SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 22. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Muda kidogo Doctor alifika,
Lunnah alipomuona TU alikimbia kuuliza khari ya mgonjwa wake, lakini Doctor alitoa majibu huku akitikisa kichwa... ENDELEA..
Lunnah alimsogelea Doctor na kumkaba!!
"" Duffer kufanya Nini?? Niambie tu usinifiche kitu Duffer kapatwa na Nini??
Muda kidogo Junior alikuwa tayari amefika alifika nakumchukua Lunnah!! Kisha aliondoka nae.
"" Dusky!! Duffer anaendelea vizuri keanini unakuwa na hofu kiasi hichoo? Muache Doctor afanye Kazi yake!!"
Lunnah Ilibidi arudi na kuketi, Lakini simu yake ilikuwa inaita, alichukua nakuangalia anayepiga Ni Nani Alikuwa Ni Rayna!!
"" Lunnah!! Mpo wodi namba ngapi??
"" Inamaana ushafika huku kwetu!!
"" Ndio!! Ndio nafika TU!!"
Lunnah alimuelekeza sehemu alipo, muda huo Doctor nayeye alifika na kuwaruhusu waingie kumuona mgonjwa wao, Alikuwa akiendelea vizuri!!!
Rayna na Lunnah wote macho Yao yalikuwa kwa Imlany TU, Rayna aliwahi nakukaa kwenye kitanda huku akizidi kumpa pole mmewe mtarajiwa.
Lunnah aliona muda huo Hana nafasi Tena kwa Imlany, aliamua kuondoka nakuelekea nje, Lakini kabla hajafika nje Junior alimrudisha, kumbe Alikuwa kaja muda mrefu akiangalia Kila kitu kilichokuwa kikiendelea.
"" Dusky!! Hupaswi kuondoka!! Duffer wako anakuhitaji Wewe!!""
Lunnah Ndio anageuka, anashangaa kumuona Imlany yupo nyuma yake Alikuwa akimfuata, huku kwa Rayna alibaki kakaa kitandani huku be akizidi kutizama bwana harusi wake, atachagua yupi??
Imlany alimsogelea Lunnah, nakumkumbatia huku akizidi kulia.
""Kwasasa nimekumbuka Kila kitu!! Leo Lunnah wa utotoni nimempata!! Kwasasa Sitaki nikupoteze tenaa!!!""
Rayna aliona mazoea yamezidi alisogea nakumtoa mme wake.
"" My!! Usiwaze Sana kwasasa niwakati wako Wewe kuwa na furaha kwasasa unae Duffer wako wa utotoni, na hii itakuwa vizuri Kama Duffer atashuhudia Ndoa yetu!! Hakika Ni surprise ya Nguvu!! Njoo kwanza upumunzike!!!"
Lunnah alikuwa akishuhudia Upendo wa Rayna kwa Imlany!! Alijua nikiasi gani Rayna anampenda Duffer!! Aliamua kuondoka nakuelekea nje, Junior aliamua kuondoka na yeye nakuwaacha mme na mke wayajenge.
Alimchukua Lunnah nakumpeleka hadi nyumbani kwake, Alimfikisha nakumsihi aendelee kuandaa chakula Cha jioni Kisha ariludi Hadi hospital kumchukua Imlany na Rayna.
Huku Nyumbani Lunnah!! Alikuwa tayari kamaliza kuandaa chakula, Aliandaa chumba Cha wageni Kisha aliwaandalia na maji yakuoga, Baadae wageni wake walifika nakuwapatia maji Baadae walikaa wakiendelea kula.
Imlany alionekana yupo na furaha Sana, Lakini kwa Rayna Alikuwa kambana hamuachii hata nafasi yakumsikiliza Lunnah, huku kwa Junior aliamua kumpa ushirikiano Lunnah ikawa Ni double double!!
Huku kwa Imlany muda wote hakufurahishwa kabisa ukaribu kwa Junior kwa Lunnah!! Aliamua kutafuta sababu!!
"" Naona Kila mtu yupo Busy!! Lakini leo Ni siku yangu kufurahi na Duffer wangu kwa muda ambao tulipotezana kwahiiyo sisi Ndio washereheshaji hapa!! Nataka Duffer wangu Lunnah njoo ukae karibu yangu sie tu marafiki wa siku nyingi!! Inakuwaje Duffer akae mbali na Mimi!!!""
Basi wote walifurahi kwa maneno ya Imlany, Lunnah alihama nakukaa kwa Duffer Basi utani wa hapa na pale uliendelea!! Mpaka ukafikia wakati wakulala.
Junior aliaga nakuondoka, Lunnah nayeye Aliingia chumbani kwake, alijitupia hivyoo hivyo na Nguo zake huku akiwaza Mambo mengi ukijumlisha na wivu wa Duffer kupumzika na Rayna.
Kulipopambanzuka Lunnah aliamka mapema nakuandaa kifungua kinywa!! Huku kwa Rayna siku hiyo ilikuwa Ni siku ya tofauti kabisa kwani muda wote Imlany hakumpa nafasi yakupumnzika nae!!
Lakini kwa Imlany Baada yakuamka aliona kitendo alichofanya na Rayna Kama kamsaliti Lunnah, Aliamka asubuhi huku akiwa na taulo lake begani, Alimkuta Lunnah akiwa Jikoni alifika nakuegama ukutani akizidi kumtizama Lunnah Baadae aliamua kuondoka huku akiongea mwenyewe.
'" Ancle!! Sitakuja nikusamehe katika maisha yangu!! Kwanini ulinitenga na Lunnah!! Kwakunipotezea Kumbukumbu zangu!! Najua kwasasa Lunnah anapitia changamoto nyingi Sana juu yangu ila anavumilia TU!!!"
Lunnah aliendelea kupika baadae alimaliza kuandaa Kisha alimuachia Mdada wa Kazi Kisha alichukua usafiri nakuelekea kazini, baada ya kufika ofsini kwake kwa maumivu aliyokuwa nayo alijifungia ofsini kwake Nakuanza kulia Sana.
"" Duffer!!! Kwasasa natafuta njia yakuanza kukusahau!! Sawaa Kumbukumbu zako zimerudi na nafasi ya UDuffer wetu wataka iimalike Zaidi Lakini kumbuka nafasi ya Duffer imeshazaa mahusiano ila kwasasa sihitaji kuharibu mahusiano yenu nahitaji nikutakie Kila la kheri kwenye Ndoa yako, Acha nikusahau tu japo moyo wangu nitauondoa kwako ukiwa Ni mbichi uliozama kwenye Love ila nitajitahidi nizuie hisia zangu kwako!!!"
Muda kidogo Ennah alikuwa akiingia ofsini kwa Lunnah, alimkuta Lunnah akiwa katika Simanzi. Alimsogelea nakuchukua kitambaa chake Kisha alimfuta.
Lunnah aliwahi kamshika mkono Kisha kile kitambaa alikitupa chini nakuondoka, Ennah Aliangalia kwenye mkoba wake nakutoa karatasi yenye maandishi nakuweka Mezani kwa Lunnah, Kisha aliondoka.
Lunnah baadae alirudi ofisini kwake, Alikuta Kuna karatasi nyeupe yenye maandishi aliamua kuyasoma!!
"" Lunnah!!! Naondoka katika maisha yako hautaniona tena!! Ukwelii tangu umekuja nyumbani kwetu ulikuwa unaroho ya tofauti Sana!! Namimi Sina chakukulipa!! Ila nataka nikuachie mwanangu Naaah'' awe kampani yako muda wote!! Najua Bila Wewe mwanangu asingekuwepo, kwasasa Naenda mbali kuishi na baba tayari nimeshampata!! Nikuahidi tu sitarudi kwenye maisha yako na baba yangu hatorudi kwenye maisha yako na mama tayari tumeshamtoa kwa kumtorosha magereza kwasasa tunaenda kuanza maisha mengine kabisa, Najua Muda wote mlitaka ushahidi utoke kwa Ancle!!
Hapa Baba kanipatia frash yenye hatima ya maisha yenu Wewe na Imlany ukwelii wote upo humo!! Kuhusu Naah!! naomba kwasasa umfanye awe mwanao baba yake utachagua Wewe mwenyewe kama Ni Duffer au Dusky!! kwasasa niseme TU yupo mikononi mwako!! Nimemtoa shule utamkuta Nyumbani,, kwani hata hivyo alikumisi Sana pindi yupo shuleni!!!
Zaidi naunga mkono kumtakia Kila la kheri Duffer wako Imlany!! Kwenye Ndoa yake ikawe yenye baraka nawewe simama kwaujasiri tumtakie Kila la kheri "My Duffer"" Pia usimsahau Dusky wako Junior!! Hata yeye Ni Dusky Kama Duffer!!"
Lunnah alimaliza kusoma Kisha alitoka nje huku akimtafuta Ennah Kama atakuwa Badoo yupo Lakini alichelewa!! Alirudi ofsini kwake nakuchukua ufunguo wa gari!! Alitupa jicho Nakuona kile kitambaa alichompatia Ennah akimfutia machozi, Alikiokota nakukitizama vizuri Ndio anagundua pembezoni mwa kitambaa Ndio Kuna ile frash!!
Alijiona Ni mjinga Sana kwanini hakumpatia Ennah muda wakuongea nae huenda angemwambia Mambo mengi!! Alitoka hapo nakuelekea Hadi Nyumbani alifika huku akionekana kalegea Sana!!
Muda huo Nasrah!! Baada yakusikia sauti yake Alikuja akikimbia akiita .
"" Mama!!! Mama!!! Nimekumisi!! Leo nimekuletea Chocolate hii hapa!!!"
Lunnah aligeuka nakumbeba Nasra!! Kisha aliingia nae chumbani kwake, Imlany alimuwahi nakuingia nae Hadi chumbani.
"" Duffer!! Umepatwa na Nini Lakini!! Hebu niweke wazi!! Nishirikishe basi!!!"
Lunnah alimpatia pesa Nasrah!! Kisha alimuagiza akanunue chocolate nyingine. Nasrah Alitoka mbio Hadi kwa Rayna!! Alifika akimuita.....
"" Ma mdogo!!! Twende tukanunue 🍫 chocolate!!
Rayna Alimchukua Nasrah nakuondoka nae Hadi madukani.
Huku kwa Lunnah alichukua ile bahasha yenye barua Kisha alimkabizi Imlany asome!!
Imlany alipomaliza kusoma alibaki akifoka.
""" Ancle najua hautaenda sehemu yoyote hii Nchi Ni ndogo Sana!!! Na hapa Tanzania Ndio ulizaliwa!! Naamini nitakupatia tu!! Labda ufe Lakini historia yako itabaki tu!! Matendo yako na tabia zako kamwe hazitafutika machoni kwangu!! Ancle nakuchukua Sanaa!!!""
Muda huo Imlany aliendelea kutoa lawama zote!! Rayna na yeye alikuwa amefika akiwa na Nasrah!! Alimsogelea mmewe angalau amtie moyo.
Alipomgusa tu!! Imlany alikuwa kawaka Kama swala kaona maadui muda wote huinua pembe zake akisubili kupigana. Jibu alilolitoa liliwafanya wote wabaki midomo wazi.
"" Niache na Wewe!!! Tena kuanzia leo tarehe ya Ndoa!! Isogezwe!! Kama Ni ngumu Ndoa iailishwe tu!!!"
Rayna alijisikia vibaya katika maisha yake hakutegemea Kama siku moja atajibiwa hivyo, Aliondoka Mdogo Mdogo Hadi chumbani kwakee alifika nakuivua ile Pete ya uchumba nakuiweka Mezani, Kisha aliangua ukunga ambao hautaweza kutokea.
Lunnah aliamua kuondoka na kwendaa kumuona Rayna chumbani kwakee!!
"" Rayna hupaswi kuvua hiyo Pete!! Duffer wangu anasumbuliwa na hasira TU!! Wewe niachie Mimi, muda wote huwa ananisikiliza!! So kuwa mpole futa machozi usilie tenaaa, Furaha yangu nikumuona Duffer wangu anafikia Ndoto yake!! Na hii Ndio furaha ya Duffer na Duffer wake, siku zote huwa nikiunganishi.
Lunnah alimwacha Rayna kutulia, Aliamua amtafute Imlany aongeee nae.
Alimkuta Imlany kajifungia kwenye chumba Cha Lunnah, hataki kutoka alifika nakumgongea Mlango.
"" Sorry Duffer!! Hata Mimi Duffer wako unanichukia hutaki tuongee!! Wazani hiyo furaha ya Duffer utaipataje pasipokuunganisha nyoyo mbili!!"
"" Duffer!!! Sitaki hata Wewe kukuona!! Naomba mniache peke yangu leo?? Sitamani kuwa na mtu karibu yangu!!""
"" Duffer!! Muda wote umekuwa ukingoja siku moja umjue Lunnah wa utotoni, kwanini leo Umempata harafu unamtenga!!! Je siku ukioa Ndio Utamkumbuka huyu Duffer!!! Uliyempenda kipindi kile!! Kwani wazani yeye Hana hisia juu yako!!??"
"" Muda wote Duffer wako!! Najitoa ili Wewe ubaki na furaha TU!! Nafanya yote ili uwe na amani!! Huwazii Ni Nguvu gani natumia kwaajili yako ili uwe na furaha!! Nikikamilisha swala langu!! Nitakuacha ubakie na Rayna make huyo Ndio atakuwa Duffer wako mumiliki wa moyo wako!!!""
Imlany alikuwa akimsikiliza jinsi Lunnah alivyokuwa akiongea kwa hisia Baada yakuona kimya kimezidi, alifungua Mlango, alishangaa baada yakufungua Mlango nakumkuta Lunnah akichora ukutani nakuandika maneno kadhaa akiyarudiarudia. "" IKAWE KHERI MY DUFFER 💓.
...... Itaendeleaa.....
Usikose sehemu ya 23"
Daaah!! So painful!! Lunnah anapitia wakati mgumu, mtie moyoo.
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 23. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Imlany alikuwa akimsikiliza jinsi Lunnah alivyokuwa akiongea kwa hisia Baada yakuona kimya kimezidi, alifungua Mlango, alishangaa baada yakufungua Mlango nakumkuta Lunnah akichora ukutani nakuandika maneno kadhaa akiyarudiarudia. "" IKAWE KHERI MY DUFFER 💓. ENDELEA.....
Imlany Aliamua kumshika mkono Lunnah, Kisha Aliingia nae Ndani nakumkalisha kitandani nakuongea nae.
"" Duffer!!! Unae furaha Duffer wako kuoa??""
Lunnah alishidwa amjibu Nini Imlany!! Lakini alitikisa kichwa akitoa ishara ya kukubali!!
"" Sawaa!!! Najua unaumia Sana!! Kwasasa Sina chaguo lingine na Hapa process zinaendelea kinachotakiwa nikukamilisha swala letu mapema ila kwangu Bado unanafasi ya Duffer!!! Nitakuheshimu kwa Kila kitu!! Na nitakuwa kipaumbele katika Mambo yako!!! Hata Mimi Moyo wangu unaumia Sanaa Duffer!! But Sina namna!!!"
Lunnah Aliamua kumkumbatia TU Huku akizidi kulia!! Alimsihi Imlany akaongee na Rayna make yupo katika wakati mgumu.
Waliongozana Hadi chumbani kwa Rayna, walimkuta Rayna kakaa kitandani Huku mkononi alikuwa kashikilia ile Pete ya uchumba akichezea chezea.
Lunnah alisogea nakumshika mkono.
"" Rayna!! Kwasasa hupaswi kulia tena!! Hapa unae Imlany!! Leo namkabizi kwako kwa Mara nyingine kabisa! Na nafasi hii Mimi nasimama Kama Duffer wake Imlany!! Kwasasa Imlany ndio mmeo!! Namimi nipo katikati yenu kuhakikisha Mnakuwa na furaha siku zote!! Kwasasa nyie mumekuwa Mwili mmoja na wiki kesho Kila kitu kitawekwa wazi Kila mtu atambue kwa Sasa Ni wanandoa!!""
Lunnah alimshika mkono Duffer wake, Kisha aliushika mkono wa Rayna nakuwaunganisha pamoja!! Kisha akiwatizama wote Huku akiachia tabasamu lake bashasha, na wao wakampatia tabasamu la pamoja. Kisha aliwakumbatia kwa pamoja Huku akisindikiza maneno mfuatano.
"" Furaha ya Duffer na Duffer wake!! Siku zote Nikuona anafikia hatima yake!! Zaidi niwatakie Kila la kheri!! Na maandalizi mema ya Ndoa!! Kwasasa niwaache mkiyajenga kwanza Mimi nipo nje kidogo!!""
Lunnah aliondoka nakuwaacha wawili wapendanao, waliendelea kujadili Mambo ya harusi, Lakini kwa Imlany hakili yake ilikuwa bado ipo mbali alikuwa akiwaza Mambo mengi yaliyopita nyuma!! Japo Aliamua kutoa ushirikiano kwa Rayna kigumukigumu.
Huku kwa Lunnah alichukua usafiri na kwendaa nje kidogo ya mji!! Siku hiyo Aliamua kurudi Kijijini kwenda kuzuru kwenye makaburi ya Wazazi wake.
Alifika kwenye Kaburi la Babake nakufanya ibaada Huku akimtaka radhi.
"" Baba!! Najua huko uliko hisia zako zote zipo kwa mwanao!! Mimi Ni mtoto wa pekee kwenu!! Najua Baba!! Ulinipenda Sana!!! Hukutaka hata siku moja unione Sina furaha na Ndio maana nimekuja kwako ili unipe furaha!!!"
"" Na swali moja tu, nataka nikuulize?! " Kwanini Baba uliamua kunitenga na Ibrahim japo kwasasa anaitwa Imlany!! Furaha uliyokuwa ukinipatia kwasasa alikuwa akinipatia Imlany!! Shida nilijisahau katika urafiki wetu tukaanzisha Uhusiano japo nilijua kabisa Imlany Ana mtu wake!! Kwasasa Duffer wangu anaenda Kuoa huoni nakosa furaha!!?? Njia gani nitumie ili nisiwe na huzuni tenaa Duffer wangu kuoa!!?? Japo najikaza Lakini moyo wangu unamaumivu yasiyoonekana!! Nampenda Duffer!! Kwasasa nahitaji kumpenda Kama rafiki tu, pasipo kuangalia kipi kimezaliwa ndani yake!!! Sihitaji niwe kikwazo kwa Rayna au kwa Duffer wangu!!! Je nitatumia njia gani??""
Lunnah alizidi kulalamika kwenye Kaburi la Babake, Baadae Aliamua kusogea kwenye Kaburi la mamake tenaa;
"" Mamaa!!! Na Wewe bado Nitazidi kukulaumu!! Hata Kama ulitaka kunifunulia nijue wabaya wetu!! Hukupaswa kula ile mihogo ili khari ulijua Ina sumu!! Usingefanya hivyoo Mimi leo nisingefika Hapa kaburini kwako!! Haya yote yangejulikana tu, hata hivyo namimi nilikuwa bado nazidi kukua ningetafuta ufumbuzi!! Hivi unajua Ibrahim wa utotoni kwasasa Ni mtu mzima na anaitwa Imlany!!' ndio nmekutana nae tena!! Hivi wajua Baada ya kifo chako Ni maisha gani nimeyapitia??""
Muda kidogo Alisitushwa na simu yake ilikuwa ikiita, alitazama mtu aliyekuwa akimpigia Ni Duffer wake, Alipokea simu nakuiweka pembeni Kisha aliendelea kutoa lawama kwa Mamake.
"" Mamaa!! Huyu aliyenipigia simu Ndio Ibrahim!! Nayeye anataka akusalimie!! Naona Kakaa huko kamumisi Duffer wake kaamua kupiga!! Kumbe kwa bahati Nzuri hata Wewe ulitaka akusalimie!!!" Ayaaa Duffer!! Msalimie mama!!!""
