadae aliamua kuondoka.
Huku kwa Imlany muda wote Alitamani asikie hata sauti ya Lunnah,Make alimumis Sana, Ila Alijua Kuwa Lunnah kaamua kumkunjia alichoamua nikupanga plan B, Baada ya kuona plan A imefel!!
Huku kwa Lunnah Aliamua kurudi Sehemu alipomuacha Junior'', Alimkuta yupo na Rayna harafu Junior'' kambeba Najma mkononi Harafu Naaah'' na yeye alikuwa mikononi mwa Rayna ikawa Kama Ni mabadilishano!! Huku sitori zikizidi kukolea.
Lunnah alipowaona tu, Mwili wake ukaishiwa Nguvu, harafu ukiangalia na maumivu ya kutokupata Mtoto yalikuwa yakimuumiza sana! Ilibidi atafute sehemu nyingine akae ili asiwakatishe sitori! Ile anageuza tu ndipo anakutana na Imlany uso kwa uso.
Imlany Alimshika mkono Lunnah Kisha alimsogeza ukutani nakubaki akimtazama TU, Baadae Alimuachia pasipo kusema neno lolote ilibidi alipitiliza moja kwa moja Hadi Mezani walipokuwa kina Junior., Alikaa na kuendeleza sitori!!
Huku kwa Lunnah!! Alielekea kwenye kona, iliyokuwa imejificha Kisha alianza kulia huku akijaribu kufuta machozi yake kwa kitambaa!!
Lakini alisitushwa kidogo baada ya kushikwa begani na mtu asie mjua, ilibidi ageuke na kukutana na Ratifa!! Kumbe na yeye alikuwepo siku hiyo, kutokana na watu kuwa wengi hawakuonana.
Ilibidi watafute Sehemu ya kwenda kupumzika huku wakieendelea na sitori!! Ratifa alimuuliza Lunnah.
"" Vipi Lunnah!! Ni muda mrefu sikukuona!! Naona umezidi kunawiri Sana!! Harafu mbona hukuolewa na Kaka!! Wakati ulikuwa ukimpenda Sana!!"
"" Wewe Ratifa!! Wewe!? Unapenda uchochezi!! Sasa' ningeolewa vipi na Duffer wangu!! Imlany Ni rafiki yangu TU harafu hata Wewe si ulikuwa wajua Anamchumba Tayari!??""
"" Unajua kwanini nimekuuliza hivyoo!!;? Mimi naamini hata Duffer alikupenda Wewe!! Seema Basi tu, kwakuwa Alikuwa tayari anae Rayna!; Hapa amekuwa Ni mtu wakujilaumu Kweli!!"
"" Sasa!! Ajilaumu kwa kipi wakati tayari!! Ameshazoea na maisha yake! Bado Anafuraha Zaidi familia imeongezeka!!!"
"" Huko Huko kuongezeka familia bado Ni changamoto TU!! Kwani anatamani aitwe baba yenye nguvu ya muunganiko wa Ndoa!!"
"" Unamaanisha Nini!?" Huo muunganiko wa Ndoa harali Ndio upi!?"
"" Ila nikuibie Siri!! Yule mtoto Ni waaa....!
Kabla hajamaliza kusema Rayna alifika pale!! Nakumletea mtoto Ratifa!! Kisha aliaga anaenda uwani!!
Lunnah Ilibidi avunge na kumbeba Mtoto!! Baadae Ratifa na yeye Aliitwa na wafanyakazi wa kampuni ya Imlany waliomba waongea nae kidogo, ikiwa Ni Ratiba ya kuondoka.
Lunnah Aliondoka kidogo huku akiwa akijaribu kumbembeleza mtoto!! Huku akisogea pembeni kidogo na Watu, baadae mtoto alisinzia, huku akiwa amempakata mkononi.
Baadae Junior'' na yeye alikuwa akipitapita mazingira hayo alimuona Lunnah, Ilibidi asogee karibu nae.
Junior'' Alikuwa akizidi kumtizama Najma baadae alisema kitu.
"" Huyu mtoto kafanana Kweli na Imlany!! Inaonekana jamaa anae mbegu Kali!! Nahisi hata Mimi mtoto wangu atanifanana hivihivi!!!"
Lunnah Ilibidi azidi kumtizama vizuri mtoto baadae aliishia kutabasamu TU.
"" Yaani Junior''!; Mimi mtoto wangu lazima anifanane Mimi kila kitu ujue Mimi Nina Group O" Kama Imlany tu, ndo maana mtoto kafanana nae!!"
"" Wewe nae mbea TU!! Ulijulia wapi!; Imlany Ana group O"??"
"" Yaani hizi kazi zetu!; Huwa zahitajika vianbata vingi yaani et hati cheti Cha Ndoa!! Mpaka bima ya afyaa Ndio nikawa nimeona bima ya Imlany na group lake!!!"
""" Ooh!! Waooo!! Lakini Mimi kwangu utasahau Mimi natoa kopi hata Kama Nina AB" Wewe utaonaa!!!"
Muda kidogo Alifika Rayna!!
'' Daaah!; Sorry Duffer!! Mtoto kakuchosha et!! Namuomba nikamulaze kwanza!!!"
"" Hapana!! Wala usijali!! I'll kanichosha kidogo! Hata hivyo anazo kilo nyingi Huyu!!!"
"" Hahaaa!!! Sijui hata kafata Mwili wa Nani!! Make Mimi na Mr. Wote wembamba!! Nahisi huyu Ni mama mkwee kabisa!!!"
"" Ooh!! Harafu nishasahau Naaah'' sijui atakuwa wapi jamaniii!!"
"" Huyo yupo na Ancle yake!; Make nasikia wanaitana Ancle na Imlany!! Harafu zimeiva kweli!!!" Ngoja Mimi niwaache!!!"
Rayna Alimbeba mtoto na kuondoka nae!! Huku wakawa wamebakia Lunnah na Junior. Lunnah alimuuliza Junior''.
"" Vipi twarudi lini kwetu!! Tukafanye check-up tuone Kama Kuna uwezekano na sisi tupate mtoto!!!"
Junior Alimtizama Mkewe, Alijua kabisa kaumia kupitia kumbeba Mtoto wa Rayna!! Ilibidi asimame pale Kisha alimshika mkono Mkewe.
"" Usijali mwakani!! Majira Kama haya tutakuwa na mtoto!! Naomba tutazungumzia swala hilo nyumbani!!;"
Waliondoka pale ili waweze kuagana na wageni pamoja na kuwapemeka Nyumba ya kupumzika!! Nyumba ya Lunnah ilitumika Kama mapumnziko kwa wanakampuni na wengine walienda kupumzika kwa Junior'' harafu wait wakawa wameenda kupumzika Nyumba ya wageni.
Kesho yake kulipopambanzuka!! Wageni wote walikuwa wakijiandaa na Safari!! Imlany alimuomba Junior!! Ruhusa kidogo aongee na Lunnah!! Junior'' alikubali na yeye akamuomba abaki na Rayna!!!
Junior'' alimufuata Lunnah make muda huo alikuwa busy akiagana na wafanyakazi wenzake!!
"" Dusky!! Ni ruhusa yangu naomba uonane na Imlany yupo chini pale Hotelin Ana maongezi nawewe!!!
"" Aah!; Hapana Dusky!! Mimi Sitaki!!"
"" Mimi mmeo nimekuruhu ukikataa!! Utakuwa huniheshimu, harafu hata Duffer na yeye anakutizama TU!!"
Lunnah Ilibidi atizame Chini, Alimuona Imlany akiwa busy na simu yake ilibidi akubali baada ya kumuona akimgonja make kulikuwa na viti viwili kimoja kilikuwa hakina mtu!!!
"" Sawaa Dusky!! Kwa heshima yako nitaenda!!!"
Lunnah Aliwaaga wafanyakazi wake!! Nakuwambia anakuja kidogo, Alifika Hadi kwa Imlany na Kukaa.
Imlany Aliagiza kinywaji baadae walimletea na kuendelea kunywa. Muda wote Imlany Alikuwa akimtazama Lunnah usoni baadae alimuuliza.
"" Lunnah!! Kwasasa Mimi sio Duffer wako!!?"
Lunnah Ilibidi aekit Kama hajasikia, Alinyanyua grass yake ya Juice Kisha alikunywa nakushusha baadae alichukua simu yake Nakuanza kuichezea.
Imlany muda huo alikuwa akimtizama TU, baadae alimshika mkono wenye kidonda, harafu akainyakua Ile simu nakumuuliza tenaa!!!
"' Inachukua uwepo wa Duffer!! Sehemu hii!! Kama wachukia niruhusu Basi niondoke!!!""
Lunnah Ilibidi aurudishe mkono Wake taratibu Lakini Imlany aliukatalia baadae alimuuliza tenaa...
"" Waweza niruhusu nifungue bandage nione kidonda chakoo??"
Lunnah Alitikisa kichwa kumaanisha hahitaji. Lakini Imlany muda wote Alitaka kuongea nae.
"" Duffer Ni kweli hautaki Hata kukuona Duffer wako!! Okay!! Naona nakubembeleza Sana!! But Duffer wako nilikumisi Sanaa!! Sijui kwanini ulikataa mawasiliano kwangu!! But bado Nampenda Lunnah wa utotoni Natamani turudi utotoni harafu historia ya Shangazi yako asiolewe na Ancle, na hicho kitu ndo nakihitaji kwa Sasa.
Imlany Alisimama ili aondoke!! Lakini Lunnah alimuwahi nakumshika Huku akizidi kumtizama machoni Huku machozi yakilengalenga. Aliishia TU kumuita ""Duffer!!!!.........
Muda huo Lunnah kabla hajasema Alisitushwa na sauti ya Nasrah Akiwa anaita, "Mamaaaa.... Ilibidi wote wageuke kumtizama.
,,,,,,, Itaendeleaa,,,,,,,
Usikose Sehemu ya 04.
Hakikisha UNA-LIKE na Comments. Kisha join kwa Group ili usipitwe na simulizi hii.
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 05. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
Muda huo Lunnah kabla hajasema Alisitushwa na sauti ya Nasrah Akiwa anaita, "Mamaaaa.... Ilibidi wote wageuke kumtizama. ENDELEA...