Huku kwa Imlany alikuwa akisikiliza maongezi yale!! Baadae alikata simu nakuchukua usafiri kuelekea Sehemu lunnah alipo.
"" Nilijua tu, Duffer!! Bado unae maumivu!! tenaaa ningeshangaa at Wewe Ndio wakuongea maneno hayo ukiwa na furaha kiasi hicho!! Nimekaa na Wewe muda mrefu kwahiiyo nakujua vizuri!! Ukiwa una huzuni huwa unalilia moyoni baadae unatatuta Sehemu ya kwendaa kumalizia maumivu yako!!; Kwanini Sasa unaenda kusumbua waliolala??!""
Huku kwa Lunnah Baada ya kumaliza hasira zake!! Alirudi Hadi kwenye nyumba Yao waliokuwa wakiishi zamani!! Kulikuwa na wapangaji kwa nyumba za pembeni Lakini nyumba kubwa ilikuwa imefugwa, alichukua funguo na kufungua, Kisha alichukua ile frash nakutaka kuiangalia ikiwa Ni mazingira tulivu.
Ile kachomeka tu aanze kuangalia alishangaa kumuona Imlany tayari kafika Ndani, Alikimbilia Remote ili azime Lakini Imlany alimuwahi nakuchukua ile remote, Kisha alimgeukia;
"" Duffer!! Hukupaswa ufanye haya yote!! Kwanini Sasa! Uliniacha!?? Kwanini hutaki kushilikiana na Duffer wako?? Najua umechukua maamuzi Baada yakushidwa kucontrol hasira zako!! Kama ulikuwa na maumivu ulipaswa unishilikishe!!
Ahadi yangu Mimi na Wewe bado nakumbuka; " Maumivu ya Duffer Ni maumivu ya Duffer mwenzake!! Iweje Wewe wataka kubeba maumivu ya Duffer wawili?? Hata mie Nina Maumivu juu yako?? Wazani sioni moyo wako unavyopitia maumivu!!??
Wewe hujui tu Mimi nacontrol vipi maumivu yangu juu yako!!? Hata mie Hisia zangu kwako bado zipo haii!! Muda mwingine najiona nipo Kama mdudu anaekaa chooni akimeng'enya kinyesi!! Muda wote atakula nakushiba ila hawezi kutoka akatafuta chakula kingine ili khari anatambua Kuna mtu anaemletea chakula Kila siku!! Hata akiishidwa kutimiza siku hiyoo!! haiwezi kupita wiki hajaja kumchungulia! Mtu mwenyewe ninaemtegemea Ndio Wewe hapo!! Nipate kula na niendelee kuishi!!""
Lunnah alibaki akimtizama tu Imlany kwa mashairi yaliyojaa mizani na vina, Aliamua amjibu.
"" Duffer wangu habadiliki!! Maneno yake Ni Yale Yale!! Kama ya Ibrahim wa utotoni alipokuwa TU akawa Ni Ibrahim wa kwenye kitabu Cha Gloomy Sunday!! leo hii Ndio naona alitoka kwenye kile kitabu Ndio naishi nae Live!! Okay!! Nini ujio wako Huku!! Muda wote umemuacha bi harusi pekee wataka aibiwe??"
"" Rayna!!! Hana wivu Kama wa Duffer!! Yeye wivu wake huwa anauonesha hapo hapo pasipo kuuoneshea pembeni!! Ila huyu Duffer Ndio kazi yake kuficha!! Harafu Ndio aende pembeni kulia bila kujiongeza Mimi Kama Duffer!! Kuna siku nitamkuta kazimaa!!"
"" Ya kwako hayo!! Mbona sijazima si nimelia uchungu ukaisha Hapa nimerejesha furaha yangu!; Moyo wangu kwasasa unaamani, Okay!! Tuangalie kwa pamoja!! Frash itupe ukweli kuhusu Ancle wa Imlany!!?""
"" Umeanza et Ancle wa Imlany!! Wakati Ancle wako wa damu!! Hadi kamsaidia Shangazi yako, wakadumishe furaha pamoja na mwanae Ennah!! Wewe si umeachiwa mbegu ya Ukoo wenye hila, Ayaaa naona umenuna umeanza kubinua Midomo yako!! Tuangalie haraka Naona Rayna na Nasrah wanatutafuta huko!! Mwishowe wafike Duffer wangu aanze kuugumia moyoni!! Akanitoroka tenaa!! Nikawa nimekosa tena furaha yake kwangu!!"
Lunnah aliona Imlany anazidi kuongea, Alichukua mto na kumrushia,
"" Ukaage na kimya!! Ani Duffer ukipewa nafasi ya kuongea!! Kama Ni cherehani TU haifiki Wewe Ni ile cherehani ya zigzag!!""
"" Umeanza utani Sasa!! At cherehani tenaaa!! Ila Ni vizuri kucheka na Duffer wangu make Naona kwenda kufikia Mwisho kutizama Hapa!! Naona Kila mtu atakuwa na taswira yake!! Teena kwakuwa Duffer ashakuwa Ni mtu wa minuno Daah!! Hata nafasi yakukaa na Duffer kwasasa siipati sijui Shida Harusi!!! Hata hivyo sioi mke mmoja nitakuwa nae Mwingine ambae ni Duffer!!!"
""Aaah aaah!! Duffer Unauzi bhanaaa!! Kaa kimya basiiiii!!!!!"
Waliweka frash Nakuanza kuangalia mkanda mzima ilivyokuwa!!......
Katika flash ile alionekana Ni Ancle alikuwa akielezea maisha yake kwa ujumla!!
Siku za nyuma Ancle alikuwa Ni miongoni mwa familia ya wazazi wake na Imlany, Alikuwa Ni Mdogo wake na babake na Imlany.
Babake Imlany alikuwa akifanya Kazi za madini hapo mwanzo akiwa Akishilikiana na babake Lunnah!; Make walikuwa Ni marafiki wa muda mrefu hata shule walisoma wote na umri wao ulikuwa haupishani Sana Ni Kama miaka miwili walitofautiana.
Katika uwekezaji wao waliamua kumuweka Ancle ambae Ni Mdogo wake na babake Imlany Baada yakutoka kwenye utafutaji wake maisha yakawa yamemgomea akaamua kukimbilia kwa kakake angalau apate msaada.
Babake na Imlany(Ibrahim) Aliamua kumbeba Mdogo wake, yaani Ancle nakumshilikisha babake na Lunnah!! Wakawa wamekubaliana kumuweka kwenye kampuni!!
Miaka ikasogea, wakawa wamefanikiwa kiasi kikubwa chakukusanya pesa!! Walikaa nakujadili mradi mwingine wakufungua ofisi ya mkopo, Huku ofisi Yao waliipatia jina la AHMAD & IMLANY CREDIT LTD. Waliandika jina Hilo wakimaanisha Ni kampuni lenye Nguvu ya Watu wawili ila wazamini wao wakubwa walikuwa wakizaminiwa na BancABC!!
Muda huo Mamake na Imlany(Ibrahim) alikuwa Ni mjamzito, Baada ya kupita miaka mingi pasipo kubeba ujauzito!! Mwenyezi Mungu akawa amesikia kilio chake akampatia mtoto wa kiume wakampatia jina Ibrahim!!
Kwa upande wa mke wake na Mr Ahmad na yeye mkewe Alikuwa na changamoto yakubeba mimba, Na yeye Alikuja kupata ujauzito Baada ya mama wa Ibrahimu(Imlany) kujifungua na yeye mwaka uliofata alijifungua mtoto wa kike nakumpatia jina " Lunnah!;''
Wazazi wa Ibrahimu( Imlany) na Lunnah!!; Baada ya kupata watoto walijenga urafiki mkubwa uliokuwa umejaa furaha siku zote!! Upendo wao uliweza kuwaambukiza watoto wao nao wakawa Ni watoto waliopendana Sana!! Mpaka ikafikia hatua Wazazi Hawa wakawa wakiwatania watoto wao siku wakiwa wakubwa wataoana kwa upendo waliokuwa nao!! Hata ndugu wa karibu nao waliwaunga mkono kwa usemi huo!!!
Miaka ilipita Kama mitatu, Wazazi wa Imlany(Ibrahimu) walihamia mkoa mwingine, kwa upande wa Lunnah Baada yakusikia rafiki yake anahama aliumia Sana nakumfanya siku nzima azile kula!!
Babake na Lunnah aliona mwanae anapitia wakati mgumu Sana!! Siku hiyo Imlany( Ibrahim) Aliamua kutafuta babake na Lunnah, Huku akimuomba akubali aondoke na Lunnah wakasome shule moja. Lakini babake Lunnah Aliamua kumpatia kitambulisho kilichokuwa na familia yake yaani yet na mkewe pamoja na Lunnah!! Alimkabizi kile kitambulisho Huku akimdanganyia.
"" Tangulia na hiki kitambulisho!! Ukifika umpatie mwalimu wako!! Utaje majina ya Lunnah Ahmad!! Amsajili katika shule yako! Kufikia wiki kesho tayari atakuja na yeye aanze shule moja pamoja na Wewe!!!"
Imlany( Ibrahimu) aliondoka akiwa na furaha sana, hata alipokuwa na Lunnah walipeana ahadi nyingi Sana Huku akimuomba awahi kufika shule asipitwe na masomo, Lunnah na yeye alikubali make Wazazi wake walikuwa wamemdanganya Kama Imlany walivyokuwa wakimwambia.
Imlany (Ibrahimu). Siku hiyo alikuwa alipomaliza kuvaa!! Alisimama Njiani Ili amsubili Lunnah amuage!! Huku akiwa kashikilia kile kitambulisho.
Siku hiyo alisubili Sanaa!! Pasipo kumuona Lunnah!! Mpaka Wazazi wake walipomaliza kujiandaa!! Walitoka nje nakumuona Imlany akiwa analia!! Hata walipomuuliza analilia Nini aliwajibu!! "" Huyo mnaesema mkewangu!! Mbona hajaja kumuaga mmewe!!"
Baada ya kusikia hivyo Wazazi waliangua kicheko Huku wakimsihi wiki kesho Lunnah atahamia shuleni kwao!!! Na baada ya kumaliza shule wakiwa wakubwa wataishi Kama baba na mama!!"
Baadae gari ilikuwa inaondoka, Huku Imlany alikuwa akiangalia Dirishani Kama atamuona Lunnah!! Alizitizama kile kitambulisho Nakuona hakina thamani Tena aliamua kukilusha Chini!!
Lakini alipomaliza kukitupa Chini Ndio anaona Kuna bodaboda inakuja Huku ikiwa inawahi ile gari yao!! Ile anaangalia vizuri Ndio anamuona Ni rafiki yake Lunnah!! Kabebwa na boda.
Imlany( Ibrahimu) alianza kumuita babake asimame aagane na Lunnah!! Lakini Wazazi wake walimpotezea, kwani walijua Imlany huwa Ni muongeaji Sanaa haishiwi maneno!!
Siku hiyo Imlany alilia sana!! Kwa Mara ya Mwisho alimuona Lunnah alimuona kwa mbali, hata wao walipiwakaribia Ndio walikiona kile kitambulisho bodaboda akawa amekiokota make alikitamhua, Ile anawasha pikipiki aliona gari imefika mbali aliamua kugeuza nakumrudisha Lunnah nyumbani!!!
,,,,,,, Itaendeleaa,,,,,,,,
USIKOSE Sehemu ya 24...
Like, comments, share,,,
Simulizi yetu inaelekea ukingoni.. kaa mkao wa kula bila kusahau sapoti yako kwa Mtunzi/ Mwandishi wenu.🤝🙏
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 24. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Siku hiyo Imlany alilia sana!! Kwa Mara ya Mwisho alimuona Lunnah alimuona kwa mbali, hata wao walipowakaribia Ndio walikiona kile kitambulisho bodaboda akawa amekiokota make alikitambua, Ile anawasha pikipiki aliona gari imefika mbali aliamua kugeuza nakumrudisha Lunnah nyumbani!!! ENDELEA....
Huku kwa Lunnah waliamua kurudi nyumbani!! Huku Lunnah alikuwa na kile kitambulisho kakishikilia, babake alifika nakukichukua kile kitambulisho nakukihifadhi.
Ilikuwa ni siku moja baada ya miaka kadhaa kupita baada ya wazazi wa Imlany wahame, leo babake na Lunnah siku hiyo walipanga kukutana mkoa jilani na babake na Imlany kwa maswala ya biashara.
Babake na Imlany siku hiyo aliamua kuchukua familia yake ili awatembeze angalau waone miradi anayoisimamia.
Kwa upande wa Ancle yeye alikuwa akiishi mkoa tofauti baada ya kakake kumpatia mradi aliamua yeye abakie kule ili awe anasimamia miradi hiyo.
Ancle alipata habari ya ujio wa kakake( Baba Imlany) siku hiyo watafika, Siku hiyo fikra potovu ilimuingia nakujikuta akitamani kumiliki ile miradi yote ya kakake, Ni siku nyingi alikuwa akiwaza tangu siku ile alipoingia kazini aliingia kwa malengo yake tofauti kabisa na wao walivyotegemea.
Alianza kuandaa watu wake wa karibu, siku moja aje ampindue kakake ili amiliki zile mali.
Siku hiyo baada ya kusikia ujio wakakake aliandaa majeshi yake nakuyaagiza yakafanye mauaji!! Huku alikuwa amewapatia plate no ya gari, yeye alichoamua nikuchukua usafiri wake binafsi nakuanza kufatilia kile kikisi chake, hata yakitokea yakutokea yeye anawakana.
Huku Njiani Babake na Lunnah akiwa na mwanae waliweza kukutana na wazazi wake na Imlany kama walivyokuwa wameelewana walipanda bus moja na kuelekea mkoa jilani,
Babake na Lunnah alipomuona Imlany siku hiyo aliamua kumrudishia kile kitambulisho kama zawadi kwa mara nyingine tena.
Upande wa Lunnah alikuwa ameshamsahau rafiki yake Ibrahimu( Imlany) baada ya siku nyingi kupita lakini kwa Imlany alikuwa kama anakumbukumbu kiasi chake lakini aliona sio mbaya huenda anamfananisha alichoamua nikuanzisha urafiki mpya tena kwenye gari wakaanza michezo ya hapa na pale huku wakirukaruka na wakawa wamezoeana sana.
Safari ilizidi kuendelea baadae babake na Lunnah alimuaga rafiki yake, huku akimwambia yeye atashukia jilani na mkoa kwanza kabla hajafika wanapoenda kuna mradi mdogo walikuwa wameuanzisha ikabidi ashuke na Lunnah, Babake na Imlany nayeye hakuwa mbishi make ndio ratiba yao walipanga hivyo baadae watakutana mbele.
Huku kwa Ancle alipokea simu, ambayo ilikuwa ikimtaarifu kuna mtu mmoja kashuka na anaonekana akiwa na mtoto, Ancle bila kujua ndio babake na lunnah na muda wote alikuwa kamuweka kwenye target alijibu aachane nao huenda atakuwa ni Abiria, make alijua wote watakuwa safari moja na wanaelekea kwenye ofisi moja ndio maana hakujali sana.
Huku kwa Babake Imlany! Walikuwa wakizidi kusonga na safari!! Walifika katikati ya poli lakini walishangaa baada ya Dreva kufunga break kwa nguvu.
Baadae kuna midume ilitokeza huku ikiwa na bastola, Abiria wote waliamuliwa kushuka kwa nguvu baada ya kushuka, Babake Imlany alikuwa kambeba Imlany na huku mkononi alimshikilia mkewe.
Ghafura mlio warisasi ulisikika umetua kifuani kwa Baba Imlany!! Ndio mkewe anakimbilia kumuwahi mmewe hadi chini huku akizidi kulia, Mmewe alikuwa akishusha pumzi kwa chini sana alimuita mkewe na kumwambia akimbie na mtoto akajifiche.
Kwa maumivu aliyokuwa nayo aliamua kubaki pale angalau afe na mmewe, alimushika mwanae Imlany nakumkumbatia, aligeuka kwanza aone huyo mshambuliaji siku hiyo alikuwa ni nani, japo hakumtambua vizuri baada yakuona kavaa mask!! Aliona kuna bastora imeelekezwa kwa Imlany.
Alichoamua nikumsukuma Imlany kwenye Mtaro!! Alibilingika huku akilia nakuita mama!!!
Muda huo Ancle alikuwa tayari amefika!! Alishuka kwenye gari lake nakumuwahi kumsaudia Imlany, Alimtoa kwenye mtaro kisha alikuwa na sindano kaiandaa alimdunga Imlany kwenye bega, nakuondoka nae.
Alifika hadi nyumbani kwake alipokuwa akiishi!! Hata alipoamka kwa mara ya kwanza alimuita Imlany, Imlany nayeye aliamua kumuuliza, wewe ni Nani??" Ancle ndio aliamua kumjibu Niite "" Ancle!! Na hapo hapo jina Ancle ndio lilianzia kutumika tangu siko hiyo!! Aliamua kusema hivyo ili Ancle akue asijue kuwa yeye ndio babake mdogo na hakutaka kabisa jila la Baba lisikike kutoka kwa Imlany ikawa ni Ancle!! Ancle.
Tangu Imlany alipochomwa ile dawa ikawa kumbukumbu zake zimepotea tangu siku hiyo akili yake iliweza kukumbuka siku ile anazinduka na maisha yake mapya yalianzia hapo!!!
Miaka ilizidi kusonga!! Baadae Ancle aliamua kuanza kufatilia familia ya kina Lunnah!! Ndio Ancle aliamua ili awe karibu na ile familia aliamua kuanzisha mahusiano na shangazi yake( mama Ennah) wakawa wameelewana, lakini nia na malengo yake ilikuwa ni kuipindua familia kwa kuyajua madhaifu ya familia kwanza ili azidi kurithi mali zote!!!
Kwa upande wa shangazi yake na Lunnah alionekana ni mtu wa vikoba sana!! Siku moja katika utafutaji wa pesa aliamua kujiunga na kikundi kilichokuwa kikisimamiwa na Madam wa Cassino, shangazi yake Lunnah alichukua mkopo nakuanza kurejesha.
Siku moja alikwama katika rejesho akawa ameitwa na madam!! Hadi kwenye Cassino. Na siku hiyohiyo Ancle baada ya kupata pesa alikuwa akizitumia kuenjoy na watoto wadogo!! Katika Cassino ndio siku yenyewe alikutana na madam na kumkuta akiongea na shangazi ake Lunnah!!
Shangazi baada ya kumaliza maongezi alitoka nakupishana na Ancle akiingia, Ancle alimtizama shangazi kwakuwa alikuwa akimjua vizuri na alikuwa akimtafuta akae kwenye mishe zake alipiga kifua chake nakuona alichokuwa anakitafuta tayari kakipata!!
Ancle alifika nakuanza kuongea na madam akawa kaulizia ujio wa Shangazi akawa kaelezwa kila kitu, Ancle alitoa pesa ndefu nakumkabizi madam amfanyie mchongo ampate Shangazi.
Kwa kuwa Ancle alijua udhaifu wa Shangazi, alimtafuta nayeye akajaa, na ukiangalia Shangazi na vikoba ni chanda na pete akawa kapata sponsor wakumsaidia rejesho!!!
Ancle aliamua kumuoa Shangazi ile ajue vitu vingi, Ndani ya mwaka mmoja Shangazi alikuwa tiyari ni mjamzito!! Japo maisha yake yalikuwa ni yakelele muda wote mmewe alikuwa ni mtu wakununua watoto wadogo!! Siku alipojifungua yapata mwezi mmoja aliamua kuondoka na mtoto wake mdogo na kwenda kununua nyumba baada ya kuchuma pesa kiasi kwa Ancle, akawa kajitegemea lakini punde anaondoka Ancle alikuwa tiyari kamuita mtoto jila la "Ennah"
Miaka kadhaa ilipita Ancle aliendelea kuishi na Imlany baada ya kukua aliamua kumuweka kwenye miradi yake ya kampuni la mikopo!!!