Lunnah alimuachia mkono Imlany Kisha Alimbeba Nasrah ili amusikilize vizuri!! Imlany na yet alisogea karibu Kisha alichukua simu yake na kupiga selfie ya pamoja Kisha aliondoka Huku akimuachia neno Lunnah!!
"" Inapendeza siku mojaa familia hi ikakaa pamoja!! Naona inaendana kwelii!!"
Nasrah baada ya kumuona Ancle anaondoka Alianza kumlilia waondoke nae!! Imlany aliamua kumgonjea Kisha alimuchukua nakuendelea kuzunguka nae!!
Huku Lunnah Alibaki Akiwa kakaa mezani Huku kajiinamia!! Alijaribu kuyatafakari maneno ya Imlany nafisi yake ilimuuma sana, Kila akikumbuka maisha yake na Junior aliona Imlany Ananafasi kubwa moyoni kwake, Lakini hakuwa na Jinsi Zaidi yakuanza kufuta Kumbukumbu za Nyuma Kisha alizihamishia kwa Junior.
Aliamua kujikaza ili akamtafute Junior ambae kwa Sasa alikuwa Tayari Ni mmewe!! Alizunguka Huku na kule ndipo anamuona Junior Akiwa na Rayna akizidi kuongea na Junior!!
Ilibidi Awaache na kuondoka zake Kisha Alielekea karibu na Swimming pool, Alifika na kukaaa Huku akijaribu kuchezea maji!! Kwa miguu yake!!
Muda huo Imlany alikuwa yupo na Nasrah!! Nasrah alikuwa akimsumbua akihitaji kuoga, Aliamua kumleta Hadi Swimming pool Ndio alimkuta Lunnah Akiwa pale!!
Nasrah alimuwahi mama yake!! Kisha Alimsogelea na kumuomba amruhusu aoge!!
Imlany aliamua kukaa karibu na Lunnah Huku wakizidi kumtizama Nasrah akioga!! Furaha ya Nasrah ilimfanya Lunnah abaki akicheka Huku Akiwa anamrushia maji kwa kutumia miguu yake!!
Katika rusharusha ya maji kwa kutumia miguu!! Walikuta wanakutanisha miguu na Imlany!!
Lunnah Ilibidi ageuke kumtizama Imlany Kisha Aliachia tabasamu lililomfanya Imlany na yeye abaki akitabasamu!! Lunnah alimuuliza Imlany.
"" Duffer!! Ni kipi kimekuleta hapa tenaa!! Umesahau Unae mke huko anakutafuta!!!?""
Imlany Aliishia kumtizama Sana Lunnah pasipo kumjibu aliamua kuendelea kuchezea maji Huku akigusanisha miguuu, mpaka Lunnah ikabidi asogee pembeni.
"" Vipi huongei!! Haunijibu!! Harafu waendelea kunichokoza!! Hauna mdomo mpaka umeanza kuniuzi!!"
"" Umechukia Eee!!' Hats Mimi pindi twaongea nilitamani unijibu na Mimi nlikuwa nachukia vivyohivyo!!"
"" Kwa maana hiyoo!! Walipiza!!!?""
"" Ndioo!! Kwakuwa umeongea!! Niliimisi sauti ya Duffer wangu!! Waoo!! Sauti Ni ile Ile ya Lunnah wa utotoni!!"
"" Umeanza Duffer!!!"
"" Nilikumisi Sanaa!! Niahidi Basi ukirudi USA naomba uwe wanipigia hata kwa What's up!!"
"" Aaaah!! Sitaki Bhanaa!! Naogopa hata kuingilia Kati kwenye mapenzi yenu kwa Sasa!!!"
"" Kwahiiyo kisa Kuoa!! Ndio hutaki hata kunisalimia au Unae Wivu!! Vipi Kama nitataka kuongea na Ancle wangu!! Huoni wamnyima mapenzi ya Ancle wake!!??"
"" Utajua Bhanaa!! Utakuwa wapiga kwa Junior Kama Utakuwa wataka kuongea na Nasrah!!"
"" Wanikazia Duffer!! Ni kweli hauna hisia na Mimi teenaa!!?? Je unajua Imlany wako ulimuacha Ana khari gani baada yakukaa mbali na Mimi!! Hivi huwa wajua hisia zangu sikuzote kwako Nina asilimia ngapi??"
"" Duffer Wewe wa Rayna bhana!! Na hapa tayari mnae familia!! But Mimi bado sijafanikiwa siku zote kuwa na mtoto kwahiiyo Acha nipambane na Dusky wangu!!"
"" Sitaki kusikia Tena!! Ukiongea hauna mtoto!! Hata Mimi Badoo ninatamani nipate huyo mtoto wa damu moja Bila Shaka!! Nikimpata kutoka kwako itapendeza Sana!!"
"" Duffer!! Mimi sina uwezo wa kuzaa!! Harafu mbona Unae tayari kwani hamjazaa wote!!"
Muda kidogo walisitushwa na sauti ya Nasrah akiomba msaada!! Make muda wote walijisahau Kama walikuwa na Nasrah!! Kelele zakuhitaji msaada ziliwasitusha ikabidi wote wajitupe mmaji kumsaidia.
Walifanikiwa kumtoa kwenye maji!! Muda huo huo Junior'' na Rayna na wao walikuwa wakifika Sehemu hiyo Ilibidi watoe msaada Kwanza Kisha walimpeleka hospital.
Kwa Upande wa Imlany aliongozana na Mkewe Hadi Kwenye Hotel waliyofikia!! Alifika na kabadilisha nguo, baadae alikaa kitandani Huku Mkewe akizidi kumtizama!! Aliona amuulize.
"" Mmewangu!!! Ilikuwaje tenaa Hadi Nasrah!! Anywe making na wakati ulitoka ukiniaga waenda na kuoga nae!!??
"" Daaah!! Hata sielewi tu, but Nasrah Ndio alikuwa akioga!! Mimi nilikuwa napiga stori na Lunnah!! Baadae tukasikia kelele TU akiomba msaada!!"
"" Story gani hizoo!! Hadi mmusahau mtoto kweli? Au mwataka kurenew UDuffer uanze upyaa!??"
"" Sio hivyo mke wangu!! Sema kwelii!! Nilimumisi Duffer!! Mpaka ikapelekea tupige stori zilizopelekea kumsahau Nasrah!!"
Rayna baada ya kusikia hivyo! Roho yake ilimuuma sana nakuamua kuondoka!
"" Najua kweli Duffer! Hukuwahi kunipenda!! Au kwa kuwa Mimi Sina uwezo waaa.....
Kabla hajajibu Imlany alimuwahi na kumziba mdomo Mkewe Kisha alimuomba anyamaze!!
"" Mke wangu!! Mama Najma!! Ni Wewe pekee nikupendae kwakuwa nimeamua Mimi na Wewe tuishi wote!! Na nikaapa mbele ya Madhabahu kuwa Alichokiunganisha Mungu!! Mwanadamu hawezi kitenganisha!! Nielewe Basi Duffer wangu na yeye anasehemu yake Rayna!!! Mbona unakuwa na wivu kiasi hichoo!! Au Mimi sinae moyo?" Ayaaa ningekuwa na wivu Mimi si ningesema Jinsi nilivyowakuta Wewe na Junior'' mnavyoongea!! Si hata hivyo na Nyie mliwahi kudate!!!?"
Muda huo huo Imlany akiongea tayari Junior'' alikuwa kafika Sehemu hiyo Kila kilichoongewa pale alikisikia ilibidi arudi kimya kimya Kwanza ili Awaache wakiongea!!
Aliondoka Huku Akiwa na picha mbili kichwani kwake!!
"" Inamaana !! Imlany alivyonikuta nipo na Rayna na yeye akaamua aje aongee na Lunnah!! Harafu kuhusu Rayna kumbe alishajua kuwa Mimi na yeye tayari tupo kwenye mahusiano!!!? Lakini Nini Hatima ya yote hayaa??"
Wakati Akiwa Njiani akizidi kutafakari, alisitushwa na sauti ya Imlany iluonesha kwamba Imlany Alikuwa akimfatilia toka Anageuza aondoke!!
"" Oyoo Dusky!! Wa Lunnah!!! Mbona waondoka kimya kimya pasipo kutoa majibu yeyote!! Nini Shida Lakini!!?"
Junior'' ilibidi asimame ili azidi kumsikiliza Kwanza!!
"" Hapana!! Nilifika sema niliwakuta mpo busy na Rayna!! Niliagizwa nije niwapeni taarifa tayari Nasrah karuhusiwa kwa Sasa yupo Nyumbani!!"
Imlany Aliomba kaongozana na Junior'' ili akamuone Kwanza mtoto atakuwa anaendelea!!
Walifika Hadi Nyumbani nakumkuta Lunnah Akiwa anampatia Mtoto Uji kwa kijiko.
Imlany Alifika na kumtizama Nasrah!! Kisha alimuita Ancle!!; Nasrah alipogeuza tu macho yake nakumuona Ancle ilibidi atoke kwa mamake nakusogea Hadi kwa Imlany, Kisha Imlany alianza kumpatia uji taratibu Huku alimuuliza.
"" Hivi leo Naaah'' ulishidwa kuogelea mpaka ukanywa maji!!?"
"" Ani Ancle!! Maji yalikuwa matamu!! Si nikatamani kulala nione usingizi unakuwa mtamu kiasi gani Ndio nikazama chini!! Nikawa nimekunywa!!"
""" Ohoo!; Ancle nitakuwa sikuleti Tena kuogelea!!! Kumbe hata hujui kuogelea!! Siku nyingine nitakupeleka kwenye maji mafupi Zaidi!! I'll ukilala maji yasifike mdomoni!!!"
Sitori Kati ya Ancle na Ancle yake zilizidi kuendelea!! Zikawa zinampatia furaha Sana Nasrah!!
Junior'' Aliamua kujiondokea na kuelekea Chumbani!! Lakini hata Lunnah aliona ngoja Awaache waendelee na sitori!! Alifika chumbani nakumkuta Mmewe kalala kifudifudi ilibidi nayeye ajitupie kitandani Huku mkono wake aliupeleka Hadi kiunoni kwa Junior, baadae alimgeuza uso Wake wakawa wakitizamana!!
"" My Dusky!! Kwanini hauna Raha tenaa!?? Nisamehe Basi!! Kama nilikuuzi kitendo Cha Naaah'' kunywa maji usininunie et!!!"
Junior'' Hakumjibu Alichofanya Ni kumshika na yeye kiunoni Kisha Alimsogelea na kumkiss kwenye paji la uso Huku akimuachia neno moja TU!!
"" Nakupenda Dusky!! Naomba nenda ukakae na Wageni!! Sio tabia nzuri Wageni kuwa wenyewe!! Namsikia Rayna pamoja na Ratifa wakiongea!!"
Lunnah aliamka pale Kisha alisogea Hadi kunako mlango, Lakini alirudi Tena Hadi kwa Mmewe Kisha Alimuachia kiss la shavuni nakusema!!
"" My Dusky!! Sitachoka tenaa kukupenda!!!"
Alifika sebuleni nakumkuta Imlany Akiwa kambemba Najma akimupatia maziwa yakopo ilibidi auulize Swali.
"" Hivi Duffer!! Huyu mtoto wenu hanyonyi?? At Duffer Mdogo!! Au Unae Mdogo wake tumboni!!!?""
Swali Hilo liliwapagawisha wote na kubaki kimya!! Lakini Kama mama wa mtoto aliamua kumjibu japo kwa Unyonge Sanaa;
"" Siku nikiwa na ujauzito, harafu nikangonyesha nitafurahi Sana!! Hata hivyooo Maziwa yalimkataa!! Ndio maana tukamuanzishia maziwa ya Kopo!!"
"" Daaah!! Pole Sana Duffer!!! Make nimeona muda mrefu Sana nikaona hata kuuliza Napo Ni kujifunza!!
Baadae Imlany na Mkewe waliaga na kuondoka!! Lakini Imlany alikuwa mwenye Mawazo Sana Huku akijiuliza maswali mengi.
"" Kwanini nisimwambie Duffer!! Kitendo hichi!! Mbona yeye kanambia hajafanikiwa kupata mtoto!! Mimi nimemficha huenda akanisaidia katika changamoto hii!!"
Imlany alipofika Nyumbani ilibidi arudi Tena Hadi Nyumbani kwa Lunnah ili amsaidie Mawazo!! Kama kanuni ya Duffer na Duffer wake siku zote nikubebeana mizigo....
,,,,,Itaendelea...
Usikose Sehemu ya 05.
Je Ni kipi kinamsibu Duffer!! Katika Moyo Wake??
Like, comments and then Share. Tupate majibu kipande kinachofuatia.....
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 06. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
Imlany alipofika Nyumbani ilibidi arudi Tena Hadi Nyumbani kwa Lunnah ili amsaidie Mawazo!! Kama kanuni ya Duffer na Duffer wake siku zote nikubebeana mizigo.... ENDELEA...
Imlany Alifika Hadi Nyumbani kwao Lunnah Kama bahati alimkuta Junior'' katoka kidogo ikawa amemuomba Lunnah watoke kidogo Ana maongezi naye!!
Walifika Hadi kwenye hotel moja Kisha waliagiza vinywaji Nakuanza kutumia, muda huo Lunnah alikuwa kimya akimgoja Imlany aongee lakini na yeye akawa kimya ikabidi amuulize.
"" Duffer!! Mbona husemi! Uliniitia!??"
Imlany Alichukua kiti chake Kisha Alimsogelea Lunnah!! Akawa akimtizama tu!! Baadae aliamua kuongea.
"" Duffer!! Ni kweli haunipendi tenaa!!?
"" Kwanini Nisikupende kwani Mimi na ugomvi na Wewe!!?
"" Nahisi!! Kwasababu hutaki hata kuongea na Mimi Siku hizi!! Harafu Duffer! Kwanini siku hizi jina la Duffer hulitendei haki, au Mimi siyo msaada Tena kwako!!?""
"" Hapana!! Sipo hivyo!!! Kungekuwa na kitu kipo tofauti ningesema!!"
Imlany Alimshika mkono Lunnah Kisha Alimsogelea Tena na kubaki akimtizama.
"" Duffer Ni kweli hautaki Mtoto!!?""
Lunnah Alisituka kidogo na kubaki akitizama Chini Huku machozi yakimlengalenga. Imlany akawa amelitambua hilo Ilibidi aache kumuuliza tenaa!! Aliagiza kinywaji kilichofuata Na Alcohol ya wastan aliendelea kunywa Huku akimpatia na Lunnah!!
Baadae pombe ilipokolea, ilimfanya Imlany aanze kuropoka vitu ambavyo hakutarajia kuongea!!!
"" Duffer!! Sio Siri Wewe Ndio ulikuwa chaguo langu siku zote!! Harafu hata tatizo la Wewe kushidwa kubeba Mimba nikwasababu yangu!!!!"
Lunnah Ilibidi amuulize make yeye hakuwa amelewa Sana.
"" Duffer!! Kwanini unasema hivyo!! Kwasababu yako Mimi sipati Mimba!!??""
"" Duffer!; Naweza kuongea vitu vyote Lakini kuhusu maisha yangu Sina mtu wa kumwambia Zaidi ya Wewe!! Lakini naumia pale ninapotaka msaada nipate kwako na Wewe Unakuwa mbali na Mimi!! Sijui kwanini TU!??"
"" Ndioo uniambie unachotaka kuniambia ili nikusaidie Mawazo kabla sijarudi kwangu!!"
"" Kweli Duffer!! Moyo wangu umekuwa ukiumia kwaajili yako, hata niliposikia haujafanikiwa kuwa na mtoto ukweli Nimeumia Sana!! Hebu niulize kwanini!!??"
"" Aah!; Duffer na Wewe!! Si uendelee TU! Mpaka niseme Kwanini!! Okay kwanini!!!!?"
"" Toka uliponiacha ukaamua ukaishi mbali na Mimi!! Ukweli nimekuwa nikiumia Sana!! Mbaya Zaidi katika maisha yangu.... Sikatai Ni mazuri ila kwenye Ndoa mambo huwa Ni mengi!! Mimi na mwenzangu sio Siri tumekuwa na changamoto Kama yenu yakushidwa kupata mtoto!!
"" Tumekaa Kama Miaka miwili mwenzangu hashiki Mimba!! Mpaka ikanipatia Mawazo Sana!! Au na Mimi kwelii siwezi bebesha Mimba!! Ikabidi twende kwa Wataaramu wa afya!! Tukaenda kuchunguza Mimi na mwenzangu Kama sina uwezo wa kuzalisha au mwenzangu....
"" Lakini majibu yaliyokuja yalikuwa yanaumiza Sana mpka ikanifanya hakili yangu iyumbe kidogo!! Nikaamua nikutafutie angalau unishauri Lakini hukunijibu Wala simu zangu Ndio ukasifungia!! Ila leo Kama nitakupa nimefanya vibaya!! Usinilaumu Mimi jilaumu Wewe kwa kuwa mbali na kushidwa kunijibu!!!!"
"Okay!! Majibu yaliletwa nakusomeka!! Mimi na Rayna damu zetu hazishabiani!! Hivyo Mimi kumpatia Ujauzito Rayna siwezi!! Mpaka nitumie njia nyingine!! Ya kisasa kabisa' Kama wenzetu wanavyotumia!!
"" Ilibidi kuchukua Mbegu zangu na za Rayna Kisha tukamlipa mama mmoja atubebee ujauzito Huku tukiunganisha na mbegu zake!! Akawa katubebea Mimba!! Mpaka miezi Tisa Ndio akajifungua tukamlipa pesa ndefu tukawa tumemchukua mtoto na Ndio Najma!!
"" Nafikili huenda ulikuwa na maswali mengi Sana!! Why Najma tunampatia maziwa ya Kopo!! Nahisi utakuwa umenielewa!! Vipi una Swali Teena!!??
Lunnah alibaki akishangaa make Alikuwa haamini amini akili yake ilienda mbali nakuchukulia sitori aliyopewa na Imlany ilikuwa Ni yake!! Aligwatuka na kuuliza!!
"" Kumbe!! Hata Mimi ni Kama Rayna TU!!! Kwani tunapishana wapi na Rayna!! Itabidi nikampe pole tu!!""
""" Sio hivyo Duffer!! Mimi Kuna kitu nilichokuwa nakiwaza!! Kabla Junior hajafanya Kama Mimi nilivyofanya make imenighalimu Sana!! Mimi naona tukienda kupima Mimi na Wewe Huku tukimchukua Junior na Rayna!! Nahisi hapo Kuna Hasi na chanya!!!"
"" Aah!! Hapana!! Swezi kufanya hivyo na Sitaki Junior ajue swala Hilo kabisa'!! Wewe nenda ukaendelee kuishi na mkeo!! Na Najma Ndio mwana wenu!!"
Lunnah Alitoka alisimama Huku akichukua pochi yake nakuondoka!! Imlany alimuita Huku akiongea nae Huku Akiwa na majonzi Kweli;
"" Duffer!! Kumbuka siku zote Maumivu ya Duffer Ni maumivu ya Duffer wake! Kama utashidwa kutambua maumivu ya Duffer wako!! Niambie leo, kuwa Wewe na Mimi hakuna UDuffer tena!!!
Lunnah Ilibidi ageuke baada ya kusikia neno Duffer!! Kweli Alikuwa akilipenda Sana, Alikumbuka siku Imlany anamuokoa kutoka Casino na Ndio siku ya kwanza alimtamkia na kumwambia kwasasa yet Amekuwa Ni Duffer wake wakusaidiana katika Mawazo Shida yake, Ndio Shida yangu!! Ilibidi ageuke taratibu na kumrudia Duffer wake tenaaa.
Alifika na kumpatia mkono Huku akimuinua!!
"" Nisamehe Duffer!! Nilianza kusahau halisia ya jina hili na Sehemu lilipopatikana jina hilii!! Kwasasa Wewe Ni Duffer wangu tenaa!! Na sitakuacha uteseke kiasi hiki naahidi kukulinda nakuendeleza jina hilii!!"
Muda huo Walionekana Junior pamoja na Rayna walikuwa kwenye gari Huku wakizidi kuwatafuta!! Junior alimuulizia Rayna!!