Huku kwa babake Lunnah hakufahamu zaidi ya chanzo cha mauaji ya familia ya rafiki yake aliendelea na biashara zake na Ancle pasipokujua ni muuaji mpaka kifo chake kilipomkuta hakujua kuwa Ancle ndie mhusika.
Huku kwa mamake Lunnah baada ya msiba wa mmewe, alitembelewa na wifi yake mama Ennah!! Mama Ennah baada ya kufika msibani kwakuwa alikuwa na roho ya Uchu aliwahi ndani nakuanza kupekua hati miliki za biashara akawa ameziwahi mapema na kuzificha, hata baada ya msiba mama Ennah alianza kutafuta lessen za biashara lakini hakuzipata zaidi ya biashara ndogo ndogo!!!
Huku kwa Ancle alipata taarifa za msiba nakutuma watu wakufatilia hati miliki za buashara, baadae ndio aligundua kuwa mama Ennah alizipitia alichoamua nikutuma watu wakaenda kumvamia akawa kazipata kiulaini hati miliki zote!!!
Huku maisha ya mama Lunnah na mwanae yaliendelea!! Baadhi ya miradi wsliweza kuiendesha!! Huku kwa Shangazi alipata taarifa ya maendeleo kwa mama Lunnah, aliwaza jinsi ya kufanya ndio alifunga safari na mwanae Ennah na kuja kumtembelea akawa kafanikiwa kumuwekea sumu kwenye mihogo!! Ili achukue zile mali zilizobakia.
°°°°°°°°°°°°°
Na hapo ndio Crip ya Video iliishia hapo, wakawa wameupata ukweli mzima ulivyokuwa.
Kila mtu alikaa kimya huku akitafakari pasipo kuongea neno, baadae simu ya Imlany ilikuwa inaita, alipokea na kusikilizia, alikuwa ni Rayna.
"" My kipi kimewakuta wewe na Lunnah!! Mbona wote hampokei simu mkowapi??""
Imlany hakuwa na majibu yakumjibu zaidi yakumwambia nakuja, baadae aliamua kuongea na Lunnah.
"" Kwahiyo wewe ni Ndugu yangu!!! Maana Ancle tena sio Ancle kamuoa Shangazi yako!! Kwahiyo nimetembea na ndugu yangu!!??"
"" Sasa unaanza kujilaumu tenaa!! Hapa kilichopo imeshatokea na sisi tulikuwa hatujui!! Hamna namna tenaa Duffer!!"
Imlany alisogea nakumkumbatia lunnah!!.
"" Duffer wangu nilimpenda tangu akiwa mtoto!! Hata nilipomuona hisia zangu zilibaki kwake!! Kwahiyo tutoke hapa!! Tusimwambie mtu yeyote kama sisi tu wanandugu!! Mimi nakupenda wewe Duffer! Swezi kukubali et sie tu wanandugu!!
Imlany alimwachia Lunnah katika kumbatio lile, nakumuacha Akiwa anatafakari vitu vingi sana baadae Lunnah alizungumza!!"
"" Tangu Duffer! Wangu siku yenyewe ananisaidia katika Cassino nilitokea kumpenda sana!! Kumbe nae Duffer ana mtu ampendae!! Nikaamua kutoa hisia zangu kwake lakini bado tu nazidi kuteseka, nlikuja huku ili kuwaona wazazi wangu angalau wanipe ushauri jinsi yakuondoa hisia kwa mtu nimpendae!!!"
"" Duffer!! Usiwe hivyoo!! Nivigumu sana kutoa hisia kwa mtu uliempenda!! Najua Lunnah!! Moyo wangu unaumia sana kwa mauaji ya kikatili ya wazazi wangu! Ila naahidi Ancle atalipa kwa damu iliyomwagika!!"
""Pole sana Duffer!! Sisi kwa sasa tu yatima wote!! Faraja yangu nategemea itoke kwako!!! Namimi nipo tayari kukupatia faraja tenaa!! Kwakuwa sisi tu marafiki naomba tuzidi kushikamana!! Harafu Rayna anapigaa simu mbona hupokei.....??"
"" Duffer kwasasa sina hisia zozote na mwanamke kwanza natamani hata nisioe kabisaa!!!""
"" Hapana Duffer!! Usifanye hivyo!! Rayna anaweza kuwa msaada mkubwa na akawa ni mfariji sana kwako!; Na haya yote utayasahau tu!!
"" Sawaa!! Rayna anaweza kiasi chake!! Kwanini asiwe Duffer??"
"" Aaah aah!!! Mimi sipo huko!! Wewe twendwe nyumbani bhanaaa!!!
Lunnah alisimama nakuondoka!! Imlany alimuwahi na kumshika mkono!! Kisha alimvutia kifuani!!
"" Vipi wewe huwezi kufit nafasi ya Rayna!! Kumbuka nilikupenda tokea mwanzo!! Harafu sitaki hayo maneno yako at, "" Ikawe kheri Duffer!!" Kama sitakuoa wewe kwangu haitakuwa kheri!!!"
Lunnah alibaki akipumua kwa shida!! Baada yakusogezwa karibu!! Alikosa chakuongea nakubaki kumtizama tu!!
Imlany hakuwa mzembe kivile, Siku hiyo waliamua kupumnzika wote mpaka kulipokucha asubuhi ndio wanaamka kila mtu aliamka na hamsini zake ni kujiandaa nakuondoka.
Huku Njiani Lunnah alikuwa amekaa kimya haongei kitu, Imlany alikuwa kaweka Earphone masikioni aliamua kutoa Earphone moja nakumuwekea Lunnah kisha aliongeza sauti, kisha alimuuliza.
"" Do you love me?? Sikiliza hiyo song!! Usiwe wauma uma vidole!! But upo vizuri!! Nimeenjoy Thanks Duffer wa moyo!!""
,,,,,Itaendeleaa,,,,,,
Usikose sehemu ya 25.
Like, comments, Share🙏
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 25. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Huku Njiani Lunnah alikuwa amekaa kimya haongei kitu, Imlany alikuwa kaweka Earphone masikioni aliamua kutoa Earphone moja nakumuwekea Lunnah kisha aliongeza sauti, kisha alimuuliza.
"" Do you love me?? Sikiliza hiyo song!! Usiwe wauma uma vidole!! But upo vizuri!! Nimeenjoy Thanks Duffer wa moyo!!"" ENDELEA..
Lunnah alikuwa akisikiliza ule wimbo baadae usingizi ulimchukua nakuegama begani kwa Imlany akawa amelala!!
Imlany muda wote alikuwa akimtizama Lunnah wake wa utotoni nakuzidi kufurahia sana!!
"" Kwasasa nakumbuka kila kitu!! Duffer wangu ni huyuhuyu hajabadilika!! Midomo yake, lipsi zake, pua yake, macho yake, Nywele yake bado ni ndefu vilevile!! Anyway sijajua mpaka sasa itakuwaje?? Je nimkabidhi kwa Junior bado roho inaniuma!! Huyu Rayna anavyopenda asije akapoteza maisha kwaajili yangu!!"
Baadae walikaribia hadi Nyumbani, Lunnah ndio anaamka nakujikuta kaegama kwenye bega la Imlany, ilibidi amtizame kwanza usoni huku akijinasua taratibu lakini Imlany alimzuia.
"" Usingizi umekuisha?? Unaweza pia kupumnzika tenaa!! Sijakwambia ulipie!!"" Harafu umenilowanisha sijui ni udende!!!"
"" Aah Duffer mi sitoagi udende! Ni joto tu hili!!!"
"" Basi nifute sasa!!"
"" Aah!! Jifute mwenyew bhana!!""
"" Ninae Duffer mbishi kumbee!!?""
"" Utafutwa na Rayna!!!"
"" Kama hunifuti, Nikifika nyumbani namwambia usiku tulipumnzika wote!!" Na ni siku tatu zimekuwa!!"
"" Basi sasa!! Nitakufuta!! Make nimemuahidi Rayna kurudisha furaha yake!! Namimi nitasimamia harusi yenu hata hivyo!!"
"" Itakuwa babu kubwa!! Ila Duffer wangu navyomjua lazima anitelekeze mwenyewe!! Make anaye wivu wa ndani kwa ndani!!!
"" Nakuahidi basii!! Sitavunja ahadi hii!!
'" Nkkuongezee Ahadi nyingine!! Ikitokea nimemuoa Rayna naomba na wewe uje ukae na mimi mkoa mmoja harafu tuwe majirani..
Kabla Lunnah hajajibu alipokea simu kutoka kwa Rayna, alikuwa akiulizia wamefika wapi aliamua kumjibu wanakaribia kama dakika kumi watakuwa wamefika!!
Muda kidogo walifika Nyumbani!!, Nakukuta kuna wanakati walikuwa na kikao!! Rayna alimpokea mchumba nakuingia nae chumbani huku akiwa na hofu sana.
"" Mme wangu!! Hujaumia kweli, vipi mmekamilisha harakati zenu?? Mmeshamjua Ancle ni nani??
"" Yote yameisha kwasasa tuna amani tele!! Hata process za harusi zikiendelea siyo mbaya!!!
"" Nilikuwa na hofu sanaa!! Asije Ancle amawazuru??"
"" Nawewe unae presha kweli!! Usijali mimi ni mwanaume smart!! Hakuna awezae nizuru!! Usiwe na hofu tenaa.. Niandalie maji ya kuoga tu!!"
Imlany alitoa mkoti wake nakuutundika juu ya Enga! Baadae alivua shati lake nakulinusa huku akisikilizia marashi ya Lunnah, Alibakia akikenua tu.
"" Natamani nifanye kitu, kile moyo unapenda!!"
Rayna na yeye aliingia nakumkalibisha mmewe mtarajiwa maji, lakini baadae alimuita na kumfanya Imlany ageuke alimpatia tabasamu nakumpungia mkono.
"" Hakikisha unajisugua vizurii!!!" Ingekuwa tumeharalishwa leo ningekusugua kweli!!
Imlany alibaki akicheka tu nakuingia bafuni. Rayna alisimama na kusogea hadi kwenye Enga nakuchukua mkoti aliouvua Imlany nakuunusa, kumbe muda wote Imlany anautizama ule mkoti Rayna alikuwa akimuonaa!!!
"" Mbona marashi ni ya Lunnah!!! Kwanini yawe katika mkoti wa Imlany huenda Lunnah ananiibia ngoja nitajaribu kufatilia kwa kinaa!!"
Rayna alitoka pale nakuelekea sebuleni huku akiwa amefura hasira!! Alifika nakumuita Lunnah pembeni.
"" Lunnah!! Jana wewe na Imlany mlikuwa wapi??
"' Kwani yeye Imlany!! Ulipomuuliza alikwambia alikuwa wapi!! Bila shaka mimi nilitoka asubuhi sikuaga mtu yeyote!! Kinachotakiwa ni wewe kumuuliza mmeo alienda wapi ndio uniulize??"
"" Sikutaka kumuuliza' Ila nimesikia marashi yako kwenye nguo ya Imlany inakuwaje yawe kwenye nguo yake??"
"" Maswali unayouliza yote!! Naona majibu anayo Mmeo!! Kuhusu malashi nimejipulizia kwenye gari!! Naona na yeye akayanasa!! Labda unajingine tenaa Raynaa? Imlany ni Duffer wangu wa utoto hata hivyo ni Ndugu yangu!!"
Rayna aliondoka pale nakujiona kama mjinga, aliingia Chumbani kwake nakukunja nguo zake!! Imlany aliingia ndani nakumkuta Rayna yupo busy, Alifika na kumsogelea huku akimuegamia begani.
Rayna alisogea pembeni nakumfanya Imlany aangukie kitandani.
"" Rayna!! Kwahiyo una hasira na mimi au na Lunnah!!? Make nimekusikia tu ulivyokuwa wamuuliza Duffer wangu maswali!! Sasa unaenda wapi??"
"" Naenda Nyumbani kwetu!! Hata hivyo nilikuja kukuona baada yakusikia unaumwa! Naona kwasasa waendelea vizuri!! Mimi narudi kazini!!"
'" Sawaa!! Naona unamkimbia Bwana harusi!! Sijui unamwachia Lunnah awe bi harusi!!?""
Jibu la Imlany lilimuumiza sana Rayna, Ilibidi aache kupanga nguo tena nakumsogelea mmewe nakumkumbatia huku akilia,,
"" Imlany hata mimi nina wivu!! Mpaka nahisi wewe na Lunnah!! Mnadate!! Leo nimesikia marashi ya Lunnah kwenye nguo zako!! Kwanini nisiwe na hofu juu yako!!"
"" Ni lini" utaniamini lakini?? Muda wote una hofu bado hujajua kuwa Lunnah ni Duffer wangu toka utotoni?? Mimi ndio mmeo ninayetegemea kukuoa wewe sasa ukishidwa niamini tutafika kwelii??"
"" Nisamehe basii my ni wivu tu unanisumbua!!
"" Okay!! Kaendelee na kazi mimi natoka kidogo! Nitafika kazini kuangalia nackwasasa kampuni hii ni mali yangu na Lunnah na mali zote za hapa ni za wawili mimi na Lunnah!! Ukiwa na wivu wazani itakuwaje??"
Huku kwa Lunnah alikuwa amekaa nje huku akipitia mahesabu yake huku akishushia na Juice ya baridi!!
Imlany alifika hadi mezani nakumuaga kisha aliondoka zake, huku kwa Rayna muda huo alikuwa akimtizama Imlany kama ataongea nini baada ya kufika kwa Lunnah, alipojithihilisha hamna kitu alitoka na Juice yake huku akielekea kwa Lunnah.
Lunnah baada ya kumuona Rayna alifunga kazi zake nakumkalibisha ili amsikilize.
''" Waoo!! Wifi karibu!! Naona umetupia kweli!!""
Rayna aliachia tabasamu kubwa, baada ya kusifiwa alivuta kiti na kukaa. Huku kwa Lunnah alikuwa akichati na Junior, Junior alimuahidi atafika muda kumuona!!"
Waliendelea kupiga Story za hapa na pale, Muda kidogo geti lilifunguliwa, Alikuwa ni Junior kafika.
Junior aliingia nakuelekea hadi sehemu walipokuwa wamekaa, kwa jinsi alivyokuwa kamumis Lunnah aliomba amkumbatie kwanza, lakini kabla hajamkumbatia alimuona Rayna kainua uso wake make muda ule alikuwa busy na simu.
Rayna na yeye alipomtizama Junior alishituka sana!! Nakumuita
"" Juniooo!! Ni wewe kweli??""
Huku kwa Junior na yeye alibaki akishangaa na kumuita.
"" Mwanaaa!!! Ni wewe kweli??"
Huku kwa Lunnah alibaki kwenye sitofahamu, nakuuliza
""Nyie!! Mwafahamiana kumbe!! Mbona Junior umemuita Rayna' Mwanaa!!??"
Rayna alimuwahi nakumkanyaga mguuni Junior asiseme kitu. Baadae Junior alibadilisha mawazo nakusema!!!"
"" Daaah!! Mungu wangu!! Nimemfananisha kumbee!! Nikajua ni Mwanahawa!! Kumbe huyu ni Rayna ila wamefanana kweli!!"
Baadae Lunnah aliachia kicheko kisha alimshika Mkono Junior na kumtizama Lunnah!!
"" Rayna!! Kwasasa ninae Dusky mwingine anaitwa Junior' ni mtu wangu wa karibu sana!! Na muda mwingi amekuwa akisimama kwenye mipango yangu mpaka nikafanikiwa kumuweka shangazi ndani nikwaajili yake Dusky!!"
"" Waooo!! Nafurahi kukufahamu Dusky wa Lunnah!! Hongera kwa kuwa na moyo mzuri sana!! Naimani wewe na Lunnah mnaonekana kuendana sana!! Vipi lakini mkiwa wachumba si itapendeza sana!!!"
"" Lunnah aliona kama Rayna anamsadifu anataka mazoea!! Aliamua kumnyamazisha.
"" Dusky!! Sijakutambulisha kwanza!! Huyu anaitwa Rayna ni mke mtarajiwa wa Imlany!!!""
"" At!! Mwanaa' ndio mke mtarajiwa wa Imlany??"
"" Unashangaa nini sasa!! Ni suprise et!! Harafu huyo ni Rayna sio mwanaa!!!""
"" Nilisahau bhanaa!!! Mambo mengi siku hizi sijui uzee!!?"
"" Ayaaah!! Ngoja nikuandalie kinywaji kwanza!! Kuteni mkiyajenga na Mwanaa wako!!!"
Lunnah aliondoka na kuingia ndani lakini alionekana anae wasiwasi sana!!
Kwanini Junior asituke kiasi hicho!! Na mimi nimefanya makusudi nije ndani harafu niangalie mazungumzo yenu nitajua tu kama mnafahamiana!!
Huku kwa Junior na Rayna baada ya kutoka tu lunnah wakaanza kuongea.
"" Mwanaa!! Msaliti!! Siku hizi udhabadili na Jina waitwa Rayna baada ya kula pesa zangu ukaona haitoshi ukaamua kuniibia kabisa!! Niambie kwasasa umeamua kurudi kwa Imlany tenaa kula pesa zake tenaa!!?""
"" Mimi nishaacha!; Harafu sitaki uniharibie mahusiano yangu ya awali na wewe yaliisha mimi kwasasa naenda kuolewa na Imlany hivyo kaa mbali na mimi!!!"
"" Ulichonifanyia kipindi cha nyuma kwasasa!! Sina hisia kabisa nawewe!! Kwasasa mtu ninae mpenda ni Lunnah!! Wewe kama waolewa na Imlany mfanye haraka muoane make mnaninyima muda wakuwa na Lunnah!! Siku Imlany akioa tu nitapumua hapa Imlany anachelewesha mambo tatizo anampenda sana Lunnah tena yupo radhi afanye lolote kwa Duffer wake!! Mwanzoni niliamini anafanya kama rafiki yake tu lakini niliamua kumtafuta nikaongea nae, akawa kaniambia live anampenda Duffer!!""
"" Junior!! Naomba uondoke sitaki habari zako unataka kututenganisha na Imlany!! Ili nihangaike !! Nakwambia hivi Imlany ananipenda mimi na sio Duffer!!
Huku kwa Lunnah alikuwa akiona zile ishara japo hakusikia maneno!! Tayari alikuwa amegundua kitu, Aliamua kudogea mdogo mdogo.
Wakati huo huo na Imlany alikuwa akiingia japo aliwakuta wamemaliza kuongea!! Rayna alipomuona Imlany alishituka sana.
Huku kwa Lunnah alikuwa akileta ile juice lakini kwa bahati mbaya alijikwaa nakutaka kuanguka lakini kwa bahati mbaya Juice ilimumwagikia machoni nakumfanya asione vizuri mbele.
Imlany alimuwahi nakuchukua kitambaac chake na kumfuta, huku akimpa pole.
"" Pole Duffer!! Hakikisha unakuwa makini muda mwingine usije kuumia!!"
Huku Junior alimkazia jicho Rayna nakumnong'oneza kwa sauti ya chinichini.
"" Umeonaaa ee!! Si nilikwambia Duffer anampenda Duffer wake si umejionea!!!??"".
,,,,,,,Itaendelea,,,,,,,,,,
Usikose sehemu ya 26.
Junior ndio kaliwasha hivyoo!! Unazani siku Imlany akitambua kuwa Junior na Imlany waliwahi kuwa ni wapenzi itakuwaje??"
Like, comments, kama Saport yako kwa Mtunzi.
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 27. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Rayna aliona ataibiwa akawa kachukua usafiri na kurudi na yeye hadi nyumbani akimfatilia Imlany.. ENDELEA.
Muda huo Imlany Alifika Hadi Nyumbani kwa Lunnah, Lakini alimkuta Tayari ameshaondoka yupo kazini, Ilibidi Tena ageuze afike kazini kwa Lunnah!!
Lunnah muda huo alikuwa yupo busy na majukumu yake, Ghafura alishangaa kumuona Imlany anaingia ofisini, ilibidi asimame kwanza na kubaki akimtolea jicho!!
"" Umerudi teenaa!! Wewe so umeaga waondoka!!!??"
"" Ningeondoka vipi wakati bado umeninunia!!?? Mimi siwezi kusafiri wakati Duffer wangu Hana furaha!!! Vipi nimekukosea Nini kwani mpaka ushidwe nichangamkia??""
"" Walaaa!! Hofu yako TU!! Wazani hata Nina ugomvi juu yako?? Au ninae hasira juu yako!!?? Hapanaa!! kuwa na amani, Rayna umemuacha wapi??"
"" Daaah!! Rayna nimemuacha sokoni!! Imebidi nimdanganye simu yangu nimeisahau ila nilichotaka nikuja kukuaga ili nitoke nikiwa na furaha!!!"
"" Heee!! Duffer!?' Mambo gani hayoo unayoyafanya Wewe si Bwana Harusi kabisa!! Kwanini unakuwa hivyo lakini!!?"
"" Kwaajili ya Duffer wangu!! Inanibidi nifanye hivyo!!! Okay Bora hata nimekuona nahisi ninae Amani!!
Imlany ilibidi asogee na kumkumbatia Lunnah, Kisha alimpatia Cheni na kumvalisha.
"" Kwaajili ya Duffer!! Ndugu yangu!! Daima nitaiboresha furaha yangu na yeye!! Sitatamani kitu upweke upite katikati yetu!"
Lunnah alichukua simu yake Kisha aliwasha camera yake nakuchukua picha, akiwa na Imlany kaegamia kifuani kwake.
"" Thanks!! Duffer!! Nimeipenda zawadi yako!! Hakika picha hi Ni Kumbukumbu tosha huenda hautaniona tenaaa!!;"
"" Umeanza Sasa!! Vimaneno maneno vyako huwa vinaniuzi kweli!! Okay!! Nimefurahi Sasa nikutakie Kila la kheri kwenye majukumu yako!!"
"" Byeee!! Muwahi Rayna!! Najua anakutafuta Wewe!!"
Imlany alichukua usafiri wake na kuwasha kwa spid ya ajabu Alifika Hadi pale alipomuacha Rayna, Alishuka huku akimuangaza Huku na kule Lakini hakuona mtu. Alichukua simu na kumpigia Lakini hakuwa akipokea!!
"" Rayna!! Huyu sijui kaenda wapi tenaa!!? Kashidwa kunivumilia Teena!!"
Huku kwa Rayna alifika Hadi Nyumbani Lakini taarifa alizozipokea Ni wamepishana Njiani!
Alielekea Hadi Ofsini kwa Lunnah, Lakini alipofika alipewa taarifa kuwa kaenda Lunch, Hapo akili yake ilimtuma moja kwa moja kuwa watakuwa wametoka wote na Imlany!!
Alielekea Hadi kwenye Hotel waliokuwa wakipenda Sana kuhudhuria!! Alifika na kuanza kuangaza Huku na kule bila matumaini yeyote!!
Ikabidi tenaa arudi Hadi Sehemu aliyokuwa kapakiwa na Imlany!! Alifika pale hakumkuta Tena Imlany, Ndio ikabidi achukue simu yake ampigie!! Ile anaangalia anakuta miscalls nyingi za Imlany!! Baadae anakuta Ujumbe.
"" Mamangu kwanini!! Hupokeiii simu kwahiiyo umeamua kuondoka pasipo kunisubili!! Kwanini unakuwa hivyo!! Kwahiiyo kusahau simu yangu Ndio imekuwa tatizo!!??" Okay! Safari njema!! Usafiri salama na Mimi nipo Njiani naelekea nyumbani!! Wasalimie Wazazi wetu!!"
Rayna alimaliza kusoma Ujumbe huo nakubaki chozi likimtoka!!
"" Amaa kweli mtaka yote kwa pupa hukosa yote!! Sawaa!! Nitajilipia nauli!! Naomba ukifika nyumbani nitumie nguo zangu!!"
Imlany alifikia kazini kwakee na kuendelea na majukumu, baadae alichukua simu yake na kumpigia Rayna.
"" Vipi umefika salama!! Mimi Nina Kama nusu saa nimefika Hapa!! Pole na Safari' Mamangu!!"
Rayna alikuwa akifikilia kitu gani chakumjibu, Lakini aliamua kumjibu.
"" Ahsante nimeshapoa!!! Namimi nimefika muda mrefu imekuwa!! Nasikia upo Ofsini baadae nitakutafuta ukiwa nyumbani!! Nimemumis Ratifa kweli!!"
"" Sawaa!! Nitampatia simu Uongee nae nikifika Nyumbani!!"
Imlany alikata simu na kukutana na Ujumbe toka kwa Duffer wake!!
"" Duffer Wewe!! Mulipatana na Rayna!!'? make' Nilitoka Ofsini nikakuta taarifa zake Alikuja Ofsini kukutafuta, na alipokukosa alienda Hadi Hotelin kukutafuta!!!"
Imlany Baada ya kumaliza kusoma Ujumbe ule aliamua kumjibu kwanza!!
"" Okay!! Nitakutafuta baadae naona yamekuwa mapya kwangu!!!"
Jioni yake Imlany alikuwa amepumnzika kwake aliamua kuchukua simu nakumpigia Rayna make Ndio alikuwa akimtafuta.
Rayna aliamua kusema ukweli wote jinsi ilivyokuwa, ilibidi amtake radhi Imlany kwakushidwa kumsubili!!
°°°°°°°°°°°
Huku Upande wa Junior!! Siku hiyo aliamua kumtafuta Lunnah Baada ya kumuona Imlany wameondoka na Rayna! Alimuita nyumbani kwake Ana mazungumzo maalumu.
Lunnah alijiandaa vizuri kwa kujikwatua vizuri, nakufunga Safari ya kwenda kwa Junior!!
Huku Junior!! Alikuwa kajiandaa vizuri kwa kuweka mazingira yake vizuri! Make tangu wajuane na Lunnah, hakuwahi kukanyanga kwake!! Baadae alipokea simu kwa Lunnah akimjulisha kuwa kafika.
Junior alitoka Hadi nje kumpokea mgeni wake!! Alifika na kumkalibisha nyumbani.
Huku kwa Lunnah alikuwa akiangaza Huku na kule nakubaki akishangaa mazingira ya pale nakubaki akijisemea.
"" Kumbe Junior!! Ndio huwa na mjengo mkubwa kiasi hiki!!"
Muda huo alifika Hadi ndani, Junior alimkalibisha Sebuleni nakumpatia kinywaji.
"" Dusky!!! Karibu nyumbani kwangu kwa Mara ya kwanza kabisa ujisikie upo nyumbani kwako!!""
"" Ahsante!! At kwa Mara ya kwanza!! Kwasasa nishakuwa mwenyeji Hapa!!!
Junior alimuacha kidogo nakuingia Chumbani, baadae alitoka na Mdada akiwa kamshikilia mkono.
Lunnah Alipiga jicho nakumuona Junior akiwa kaambatana na Mwanamke. Kitendo hicho kilimchukiza Sana nakubaki kapaniki.
"" Junior uliniita Hapa kunioneshea!! Huyo Mwanamke wako!! Kumbe Wewe Malaya TU!!!""
Baadae Junior alikuwa kafika pale nakukaa na Lunnah ampatie kampani Huku Yule mdada Aliingia jikoni kuandaa chakula.
"" Samahani Dusky! Nimekuacha pekee lakini usijali!! Kwasasa nipo off!!"
"" Walaaa! Usijali wazani nimpweke basii!! Wakati season Ndio imekorea Kweli!!??"
Baadae Bi Mdada alikuwa tayari kamaliza kuandaa chakula alimuita Junior nakumuomba aende Jikoni, Huku Lunnah alibaki na hasira na kutamani aondoke TU.
Baadae Chakula kililetwa mezani huku, Dada akizidi kupakua chakula, baadae aligundua Lunnah Kama kachukia aliamua kumsemesha..
"" Wifi!! Mbona hauna furaha!!' Au hujapendezwa na maneno yetu make nimemzoea Sana Junior!! Waweza sema Ni mme wangu wakati broo!!""
Lunnah Baada ya kusikia hivyo!! Alishusha pumunzi Ndefu na kuachia tabasamu;
"" Walaaa!! Ninafurahia TU uwepo wenu na ukaribu wenu Ndio maana nimejikuta nikibaki watizama kwanza!!"
Junior muda huo alikuwa amekaa na Dada'ke, aliamua kuhama nakusogea karibu na Lunnah, Kisha alipitisha mkono wake nakumshika shingoni, Kisha alimgeukia na kumtizama Usoni.
"" Dusky!! Huyu unae muona mbele yako anaitwa Benazir!! Ni Dada yangu!! Pacha wangu!! Katika tumbo la Wazazi wetu tulifanikiwa kuzaliwa Watoto pekee TU!! Ani Kaka na Dada!! Mimi na Benazir TU!! Wazazi wetu hawakufanikiwa kupata watoto wengine Tena!!"
"" Ooh!! Waooo!! Benazir mcheshi Kweli, Nimempenda bure!! Dusky Sasa nayeye huwa anaongea maneno ya kuchombeza!!"
"" Hata Wewe!! Ni mcheshi Sana!! Mimi nataka nikupende kwa damu Sasa!! Make Sitaki iwe bure!! Tuunganishe Koo zetu!! Okay!! Junior nitambulishe mgeni wetu!!
"" Ooh!! Huyu anaitwa Lunnah!! Ni rafiki yangu wa karibu Sanaa!! Ila kwangu nakaita kachumba japo kanikazia Kweli ila Ndio hivyo!! Umpendae nae Ana mtu ampendae kwahiiyo kwajina jingine Ni Dusky Tu!!"
"" Aah!! Dusky umeanza!! Hebu kaa kimya Kuna mgeni basii!!!"
"" Lunnah!! Lite ungejua kwanini nimekuita hapa!! Nikwaajili ya huyu mgeni!! Siku zote Dadangu Alikuwa akiniomba nimtambulishe wifi yake lakini imekuwa ngumu!! Hapa Alikuja likizo na kesho anaondoka! Na kuondoka kwakee alitaka mpaka amuone wifi take!!"
"" Mimi nikawa nimeona sio Mbaya!! Kutafuta Mwanamke mwingine ambae sijampenda nimtambulishe kwake!! Wakati ninae mpenda Ni Lunnah!! Sio Mbaya Mimi leo kuonesha hisia zangu kwako!! Mbele ya Dadangu ila ukweli Ndio huo!!!"
"" Niseme TU!! Dada huyu Ndio Mwanamke nimpendae na Ndio chaguo la moyo wangu!! Japo yeye feeling zake zipo kwa mtu mwingine!! Ni vizuri pia!! Make mtu hufanya kile Moto unapenda na hapa nimefanya kile moyo unapenda!! Nikaona nikwambie TU, Huyu ndie Mwanamke nimpendae kwa moyo wangu wote!!"
"" Tatizo hisia zangu zimegonga mwamba kwa Dusky, kwani na yeye hapo tayari anaemtu ampendae, Mwanzo kabisa nlikuwa na Mwanamke aitwae Mwanahawa tukawa tumeachana kwa vituko vyake na tabia zake tukawa tumeshindana, lakini nimekuja kushangaa kwasasa kashabadili jina anaitwa Rayna!! Na yupo kwenye process za Harusi na Imlany" bila Shaka unamfahamu vizuri kutokana na magazeti yaliyochapishwa baada ya kashifa Mbaya za Ancle na huyu Ndio Lunnah uliekuwa ukimsikia.
"" Najua kwa Lunnah!! Unaweza kushangaa Sana!! Ila Ndio ukweli Mimi na Rayna tumewahi kuwa wapenzi na Baadae tukawa tumeachana Kama miaka miwili kipindi hicho nlikuwa nipo kikazi tofauti na huu mkoa na Rayna alikuwa chuo Cha Uanasheria Ndio tukawa tumepatana kwenye mizunguko tukawa marafiki baadae tukawa Ni wapenzi!! Ila sitataka kuzungumzia maisha ya Rayna kwa ujumla, ila tuliachana kill mtu na hamsini zake Ndio tumekuja kupatana siku Ile nyumbani kwako, baada ya kuonana nae nikaamua kufatilia habari zake!! Anyway naona kwasasa yupo vizuri!! Mimi siwezi fatilia maisha yake kwa Sasa!! Mwambie atoe hofu juu yangu Zaidi namtakia Ndoa yenye kheri TU,
Junior alimaliza kuongea Japo Alikuwa akiongea kwa maumivu Sana, Dada'ke alisogea na kuanza kumtuliza angalau!!"
"" Usiwaze kiasi hichoo!! Mungu atakupa mtu sahihi wakusimama katika nafasi ya Rayna!! Najua ulimpenda na ukawekeza malengo juu yake lakini acha. Ikawe kheri TU katika Ndoa yake!!"
Muda huo Lunnah alikuwa ametulia TU, akijifanya yupo busy kula Huku akizidi, kufikilia kitu chakufanya, Baadae Benazir alimtizama Lunnah, Kisha alimpatia maelekezo.
"" Sorry wifi!! Mpelekee Chumbani akapumnzike kwanzaa!! Jaribu kumbembeleza na Wewe huenda akakuelewa vizuri!! Ngoja nitoe vyombo kwanza!!"
,,,,,, Itaendeleaa,,,,,,,
Usikose Sehemu ya 28.
Ila Benazir huyu Wifi yetu nae Duuuh!!🤔😂
Like, Comments, Share!! Muunge mkono Mwandishi Kama sapoti yakukuza kipaji chake!!
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 26. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Huku Junior alimkazia jicho Rayna nakumnong'oneza kwa sauti ya chinichini.
"" Umeonaaa ee!! Si nilikwambia Duffer anampenda Duffer wake si umejionea!!!??"". ENDELEA.
Lunnah ilibidi awatake radhi make Juice yote ilikuwa imemwagika!! Imlany aliingilia na kumsitopisha Lunnah!!
"" Hapana Duffer!! Hupaswi kuomba msamaha!! Naomba leo tutoke wote!! Kesho nataka nirudi kwenye kazi zangu nikaendelee na majukumu!! Leo nataka niwaageni!!!"
Walifunga safari na kuelekea kwenye hotel moja siku hiyo walipiga stori mbalimbali lakini kwa Junior na Rayna muda wote walikuwa wanaoneana aibu!!! Imlany aliamua kuuliza.
"" Mbona Rayna na Junior!! Hamna amani? Au mnaogopanaa, Au kwa Rayna naona kama vile wamuogopa Junior!!! Et Rayna nini shida??"
'" Hapana!! Sema tuma tumbo linanisumbua!! Ndio maana nakuwa mnyongee!!!"
Imlany alichukua simu nakumpigia Dreva tax!; Amuijie Raynaa!! Baadae akawa amekata simu yake.
"" Rayna!! Naona kweli unaumwa!! Naomba utangulie nyumbani nitakukuta!!"
"" Lakini My,,, Si tuondoke wote unisindikize baadae utarudi??"
""" Usijali Dreva atakufikisha salama!!! Alimshika mkono nakumpeleka hadi kwenye Tax!! "" Hakikisha mke wangu unamfikisha salama!!""
Huku kwa Junior akili yake ilikuwa ikimuwaza Rayna!! Kafikaje kwa Imlany nakuanzisha mahusiano, lakini kwa Lunnah kama kawaida wivu kwake ulikuwa ni ugonjwa wake!! Lile tukio la Imlany kumshika mkono lilikuwa linajirudia mara mbili mbili kichwani kwake!!! Japo Alijitahidi akili yake kuirudisha pale lakini ilikuwa ngumu.
Imlany alifika na kukaa na kuvuta kinywaji chake, lakini aligundua rafiki zake wote hawana amani, akawauliza;
"" Mbona siwaelewi shida nini??""
Muda huo huo simu ya Junior ilikuwa inaita, Alisimama na kupokea na kusogea mbali kidogo make ilikuwa ni simu ya kiofsi!!
Alirudi na kuwaomba radhi anahitajika kazini!! Aliwaacha wakabakia wawili!!.
Huku kwa Lunnah na yeye alisimama na kumuaga Duffer wake na yeye anaelekea nyumbani!!
Imlany alibakia pale akishangaa kwanini inakuwa hivi kila mtu anaondoka shida nini?? Alichukua usafiri wake na kumfukuzia Lunnah taratibu.
Lunnah alichukua Bajaji na kuelekea ofsini kwake, baada ya kufika alishuka na kuingia Ofsini kwake, Muda huo Imlany alikuwa kasimamisha usafiri wake huku akizidi kumtizama Lunnah!! Alimuonea huruma sana!!
"" Duffer!! Najua mapenzi yanakusumbua sana!! Najua yote hayo ni wivu wamimi kuongea na Rayna!! Lakini nitafanyaje? Na wakati wewe ndio umeniruhusu nimuoe Rayna!! Niruhusu basi niachane nae kwaajili yako niwe na wewe tu!!!"
Muda ulizidi kusonga baadae Imlany aliamua kuondoka na kurudi nyumbani, Alifika nakumkuta Rayna akiwa anaandaa chakula!!
"" Vipi mgonjwa!! Umepona tena hadi waandaa Chakula??"
"" Naendelea vizuri!! Nilipumnzika lakini Nasra akawa ananisumbua anamtaka Lunnah! Ikabidi nimbembeleze akawa kasinzia na mimi nikaona bora niandae chakula cha usiku!! Vipi Lunnah yupo wapi??"
"" Lunnah!! Aliondoka pale ulipotoka tu na yeye akawa kaondoka!! Vipi mtoto kalala wapi??""
"" Kwa Lunnah! Chumbanii!!""
Imlany aliingia hadi Chumbani kwa Lunnah!! Alimkuta Nasrah akiwa amelala alifika nakukaa kitandani huku akitizama na kumshika shavu.
"" Nasrah!! Wewe ni Mtoto wa dadangu Ennah!! Japo Ancle aliniambia nimuite Ancle, kumbe ni babangu mdogo!! Damu yako imebeba hisia za watu wawili yaani Imlany na Lunnah!! Wote umewaunganisha kwa Damu mbili!! Je tukitaka kuvunja undugu tukawa kitu kimoja mimi na Lunnah itawezekana???"
Imlany Feeling zake zilikuwa mbali sana, Baada ya kumaliza kuongea na Nasrah aliamua kuondoka huku akiacha kamfunika vizuri!! Alifika sebuleni na kukaa, huku akizidi kufikilia mambo mengi!!
Baadae Rayna alipita mbele yake nakumtizama, mara nyingi nyingi.
"" Kwaajili ya Upendo wako kwangu nitakuoa ila sio kwa hisia zangu!! Nitafanya hivyo kukamilisha make kila kitu kimekamilika!!"
Muda kidogo Lunnah ndio alikuwa akiingia huku akiwa amenyesewa kimvua, alipita taratibu huku Imlany, Rayna na mdada wa kazi walikuwa wamekaa sebuleni!! Lunnah aliamua aunge hadi chumbani kwake akabadili mavazi!!
Imlany alimsindikiza kwa jicho huku akibaki kumhurumia sana!! Alijua fika Duffer wake anateseka kwaajili yake lakini hakuwa na msaada tenaa!!