"" Vipi na Wewe!! Ilikuwaje unipigie simu uniambie kuwa wapo Sehemu hi!! Au na Wewe ulitumiwa picha!!??""
"" Unajua Junior muda mwingine nitakulaumu Wewe!! Kwanini ulimleta Lunnah Huku na ulijua kabisa'! Imlany hajawahi acha kumpenda Duffer wake!! Siku niliposikia mmehama Kweli nilifarijika sana, Lakini nimekuja kuumia baada ya kusikia mpo Tanzania teena!!"
"" Ayaaa!! Picha nimetumiwa na namba ngeni!! Imlany Akiwa kamshika Lunnah Tena kimahaba kabisa' wakionesha kile kiini Cha upendo nilipouliza Ni wapi akawa kapiga picha Hotel ilipo! Nitamuuliza Wewe Nani Kwanza akanijibu, " Ni mama wa mtoto!! Sasa sijaelewa mama yupi na mtoto yupi!!??"
"" Mimi pia Picha pia! Nimezipata nilipomuuliza Ni Nani kaniambia mama wa mtoto!! Basiiiii!! Hapa nimechanganyikiwa nimejaribu kumfatilia kwenye mitandao namba haioneshi Tena Wala Location haisomi!!
Muda huo Lunnah na Imlany walikuwa wakisogea barabarani ili wachukue usafiri!! Ndipo walishangaa Junior na Rayna waliwafuata Kila mtu alimshika partiner wake!! Nakuingia kwenye gari!!
Junior'' alibaki kakaa nyuma Huku Akiwa amempakata Mkewe miguuni aliishia kumtizama Huku akifikilia Mambo mengi!!
"" Hivi Dusky!! Huwa unanipenda Mimi kwelii!? Au naufosi moyo wako uuwekeze kwangu! Ila naona hisia zako bado zipo kwa Imlany!!"
Junior aliendelea kuwaza Mambo mengi Sana mpaka anafika Nyumbani ilibidi amshushe mkewake nakuingia nae Chumbani!!
Huku kwa Rayna na yet alifika nakumshusha mmewe Kisha alimpekea maji bafuni aoge angalau pombe zikate kichwani, baada ya kumaliza kuoga alimuandalia mmewe supu na Ndizi mbivu zilizosaidia kukata wenge la pombe.
Imlany baada ya kusilhiba alimuuliza Mkewe!!
"" Hivi mama Najma nililewa Sanaa!!??"
"" Wala hukulewa!! Kilichokulewesha Ni Wewe kumuona Duffer wako TU!! Tangu siku umuone huna hamu na Mimi kabisaa!!!"
"" Sio hivyooo my!! Kwani Ni kipi umekikosa kwangu!! Au Chumbani nimekuwa mzembe!??"
"" Simaanishi hivyo!! But hata na Hilo pia hutimizi wajibu wako!!
"" Sorry my!! Nisamehe kwa Hilo hata hivyo tangu tuje Huku mambo yamekuwa mengi Kweli!! Ila Mimi siyo mzembe au wataka Najma tumpatie Mdogo wake!!!"
"" Weee!! Kulea kazi Kweli harafu muda wote waniachaniza nakesha nae muda wote ila nataka afikishe angalau Miaka miwili tuongeze kengine!! Unajua tulichelewa kuoana na Age imeenda et!!!"
"" Ooh!! Nataka Sahiii bhana!!!"
"" Sitaki!!! Baba Najma!!"
"" Mimi nataka!!""
Utani wa hapa na pale uliendelea ukawa umeenda kuishia chumbani.
Siku iliyofuata Junior na Lunnah walikuwa wakijiandaa na Safari, Mara simu ya Junior illiita Alikuwa Ni Benazir Dada'ke akimpigia.
Junior'' alipokea simu Kisha alisogea pembeni kidogo.
"" Kakaa!! Sio vizuri unavyofunga Safari kuondoka pasipo kuaga Nyumbani, Mama Ni Mama tu, hata akikukosea bado atabaki kuwa Mama!! Msamehe Mama Kisha njoo Nyumbani upate baraka Ndio uende!!!
Benazir alizidi kuongea maneno mengi yaliyopelekea kumshawishi Junior baadae alikata simu nakurudi kwa Mkewe.
"" Sorry Dusky!! Kabla hatujaondoka twende Nyumbani Kwanza tukamuone Mama!!!"
""" Mhuu!! Ayaaa!! Umebadilisha maamuzi teenaa!!!
"" Dusky!! Bado nampenda Mamangu' japo amenikwaza ila nitaenda kumuaga harafu siku ile sikuongea kitu ila leo nitaongea!! Tupite madukani Kwanza nimtafutie hata doti ya vitenge!!"
Muda kidogo walifika Hadi Nyumbani nakupokelewa na Benazir, siku hiyoo Mama aliamua kuwafanyia surprise Watoto wake Aliandaa chakula Kisha walijumuika pamoja kula.
"" Mwanangu!! Pamja na mkwe wangu naomba mnisamehe!! Unajua Mimi uzee unaniandama kwa Sasa nakosa maneno ya busara ila! Nimejifunza, Siku zote Mimi Mwanangu namjua vizuri Junior huwa akinuna huwa anasusa hata kukuona na hapa nilijua hautakuja nitasikia TU upo USA huko!!
""" Aaaah!! Mama Nakupenda Sanaa!! Zawadi aliyotuachia Baba Ni sisi tuwekeze upendo wetu kwako Zaidi ya Mara mbili kwako!!! Ila nimekusamehe na zawadi zako hizi hapa nimekuletea leo naondoka na Ndege ya saa kumi!!"
"" Sawaa!; Mtasafiri salama naimani mkirudi hapa nitakuwa nasumbuliwa na Bibi!; Bibi!!!""
"" Aah mama!!; Mwambie Benazir akuletee haraka!! Harafu Watoto wa kike Ndio wanaotangulia kuzaa!! Namimi namgoja Kwanza Benaa!!!"
Utani uliendelea na furaha ilirudi tenaa, baada ya kuona furaha imerejea ilibidi waage na kuondoka Kisha walielekea Airport make muda huo hata muda ulikuwa umefika.
Wakati wapo Airport walisitushwa na sauti ya Imlany pamoja na mkewe Huku wakiwa wameongozana na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni.
Walifika pale nakutoa zawadi kwa familia ya Junior na Lunnah, Huku wakimtakia Safari njema!! Lunnah alichukua zawadi zake!! Kisha alimtizama Imlany wake nakubaki akimpungia mkono Huku machozi yakimlenga ilibidi ajikaze ili Junior asitambue Hilo.
Baadae Nasrah alianza kusumbua akihitaji kumuona Ancle, ilibidi ashuke Kwanza Huku wakikutana na Imlany!!
Imlany Alifika pale Kisha alimuwekea mkono kichwani Nasrah. Huku akimpatia Chocolate na juice.
"" Ancle!! Nikutakie Safari njema ila mwezi kesho naja kukusalimia!! Harafu mwambie Mamako!! Nampenda Sana na afikilie Ombi langu!!
Baadae Imlany aligeuka Huku akiwa anaumia Sana kwa Mara nyingine anaenda kutengana Tena na Duffer wake!! Aliishia kusema na moyo wake.
"" Penzi bovu hufa!; Ila penzi la Dhati hubaki mioyoni kwa mtu!! Na siku zote huliishia penzi Hilo Huku ukiamini ipo siku utakaa Ndani yake!! Byeee Duffer!! Niwakati wakukumisi tenaa!! Ujio wako kwangu umekuwa Kama Umerenew Upendo wangu wa zamaniii!!!
Muda huo Lunnah alikuwa tayari kwenye Ndege akiwa kaambatana na mmewe na mtoto wao Nasrah ambae muda huo alikuwa akilia Huku Ndege ikiondoka!! Lunnah alibaki kutizama nakujikuta moyo wake unakuwa mpweke ndipo anagundua kumbe Feeling zake na Imlany hazijawahi kupotea, Alibaki kuongea na moyo wake Huku akijiuliza
"" Ni Kweli Duffer!! Nitakufikilia tenaaa!!! Au Safari yangu hatima itakuwaje mbeleni!!??".
,,,,, Itaendeleaa......
Usikose Sehemu ya 07.
Nini hatima ya Mkasa huu!! Like comments Share.
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 07. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
Muda huo Lunnah alikuwa tayari kwenye Ndege akiwa kaambatana na mmewe na mtoto wao Nasrah ambae muda huo alikuwa akilia Huku Ndege ikiondoka!! Lunnah alibaki kutizama nakujikuta moyo wake unakuwa mpweke ndipo anagundua kumbe Feeling zake na Imlany hazijawahi kupotea, Alibaki kuongea na moyo wake Huku akijiuliza
"" Ni Kweli Duffer!! Nitakufikilia tenaaa!!! Au Safari yangu hatima itakuwaje mbeleni!!??". ENDELEA.....
Ilikuwa Ni siku nyingine upande wa Lunnah Akiwa ofsini kwakee ametulia huku akiendelea na Kazi!; Mara simu yake Kuna Ujumbe uliingia ilibidi ausome;
"" Sasa Ni wakati wangu namhitaji mwanangu tenaa!!"
Ujumbe huo ulimsitua Sana Lunnah!! Ilibidi amjibu na yeye!
"" Mwanao yupi tenaa!! Kwani Wewe Nani!!?"
Kisha alimaliza na kutuma Ujumbe huo lakini ilionekana sms imefeli.
""Hivi Ni Nani tenaa!! Anaetaka kunifatilia katika maisha yangu!! Ile siku tupo na Imlany namba hii hii ilimtumia picha nakujitambulisha ndio mama wa Mtoto!! Ni Nani huyu anacheza mchezo na Mimi!!"
Lunnah aliiamua siku hiyo kutoka kazini mapema Kisha Alipita kazini kwa mmewe, alimtafuta Junior'' wakawa wametoka kidogo huku wakitembeatembea kambini.
"" Dusky!! Siyo siri!! Kuna vitu vinaninyima furaha!! Hivi waweza kumkisia Huyo mtu anayetuma message Ni Nani??"
Junior Alitaka kumjibu Lakini alisitushwa na vibration ya simu yake iliingia message, Alifungua na kusoma.
"" Ni lini mtamrudisha mwanangu!!?"
Ujumbe huu waliusoma wote!! Kila mtu aliwaza anavyojua Lakini kwa Lunnah alinyong'onyea Sana, Junior ilibidi amsogelee na kumkumbatia Mkewe huku akimtia nguvu.
"" Dusky!! Hupaswi kudondosha chozi lako namna hii!! Siku zote Dusky wangu huwa Ni shujaa!! Nakuomba tangulia nyumbani nitakukuta!! Na hili swala lazima nilimalize Mimi mwenyewe!!
Lunnah alielekea Nyumbani kwakee japo alikuwa na huzuni Sana!! Muda wote alitamani ajue hata hiyo namba Ni ya Nani!! Aliiamua kuitafuta kwenye mtandao hata location inasoma wapi Lakini hakufanikiwa,
Baadae Alichukua simu nakuingia kwenye mtandao angalau apunguze Mawazo!! Mara simu yake ilikuwa inaita ilikuwa Ni namba ngeni alipokea na kubaki akiitizama Ni Nani kampigia ndio anamuona mwanaume Imlany Akiwa amevaa vest yake huku kakaa kwenye mti Akiwa na juice yake akitumia taratibu!!!
"" Hello Duffer!!! Vipi umetiii Ombi langu niwe nakupigia What's up!!?"
Sauti ya Imlany iliularua moyo wa Lunnah nakubaki akitabasamu kwa furaha sana.
"" Hata hivyo una bahati!! Nimekuunbrock sahii tu, harafu na Wewe wapiga!! Ayaa ongea umalize nikubrock tenaa!!?""
"" Thubutuuu!!! Kwa nilivyokuwa nimeimisi sauti ya mchumba!! mchumba!! Daaah!! Seema hata hivyo ninakupenda tu hata Kama nimeoa ila Duffer na yeye anasehemu yake bhana!!!!"
"" Ana Sehemu yaaake!!? Anasehemu yake!!? Ooh!! Huongei ulichonipigia!! Nitakata simu Sahiii!! Harafu mkeo yupo wapi Kwanza!!?"
"" Na Wewe Mmeo yupo wapi Kwanza!??"
"" Ayaa!! Duffer!! Nakata simu Sahiii!!!"
"" Ukikata tu!! Unakuwa umeniongopea kuwa Wewe ndie juzi uliniambia kwa Sasa sisi TU Maduffer tenaa!!"
"" Ayaaa!! Ongea!!!?""
"" Nilikupigia simu! Ili nikutie Moyo, najua kwasasa umekuwa na furaha Baada ya kukupigia ila kumbuka maisha siku zote Ni Mtihani ila jikaze!! Utashinda tuu!!"
Lunnah Baada ya kusikia maneno ya Imlany yalimfanya aanze kutokwa na machozi!! Imlany alikuwa akimtazama Lunnah jinsi anavyolia ilibidi amuulize;
"" Duffer!! Kipi kinakuliza tena Mamangu! Au nimekukosea Wewe!! Kukupigia simu!!?""
Lunnah Aliishia kutikisa kichwa chake kuashilia hapana!!
""" Kama Ni hapana kwanini Sasa unaliaa!!?" Nani kakuuzi leo au Junior!!??"
"" Hapanaa!!! Nimekumbuka mbali tu, Ndio maana Machozi yalinitoka!!!"
""" Duffer!! Unanificha Mimi leo!!? Vipi nikuulize swalii!;?""
"" Ulizaaaa...!!!"
"" Vipi na Wewe unafuraha na Ndoa yako!!!? Au Ni Mimi tu Ndio nahangaika kuitafuta furaha!!!?""
Lunnah Aliishia kukodoa macho!! Huku akimtizama Imlany baadae alikata simu nakuiweka pembeni!! Huku machozi yalianza kumtoka Nakuanza kulia kwa sauti!!
Imlany alirudia tenaa kumpigia Lunnah...,
Lunnah alikuwa akiitizama ile simu baadae aliamua kuipokea Tena!
"" Kwanini Duffer umenikatia simu!!? Au Ninakuuzi kukupigia simu!!?""
"" Aah!! Hamna!! Huku akivuta kamasii ikiambatana na kilio.
"" Kwanini Sasa unaliaa" Shida nini Lakini!??"
"" Hamna kituu!!!"
"" Hamna kitu huku walia?? Basii Futa machozi!! Sipendi kuona chozi lako la huzuni likikutoka!! Naomba Chozi Hilo ulioneshe siku ukiwa na furaha Ndio ulitoe!! Sawaa Duffer!!?""
Lunnah Aliishia kutikisa kichwa!! Ishara ya kukubali!!!
"" Aah!! Bado sijaona tabasamu lako tangu nikupigie!! Basi nionyeshee tabasamu Ndio nikate simu!!!!""
"" Umeanza Duffer!!!!"
"" Cheka basiiiii!! Karembo kangu nilikatoa Casino!!" Harafu nimekumbuka ulivyokuwa wanisumbua kila siku et uende Casino!! Harafu nisingekuja kukusaidia ungesambaratiswa vibaya na ile mibaba!!!"
Lunnah Alijikuta akicheka mwenyewe!!
"" Yaani Duffer!! Wewe Mbaya pia!! si ungeniachaa tu!! Harafu matokeo yake ukanikula Wewe!! Yaani nakuchukua Duffer!!"
"" Unanichukia wapi!!?' Wakati nikikuhitaji mbona hukuwa wakataa!! Sema Chuki yako ilizaa Upendo Usiotarajiwa!" Harafu kwa Sasa nataka izae matunda yatakayotoka kwenye shina mojaa!!"
"" Aaaah!! Duffer!! Matusi hayooo!!!"
"" Matusi gani tenaa!!!?' Ashakhum si matusi bhana!!!""
"" Si matusi!!'' ila Ni maneno ya kungwiii eeee!!!?""
"" Ayaaa!! Baadae Bhanaa!! Nimefurahi kukuona kwasasa unae furaha!! Byee!! See you later!!"
"" See you too!!!"
Imlany Baada ya kukata simu, Alianza kukagua picha za Lunnah huku akizooming.
"" Kwanini akili yangu kwa Sasa inamuwaza Duffer TU!! Au Ndio upendo umeanza upya tenaa!!??
Ila uliniuzi Duffer kukimbia kwenye Harusi yangu!! Kwani ningesema siku hiyo simuoi Rayna harafu nikakukimbilia Wewe nikasema nilikosea kuchagua si ingekuwa vizuri TU!!!
Imlany alibaki pale huku akifurahia sana, Nakuona siku yake imeenda vizuri!!
Baadae alisitushwa na Rayna akiwa nyuma yake huku akiwa anaiangalia picha aliyokuwa akiitizama Imlany nakumfanya Acheke muda wote!! Alimuuliza;;... .
"" Kumbe furaha yako!! Ni Wewe kuongea na Lunnah!!?? Najua kwasasa unafuraha!! Ngoja nikuache ueendelee na furaha yako nisikukatishe!!"
Rayna Aliamua kuondoka nakuingia ndani kumbembeleza mtoto.
Huku kwa Imlany alibaki akiendelea kuangalia picha za Lunnah!!
"" Hata hivyooo!! Wewe Ni Duffer tu!! Kwanini Sasa namuwaza kiasi hiki!! Au unatumia Dawa huko uliko kunivuta!!? Ila hata Wewe najua huwa unahisia hai kwangu!! Ila kila mtu anaishi na mtu tofauti kabisa, Ni lini Basi kila mtu akae na mtu mwenye kuendana nae!!!?""
Baadae Alitoka hapo nakuingia ndani!! Alimkuta Rayna akiwa na mtoto akimpatia maziwa!! Imlany alifika nakumshika shingoni Mkewe huku akimtekenya Kisha alisogea nakumnong'oneza sikioni.
"" Siku zote Mama mzuri humjali Mmewe na mtoto wao!! Ila Mimi hukunijali leo!! Mbona uji hukunipatia!!??"
"" Baba gani Sasa!!?' Anaeshidwa kumuonesha Upendo wa kweli Mkewe!! Nakubaki akigawa Upendo kwa wanawake wengine!! Kwasasa Upendo wa Mama upo kwa mwanae TU!!!
"" Ni Sawa!!!! Baba Najma hapedwii Kwasasa ila anaepedwa Ni Najma pekee!! Okay! don't worry!!"
Imlany aliingia Chumbani nakujitupia kitandani huku akitizama singbord huku akiwaza Mambo mengi Sana, baadae aliamka nakuingia Jikoni.
Ndipo anamkuta Mkewe akipika huku kambeba Najma mgongoni, huku akijiimbia Wimbo wa tenzi!! Bwana Mungu nashangaa!!"
Imlany ilibidi atulie pembeni huku akizidi kumsikiliza Mkewe jinsi alivyokuwa akiimba kwa kumaanisha!! Aliamua kuondoka kimya kimya ili asimubuguzi Mkewe.
Alielekea Hadi sebuleni, Alifika nakuchomeka Frash yake Kisha alitafuta ule Wimbo aliokuwa akiimba Mkewe nakuuweka huku akisikiliza taratibu.
"" Sometimes nakukosea sana, Mama Najmaa!! Najua Ni kweli Mimi na Wewe tu Wanandoa na alichokiunganisha Mungu mwanadamu hawezi kukitenganisha!!! Je, nitakaa na Wewe hivi Hadi linii?? wakati feeling zangu zipo kwingine!! Kila nikisema Ni Rayna!!! Sauti nyingine upande wa kulia inasema Noo!! Ni Lunnah!!! So what kind!!!!??"
Baadae Rayna Alifika pale nakumkuta Mmewe yupo kwenye Majonzi ilibidi apitilize Chumbani Kwanza kumlaza mtoto Baadae alirudi, nakuendelea kupakua Chakula!! Baadae alimkalibisha Mmewe Kisha waliendelea kula!!
Imlany aliona Bora Arudishe furaha ya Mkewe Baada ya kukumbuka mida ya mchana alimkuta akiwa na ile picha ya Lunnah Kwenye simu akizitizama!! Aliamua kuchukua Nyama kwenye bakuli lake Kisha alimulisha Mkewe.
Lakini Rayna aliwahi nakumshika mkono!! Kisha alimtizama kwa sekunde kadhaa, akiwa hapepesi macho!