Baadae Lunnah alirudi akiwa amembeba Nasrah baada ya kuamka alifika na kukaa mezani huku Rayna aliendelea kupakua chakula!! Na kuweka mezani.
Huku kwa Lunnah alikuwa busy na mtoto akimsaidia kumlisha!! Baada ya hapo alimaliza kula nakushukuru kisha alielekea Chumbani kulala.
Imlany na yeye aliona Duffer! Wake kasimama na yeye alikula kifogo na kwenda kupumnzika.
Usiku Rayna aliamua kumuuliza mmewe mtarajiwa.
"" My!! Leo unashida gani na Duffer wako!! Mbona kila mtu yupo busy na mambo yake!! Mmegombanaa??"
"" Walaaa!!; Duffer kachanganywa kazini kwake tu!! Naona alipita ofsini huenda mambo hayapo sawa!!"
"" Vipi kuhusu upande wako na wewe!! Ulipita ofsini? Make nishazoea misemo yenu at maumivu ya Duffer ni maumivu ya Duffer mwenzake' na wewe upo hivyohivyo?""
'''' Hapanaa!! Nawaza Ndoa yetu sijui itakuwa yenye amani kweli?! Naona kichwa changu kinawaza mambo mengi! Ila kuyatatua sasa ndio nashidwa!!!
"" Mmewangu!! Nishilikishe basii na mimi huenda nikakusaidia, tatizo huwa unayabeba peke yako!! Wazani utapata kuyatatua??"
Imlany alifikilia Atamwambiaje wakati mambo yote ni Yeye na Duffer wake ndio chanzo!! Aliamua kumkumbatia tu!!
"" Usijali!!! Naona tayari yanaelekea mwisho!! Wewe pumnzika kwanza!!!"
"" My Nina swali nataka kukuuluza kabla sijalala!!!"
"" Okay!! Ulizaa!!!!"
"" Kwanini huwa hutaki kupumnzika na mimi!! Ni siku moja tu tangu tumejuana mimi na wewe!! Tena siku hiyo ni ile ulitoka hospital tangu siku hiyo huwa hutaki tenaa shida nini??""
"" Oohoo!! Kumbe!! Unakumbukumbu nzuri!! Daah!! Siku yenyewe kumbukumbu zangu zilirudi zikanipa stimulation ya kasi sana but sikutaka hata nifanye hivyo!!! Harafu haitajirudia tenaa mpaka siku ya Ndoa ndio itajirudia!! Sorry!! Lakini nilikufanyia sio matakwa yako!!""
Majibu ya Imlany yalifanya Rayna amuachie kwanza, alijitoa kwenye kumbatio!! Nakugeukia pembeni!! Huku akibaki kutafakari maneno mengi!!
""Hivi Imlany!! Wewe ni mwanaume gani hunae husia!! Teena unazidi nithibitishia siku ile ulipitiwa!! Bado unanitaka radhi!! Wataka kuniambia hisia zako huwa wazipeleka wapi?? Au ni kwa Lunnah??"
Imlany alitambua kabisa atakuwa kamuuzi Rayna!! Alimdogelea na kumkumbatia tenaa huku akimpatia maneno kadhaa.
"" Rayna Mke wangu!! Najua unazo hisia!! Wiki mbili sio mbali!! Tufurahie wote usiku wa wanandoa!! Natamani ufanye kitu ambacho sijawahi fanyiwa!! Naomba jikaze tu!! Naamini nitafanya kitu kizuri anbacho hujawahi fanyiwa naomba upumnzike Mamangu' kesho kila mtu aelekee kwake harafu jiandae kwenye Senf off!! Imefika tayari!!""
Maneno ya Imlany yalipenya masikioni kwa Rayna nakubaki akiachia tabasamu la chini chini huku akificha furaha yake na mto.
"" My!! Naona kama siku zinachelewa harafu tukiondoka!! Hakikusha unakuwa busy kufatilia Ratiba za Ndoa!! Sio dakika mbili upo safarini!!""
"" Usijali bhana!! Najua unaongelea safari za kwa Duffer!! Hapana kwasasa nitakuwa huko mpaka tukamilishe jambo letu!! Ndio nitarudi kwa Duffer!!""
"" Hiyo point!! Ndio nilikuwa naifatilia itakuwa wapi?! Okay tupunzike lakini udusahau katika Njozi yako kumuona Rayna ndio mwanamke wa ndoto yako!! Hebu jaribu kufumba macho hafu ruhusu hisia na ufahamu wako harafu niambie wamuona nani??"
Imlany alifunga macho yake, ile kufumba tu, Ndio anaona Taswira ya Lunnah tangu anatoka pale hotelin na kuelekea ofsini, baadae mwisho kabisa alimuona Lunnah alivyoingia akiwa kaloa mvua huku kajikunyata kwa baridi, mara ya mwisho alivyokuwa busy kula na mwanae baada ya hapo aliingia ndani!!!"
Rayna Ndio anamwambia afungue Macho.,
"" Vipi umeona Nini??"
Imlany aliwaza kitu cha kumwambia aliona ni hatari kwa maisha yake, ilibidi aongope!!
"" Kumbukumbu zangu Nimeona siku yenyewe Wazazi wangu wanaondoka!! Na kuniacha pekeee lakini leo imekuwa tifauti sana!; Siku ile niliokolewa na Ancle lakini leo nimemuona Rayna ndio kanitoa mtaroni!!!"
"" Waooo!!!! Natamani siku zote uzidi kuniona Ndotoni!! Okay byeee usiku mwemaa my love!!!!"
Asubuhi kulipambazuka, kila mtu alikuwa kwenye maandalizi yake!! Imlany alimaliza kujiandaa pasipo kumuona Duffer wake akitoka chumbani, Aliamua kumfuata hadi chumbani kwake.
Lunnah na yeye alikuwa tayari kadhamaliza kujiandaa!! Alikuwa akitoka nakuelekea sebuleni ndio anakutana na Imlany!!
Alifika mbele ya Imlany na kusimama baada ya kuona Imlany hapishi njia,, Imlany alimuomba mtoto nakumbeba huku akianza kuongea nae.
""" Naaah Byeee!!! Nitakumis kweli !! Wataka zawadi gani nikununulie leo!!?""
Lunnah aliwaza mbona Imlany hakuwa na wazo la kumbeba mtoto muda huo alitaka kunishika lakini akaishia kumbeba mtoto.
Aligeuka upande wa pili ndio anamuona Rayna yupo kwa juu alikuwa akiwaangalia, muda huo alikuwa akishuka chini na yeye kuelekea sebuleni.
"" Ooh!! Nimejua kitu kumbe Duffer uliogopa baada ya kumuona Rayna ukaishia kubeba mtoto lakini hata hivyo siyo mbayaa!! Abilia achunge mzigo wake!!!"
Baadae Lunnah aliamua kuwatoa wageni wake!! Nakuwatakia safari njemaa!!!"
Safari iliendelea!! Lakini Imlany ndio anatizama mfukoni nakukuta simu yake kubwa kaisahau.
"" Daah!! Sheet!! Simu yangu nimeisahau tenaaa nikuombe nikuache sokoni hapa!!! Dakika tano narudiij!!!
Rayna alishuka na kuomba sehemu yenye kibanda akawa amekaa huku akimsubili Imlany., Baadae ndio anakumbuka.
"" Mimi nae mjinga kweli!! Nakubali kirahisi Imlany ananiacha hivi nikwanini ningebakia kwenye gari nikarudi nae!! Hapa kaenda kumuaga Lunnah tenaaa!!"
Rayna aliona ataibiwa akawa kachukua usafiri na kurudi na yeye hadi nyumbani akimfatilia Imlany..
,,,,,Itaendelea,,,,,,,,
Usikose sehemu ya 27,
Kipi kinaenda kufuata!! Rayna atamkuta kweli Imlany!! Hivi ni kweli Imlany kasahau simu??
Fanya kulike, comments, Niunge kipande kifuatacho like zikifika 200, comment 💯, Nitaanza kupost vipande viwili kwa siku.
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 28. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Muda huo Lunnah alikuwa ametulia TU, akijifanya yupo busy kula Huku akizidi, kufikilia kitu chakufanya, Baadae Benazir alimtizama Lunnah, Kisha alimpatia maelekezo.
"" Sorry wifi!! Mpelekee Chumbani akapumnzike kwanzaa!! Jaribu kumbembeleza na Wewe huenda akakuelewa vizuri!! Ngoja nitoe vyombo kwanza!!" ENDELEA...
Lunnah alimshika Mkono Junior nakuondoka nae Hadi chumbani Huku Junior akiongoza njia!!
Junior Alifika moja kwa moja Chumbani kwake Kisha alikaa kitandani Huku akizidi kumtizama Lunnah.
"" Sorry!! Lunnah!! Najua kwa namna moja au nyingine nitakuwa nimekukwaza kwasasa Unaweza ukaondoka!! Nisikuvunjie ratiba zako za majukumu!!"
"" Hapana leo nipo free!! Nitashinda hapa!! Harafu hivyo Benazir hatofurahia kukuacha ukiwa mnyonge kiasi hiki!!!"
"" Sawa!! Vipi Naona unatizama Sana hicho kitabu!! Vipi umekipendaa??"
Lunnah muda wote alikuwa ameona kitabu kilikuwa pembeni kwa kitanda, ilionekana dhahiri Junior alikuwa akisoma pindi alipokuwa ndanii!!
"" Ooh!! Umejuaje!!?" Naona curver yake nzuri Sana!! Huenda inasadifu yaliyomo ndani yake!!"
Junior alikivuta kile kitabu, nakumpatia...
"" Okay!! Somaa!! Mimi ngoja nijiegeshe kidogo!! Naona usingizi unanielemea!!"
Lunnah alichukua kile kitabu, Nakuanza kukisoma jarida la juu!! "" Kiliandikwa! " DREAMS OF MY LOVE!!" Alifunua ukurasa wa kwanza nakuendelea kuusoma!!
Baadae kitabu lilizidi kumnogesha nakuamua kupadilisha pouz, make muda ule alikuwa amekaa kitandani Huku miguu kaning'iniza, ikamlazimu kuiweka juu Kisha alichukua mto mmoja na kukaa Huku ameegama!!!
Alizidi kusoma baadae usingizi nao ukamchukua, ikabidi kitabu akiweke pembeni apumzike kidogo, akiamka Ndio aendelee kusomaa!!"
Huku Junior usingizi Ndio ulikuwa unaelekea kukata, aliamua kujigeuza upande wa pili Huku akirusha mikono yake, Mkono wake ulitua kiunoni kwa Lunnah Ndio akashituka kutoka usingizini, ile anatizama Ndio anamuona Lunnah akiwa anaendelea na usingizi.
Ilibidi aanze kumtizama TU, Huku akiuondoa mkono wake taratibu ili asimsitue kutoka usingizini!!
"" Lunnah!! Natamani siku moja!! Mimi na Wewe tuwe tunapumnzika hivi Kama mke na mme!! Hamisha Basi hisia zako kwa Imlany uziweke kwangu!!"
Muda kidogo Benazir alikuwa anakuja kumuona Junior, atakuwa yupo na mood gani, Alifika Hadi chumbani na kukuta Mlango upo wazi!! Alichungulia kwanza nakuwaona wapo katika mood gani? Baada yakumuona Junior'' yupo busy na Lunnah aliamua kurudi taratibu Huku akiwaza Mambo mengi Sana!!!
"" Inaonesha kweli Junior!! Upo serous na feeling zako!! Naona Ni kweli unampenda Lunnah!! Ila naomba Lunnah akuelewe TU!!"
Huku Lunnah Ndio Anaamka usingizini, katika kujigeuza kwake alijikuta mkono wake kumuwekea Junior!! Ndio akasituka na yeye Huku akitoa macho yake akimtazama Junior!! Uso kwa uso!!
Junior muda huo alikuwa akizidi kumtizama na yeye, baadae aliamua kumtoa mkono wake nakuuweka kitandani Kisha alimuuliza;
"" Dusky!!" Vipi usingizi umekuisha??"
Lunnah alibaki akimuangalia Junior'' pasipo kumpatia majibu baadae aliinuka taratibu nakuchukua kitabu nakuendelea kukisoma!!
"" Vipi mbona hunijibu!! Harafu nahisi Nina njaa kweli!! Twende Basi tukale!! Najua hata Wewe!! Unae njaa!! Twende Basi tukale!!!"
"" Aah!! Sina njaa!! Harafu Nani Mwandishi wa hiki kitabu??
"" Umekisoma Hadi Mwisho kwanii?? Hebu Soma nyuma ya hicho kitabu utajua Mwandishi Ni Nani??"
Lunnah aligeuza kile kitabu nyuma, Kisha Ndio anashangaa Mwandishi wa kitabu Ni Junior Gerry!!
"" Hivi Ni kweli Wewe Ndio Mwandishi wa hiki kitabu!!??" Kwanini Sasa uliamua kuandika, "" Why iwe DREAMS OF MY LOVE??" Mbona naona matukio yaliyomo Ni Kama yangu TU!!"
"" Ooh!! " Dreams of my love!! Ndoto ya Mpendwa wangu!! Nakipenda Sana hiki kitabu, kwasababu Kuna binti mmoja nlipata history ya maisha yake ya mahusiano!! Siku zote alikuwa na Ndoto yakuolewa na mtu mmoja Lakini katika ndoto zake alisahau Kama mtu aliyemuweka Kwenye Ndoto, hapo awali na yeye alikuwa na Ndoto yake!! Ikawa Ni mfukuzano mwenye Ndoto na yeye anamtaka mwenye Ndoto yake, harafu Huku nyuma Kuna mtu na yeye yupo nyuma anafukuzia ndoto yake!! Hapa natamani siku moja nione Kila mwenye ndoto yake wapi itafikia,,, Ndio maana bado kitabu nazidi kukiandaa taratibu kutokana na matukio yanavyojili!!!!"
"" Hayaa!! Twende tukale kwanzaa!! Kula peke'ngu Mimi huwa sishibi!! Kama hautakula twende Basi ukanipe kampani hata ya kukaa TU Huku nikiwa nakula!!!
Walifika moja kwa moja Hadi mezani, Junior alibakua chakula Nakuanza kula,
"" Kwelii Lunnah!! Haunayo njaa??" Okay najua unaniogopa kulaa!!!
"" Wewe nae hebu kulaa bhana!! Hafu nataka niende nyumbani Naah! Atakuwa kanimis kwelii!!!
"" Wewe subili kwanza!! Nitakupeleka TU, harafu hujaamuaga Wifi yako Benazir!!"
"" Aah!! Si wifi huyoo!! Seema dadako Bhanaa!!""
"" Ayaa!! Naona na Wewe Ni kagumu kwelii!! Na yeye huyu Hapa kafika!!
Junior aliondoka na kuwaacha wawili na yeye aliondoka na kwenda kukiandaa ili amsindikize Lunnah. Huku Lunnah alibaki na Benazir, Kila akitaka kuongea anashidwa ataanzaje kumuita baadae aliangalia na kumuona Junior hatokezi Ndio akaamua kumuita wifi.
"" Wifi!! Mimi nataka niwaache nikaangalie familia yangu!! Najua wamenimis kwelii!! Kesho najua waondoka kanambia Junior'' hivyo nikutakie Safari njema!!
"" Sawaa!! Nashukuru kwa ujio wako!! Hata hivyo nimependa jinsi ulivyoniita!! Natamani ikawe Ni wifi kwelii!! Sio maneno TU!!"
"" Hahaaa!! Sawaa!! Tuombe uzimaa!!
Muda kidogo Junior Alitoka akiwa kavaa zake Peans na jeez ya Manchester!!
"" Vipi Mwanamke!! Nikuache kwanzaa!! Naona zimenoga!!"
'" Nipo tayari bhana!! Wewe twendee!!
Junior alimuaga Dada'ke na kuondoka, Alichukua usafiri wake na kuondoka na Lunnah!!
Huku Njiani Lunnah alikuwa kimya Huku akitafakari maneno ya Benazir.
"" Ani huyu Benazir!! Mimi kumuita wifi Ndio imekuwa wifi!! wifi!! hajui nilifanya hivyo kumpa heshima tu, na angekuwepo Junior'' walaa nisingemuita hivyo!!"
Junior muda huo alikuwa busy na Earphones, Huku akisikiliza music taratibu, Lunnah alikuwa akimwangalia chinichini ilibidi amuulize.
"" Hivi wajizikiaje kumsinfikiza mgeni hafu upo Busy na Earphones!! Ndo ulivyofundishwa hivyo??"
""Wewe ongea tu, nakusikia!! Hata nikitoa Earphones wazani nitaongea Nini Zaidi ya kukukela tu make Maada yangu Ni ile Ile TU! Nakupenda Lunnah!!"
Lunnah kufikia hapo hakuwa na swali tenaaa, ilibidi akae kimya nakuchukua simu yake nakuingia mtandaoni. Aliiamua kumtafuta Duffer wake Huku alimtumia voice message!!
"" Hellow Duffer!!! Umzima Lakini!! Naona upo kimya tangu urudi kwenuu!!"
Junior alikuwa yupo Busy na Earphones Lakini alisikia Ile Sauti ya Lunnah akiongea, ilibidi amtizame tu, Kisha alishika usukani nakuongeza Spid Kali mpaka Lunnah alishituka nakumuuliza.
"" Dusky!! Unataka kuniua!! Naona umenichoka Sasa!! Sio lazima uniue kwa gari kanunue hata vidonge vya sumu unipatie ninywee!!"
Junior alikuwa hajari hataa!! Huku Lunnah aliamua kufunga mkanda Huku akiongea.
"" Hata hivyo si tutakufa wote!! Ayaa Dusky ongeza spid tumwange ubongo!!"
Aliona Kuna Ujumbe umeingia ulikuwa Ni wa Imlany.
"" Hapanaa!! Duffer Kuna kitu naandaa Hapa ngoja nikutumie!!!
Muda kidogo Imlany alimtumia kitambaa Cha suit,
"" Duffer!! Vipi hii imekaa vizuri nikishona harafu nikavaa kwenye send off week kesho??"
Lunnah alikitazama kile kitambaa, kilionekana Ni kizuri Sana, ila kwa Lunnah tayari alikuwa ameguswa kunako moyo, ilibidi azime data nakumgeukia Junior Bila kujua alimwambia aongeze spid tenaaa
"" Wewe!! Si ndie ulikuwa walalamika Nina speed kubwa!! Sasa Niongeze twende wapi wakati tumeshafika!!!
Lunnah Ndio anatizama mazingira, kumbe Ni muda wamefika, Alichukua mkoba Wake ili ashuke, Junior aliamua kurock kioo kwanza Huku akimtizama Lunnah anavyohangaika kufungua.
"" Sasa!! Utahangaika hivyo Hadi saa ngapi?? Vipi Naona Duffer wako!! Katikisa kiberiti, harafu kwanini usimjibu tu!! Kuwa kitambaa Ni kizuri!! Huko aliko anasubili umjibu ili alipiee!!"
"" Dusky!! Na Wewe hayakuhusu, muda wote upo kuchungulia simu za watu!! Na hizo peans zako na jeez unavyopenda kuzivaa!!"
"" Daaah!! Dusky!! Ukikosa mood huwa wote wataka tuwe moodless!! Hizi peans zimefanyaje tenaa!! Tafuta suruhisho la tatizo lako, unazani Utakuwa hivi Hadi linii! Anyway Ni maisha uliyochagua okay!! Wasalimie hapo!!!"
Junior alimfungulia Mlango, Kisha Lunnah alishuka Huku Junior alibaki kumsinfikizia jicho TU, Aliwasha gari yake Lakini aliona massage inaingia ilikuwa Ni no ngeni.
"" Junior!! Naomba Wewe muoe Lunnah!! Ukimuacha Imlany atakuwa muda wote anamuwaza yeye!! Mimi nitakosa amani na ndoa yangu!!""