"" Baba Najma!!' Hupaswi kulazimisha niwe na furaha mimi!! Na Wakati kwako furaha haipo ndani ya moyo wako!! Hivyo basiii zungumza na moyo wako Kwanza ukilizika na kile kitu wataka kufanya basi fanya kwa moyo mmoja na si kufos moyo!!!"
Rayna Alisimama nakuondoka huku akimuacha Imlany Akiwa kwenye tafakuli ya maneno ya Rayna akiyafikilia kwa Kinaa....
,,,,, Itaendeleaa,,,,,,, Sehemu ya 08.
Unazani Ni kipi kitafuata Baada ya Imlany kukaa na kutafakari maneno ya Rayna, Je!! Atachukua uamuzi gani??
Fanya ku- like, comments harafu Share kwa Magroup ya simulizi!!! Huku ukitag rafiki zako wasipitwe na simulizi hiii, Huku wakijoin kwa Group langu!! Ahsanteni🙏
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 08. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
Rayna Alisimama nakuondoka huku akimuacha Imlany Akiwa kwenye tafakuli ya maneno ya Rayna akiyafikilia kwa Kinaa.... ENDELEA...
Imlany ilibidi na yeye amfuate Mkewe Hadi chumbani!! Alimkuta Rayna akiwa amelala huku akilia kwa kwikwi.
Aliamua kumsogelea Lakini Lunnah alikuwa mkali misiri ya Mbogo!! Alimsukuma huku akipandisha sauti.
"" Naomba uniache!! Wewe si unampenda Lunnah!!? Nimesikia mpaka wataka uzae nae!! Basii niache Mimi si Sina uwezo wakukubebea Mimba! Nenda kwa Lunnah akubebee Mimba si mwataka mtoto azaliwe kwenye shina moja!!?"
Imlany aliamua akae pembeni Kwanza ili amusikilize Rayna aongee kwanza ndipo anagundua kumbe maongezi yote ya yeye na Lunnah, Rayna aliyasikia!!
Aliamua kusogelea Tena Kisha Alimkumbatia kwa Nguvu!! Japo Rayna alikuwa hataki kusogelewa kabisa!
""" Rayna!!! Mama Najma!! Kwanini unanijengea tafsiri Mbaya hata Mimi Mmeo!! Mpaka umeingiza habari za Mimba tenaa!!!?? Mimi ndie niliewahi kukujua Wewe!! Nikatumia heshima yako ili nikuheshimishe Wewe!! Nikabisha hodi kwenu,, na familia yenu wakanipokea kwa Upendo!! Namimi nikakubali kukuoa Wewe ili tuvumiliane kwenye Shida na Raha!!! Kama Mimi Mmeo niliepeleka heshima kwenu naomba Basi unisikilize Mimi Ni Mmeo TU,..
Rayna Aligeuza kichwa chake huku akimtizama Imlany machoni, Imlany nae aliamua kumkazia jicho!! Japo hakuwa na kipaji hicho macho yake yalikuwa Ni malegevu ukimtizama Sana lazima umuonee Huruma.
Imlany Alinyanyua mkono wake wa kulia Kisha alimshika Mkewe kichwani huku akimtengenezea Nywele zake!! Zilizokuwa zikitaka kuingia machoni baadae alishusha mkono wake Hadi machoni huku akimfuta machozi, huku akifatia kuchezea midomo ya Rayna na kucha yake ndefu ya kidole gumba!! Kisha Alisogeza kinywa chake nakupata deep kiss kwa sekunde kadhaa.
Baadae Alimuachia Rayna huku akizidi kumtizama Sana!! Baada ya kumuona kalegea, Alichukua shuka na kumfunika huku akimwachia maneno machache.
"" Bado Nakupenda Sana!! Siku zote Nakuona Kama Bi. Harusi tulomaliza kufunga Ndoa!! Hata Wewe umeniheshimisha Mimi katika jamii kwasasa naitwa Baba Najma!!!"
Imlany Alimaliza kuongea Kisha alimuacha mkewe nakuelekea Sebuleni ili aendelee kula!!
Muda kidogo Alimuona Rayna na yeye akija, Ilibidi Acheke TU.
"" Kumbe!! Hukushiba!!? Acha kujivunga.... Wewe njoo tulianzishe upyaa!!!"
"" Aah!! Hata hivyo Mimi sili Sana!! Nakupa kampani tu!!"
"" Wewe Mwanamke!! Unajua kuvunga ee!! Kula unenepe umzidi na Duffer!!"
"" Eee!! Ayaa!!!"
Japo Rayna hakufurahishwa kabisa kusikia jina Duffer, Aliamua kuvunga kiaina.
••••••••••••••
Huku kwa Junior na Lunnah!! Siku hiyo Junior aliwahi kuamka mapema Kisha Alielekea Sehemu kukutana na rafiki yake Alikuwa amemhitaji.
Alifika na kusalimiana nae huku akimpatia mkono.
"" Oyoo!! Nakuona Mr. Anord!! Harafu na Wewe uoe bhana!! Miaka inaenda et!!!
"" Hee!! Kuoa juzi tu unatujabisha mjini!! Vipi Lakini Lunnah hajambo!!??"
"" Harafu kuwa na Heshima!! Lunnah!! Lunnah!! Ipo siku utamrushia misitari tena Kama mwanzo ulitupa ndoano ukaibuka na konokono!! Sahizi Sitaki tenaa ashakuwa Mwanamke wangu mwishie urushe Ndoano uuibuke na samaki!!"
"" Sema Jamaa yangu uliniwahi tu, Yule Manzi nilimuibukia kwa Job, acha anikatili vibaya kilichotokea nikuapply mkopo baada ya kunichinjia mbali!! Daaah!! Nilikatwa Mbaya Ila nashukuru nimemaliza kwa Sasa imekuwa ni mwezi Jana TU!! Ila Lunnah Ni kisu ujue!!?""
"" Wewe Anord!! Weka Heshima basiii!! Tafuta Maada nyingine!! Vipi mzigo wangu uko wapi!!?"
"" Nifuate basii kwanza!!"
Waliongozana Hadi Sehemu moja Anord Alikuwa amefikia kwenye Hotel moja.
"" Ayaa mzigo wako huu hapa!! Matumizi Ni unachemsha maji ya Moto Dawa kijiko kimoja!! Kutwa Mara tatu!!"
"" Nashukuru Sana!! Nahisi hii Dawa Itamsaidia mke wangu!! Lazima niitwe Baba muda si mrefu!!! Okay kwahiyo waondoka Sahiii!!???"
"" Sahiii Ndio!!' kesho Kazini ndugu!! Naondoka na Ndege ya saa tatu!!""
"" Sawaa!!! Ngoja nikuache make nimewakimbia huko harafu hata ujio wako Lunnah hajui Hilo!!! So tuwasiliane Basi ukifika!!"
"" Sawaa !! Isalimie familia yetu!!!"
"" Familia yetu tenaa!! Nawewe kasalimie familia yako!!"
Junior'' Alifika Hadi Nyumbani nakumkuta Mkewe bado kalala na Naaah'' Aliona asiwasumbue make kulikuwa na mdada wa Kazi Alikuwa akiweka mazingira Safi!!
Na yeye alichukua fyekeo Nakuanza kuslesh mazingira ya Nyumbani!!
Muda kidogo Lunnah Ndio Anaamka alitoka Hadi nje nakumkuta Mmewe akifyeka alimsogelea Hadi Sehemu alipokuwa.
"" Dusky!! Kwanini hujaniamsha lakinii!!!?"
"" Leo Weekend bhana!! Wewe lala unenepe!! Harafu ukue!!!"
"" Ninenepe Mimi Ng'ombe!!??" Kama kukua nishakua toka zamani za kalee!!!"
""Mhuuu!! Ni sawaa!! Njoo umalizie na Wewe nikupime Nguvu!!""
Lunnah alichukua Fyekeo Nakuanza kufyeka zile nyasi mpaka alimaliza na kumfanya Junior abaki mdomo wazi.
"" Daaah!! Dusky!!!!" Sikuamini et Kama waweza hii Kazi!! Ama Kweli Mwenyezi Mungu kanipatia Mwanamke Shupavuu!! Namimi sitamuacha anikimbie at aibiwe na Imlany!!""
"" Ushaanza hivyo!! Twende tukaoge Kwanza!! Tukimaliza Ndio utafute Maada ya kuzungumza!!""
Junior Alichukua Fyekeo huku wakielekea Ndani!! Alimshika mkono Lunnah ambae Alikuwa katangulia, Ilibidi Lunnah ageuke.
"" Dusky!!! Ni Nini tenaa wataka!!?""
"" Unazani ninacho basii!! Sema kila nikizidi kukutizama naona Mungu kanipatia Mwanamke wa tofauti kabisa!! Ila umeanza kunenepa sahii Dusky!!""
"" Dusky!! Jamani una maneno mengi na Wewe!!! Ayaa tangulia na Wewe!!"
"" Mi mwanaume bhana unitangulize uangalie Nini!! Mimi niweke mbele yako uangalie six party sio Kama Wewe ulivyo!!;"
"" Basi Sasa!! Utaongea Hadi bafuni leo!? Wewe tulia uoge Kwanza! Harafu hakikisha unatoka mweupeee!!!"
"" Basi kaniogeshee!!!"
"" Mbaba hivyoo!!!"
"" Angekuwa Imlany!! Si ungefanya!!?"
"" Unatafutaga Ugomvi kumbe!!'' Imlany!! Imlany!! Why asiwe Rayna first girl wako!! Wa uswahilini tenaa anaitwa Mwana!!"
"" Dusky!! Umetosha!! Sitaki kusikia Hilo jinaa!! Harafu Kuna Dawa yako nimeiagiza Tanzania Utakuwa unakunywa!! Kufikia mwezi kesho tutakuwa na mtoto!!!"
'"" Daaah!! Dusky!!! Dawa ya uzazi tenaa???"
"" Kwahiiyo hutaki kuzaa?? Mbona washangaa!!!?""
"" Nimefurahi tu!! Kwani iko wapi??"
"" Kuwa na subira basii nitakupatia!! Harafu Ni chungu Kweli na unakunywa Asubuhi, Mchana na Jioni!!
"" Sawa!! Nitajitahidi kunywa hata Kama Ni chungu!!"
"" Ukishidwa!! Nitakunywesha kwa bunduki!!"
"" Ni sawa tu!!!!"
*************
Ilikuwa Ni siku nyingine tena Lunnah alikuwa amekaa, Alisitushwa na sauti za Watoto wakiwa wanakuja Huku wakilia.
Ilibidi Atoke nje akiwasikiliza. Alimuita mtoto mmoja aliekuwa mkubwa kuliko wenzake.
"" Janee!! Nini kimewakuta!! Nasrah Yuko wapi!??
"" Kachukuliwa na gari!! Watu wamevaa Nguo nyeusi wameondoka nae!!!
"" Wapi wamempelekaa!!??""
"" Huko wameenda!! Huku akisonta kidole chake!!!
Lunnah alichukua simu nakumpiga Junior.
"" Dusky!! Nasrah ametekwa njoo Nyumbani Tafadhari!!
Kisha alikata simu Nakuanza kuzunguka nyumba nzima akimtafuta Nasrah!!
Muda kidogo Junior Alifika Akiwa na wafanyakazi wenzake wanne, Waliulizia jinsi ilivyokuwa baadae mmojawapo alikimbilia kituoni na kwenda kuripoti!!
Utaratibu na upelelezi uliendelea baadae walipata maelezo kutoka kwako jilani alikuwa Ni mama mmoja akiongea.
"" Kama ndio Hiyo gari iliyomchukua Nasrah!! Imekuwa ikija Mara nyingi hapa Nyumbani!! Ikifika inapaki Lakini watu waliomo hawatoki kwenye gari siku zote!! Ila walifika hapa Nakuanza kuongea na simu tu baadae waliondoka!!"
Police walijitahidi kuandika kila kilichoongelewa na kuanza kukitafutia ufumbuzi!!
Huku kwa Lunnah muda wote alibaki akilia Huku akifikilia kelele na vicheko vya Nasrah ukwelii alimzoea Sana nakumfanya Kama mwanae wakumzaa, furaha yake Mara nyingi ilibebwa na Nasrah!!.
Huku Junior naye alikuwa kakaa nje Huku akifikilia jinsi yakufanya Ili ampate Nasrah!! Muda wote alikuwa akimhurumia Sana Mkewe make alijua pengo lake lakutopata mtoto lilibebwa na Nasrah, leo hayupo tena Ni Nini anaenda kufanya!!!!
Alichukua simu yake nakumpigia Imlany ampatie taarifa huenda atapata msaada Zaidi.
"" Bwana Kaka! Habari vipi!!? Aisee kumetokea tatizo hapa Nyumbani!! Ni kwamba Nasrah ametekwa na watu wasiojulikana!!"
"" Yaaani.... Watu!! Wamemteka Nasrah?? Kiaje...? Na Ulikuwa wapi mpaka atekwe!!?""
"" Maswali mengi ya Nini?? Unaniuliza Mimi nilikuwa wapi tenaa?! Nimekupigia kukupa taarifa muulize Mamake!!!..
Kisha Junior alikata simu, Alimfuata Mkewe muda huo alikuwa amekaa chini kasikilia karatasi na kalamu Huku akichora chora sura ya Nasrah Huku akiandika maneno.
"" Utakuwa wapi Mwanangu!!? Je huko ulipo, upo salama!!?""
Junior'' Alifika nakusoma maandishi yaliyoandikwa pale baadae alisogea mbele ya Lunnah!! Kisha alimshika mkono ili asiendelee kuandika tenaa..
"" Dusky!! Hupaswi kuwa mnyonge kiasi hichoo!! Wewe Ni Mwanamke shujaa na Shupavu!! Naamini Mwanetu atarudi TU...... na ulivyomuuliza Mimi kashanijibu kupitia hisia kuwa yupo sawa ila katumisi Sana muda wote anatuita tumfuate!!! Je upo Tayari tuambatane wote tumtafute!!!
Lunnah alisimama nakumpatia mkono mmewe kama Ishara kuwa yupo Tayari kuambatana nae!! Maumivu aliyokuwa nayo ilibidi aegame kifuani kwa mmewe huku akizidi kulia Sana.
Junior'' Alimkumbatia Mkewe, japo na yeye alikuwa na huzuni Sana ilibidi ajikaze kiume.
"" Dusky!! Pole Sana Mkewangu, Lia kwa sauti Huku ukiyaruhusu machozi yako yatililike!! Nipo Tayari kuwa na Wewe katika wakatii huu!!.
...... Itaendeleaa........
Usikose Sehemu ya 08.
SIMULIZI: MAUMIVU JUU YA MAAMUZI. MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 09. 0746638941 'Whatsp'
ANZA NAYO.
Junior'' Alimkumbatia Mkewe, japo na yeye alikuwa na huzuni Sana ilibidi ajikaze kiume.
"" Dusky!! Pole Sana Mkewangu, Lia kwa sauti Huku ukiyaruhusu machozi yako yatililike!! Nipo Tayari kuwa na Wewe katika wakatii huu!!. ENDELEA....
Siku iliyofuata Imlany aliyua Airport na Junior Ndio alienda kumpokea.
"" Hivi Junior!! Waweza hisi Ni kina Nani wamemteka Nasrah!! Make Kuna Siku mama Najma alitumiwa picha zangu na Lunnah harafu mtu huyo alidai mwanae!! Vipi umelifanyia ufumbuzi!!?""
"" Swali hili linanichanganya Sana!! Mpaka nahisi labuda Ancle karudi au Ni Ennah Ndio anamtaka mwanae, Lakini nimefatilia kulikuwa na Tcher wa Nasrah alikuwa akimhitaji Lunnah kimapenzi Kuna Siku wanafunzi wote waliagwa akambakiza Nasrah pekee Ndio Mamake akamfuata huenda akawa anahusika na yeye!!!
"" Huyo Tcher anakaa wapi kwa Sasa!!? Itabidi tumfuatilie Kwanza!! Harafu Kama Ancle Ndio karudi hii itakuwa Shida tenaa!! Wallah!! Nikimpata lazima nitamuua kwa Mambo aliyoyoyafanya atalipa!!"
"" Ngoja tulifanyie ufumbuzi Kwanza!! Make tangu Ancle aondoke Ni Miaka Mitano Sasa hakuna fununu zake tulizozisikia au Ndio alikuwa akijipanga kuja kuharibu tenaa!!!"
"" Usijali Junior!! Mimi Ndio nitasimama kupambana nae!! Siku nikimkamata sitampeleka hata kituoni nitamalizana nae papo hapo!!"
Walifika Hadi Nyumbani nakumkuta mdada wa Kazi akiandaa Chakula. Junior ilibidi amuulize Lunnah atakuwa wapi akawa ameelekezwa nakuingia Hadi chumbani!!
Alimkuta Lunnah Akiwa anakunja Nguo za Nasrah Huku akiongea peke yake.
"" Nasrah Mwanangu!! Naomba leo urudi!! Imekuwa Ni Siku ya pili tangu ukacheze hujarudi Nyumbani tenaa!! Mimi mamako nimekuandalia nguo zako za shule!! Rudi Basi uende shule!!""
Junior Alimuonea Huruma Sana Mkewe, alijua kwa Sasa anawakati mgumu Sana kinachohitajika Ni faraja TU, Alimsogelea Hadi kitandani alipokuwa Mkewe.
"" Dusky!!! Hupaswi kuwa hivyo!! Najua kwasasa unae maumivu!! Unavyobaki unahuzuni na mtoto atakuwa na huzuni huko aliko, hebu ruhusu moyo wako ufunguke uwe na furaha ili na Nasrah awe na furaha huko aliko!! Ukiendelea kulia utakuwa wamfanya mtoto azidi kulia huko aliko!! Njoo Sebuleni Duffer wako anataka akuone!!!"
"" Dusky!!! Duffer' Kaja!!?" Mbona hakusema Kama anakuja!! Ni wewe umempatia taarifa za kupotea kwa Nasrah!!??"
"" Ilibidi nimwambie tu, kwanini hukutaka kumwambia wakati Nasrah Ni Ancle yake!! Kulikuwa na Ulazima wakumpatia taarifa!!!" Vipi hukutaka she!!?""
"" Ukwelii sikutaka ndioo!!!;;"
"" Kwanini!!!?""
"" Kwasababu Nyie hampatani na Imlany!! Kwahiiyo kuja kwake kutakuwa na dosari tenaa!! Je upo Tayari kuvumilia kwa kile kitakachotokea!! Au Mimi nikakae Sehemu nyingine niwaachie mji wewe na Junior!!?""
"" Dusky!!! Sijawahi kuona Mwanamke anaye mkimbia Mmewe kisa anamuogopa mtu!! Kwani wewe hujitambui kuwa Ni mke wa mtu!? Okay ukiona vyema fanya Kama Ni sahihi!!!"
Junior Aliondoka na kuelekea sebuleni alimkuta Imlany Bado akiwaza Mambo mengi sana!! Huku mkononi alishikilia picha ya wazazi wake ilionekana Ni picha ya zamani Sana Wazazi wake walipiga wakiwa na Ancle!!
Junior Alikaa huku akitizama picha aliyokuwa kashikilia Imlany, Alimuomba nakumpatia Kisha alianza kuitizama nayeye baadae aliirudisha.
"" Inaonekana Ancle Alikuwa karibu Sana na familia yenu!! Na babako inaonekana alimuamini Sanaa!! Okay hupaswi kuwaza hivyo Imlany hayo yameshapitwa!! Tutafute namna yakutatua swala hili nisiwe doa tenaa!!!"
"" Nashukuru Sana Junior!! Japo kweli leo Nimeumia Sana !! Na akili tangu inanituma kuwa huyu Ni Ancle TU aliefanya hivi!! Lakini leo nimewakumbuka Wazazi wangu tenaa!!!"
Junior'' Alitizama kwenye zile picha zingine zilikuwa zipo Mezani, Alianza kuzikagua!! Ndipo anakutana na picha ya Lunnah na Imlany za utotoni pamoja na kile kitambulisho Cha familia ya Lunnah akiwepo na Imlany!!
Alizidi kuzitazama baadae alizirudisha mezani huku akiwa mwenye hofu Sana!!