Junior alimaliza kusoma Ujumbe, Aliamua kumuuliza.
"" Wewe Nani?? Naona Ujumbe Lakini namba ngeni?"
"" Mie Rayna!! Naomba unisaidie please Junior!! Si Wewe wampenda Lunnah!! Make nimepigiwa simu na Ratifa!! Imlany kaenda kusafisha picha ya Lunnah nakuiweka ukutani Huku akiwa kaandika maneno!!" IKAWE KHERI MY DUFFER ❤️harafu kuna picha nyingine tenaa kaandika!! MANENO YAKO SIWEZI KUYASAHAU!!
"" Please Junior!! Wewe Ndio waweza nisaidia!! Naomba hata umuondoe Lunnah kwanza mpaka harusi yangu ipite!! Ndio arudi!! Tazama Send off Ni wiki kesho TU!! Wazani Lunnah akihudhuria itakuwaje!!! Siwezi kukuficha Junior!! Mimi kwasasa nishabadilika na hapa nampenda kweli Imlany!!!"
...... Itaendeleaa.........
Usikose Sehemu ya 29.
Like, comments, Share. Ndio nguzo ya Mwandishi kuzidi kuandaa Kazi nzuri!!
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 29. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
"" Please Junior!! Wewe Ndio waweza nisaidia!! Naomba hata umuondoe Lunnah kwanza mpaka harusi yangu ipite!! Ndio arudi!! Tazama Send off Ni wiki kesho TU!! Wazani Lunnah akihudhuria itakuwaje!!! Siwezi kukuficha Junior!! Mimi kwasasa nishabadilika na hapa nampenda kweli Imlany!!!" ENDELEA...
Junior na yeye Baada ya kusoma Ujumbe!! Akawa ameshituka kweli!!
"" Daaah!! Nini Imlany!! Unachofanya kwasasa!! Najua wampenda Sana Lunnah!! Ila hupaswi kufanya hivyo kwasasa Wewe Ni Bwana harusi!! Jamii, ndugu wote wanakuangalia kwa macho mawili!! Nktafanya kitu ili usiaibishe jamii!!
Baada ya kuwaza Sana aliamua kumjibu Rayna.
"" Usihofu!! Nitakusaidia kadili ya uwezo wangu!! Ila hata hivyo Duffer Ana hisia kubwa Sana kwa Duffer wake!!
Junior aliamua kumuahidi kumsaidia Lakini aliamua kumchanganya kidogo kwa maneno ya uchochezi.
Muda huo Lunnah!! Alikuwa tayari katumiwa zile picha What's up na Imlany, Huku akifatisha maneno.
"' Ni kweli Duffer!! Umeamua kumtakia Kila la kheri Duffer wako?? Kweli Ijumaa Ni Send off!! Naenda Kuoa huku nikiwa namuacha Duffer wangu!!!
Lunnah alikuwa akizidi kuzitazama zile picha, huku akifikiria Mambo mengi Sana.
"" Huyu Duffer!! Anataka kuweuka!! Mimi Ni Duffer Wake, Tena Ni ndugu yake!! Nisipoangalia!! Duffer wangu ataenda kuaibisha jamii!! Nahitaji muda wakumjenga ili awe sawaa kwanzaa!!
Lunnah Alitoka nje kwanza, Ndipo anashangaa kuona Junior' alikuwa badoo yupo Kakaa kwenye gari, ilibidi asogee Hadi kwenye gari.
""Dusky!! Badoo upo hapa!!??"
''"Ingia kwenye gari kwanza!! Kuna kitu nataka tuongee!!!"
Lunnah Aliingia kwenye gari, Junior'' aliamua kumuuliza.
"" Vipi Dusky!! Ulimjibu Duffer wako ile SMS yake??"
Lunnah Alichukua simu nakumpatia Junior'' zile picha, Baadae Junior'' alimaliza kuzitazama aliamua kumuuliza.
"" Vipi Wewe umejipanga vipi kumsaidia Duffer wako!?? Make naona hii Ni Shida tenaa hafu send off Ijumaa, Mimi nataka uende ukaongea na Duffer wako umjenge kiakili kwanza kabla ya Ndoa!!"
"" Mimi pia nafikilia nifanye hivyoo, kesho naweza Ondoka!! Ila nikienda haipaswi mtu ajue Kama nimeenda!! Make pale nyumbani kwasasa Kuna watu wengi!! Nitafikia hotelin Kisha nitamuomba Imlany anikute nilipo.
"'" Sawaa!! Nikutakie Safari Njema!! Ngoja Mimi niende nyumbani kesho Asubuhi nitamsindikiza Sister! Harafu nitapitiliza kazini! Sitakuwaa hewani make twaenda be polini kwanza!!
"" Sawaa!! Ukiwa hewani utanitafuta!!!"
Siku iliyofuata Lunnah aliondoka nakuelekea kwao Imlany, Alifikia kwenye hotel moja Kisha alimtafuta Imlany Kama kumfanyia Supplies.
"" Hellow Duffer!! Nikuombee naomba uende!! Kwenye Hoteli ya Mour! Kuna mzigo wako wa Harusi Kuna mtu nimemuagiza akuletee!! Naomba Tafadhari wahi ufike mapemaa!!"
Imlany alijiandaa haraka nakuelekea Sehemu aliyoelekezwa ilibidi amtumie Ujumbe Lunnah!!
"" Tayari nimeshafika!! Huyo mtu Yuko wapi??"
Lunnah alimpatia maelekezo!! Aingie kwenye chumba no 120, Ndio atamkuta huyo mtu kamsubili!!
Imlany Alifika na kugonga Mlango Lakini hakusikia muitikio aliamua kuzungusha kitasa nakuingia. Muda huo Lunnah alikuwa ametoka kidogo kutafuta vinywaji, Alifika nakumkuta Imlany kakaa kwenye kiti huku Alijaribu kupiga simu kwa Lunnah,
Lunnah alifungua Mlango taratibu nakumuona Imlany kamtegea mgongo, alisogea taratibu nakumziba macho Kisha alimwachia nakumwambia.
"" Supries Duffer!! Ur Welcome!!"
Imlany Ndio anageuka na kumkuta Lunnah, hakuamini macho yake ilibidi asimame nakumkumbatia.
"" Vipi Duffer!! Umekuja Tuoane??"
Swali la Imlany lilimsitua Lunnah!! Nakuingiwa na kigugumizi, Ilibidi amuachie Imlany nakumkalisha taratibu Chini.
"" Duffer! Wako nimekuja kukupatia sapoti yakufanikisha Harusi yako!! Nimeona nitakuwa na moyo mgumu Kama nitazidi kukuachaniza na majukumu wakati Wewe Ni Bwana harusi!! Inatakiwa utulize kichwa!!
Imlany hakuamini kabisa Kama Lunnah!! Leo kawa jasiri kiasi hichoo, Aliona Kweli Ni Supplies, lakini akaingiwa na hofu, kwanini asije nyumbani Kama Ni Amani amuitie Hotelin?? Anyway nitajua TU aliamua kumuuliza.
"" Kweli Duffer!! Upo serous haunayo wivu Tena kwa Duffer wako, make siku zote huwa najua unaumia Sana nikigusia swala la harusi!! Harafu tangu nikutumie kile kitambaa Cha kushona hukunipa majibu!!!"
"" Ooh!! Usijali Nilitaka Tukachague wote na Duffer wako!! Tena twende sahii, ila nikuombee kitu!! Nataka usimwambie mtu yeyote Kama nimekuja huku!! Hata Rayna usimwambie! Usimpe presha kwasasa anawaza Sana Harusi tumuache arelax kwanza, si sawa Duffer!!?"
Imlany Aliamua kumfinya Shavu, Ishara ya kukubali nae, walitoka pale Hotelin nakuelekea Hadi kwenye maduka ya vitambaa, walifika nakuchukua kitambaa Kisha walielekea kwa fundi kushonewa!!
Baadae Walirudi Hadi Hotelin nakuendelea na sitori, japo Imlany hakuwa na furaha kabisa alikuwa akijikaza tu, hata kwa Lunnah na yeye alikuwa akijikaza tu kwa kuwa Alikuja kwenye mission. Lunnah Ilibidi awe mzungumzaji Mkuu.
"" Duffer!! Najua Mimi na Wewe Ni ma Duffer!! Najua katika urafiki wetu tulikwazana, baadae tulisameheana tukaishi kwa furaha!! Furaha yetu kamwee haiwezi kuishia Njiani, naimani itazidi Zaidi!!"
"" Nakumbuka siku ile uliniomba ombi moja japo Sikukujibu ila leo nitakujibu, " Uliniomba Siku mkioona na Rayna ulitaka tukae mkoa mmoja!! Namimi nimekubali kwaajili ya Duffer!!! Nipo radhi kutiii ombi lako!! Nktafanya hivyo!!"
"" Pia kuhusu kazi za Kampuni yetu!! Kwa muda utakaokuwa kwenye ndoa tutakupa week moja kwanza ya mapumnziko!! Harafu katika Kampuni kwa upande wako atasimamia Rich na mkoani kwangu nitakuwepo Mimi!! Na hii imetoka kwenye Uongozi wa kampuni nasisi tutatekeleza hivyooo!!"
"" Kuhusu Ukumbi!! Usafiri, Malazi kwa wageni toka nje, watakaofika kampuni Ndio itawajibika!! Pia hata route ya Honeymoon kampuni limeandaa Sehemu ya kupumzika wanandoa!! Zaidi usiwe mnyonge Sana Mimi nipo upande wako nahakutaharibika kitu!! Najua Duffer wake Kweli hapendi kuona Duffer wake anadharirika! Au anafedheheka!! Nipo Tayari kusimamia kila kitu.
"" Nimefanya hivi!! I'll nionane mapema na Wewe!! Ili tuzidi kuweka Mambo yote sawaa!! Wewe kwasasa Sitaki Tena nikuone ukijangaika na maswala ya Kazi!! Kuhusu michango kwa watu ambao bado wanaendelea kurejesha kwasasa pesa zote zitakusanywa na Rich!! Pia hata kwa upande wangu nimemuachia Amos Ndio atakusanya!!
"" Mwisho kabisa nikutakie kila la kheri na maandalizi mema ya Harusi!! Japo kwasasa naomba ukatulize kichwa kwanza!!"
Lunnah alimaliza kuongea, nakuelekea Bafuni kwanzaa!! Alifika nakufungua maji kwa Kasi Kisha alilia Sana, hata Yale maneno aliyokuwa akiongea Alikuwa amejikaza!!
Muda huo Imlany alibaki ametulia kitandani Huku, akizidi kufikilia maneno ya Lunnah.
'" Duffer wangu!! Namjua Vizuri!! Siku zote huwa anaongea maneno huku akiwa jasiri lakini matokeo yake hukimbilia Sehemu Nakuanza kulia!! Okay Lia machungu yakiisha utanikuta nakusubili!!"
Huku kwa Lunnah, Alikaa Kama nusu saa akiendelea kulia!! Baadae Aliamua kufuta machozi nakutoka bafuni, Alifika nakumkuta Imlany alivyomuacha kakaa ndivyo hivyoo hivyoo alivyomkuta!!
Alimsogelea na kukaa pembeni yake!! Huku akitafuta namna ya kuzungumza na Imlany!!
Imlany Aligundua kabisa Lunnah, anataka azungumze nae, Ilibidi anyanyue kichwa chake Kisha alimgeukia Lunnah, nakumshika mikono yake na kumtizama Usoni!!
Lunnah, Alishidwa kujizuia Nakuanza kulia, Imlany aliamua kumkumbatia tu.
"" Najua Moyo wangu una maumivu!! Hata kwa Duffer wangu najua na yeye anamaumivu Yale Yale ya Duffer!! Najua ulikuja ili unitie Nguvu!! Niweze kukamilisha hatua hiii!!! Kwaajili yako Nitafanya Kama Wewe unavyotaka Japo moyo wangu upo katika wakati mgumu Sana!!"
"" Ni sawaa nimekubali Naenda kumuoa Rayna!! Naomba uwe na Amani!! Kuoa kwangu sio njia yakunitenganisha na Duffer wangu!! Sikuzote nitazidi kukuheshimu!! Nitazidi kukupenda pia!! Zaidi nitazidi kukuombea Upate Duffer mzuri utakayempenda Kama Mimi!! Najua kwangu umeonesha upendo wa Kweli!! Hata utakayempata mpatie huo huo upendo uliouonesha kwangu siku zote!!
"" Siku zote katika Safari ya maisha!! Huwa Kuna vitu vingi Sana, utakutana na Mikasa mbalimbali itakayokurudisha nyuma Lakini lazima utafikia Sehemu sitahiki, huenda katika Safari yangu Mimi na Wewe ilikuwa Ni mipango ya Mungu tupitie hapa ili tutokeze Sehemu nyingine!! Au inaweza ikawa Ni Safari bado inaendelea hiyo bado Ni mipango ya Mungu kwetu!! Make yeye Ndio anajua hatima ya maisha yetu ya Sasa na ya baadae!!""
"" Nikuombe uwe na Amani najua nikipindi kigumu kwa Sasa unaenda kupitia!! Ila mtangulize Mungu katika Safari yako!! Yeye Ndio kiongozi wako!! Hakikisha usiruhusu Huzuni itawale moyoni, Zaidi Furaha kwako Ndio iwe kipaumbele, Na Mimi sitakuacha uwe mbali na Mimi!! Muda wote nitafute!! Namimi nipo Tayari kukurejeshea furaha pale utakapokosa furaha.
"" Najua Ni Ngumu kumeza, kwa mtu ambae hajapitia wakati Kama huu!! Ila naomba uniahidi tu, Duffer utakuwa na Amani!!??"
Imlany alimwachia Lunnah katika kumbatio, Kisha alimpatia nafasi ya kumjibu kwanza kwa swali lake!!
Lunnah alikuwa badoo akizidi kulia, maneno ya Imlany yalizidi kumuongezea machungu, Alishidwa ajibu Nini Zaidi yakuendelea kulia.
Imlany Ilibidi azidi kumbembeleza mpaka awe sawaa!!
"" Lunnah wa Utotoni!! Hakuwa analia kiasi hiki!! Ila huyu wa ukumbwani analia Sana!! Basi Rudi Basi uwee Lunnah wa utotoni!! Ili nikikubembeleza uwe unanyamaza Kama awali!!"
"" Lunnah wa utotoni!! Nakuita kwa jina la YESU, Rudi hapa!! Rejesha fahamu zako!! Lunnah Nakuita kwa jina la YESU!! Rudiiiiii!!"
"" Lunnah!! Mtoto Amka basii uone zawadi ya kile kitambulisho chako!! Tukiwa wayoto ulikuwa mnene sana!! Shavuuu Sasa Kama bilinganyaa!!!' harafu ulikuwa tipwa tipwa hebu amka uonee!! Amka Basi Lunnah!!!"
Imlany alichukua kile kitambulisho nakumsogezea Lunnah machoni, Lunnah alipokiona kile kitambulisho alikikwapua kwa nguvu nakubaki akikitizama Kisha alianza kuachia tabasamu.. ilibidi amjibu Imlany.
"" Mbona na Wewe!! Ulikuwa na tumasikio Kama Sungura!! Midomo yako na pua yako!! Kama ya watusi!! Ila kashambaaa!!!" Midomo muda wote ilikuwa nje nje TU!!
"" Aah!! Wewe huoni!! Ila ulikuwa Ni kazuri sana!! Harafu keupeee!! Ila kwasasa umefifia!! Mwanzoni nilikuogopa nikawa nakufananisha na kitoto Cha nguruwe!! Make hata kutizama ulikuwa watizama Kama kinguruwe!!!"
Lunnah alichukua simu ili akipige picha kile kitambulisho.
"" Sawa leo nskupost!! Tuone comments!! Nani mzuri hapa !! Tennaa ujiandae kuchekwaa leo!!"
Imlany Aliamua kumnyanganya simu ili asipige picha!! Ikawa nivute nikuvute!! Huku furaha ya Ma Duffer wawili ikarejea tenaaa...
,,,, Itaendeleaa,,,,,,,
Usikose Sehemu ya 30.
Nini hatima ya mkasa huu??.
Like, comments, Niunge kipande kinginee.
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 30. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Imlany Aliamua kumnyanganya simu ili asipige picha!! Ikawa nivute nikuvute!! Huku furaha ya Ma Duffer wawili ikarejea tenaaa... ENDELEA....
Asubuhi yake kulipambazuka Waliamka na kuendelea na baadhi ya mahemezi kwaajili ya Send-off, pia upande Wa Imlany alianza kuandaa watu wakumsindikiza Kwao Rayna kwa Send-off!!!!
Lunnah muda huo alikuwa yupo Hotelin akijiandaa na Safari, make muda mwingine ilikuwa Ni Ngumu kumsindikiza Imlany Kila sehemu na wakati Alikuja kiwiziwizi!!!.
Baadae Imlany alipokea Ujumbe kutoka kwa Lunnah alikuwa akimhitaji afike ili aweze kumuaga.
Alifika moja kwa moja nakuingia Chumbani na kumkuta tayari Lunnah ameshaandaa begi lake.
"" Vipi Safari imeiva!!?"" Vipi hii Ni zawadi yangu Bila Shaka!! Make naona hukuifunga Kwenye mizigo yako!!"
"" Yaaah!! Nikwaajili ya Duffer!! Ni kiatu nimekununulia utavaa Kwenye Send-off, pia Baada ya Send-off Kwenye harusi nataka nikuvike Mimi!! Ani juu mpaka chini Ni Duffer ndio anahusika!!!
Imlany alichukua kile kiatu nakukijaribishia ukwelii kilimtoa Sana, muda wote alipendeza, Ilibidi amkumbatie Lunnah huku akimshukuru Sana.
"" Kapendeza nimependeza!! Ila kitu kitakacho nifanya niharibikie Ni Wewe nisipokuona Kwenye Send-off!!! Naomba usinifanyie Kama ya nyuma siku ambazo hukuhudhuria Kwenye tukio!!; Si sawa Duffer!!!??''
Lunnah Ilibidi akubali kwa ishara kwa kutumia kichwa kwanzaa.
"" Mimi Matroni!! Kwanini nikose Duffer!!!?""
"" Okay!! Huwa hunidanganyi! Naimani hata hili hutanidanganya tenaa!!"
Baadae Imlany Alimchukua Lunnah nakumpeleka Kwenye Duka moja la Fashion Design Clothes, Waliingia Lakini Imlany alimuacha Lunnah kakaa Kwenye kiti huku akimuomba amsubili.
Alianza kuzungukia Lile duka Baadae alipata gauni moja zuri!! Alimuita mhudumu nakumuomba amshushie Kisha alimpatia maelekezo, Ampeleke Lunnah ajipime akishavaa amuite.
Lunnah alichukua Lile gauni nakulijalibishia, Baadae alirudi akiwa kapendeza Kweli, muda huo na Imlany alikuwa tayari akimgoja amuone jinsi alivyopendeza,
Kila mtu alizidi kumsifia, huku sifa zikielekea kwa Imlany, kuwa anajua Kweli kumvalisha mkewe, kwa kutizama tu, walijua Ni mke na mme.
Muuzaji alimtaka radhi Lunnah!! Nakumpiga picha Kisha alihifadhi Kwenye simu, Nia na malengo ilikuwa nikufanyia tangazo...
Imlany Alimchukua Lunnah nakumpeleka Hadi stand, Kisha Alimchukua usafiri huku akimuomba tenaaa!!!
"" Duffer!!! Gauni nililokuchukulia naomba uvae siku ya Send-off yangu!! Hakikisha hauniangushi gauni Hilo Ni spesho kwa Send-off yangu TU!!!
Baadae waliachana, Huku Imlany aliamua kumpigia simu Rayna.
"" Hello Mamangu' Harakati inaendeleaje huko make Alhamis Nakuja nikiwa na Team yangu!! Ole wako utuaibisheee!!!"
"" Hapana!! Mambo yapo vizuri tangu siku nyingi!! Wewe Kama waja, njoo hata Sasa!! Harafu Unyoe vizuri!! Naimani utapendeza!! Na hivyo vichunusi vya mbalimbali hakikisha unafanyiwa scrub nzuriiii, Ili uzidi kunivutia Zaidi!!!"
"" Muone!!! Hapa hata kunyoa sinyoii!! Scrub ntanunua sabuni ya Ukwaju!! Si wajua inavyoning'alisha Mimi Sitaki hayo machemical mengi mengi!!!"
"" Ni Sawaa!! Ila nakumisi Sana!! Mmewangu, Harafu vipi kuhusu Duffer wako anakuja!!?""
"" Ndioo!! Atafika!! Kwanini asifike wakati Duffer wake anaoa!! Akiacha si nitajua Ana Jambo lake, Lakini hata hivyooo... Lakinii lazima afikee TU, hanaga danganya danganya Duffer wangu.
""" Ooh!!!! Basi vizuri!!!!"
"" Baadae Sasa!! Make nipo mjini!!!"
Imlany alikata simu yake!! Kisha aliendelea na Safari!!!
Huku kwa Rayna, Baada yakumaliza kuongea na Imlany, alihisi Mwili wote haunayo Nguvu!! Alichukua simu nakupiga kwa Junior...
"" Junior!! Hivi Ni Kweli Lunnah!! Atakuja kwenye Send-off?? Nimeongea na Imlany kanihakikishia et, lazima atafika,, hivi hayo Ni ya Kweli', Kweli!!??"
"" Daaah!!! Hapa nipo kazini nikitoka! Nitaenda kuongea nae!! Harafu majibu nitakupatia!!!"
••••••••••••••
Ilikuwa imesalia siku moja Send-off kufika!!! Muda huo Lunnah alikuwa Busy akichapisha Kadi za mialiko mbalimbali huku akizidi kuzisambaza kwa Kila mtu aliyechangia, huku Akishilikiana na Maneger wake kuweka Mambo sawaa!!!
Baadae alifika Junior Huku akiwa ameongozana na jamaa zake wawili akiwepo Anord,
"" Vipi Dusky!! Harakati zinaenda sawaa!!?"""
"" Ndio zipo sawaa!!;"
Junior alipigiwa simu, ikamfanya atoke kidogo aongee na simu, Ilikuwa Ni simu toka kwa Rayna.
"" Rayna!! Wewe usijari!! Lunnah atakuja Ndio Lakini hawezi fanya kitu chochote!!! Kwasasa ameshazoea kaamua kukuachia Imlany wako!!! Wewe usiwe na hofu muda wote nitakuwa nae karibu nikija huko!! Vipi Wameo wamefika???"
"" Ndio wameshafika wapo Hotelin!! Wana Kama lisaa hivi!! Wamenijulishaa!!!"
"" Okay!! Sawa Wewe pambana! Kila la kheri nikutakie maandalizi memaa!!!"
Huku kwa Imlany, Baada ya kufika Hotelin alikuwa ameongozana na rafiki yake Rich!! Huku akiwa Kama msindikizaji!! Muda huo walikuwa wamekaa nje wakipata chakula huku stori zikiendeleaa!!! Imlany aliwaacha pale nakuingia Chumbani kwake.
Alifika nakujitupia kitandani Kisha alichukua simu yake nakuamua kumpigia Duffer wake Video call!!!
"" Vipi Duffer!! Naona upo busy nakuchapisha Kadi!!! Harafu mbona hata hujasuka unakuja Kweli??""
"" Ushaanza!! Kwani saloon kusuka kwa Sasa Ni siku moja!!??" Tulia nimalizie kusambaza Kadi za watu Baadae nipitilize Saloon!!!"
"" Waoooo!! Kweli Duffer wangu mpaka saahii, Anahangaika kufanikisha Kila kitu kwa Duffer wake!! Harafu Duffer Sasa Ndio nimelala miguuu juu!! Harafu nimekumis ujue!! Natamani nikuhag harafu nisikilizie hayo manukato yako kwa Nguo!!!""
"" Wewe!! Hebu lala!! Usinzie!! Ukiamka kesho hiyo Nikuhag piaa!!!"
"" Sawa Baadae!!! Hafu usiku nitumie picha ukiwa umesuka sawaa Mchumba!! mchumba!!"
"" Aaaah!!! Duffer!! Unanisumbua bhana!! Baadae...."
"" Okay!! Byee Ur simile so good Amaizing!!"
Baadae Imlany alipokea simu ya Rayna, alimpigia Video call, Baadae Imlany aliamua kukata simu baada ya kuona wenzake wapo macho wakimkodolea machoo!!!
"" Oyaaa!! Rich!! Jicho lote hilo!! Unataka kumchungulia Shemeji yako et!!!?""
"" Wewe nae!! Mbona Lunnah ulikuwa waongea nae nasisi twasikia!! Ila ulitunyima video yake tukamchungulia huyu Bi mdogo!! Mchepuko!!! Hafu Rayna wataka kujificha au wamuonea Wivu!! tatizo kwichkwich nyingi zilikuwa kwa Lunnah!!
"" Mnazingua bhanaa!! Harafu mnipishe niongee na Bi harusi wangu!!!"
"" Wewe!! Ongea TU sisi hatuoni!! Harafu unataka kulala hujafanya Scrub!! Kumbuka Yule Manzi Ni Mwanasheria!! Wewe ukikaa umekakamaa utaibiwa!!""
Imlany aliamua kuachana nao alifungua Mlango nakutoka nje, Kisha alimpigia simu Rayna!!!
"" Sorry!! Nilikuwa kwa Jam kidogo!! Sikuwa na Uhuru wakuongea si unamjua Rich!! Maneno mengi yulee!!!"
"" Ooh!!! Hebu sogeza camera kwanzaa nikuone ulivyo pendeza!!
"" Wewe nae!! Huwa wanapendeza wanawake!! Mwanaume huwa anakuwa smart!! Kiaina tu nimesoftika!!"
"" Waoooo!! Kesho natamani ifike haraka nikuonee TU!
Story zilizidi kuendelea kwa Wanandoa, huku wakizidi kuusindikiza usiku ili ukuche haraka, ianze siku nyingine tenaa ambayo Rayna alikuwa akiisubili kwa hamu Sanaa!!!"
Kulipopambanzuka huku Kwa Lunnah aliamka Asubuhi nakumtumia Imlany picha, Alikuwa kavaa gauni lake zuri huku na viatu vyake katupia, Bila kusahau Nywele yake ilikuwa imetengenezwa baraa!!! Huku akiandika Ujumbe.
"" Soon twafika hapo!! Hii Nguo nimevaa ili nikifika huko!! Nitabadilisha nakuvaa Lile gauni lako! Nitakuja Mimi huku nikiwa nimeambatana na Junior na team work yangu wote tushajiandaa!!! Okay soon Nakuja nikuone tenaaa!!!"
Imlany aliona ule Ujumbe nakubaki akiwa amejawa furaha baada ya kuona Kweli Duffer wake anakuja kumpatia kampani!! Aliamua kumjibu.
"" Hata Mimi nakusubili kwa hamu Sanaa!!! Ur Welcome Duffer and Other team work!!"
Lunnah Alisoma ule Ujumbe Kisha aliishia kutabasamu tu nakusema.
"" Furaha ya Duffer!! Ni kumuona Duffer wake!! Anakuwa karibu yake!! Ingawa kwasasa itakuwa tofauti kwako!! Duffer wako hatoweza kuvumilia maumivu huku akiwa anashuhudia tukio mbele yake!! Itoshe TU kusema!! KILA LA KHERI KATIKA NDOA YAKO!!
Lunnah Alichukuwa begi lake la nguo, Kisha Alimchukua Mtoto wake Naaah'' Ambaye aliachiwa na Ennah!! Alikuwa amemuandaa vizuri, waliingia kwenye gari nakuondoka nae.
Wakati yupo Njiani alichukua simu yake!! Nakuandika Ujumbe kwa Junior.
"" Dusky!! Sorry Kwakuwa nimekushitukiza, Sikukuaga!! Ila nimekuacha Wewe nataka Duffer wangu!! Akamilishe hatua aliyonayo!! Ndoto yake kubwa nikuniona Mimi kwenye Harusi, Najua nimefanya hivi ili kuonesha Furaha ya Duffer inaonekana.
Najua ningehudhuria!! Duffer angeniona Mimi!! Na Mimi nikamuona yeye!! Sitaweza kujizuia, kwahiiyo kushidwa kwangu kujizuia kutamfanya na Duffer ashidwe jizuia!! Matokeo yake itakuwa Ni picha Mbaya kwake, kwangu na kwa Rayna!!!
Nikuombee, Naomba usimamie Ndoa ya Duffer mwanzo Hadi Mwisho!! Hakikisha wanafikia tamati Mimi nitarudi!! Baada ya matukio yote kuishaa!!! NB: Baada ya Ndoa kuisha!! Ndio utampatia mzigo Wake Duffer!! Nilimuachia mdada wa kazi akupatie!!! Zaidi nakutakia utekelezaji mwemaaa!!!
Lunnah alimaliza kutuma, Ujumbe Baadae Kuna picha ziliingia kwenye simu yake, zilikuwa Ni picha za Team work wakiwa wamevalia suit sale, Picha zilitumwa na Amos.
Lunnah aliziangalia zile picha na kuzituma kwa Imlany, Baadae na yeye alijichukua Selfie akiwa na Mwanae Naaah'', Kisha alimtumia Nakuandika maneno kadhaa.
"" Robo saa!! Twaingiaa hapo!!
Baada ya kuona Ujumbe umefikaa, Alichoamua nikuzima Location kwenye simu yake Kama ipo one nakuifunga mazima!! Kisha alichochea gari yake! Kwa Speed nakuelekea Sehemu isiyojulikana..
,,,,, Itaendeleaa,,,,,,,
USIKOSE sehemu ya 31.
Like, comments, Share, Tumalizie Simulizi yetu!!
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 31. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
Baada ya kuona Ujumbe umefikaa, Alichoamua nikuzima Location kwenye simu yake Kama ipo one nakuifunga mazima!! Kisha alichochea gari yake! Kwa Speed nakuelekea Sehemu isiyojulikana.. ENDELEA....
Huku kwenye Send-off, mambo yalikuwa Ni Moto, ratiba zilikuwa zikiendeleaa vizuri.
Muda kidogo Junior alitia team na wafanyakazi wa kampuni, Alifika nakumtafuta Imlany aongee nae kwanzaa!!
Imlany Baada ya kumuona Junior, Swali la kwanza alimuulizia Duffer wake atakuwa wapi??
"" Junior!!! Mbona Lunnah simuoni yeye umemuacha wapi??"
"" Nimemuacha yupo na Rayna!! Kamfuata saloon!!! Nahisi utamuona wakati wakiwa wanaingia!!!"
Muda wa Sherehe ulikuwa tayari umefika, Junior Alitoka pale nakumtafuta Rich Kama msindikizaji wa Imlany ili aongee nae kwanzaa.
"" Rich!! Bila Shaka unamjua vizuri kuhusu Imlany na Duffer wake, na unajua vizuri ukaribu walionao, na Hapa nimeamua kumzuga Imlany kuwa Lunnah!! Yupo hapa Lakini hatofika!! Kwahiiyo ukiwa nae karibu!! Mfanye aamini kuwa Lunnah yupo Hapa!!!"
"" Sawaaa!!! Usijali hata Mimi nilihofia Sana kuhusu Hilo!! Kumbe mawazo yangu yalikuwa karibu na Wewe!!!"
Ilikuwa Ni muda mwingine walikuwa tayari wameingia ukumbini, baadae ilikuwa Ni muda wakuingia Bi harusi mwenyewe!!
Huku kwa Imlany macho yake yalikuwa yakiangaza uwepo wa Lunnah, Kama atakuwepo.
Rich na yeye alikuwa karibu Sanaa ilibidi amnong'oneze sikioni.
"" Oyoo!! Unamuona Rayna alivyodamushi Lakini!! Kweli' mtoto Ni mbomba niaje!! Hata hivyo miili yenu imemerch Kweli' Mollah kamtunuku kimwili kidogo kidogo!! Akiwa na maanake!!!"
Maneno ya Rich yalimfanya Imlany aachie tabasamu, Tabasamu hilo lilipenya moyoni kwa Rayna nakubaki akijisemea.
"" Kumbe!! Akili yako iko Hapa Imlany!!!?""
Hata kwa Rayna muda wote alikuwa hajiamini, Kama atakuwepo Lunnah!! Mambo yangebadilika muda wowote!!
Sherehe ilizidi kuendelea!! Ilikuwa Ni wakati wa zawadi kwa wependanao waliokuwa wamekusanya umati wa watu siku hiyo!!!!
Ilikuwa Ni upande wa Imlany kutoa zawadi kwa mkewe mtarajiwa, Alisimama kwa kujiamini Kisha alichukua maiki na kuongea kitu huku akiwa amefunua kiboksi kilichokuwa na zawadi!!!
"" Kwa heshima yangu leo, nakwa heshima ya mke wangu!! Nina zawadi nimeiandaa tangu siku nyingi!! Natamani mke wangu muda wote nimuone akiwa ameivaaa!! Naamini kuivaa kwakee itanikumbusha kitu upendo na thamani ya upendo!! Na Nini maana ya Upendo!! Pia itanifanya niwe na Hisia za upendo kwake!!!
"" Naomba Mrs Imlany!! Pokea zawadi yangu kwa moyo mmoja!! Hakikisha zawadi hii ikawe Ni yenye hisia juu ya upendo wangu kwako!!!"
Rayna muda wote alikuwa akifikilia maneno ya Imlany akawa Kama hayaelewi vizuri!! Alichukua kile kiboksi nakufungua ile zawadi nakubaki amestaajabu kwanza.
Imlany Alimsogelea nakuchukua saa pamoja na Cheni Kisha alimvalisha, huku akiachia tabasamu murua, baadae alimkumbatia huku akimuachia maneno kadhaa.
"" Furaha yangu na yako siku zote imebebwa na Duffer!! Make ndio kafanya sherehe ikamilike!! Ndio maana nimekuletea zawadi ya saa na Cheni Kama niliyowahi kumnunulia Duffer!! Ili kumuenzi kufanikisha sherehe hii!!!"" Nahitaji kujifunza kukupenda toka moyoni tenaaa!!!"
Rayna hutaamini Alikuwa akisikiliza maneno ya Imlany nakumfanya adodoshe chozi huku akiwa na maumivu Ndani yake, Watazamaji hawakujua kipi kinaendelea pale ilibidi wampigie makofi wakijua Ni chozi la furaha na upendo lilikuwa likimtoka.
Lakini huku kwa Junior, Alijua moja kwa moja Ni Imlany kaliwasha!!!
Rayna alijikaza na kulilia moyoni, Upande wake na yeye alikuwa tayari ameandaa saa Kama zawadi huku ikiwa kwenye box lake lenye rangi nyekundu!! Pia alikuwa na zawadi ya pili ilikuwa kwenye box ilifugwa vizuri na gift.
Alifungua zawadi yake Kisha alimvalisha Imlany saa, baadae Alifungua box la pili kulikuwa na zawadi ya Jeez ya Simba!! Alimpatia kwa furaha yote!!!
Imlany hakuamini kabisa Kama Rayna na yeye anatambua kuwa Ni Shabiki wa simba damu damu, kitendo hicho kilimfanya Imlany aduwae Kisha alimkumbatia kwa furaha, Baadae alimwachia huku akibaki kuwaza tena huo ujasiri kaupata wapi mpaka akamkumbatia.
Rayna alipewa maiki aseme kitu kuhusu zawadi yake.
"" Zawadi yangu ya kwanza!! Nimemtolea mme wangu kipenzi zawadi ya saa!! Nataka muda wote aivae akiwa kazini!! Akiwa ameivaa Akili yake muda wote akiiangalia saa yake akumbuke Kuna mke wake wa thamani!! Anamgoja nyumbani!!!
"" Pia zawadi yangu ya pili nimetoa zawadi ya Jeez ya Simba!! Muda wote pindi tukiwa wachumba ndio ulikuwa Ni muda mzuri wakuchunguza mme wangu anapenda Nini!! Ndipo nikajua Ni mpenzi wa mpira, Teena ni Shabiki wa simba!! Ndio maana Leo na Mimi nimesimama kidedea kumsapot hobby yake na hii ndio furaha yake ikiwa nje na Ndoa!!! Mwisho Nakupenda Sanaa mme wangu!! Upendo wangu kwako Ni Kama Bahari ilijoaa maji yasiyokauka hata mtu aje ayachote kamwe hayatakauka!!!""
Rayna Alimaliza kuongea na kukabidhi maiki Kisha alikumbatia chombo yake huku akionesha kila Aina ya upendo kwake!!!
Baadae Sherehe ilimalizikia Mnamo majira ya saa saba usiku, kila mtu alielekea kwake huku wakisubili Siku ya harusi rasmi ambayo ilikuwa inafungwa December tarehe za mwanzoni kabisa ilikuwa Ni weekend TU ya wiki inayokuja!!
°°°°°°°°°°
Huku upande wa Lunnah!! Alifika sehemu iliyokuwa na Ufukwe wa bahari, Alikodi chumba nakupumnzika huku akiendelea kufurahi na mwanae Naaah''!!!
Alimchukulia Juice nakumpeleka Kwenye bembea huku akizidi kubembea nae huku wakiendelea na kutumia vinywaji.
Baadae alichukua simu yake nakuiangalia Kisha aliirudisha mfukoni huku akizidi kuongea.
"" Hivi Ni Kweli' unaweza kuzikimbia hisia zilizopo Ndani ya moyo!! Najua nimekukimbia Duffer!! Ila moyo wangu bado una maumivu je Ni njia gani yakuondoa hayo maumivu!!"
"" Natamani nikusahau!! Sijui njia hiyo ninayotumia ndio sahihi!!!? Najikuta TU naumia je, Umefanikiwa Duffer kuhusu Send-off!!??"
Siku hiyo ilipita baadae zilikuwa zimepita siku mbili Baada ya Send-off, Lunnah aliamua kuwasha simu yake! Make alijua Kama Ni Send-off itakuwa imekamilika.
Aliwasha data nakusubili sms ziingie kwanza!!! Alikuwa akikutana na sms nyingi alizokuwa akizisomea juu ya Screen yake zilikuwa zatoka kwa Dusky! Na Duffer!! Baadae aliamua kuzifungua
Alianzia kufungua Whatsup ya Duffer! Baadae ndio anaona Duffer kabadilisha profile picha nakuweka akiwa na Rayna!! Kamkumbatia Baada yakupatiwa Jeezy, picha hiyo ilimuonesha Rayna akiwa amechukuliwa vizuri kabisa na camera kaenea kwa screen huku gauni lake lilikuwa nikitenganisha vizuri shape yake.
Lunnah alizidi kutizama ile picha Mara mbilimbili huku akifanya zooming, kiasi kwamba ingekuwa simu yaonesha mtu karudia Mara ngapi kutizama kwa Lunnah ingekuwa Mara Mia kidogo!!!
Baadae Alitoka nakuingia Stutus ndio anakutana na picha ya Imlany na Rayna ikiwa imewekwa kwa Stutus na rafiki yake Rich, ikiwa Ni ile picha ya zawadi ya Jeez!!!
Alizidi kuendelea kuangalia tenaa baadae anaiona picha Ile Ile kwenye Stutus ya team work wa ofsini kwake na Imlany na baadhi ya rafiki zake wawili wakiwa wameipost.