"" Hivi Ni kweli Imlany itakuwa Ni ngumu kumsahau Lunnah!! Kama Ana picha nyingi za Kumbukumbu kiasi kile anaweza kumsahau kwelii???"
Baadae Imlany Ndio anagundua kuwa Junior amezipitia zile picha, mpaka zimemfanya abadilike na kuwa moodless.
"" Junior!!! Mbona umekuwa kimya kiasi hichoo!! Umeziona picha za Lunnah!!? Najua zimekufedhehesha Sana Lakini nimeamua leo nimletee akae nazo yeye!! Kama ataamua kuzitunza Kama Kumbukumbu Ni yeye!! Ila Mimi nimekuwa nikiumia Sana kila Mara ninapozitizama!! Kuzichoma Ndio siwezi naona Kama nitakuwa nakosea pakubwa!! Ila leo nataka nimkabidhi Lunnah!!!"
"" Walaa!! Sijawaza hivyooo!! Ila kinachoniuma Zaidi, najua Lunnah akiziona picha hizi atakumbuka Wazazi wake harafu naona kuna picha ya shangazi yake!! Na hii itamuuma Sana!!!"
"" Najua kuumia kwakee!! Itamuongezea ujasiri katika maisha yake!! Itafikia hatua atazoea tu, kuwa Ni Tukio lilolowahi tokea Lakini halipo kwasasa!!"
Junior ilibidi arudi Tena ndani kumfuata Lunnah kwa Mara nyingine baada ya kuona hatokei, Alifika nakumkuta Lunnah kalala kwenye kitanda Cha Nasrah Huku kajifunika shuka la Naaah''
Junior mpaka nguvu zilimuishia aliwaza atumie sauti ya juu kumuelekeza mkewe Lakini hakusikia tu, ilibidi asogee taratibu Hadi kitandani nakumfunua shuka Mkewe.
"" Dusky!!! Najua una maumivu!! Sasa utakaa hivi Hadi linii!! Nikumbembeoeze kiasi gani unielewe Mimi!! Mpaka utanifanya nishidwe kufanya kazi!! Mimi pia nahitaji wewe hapo unitie nguvu niweze kusimamia swala hili!! Hivi wazani nitaondokaje Mimi kwenda kumtafuta Nasrah nikuache wewe katika khari hii!!?""
Lunnah alikuwa kimya akimsikiliza Junior, maneno yakawa yamemkaa kwa kichwa, Alisimama na kumkumbatia mmewe huku akimuahidi hatomfanya awaze kwaajili yake.
"" Nisamehe Sana Dusky!! Sitakuwa mnyonge tena!! Mpaka nikakufanya uniwazie Mimi!! Now I'm strong!!"
"" Kweli Dusky!!! Make nilikosa Raha kwaajili yako!! Mpaka ikanipelekea nitamani nikupeleke Sehemu ukakae huko huenda ungerudi umekuwa sawa!!!"
'"" Ooh!!! Harafu wewe ungebaki na Nani!!? Laaah!! Hivyo tungeenda wote!! Nani yupo radhi aondoke harafu amuache Mmewe!!! Since hata wewe uliniambia hivyo nitaondokaje niache ubavu wangu!!!"
"" Weeee!!! Mwanamke Hana ubavu hata hivyooo!! " Wewe Ndio ulitoka ubavuni kwangu!!! Uwe wasoma maandiko bhana!!!"
Baadae walitoka wameongozana Hadi sebuleni Huku wakiwa wameshikana mikono, Imlany aliona Lakini akavunga Kama haoni...
"" Nimekuletea Duffer wako!!! Naona kachanganyikiwa hivi punde ataweuka!! Make si kwa vituko hivyo!!""
"" Aah!! Dusky!!! Mwahego Duffer Mimi nipo mzima!! Sijawahi hata kuugua kichaa!! Wala kung'atwa na mbwa kichaa!!!"
Maneno ya Lunnah yaliwafanya wacheke wote.
"" Duffer!!! Sorry naona umefika muda mrefu sema na Mimi nilikuwa nafanya usafi chumbani Kwanza!!! Ila samahani kwakukuweka Sebuleni peke yako!!""
"" Maneno mengi kaingia hapa!!! Kaleta kelele Sasa!!!"
Junior aliongea.
"" Ayaa Bhanaa!! Ngoja niwaache Mimi naingia Jikoni Kwanza!! Nawaacha mbaki mkitizamana
Huku Lunnah aliendelea kuandaa Chakula huku wakisaidiana na mdada wa kazi baadae Chakula kilikuwa Tayari, walipeleka mezani nakuanza kula.
Ukimya ulitanda kila mtu Alikuwa kimya akiendelea kula, Lakini kwa Imlany alikuwa akimtazama Lunnah kwa jicho lakuibia ibia!! Lunnah nayeye Alikuwa akiibia ibia kumtizama Imlany!!!
Baadae Junior'' Aliinua kichwa nakumkuta Lunnah akimtazama Imlany, alipomtaza Imlany aliona yupo busy na sahani yake!! Akawa amegundua kitu, Akaamua kumsitua Lunnah.
"" Dusky!!! Mbona haulii!!?"
Lunnah Alisituka baada ya kuitwa Dusky!! Make akili yake ilikuwa mbali Sana, mpaka ikapelekea kupaliwa na chakula!!
Imlany Aliwahi nakumpatia Maji.
"" Pole Duffer!! Kuwa makini!! Umeumia ee!!??""
Lunnah alibaki Kimya huku akimtizama Junior alikuwa akimpiga jicho Hilo, baada ya kuona Imlany kamshika mkono Huku akimpatia Maji, ilibidi amjibu kwa hofu...
"" Aaa.. Aah! Sijaumia Duffer!! Nipo okay!!!" Huku akichukua Haraka Maji nakunywa kwa pupa Huku yakimwagika nakulowanisha kifua chake!!!"
Imlany alibaki akitoa macho kuangalia kifuani kwa Lunnah, make hakuvaa kitu chochote Zaidi ya t-shirt TU, Akili take ilimfanya awaze mbali Sana huku akijisemea
"" Daaah!! Duffer wangu!! Ni bado Ni kigori kabisa' kifua chake bado sasita kabisaa!! Hakika urembo wako haujawahi futika kichwani mwangu siku zote!!!"
Muda huo Junior pia alimtizama kifuani Mkewe akaona kila kitu maji yalivyolowanisha nguo yake!! Aliamua kumtoa kijanja.
""Dusky!! Kabadilishe hiyo Nguo!! Huoni baridi!!! Hatutaki kuanza kuuguza mtu hapa!!
Lunnah Aliinuka huku jicho akimtizama Imlany, ambae muda huo Imlany alikuwa kakaza macho yake akitizama kifua Cha Lunnah huku akilamba Midomo yake!!.
Lunnah Alisituka nakuweka mikono yake kifuani akijaribu kujificha, Alikimbilia Chumbani nakufika kukaa kitandani kwanza...
"" Yaaani Duffer!! Sijui yupoje!! Haoni hata aibu kunitizama kiasi hicho, harafu namwangalia ananikonyeza huku akiramba Midomo yake!!! Hii itakuwa balaa kwangu!!!"
Baadae Lunnah alibadili nguo nakurudi sebuleni!! Lakini hakumkuta Imlany mezani aliamua kumuuliza Mmewe.
"" Dusky!!! Vipi Duffer kashiba!!?""
"" Kama hayupo mezani na ulimuacha anakula nahisi kashiba Ndio!!!"
"" Mhuuu!!! Dusky!!!!'' Ndio wanijibu hivyo kweli!! Si useme Ndio, au Hapana!!! Waanza maelezo mengi!! Na Dada nae kashiba!!!"
"" Una maswali wewe!!! Humuoni harafu bado wauuliza!!! Ayaa wameshiba wote!!!"
Lunnah hakupenda majibu ya Junior, alijua kabisa' atakuwa amekwazika!! Aliamua kumsogelea Kisha alimshika mkono mmoja shingoni Kisha alimtizama Usoni huku mkono mmoja alichukua Nyama nakuiweka mdomoni kwake huku Akimwambia asogeze kinywa chake ale.
"" Dusky!! Umekataa kula, Basi na Mimi sikuachii mpaka watu watukute hivi hivi tumekaa!! Nitakuachia ukiila hii nyama!!"
Junior alibaki akimtizama Lunnah, huku akiwa amekereka, "" yaaani mtoto msumbufu huyu!! Muda huo huo Imlany alikuwa akiongea na simu akiingia Ndani!! Kumbe kutoka kwake Ni alipigiwa simu ya faragha akawa ametoka nje kuongea.
Huku kwa Junior aliona bado Lunnah!! Kagoma kumuachia!! Ilibidi asogeze kinywa chake ili achukue ile Nyama!! Kumbe alichelewa tayari Imlany alikuwa kafika Nakuona kila kitu.
Muda huo Lunnah Ndio anaachia cheko huku akimchekea Junior kuwa kamshinda, Junior na yeye ilibidi Acheke huku akimkoakoa kichwani!! Ikawa Kama mchezo..
Imlany aliamua kuwasitua kwa kukohoa, Ikabidi wote wageuke kwa ile aibu Lunnah Alitoka nduki Hadi chumbani kwakee.
"" Aah!! Samahanii nimewaingilia kumbee!!
'" Aah!! Kawaida tu, usijali walaa!!!"
"" Inaonekana!! Kwasasa Lunnah anafurahia kampani yako!!?
"" Kawaida tu!! Sema Lunnah Ni mtu anapenda furaha Sana!! Harafu utani utani anapenda Kweli!!!"
"" Sawaa!! Nashukuru kwa kuwa umeshamjua Duffer Ni kipi hapendi na kipi anapenda!! Ngoja nipunge upepo nje kwanza..
,,, Itaendeleaa.......
Usikose Sehemu ya 10.
Like, comments zenu sizioni!! Mpaka naanza boekaa tenaa🙄😒😕🙃☹️☹️ Ofa!! Ofa!! Nataka comments moja nzuri ibebe maneno ya Imlany na Lunnah!
Kuna zawadi ya kipande Cha 10!! Atakaefaulu.📜🖊️📝 Nitamuita What's up apete zawadi yake!!
Ahsante kwa kuwa mdau wa Lugembe Blog