Aliamua kuachana nakuingia kwenye Stutus ya mlegwa ndio anakutana nazo picha tatu zikiwa zimejaa Stutus kwa watu!!! Alifanya kurudia rudia huku akiitizama kwakufanya zooming teenaa!!".
Baadae aliamua kuweka simu yake pembeni nakuachana nayo kabisa!! Alimsogelea Nasrah nakumkumbatia huku akiongea nae.
"" Naaah''! Najua kwasasa Wewe Ni mtoto mdogo!! Lakini Sina mtu wakumwambia wakati ninaopitia kwa Sasa!! Moyo wangu unaumia kweli, kila Mara nikiona picha hiziii!!!
Lunnah alikuwa akiongea mpaka chozi likimdondoka!! Alisimama pale nakumtoa Naaah'' Kisha Aliingia nae ndani huku akiwa tayari ameshasinzia.
Usiku mzima Lunnah Alijaribu kutafuta usingizi huku na kule Bila kuupata, Alichukua simu yake nakuiwasha tenaaa, Ndio anakutana na Ujumbe wa Dusky!!
""" Upo salama Lakini huko uliko!! Washa Basi simu unielekeze huko uliko!! Natamani hata nije nikupatie kampani!! Lakini hukupaswa maumivu yako uyavumilie peke yako!! Ni hatari kwa maisha yako!!!"
Lunnah Alisoma ule Ujumbe nakuamua kuachana nao, baadae uliingia Ujumbe wa Duffer.
"" My Duffer!! Hata Wewe kwasasa umekuwa wakuniongopea!!?? Ulichokitaka nikitimize ili ukamilishe hatima yangu na Rayna!! Ndio" nishakamilisha na picha ushaziona!!?" Je Baada ya kukamilisha Ombi lako unae furaha!!?""
"" Nilijua tangu Mwanzo!! Hautakuja kwenye tukio!! Kama ulivyoanzisha kwenye Uchumba!! Ndio utamaliza Hadi kwenye harusi!! Si ndivyo hivyo!!?"
""Ipo wapi ahadi yako uliyoniahidi utakuja umevaa Lile gauni??
'"Waweza niahidi tena Ni wapi utalivalia??"
Au wataka tukio lijirudie teenaa???"
"" Huniamini Mimi Hadi Duffer Hadi Dusky na yeye humuamini!!?""
Unashidwa kweli hata kusema Ni wapi ulipo!!?"
Hivi Ni Kweli' ulinitakia Kheri kwenye Ndoa kweli kutoka Moyoni??""
"" Sawaa!! Kwasasa sinae Tena Duffer!!??"
"" Au Ni Kweli' uliniambia Duffer wangu Ni Rayna!!??"
Okay!! Kwaajili yako Nitafanya hivyo japo nitajua Badoo moyoni mwako una huzuni Sanaa!! Na huzuni yako kila Mara inazidi Baada yakuona picha TU!! Na muda mwingine ni kila ukikumbuka ukaribu wangu kwako!!!
"" Duffer!!! Nimeamua kuivumilia Kama Wewe ulivyotaka!! Ukaona ukimbie mbali na Mimi!! Harafu Huku mkawa mnanicall na Junior na Rich!! Mkazani sijui!! Na wakati Duffer wangu huwa namjua vizuri! Ungehudhuria kwenye sherehe lazima usingekubali ukae mbali na Mimi lazima ungejitokeza TU karibu yangu!!
"" Baada ya kujua hayo yote!! Nikawa nimefanyaa kitu kile moyo wako unapenda Ili niendane na mipango mingine!!!
Kwasasa nimekamilisha japo moyo wangu bado una maumivu yasiolezeka ila usije kwanza nikamilishe na zoezi la harusi Ndio nije niongee na Wewe kwa kina teena! Ikiwa Ni Ana kwa Ana!!"
" Nashukuru sana Duffer!! Kwa maamuzi yako but msalimie Nasrah!! Mwambie hata Mimi naweza kuwa karibu yake Kama mamake alivyokaribu na mtoto wake!; Harafu akamsahau Duffer wake wa Utotoni tenaa huku ukubwani tayari Ni ndugu yake!!!""
,,,,,, Itaendeleaa,,,,,,,
USIKOSE SEHEMU YA 32. FINAL
Like comments Share.
Simulizi yetu ipo ukingoni!! Weka sapoti yako kwa Mwandishi na Mollah! atakubariki!!!
SIMULIZI: IKAWE KHERI MY DUFFER . MTUNZI: TINNER ROBER. SEHEMU: 32. 0746638941 (Wtsp).
ANZA NAYO.
..... . FINAL...
" Nashukuru sana Duffer!! Kwa maamuzi yako but msalimie Nasrah!! Mwambie hata Mimi naweza kuwa karibu yake Kama mamake alivyokaribu na mtoto wake!; Harafu akamsahau Duffer wake wa Utotoni tenaa huku ukubwani tayari Ni ndugu yake!!!"" ENDELEA...
Lunnah alimaliza kusoma Ujumbe wa Imlany, Japo ulikuwa Ni mrefu Sana!! Ujumbe huo ukawa Ni Kama umemzidishia maumivu nakubaki akizidi kulia na kujilaumu kwanini Alishidwa kwenda kumsapot Duffer wake!! Kisa wivu wa mapenzi unamsumbua, na akiangalia Ni tayari alimkuta Imlany yupo kwenye mahusiano na Rayna!!
Siku hiyo Lunnah!! Alikuwa Kwenye wakati mgumu Lakini hakupata mtu wakumshirikisha angalau ampunguzie Mawazo!! Aliiamua kutoka nje nakuelekea Bandarini, alifika nakuwakuta wavuvi wakijiandaa usiku kwenda kuvua samaki!!
Alifika Nakuanza kupiga nao sitori huku akiwauluzia jinsi ya uvuaji wa samaki, Baaade waliamua kuondoka na kupanda mitumbwi nakuondoka kwenda kuvua samaki.
Lunnah aliamua kurudi hadi Hotelin nakupumnzika nje Hadi kukapambazuka!!!
Ilipita Kama wiki moja huku kwa Imlany tayari harusi ilikuwa imefungwa na muda huo walikuwa wapo honeymoon.
Siku hiyo Lunnah aliamua kuwasha simu yake, make alijua kila kitu kimeshatimika. Aliwasha data ili apate Utaratibu wa Kazi kutoka kwa Maneger wake Amos.
Alikutana na baadhi ya documents Nakuanza kuzipitia, ilibidi awashe laptop yake kwanzaa Ili aweze kuzifanyia Kazi, Baadae alikutana na Ujumbe kutoka kwa Duffer wake.
"" Natamani hata nikuone Duffer!! Wapi ulipo angalau nikitoka huku nije nikuone!!! Kwelii nakumisi Sanaa!; Hata Rayna kwasasa Hana chuki na Wewe!!! Na yeye amekukumbuka sanaa!!""
Lunnah aliachana na Ujumbe wa Imlany!! Aliingia Stutus ya Duffer wake, Alikutana na picha ya pamoja wakiwa wamevaa Sweta sale, Alifanya kuiangalia tu Kisha aliachana nayo!!
Ilimchukua muda Sana kusahau Kumbukumbu ya zile picha, Baadae Alikuwa akiwaza Mambo mengi Sana!!
"" Ni Kweli' Duffer!! Richa ya wivu wangu kwako!! Ila nimekukumbuka Sana!! Natamani hata nikuone kumbe kwwli Wewe bado kwangu Ni Duffer!! Hisia zangu bado zinamuwaza Duffer!!!"
Aliendelea kuzidi kupumzika pale, Lakini Alisituka kidogo Kuna mtu Alikuja nyuma yake nakumfunga macho!!! Baadae alimuacha Kisha alisogea na kukaa pembeni yake.
Lunnah alimgeukia na kushangaa,
"" Ni Wewe Dusky!!!? Umepajuaje huku??"
Junior Alimchukua Naaah'' Kisha alimbeba nakuondoka nae, Baadae alimgeukia Lunnah.
""" Vipi utaongozana na Mimi leo twende Nyumbani!!??"
""" Siendi bhanaa!! Kama unampeleka Naaah'' kwa Imlany!! Wewe nenda nae ila Mimi bado nipo Sanaa!!!"
"" Unamuogopa Imlany!! Kwasasa ameshaoa!! Na week ya Honeymoon imeisha, jumatatu atakuwa ofsini nataka na Wewe ukaanze Kazi!! Angalia mtafeli Kwenye Kazi!!"
Lunnah alifikilia maneno ya Junior, kwanamna ile au nyingine!! Ilimuweka vizuri kisaikolojia, Alikubaliana na Junior wakawa wameongozana kwa pamoja wakarudi tenaa Nyumbani.
Huku Njiani Junior alikuwa akimtizama Lunnah Kwenye seint mirror, Baadae aliishia kutabasamu tu nakumuuliza.
"" Dusky!! Naona umekonda Kweli'!! Tatizo sumu ya penzi ukishailambaa!! Daaah!! Pole Lakini hukutakiwa uwe katika wakati huo, kwanini ulichukua maamuzi ya kuja huku na ukazima simu!!?"
"" Dusky!! Hebu niache!! Wewe ongoza njia!! Nataka nifike mapema nipumnzike!!"
"" Sawaa!!! Ila unajua uliniacha katika wakati gani hivi??" Kuna watu tumewekeza nyoyo zetu kwako!! Ila Hujui tu!!"
"" Dusky!!!! Maneno mengi hivyo mbona!! Ayaa wataka Nini kwanzaa!!!?
"" Kwani Duffer wako Imlany, hatima yake imeishia wapi si kavuta jiko??"
"" Kwahiiyo na Wewe wataka uvute jiko??"
"" Ndo manake muda unazidi!! Kusogea harafu Sina hata katoto kakusingiziwa!!"
Majira ya jioni ndio walikuwa wamefika Nyumbani, Lunnah alifika nakuingia Chumbanii kwake Kisha alipumnzika kwanzaa!! Junior yeye alipowafikisha na yeye alirudi kwake.
Baadae Junior alimpigia simu Imlany Kisha alimpatia majibu, "" Nimefanikiwa kumrejesha Lunnah Nyumbani!!! Jumatatu atakuwa ofsini!!!
"" Nashukuru Sana Junior kwa msaada wako!! Na Hapa moyo wangu kwasasa umepoa!! Okay Kazi njema nikipata muda nitakuja kuwaona hapo week kesho!!"
Ilikuwa Ni siku nyingine ya Kazi Lunnah alikuwa tayari kaingia kazini kwakee nakuendelea na majukumu yake!!
Muda kidogo Alisitushwa na simu yake ilikuwa ikiita Alikuwa Ni Duffer wake.
"" Sorry Duffer!! Upo ofisini!! Naomba uniandalie report ya mauzo tuone Mwisho wa Mwaka tunafunga hesabu ya kiasi gani ili tuwekeze Nguvu sehemu nyingine!!!
"" Sawaa!!! Lakini mahesabu ya mwezi uliopita, Amos alikusanyia kwakoo!!!"
"" Okay!! Basi niandalie kwa miezi mingine nitaunganisha huku!!!"
Lunnah alichukua Mafile yake Kisha alianza kurecord mauzo ya mwezi January Hadi December,
Wakati yupo Busy, Alishangaaa kuona mkono wa kiume ukimpatia mkono, ilibidi azidi kuufatilia Ndio anakutana na imlany uso kwa uso.
Alishidwa kujizuia kwa jinsi alivyokuwa amemumisi ilibidi abaki kamshikilia mkono Huku akijaribu kuchezea Pete yake huku akiwa haamini haamini kuwa Imlany Ni serous kaoa.
Alisimama nakumkumbatia Kisha alimwambia live.
"" Kweli' Duffer!! Nimeamini siwezi kukaa mbali na Wewe tenaa!!! Moyo wangu muda wote ulikuwa ukikufikilia mpaka nikatamani hata siku moja nikuone ila nimefurahi Kwakuwa umerudi teenaa!!!
"" Muone Ulinimisi hukutaka hata kunitafuta!! Harafu ile siku nimeweka video Stutus!! Why uliview Baadae uka typing kitu and then ukafuta hata bado sijasoma!! Sikupenda et!!!"
"" Duffer!! Achana nayo Basi Kwakuwa nimekuona!! Ndio furaha yangu nikukutia machoni tu!!"
""" Okay!!! Basi tuendelee na Kazi iliyonileta huku Kwanzaa!! Baadae tutakuwa na muda mzuri wa kuongea..
•••••••••••••
Ilikuwa Ni Jioni Baada ya pilika pilika kuisha Imlany na Lunnah walitoka na kwenda kuzungumza sehemu. Imlany alimuuliza Lunnah!!
"" Duffer!! Kwanini uliamua kufanya yote hayo!! Ni Kweli' hukuwa na maamuzi mengine yakufanyaa!!??"
"" Kwasasa nimeshajua Nini maana ya Duffer!! Pia nimejifunza kuheshimu hisia za mtu mwingine!! Najua Rayna alikuwa na mahusiano na Junior!! Ila baada ya kuachana na Junior, akili yako aliwekeza kwako!!"
"" Mimi nilivyoingia kwako!! Nikawa Kama nimeingilia hisia za mtu mwingine!! Japo nilitokea kukupenda Sana!! Huenda hukujua Mimi kwako nilibeba upendo gani!!! Na katika kukupenda hivyo haijawahi tokea kumpenda mtu kiasi hichoo!!! Ndio maana kwako nilikuwa Ni mtu mwenye wivu siku zote!! Moyo wangu ulijaa kwako muda wote!! Ila kwasasa nataka nijifunze kupenda tenaaa, nataka nimpende Junior!!!
"" Naimani nikiwekeza moyo wangu kwa Junior!! Huenda Mimi na Wewe pamoja na Rayna, tutazidi kuishi vizuri natutakuwa Ni watu wakaribu Sanaa!!
"" Najua Junior!! Muda wote akisikia habari zako huwa anakuwa na wivu Sana!! Mpaka leo, Ila kwasasa imekuwa afadhari Baada yakusikia Kweli umeoa naona kawa na furaha Kweli japo muda wote ananitania et umeachwaa!!!" Ila nimemzoea TU!!!
"" Katika maisha yangu nimejifunza mengi Sana tangu nikujue!! Kwakweli sijawahi kujutia kampani yako kwangu!!! Siku zote Nitazidi kukukumbuka katika maisha yangu yote!!!"
"" Zaidi nataka tukamilishe Ndoto yetu yakukaa Mimi na Wewe!!! Kwasasa Sitaki kusikia Rayna anaumia kwaajili yako au yangu kwa muda huu, Nataka ukampatie furaha aliyoikosa Mwanzo leo ikawe kwake Mara dufuu!!!
"" Pia naomba tuzidi kuombeana katika Safari yetu ya maisha, Najua mwakani namimi nitakuwa nikiishi kwenye ndoa nataka tukamilishe na Junior'' Naimani hata yeye atafaa kwenye nafasi yako. Pia nataka kukamilisha maneno yangu na maneno haya kwako umeyapa kipaumbele kwako, Nitayarudia kwako na Wewe utayarudia kwangu. "" IKAWE KHERI MY DUFFER""
Lunnah alimaliza kuongea Huku machozi yakitiririka, Lakini hakuwa na jinsi tenaa, make kila kitu huwa kina Mwisho wake.
Imlany pia alikuwa akiumia Sana!! Aliamua kumutia moyo Lunnah!! Alisimama nakumkumbatia pia Kisha aliongea maneno kadhaa.
"" Duffer!!! Sina Cha kusema najua hata Mimi Nina maumivu Sana kutengana na Wewe!!! Leo na Mimi naomba nishikirie maneno yako mpaka utakapikamilisha ndoto zako na Junior Ndio itakuwa furaha yangu Siku zote Nitazidi kukutakia, IKAWE KHERI MY DUFFER kwa Mara nyingine ikafanyike kwako! teena!!!
"" Kumbukumbu zako haziwezi futika machoni kwangu siku zote!! Huenda muda mwingine nilikuwa na mapungufu kwako Lakini uliweza nivumilia kwa kila kitu!! Ahsante pia kwa Feeling zangu kuwekeza kwangu!! Na Mimi nimejifunza mengi Sana kupitia kwenye feeling zako!!! Ila kwasasa Nitabaki kukuita ""DUFFER!! Kama mwanzo nlipokupata toka Cassino nilipenda uwe Duffer!! Na nikawa nimezoea kukuita DUFFER!!
"" Na hili nitabakia jina lako hata kwangu nitapenda uwe Duffer!! Make jina hili lilibeba Mambo mengi Sana kila nikilikumbuka sitataka kulichezea teena, muda wote nitalihifadhi Moyoni kwangu niwe natembea nalo, Ahsante pia kwa ushirikiano wako kwasasa sisi tutabaki wanandugu, pia Nitapenda Sana kukuita Dadaa!! Na Wewe ukiniita Kaka sitasita kukuitikia!!!
Imlany alimaliza kuongea Kisha alimwachia Lunnah toka kwenye kumbatio, huku wakicheka kwa furaha Baadae alimuuliza Lunnah Kama anacho chakusemaa!!
"" Et Imlany kakaa!!! Au nikuite Duffer!! Harafu Dusky kwasasa atakuwa Junior!! Sijui utamuita Shemeji yako!! Au Kakaa!! Make Mmeibianaa!!!?""
"" Sawaaa!! Tuachane na hayoo!! Nikuombee mwakani nikija kwako na kadi ya ufadhiri wa harusi yangu!! Usisite kufika ukanilipizia kisasi si yameisha harafu tumeanza upyaa!! Naomba usikose kufika!!! Harafu gauni lako nitalivaa kwenye Send-off yangu!!!"
Imlany Alimkumbatia Mara Mwisho Lunnah!! Huku akimini kwasasa wanaenda kutengana na Zaidi!! Atamchukulia Kama Duffer na Zaidi Ni dada yake!! Aliamua kumshika na mikono yake Kisha alimsogelea kwake na kumpatia kiss moja matata ilichokuwa Kama dakika kumi Baadae alimwachia huku akiwa Ana muachia taratibu mikono yake!!! Nakurudi hatua nyuma Mdogo Mdogo Baadae alikata Kona nakuondoka huku akibakiwa na maneno yakijirudia rudia kichwani kwake.
"" Duffer!! Kwasasa anaye Dusky!! Duffer!! Anaenda kuolewa!!! Duffer!! Kwasasa Ni Dada!! Duffer!! Kwasasa nimheshimu Kama Dadangu!!! Okay!!! Love is red like couple 💓❤️""
Huku kwa Lunnah nayeye alikuwa akiondoka taratibu Huku akijaribu kuiburuza miguu yake, Baadae aligeuka na kumuona Imlany akiishiria aliamua kumpungia mkono Huku akimuaga.
"" Duffer!!! Siku zote Huwa Ni vigumu kucontrol moyo kipi unataka!! Ila huwa inatakiwa nguvu ya ziada mtu kuitumia ili aweze kusahau historia ya Nyuma japo maumivu huwa yanaenda yanaisha taratibu endapo akapata mtu wakuziba penngo!!! Je Dusky anaweza kuziba pengoo!!;?? Okay!! Love❤️is circle!! Anytime I remember you!! Duffer!!!🙌👋
....... FINAL......
Shukrani kwa Fans wangu mliokuwa mkifatilia simulizi hii!! Naimani mmejifunza mambo mengi!! Nitakuwa mchoyo wa Fadhira nisipotoa Shukrani kwa wale mlioniunga mkono kwakununua simulizi hii, Mollah!! Azidi kuwazidishia sehemu mlipotoa, kwa wale ambao hamkufanikiwa niwashukuru hata kwa kulike page yangu pamoja na comments Moto Moto, Naomba Mfanye Zaidi ya hapo kwa Simulizi zitakazojili.🤝🙏🙏.
By, SIMULIZI ZA TINNER ROBER. MTUNZI.