Gloomy Sunday Part I

MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY.                    SEHEMU: 01,""0743798113" Whatsup.

******
UTANGULIZI.
Siku zote katika maisha mtu hukutana na changamoto mbalimbali Kuna wakati atafurahi na Kuna wakati atalia, Kuna wakati  ataraani hata siku ya kuzaliwa kwake, na ataraani hata kutugwa kwake kwa mimba na hizi ndio changamoto na changamoto inaweza ikawa ya kusababisha au kusababishiwa muda mwingine kujitakia na muda mwingine kutokuwa na maamuzi sahihi na vitu vyote hivi huwa anapitia binadamu ili kumfikisha sehemu sitahiki. 

          ANZA NAYO.

Leo katika familia ya Mr.Chimpompo alionekana kakaa na watoto wake wawili wakwanza alikuwa wa kike ( Joanyther 20) wapili ni wakiume ( Movick 16) alikuwa akizungumza na wanawe;=

   "Wanangu Kama mnavyoona Mimi baba yenu hapa nilipo Sina pesa za kuwasomesha mkafikia malengo yenu hasa binti yangu muda wote nakuwazia Sana na hapa umechagulia kwenda kujiunga na chuo Cha uuguzi ada ni kwa mwaka ni milioni tatu na laki tano na kwenye hio hela nmefanikiwa kuuza mazao pamoja na ng'ombe wawili nimepata milioni moja na nusu na Mimi nikiangalia hapa naona kwenye kilo Mimi Nina nusu sijui nyingine nitafanikiwaje itabidi tukatangulize Kwanza hii.
Kwa movick yeye ndio Kwanza kidato Cha Kwanza naimani tutapambana kwenda kumaliza tutakuwa vizuri zaidi tuzidi kumwomba mwenyezi Mungu azidi kutupigania na atupe uzima.

    Joanyther; "'Lakini baba, Mimi naona Kama nakuweka katika wakati mgumu Sana sijajua kweli hata hio hela itapatikana wapi ya kumaliza Ada, sijajua hata mdogo wangu baada ya kumaliza atasomaje chuo na kwasasa baba ajira ni ngumu sio Kama zamani ukimaliza leo kesho unaajiliwa na wewe malengo yangu nije nimsaidie Movick, je? Kama nikimaliza ajira ziwe ngumu nikitaka kujiajiri nitapata wapi mtaji ingali muda huo pesa itakuwepo ni akiba ya Movick??"" Mimi naona ngoja niachane na swala la kwenda chuo tutafte hela Kwanza ikikamilika nitaenda na isipokamilika bora Movick yeye aende shule.

Mr. Chimpompo aliwakumbatia wanawe na kuwapa moyo ""Wanangu Mimi baba yenu nataka wote mfike mbali sijawahi kuwakatia tamaa hata siku moja, wote mtaenda shule hapa nitapata tabibu, Daaaaah!  " Lakini Movick mwanangu hujawahi kuniambia kitu wewe unapenda kazi gani naona mpka kufikia hapa wewe muda wote ni kutengeneza gari, ndege, pikipiki sijui Unataka kuwa fundi gereji?
 
  ""Baba nawewe umezidi humuoni Movick, yeye waga mtanashati kwa akili yake unazani atapenda kushika oil kweli? Acha aseme Leo na yeye.

  Movick:
 ""Kumbe wote siku zote hamjui kazi yangu ninayotarajia kuifanya mbeleni!? Mimi nataka niwe Rubani tu ili siku moja nataka niendeshe Ndege mpaka nimpate mama na nimupate huyo mwanaume aliembebaga mama kwenye Ndege akaenda mazima ndio ndoto yangu na kazi yangu, Baba si inanifaa na ninafanania si et??""

Mr. Chimpompo, alibaki ameduwaa tu Kisha aliinamisha kichwa chini na machozi yalianza kumtoka, hakuamini Kama Mtoto wake angezungumza maneno yale naakiangalia muda wote alifanya Siri zaidi alikuwa anatambua ni binti yake tu, khari hii ilimpelekea mbali Sana na kukumbuka miaka ya nyuma ya maisha yake.

Miaka ishirini iliyopita Mr. Chimpompo alikuwa akiishi na mke wake, muda huo walikuwa wamefanikiwa kuwa na Mtoto mmoja ambae aliitwa Joanyther(2). Mr. Chimpompo alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa jijini Dar es salaam alikuwa akifanya biashara ya mazao alitoa Tanzania na kupeleka nchi za nje ikiwa ni pamoja na kufungua hotel kubwa na nyaraka zote alimkabidhi mkewe kusimamia hotel zote yeye aliendelea na biashara ya mazao.

Katika hotel Siku moja Mrs. Chimpompo alikuwa na mwanae Joanyther, wakiwa wanacheza kwenye bembea, huku akishushia na juisi ya embe kwa pembeni, Simu yake iliita Kisha alipokea na kuelekea sehemu sikivu ili wasikilizane vizuri.

   Hallo!! Mrs. Chimpompo unaongea na Nakhun, meneja wa mmeo hapa uingeleza naona mmeo yupo bize hapa Kuna kazi kaniagiza Kuna wageni watafika hapo kutoka huku wamekuja Tanzania kufanya upelelezi wanataka waanzishe mradi wa kusindika chakula wameomba wafikie kwenye hotel yetu waandalie vyumba vizuri vyakufikia nimepokea Simu wamefika hapo tayari, wapokee Kwanza Kisha tutaongea.

Mrs, Chimpompo baada ya kuwasiliana na meneja wa mmewe ndio anageuka kuangalia mtoto wake; "Joanyther, lakini hakumuona Sehemu ile alianza kuangaza huku na kule pasipo kumuona.

""umeenda wapi mamangu tena, alianza kuangaza huku na kule na kuanza kuulizia watumishi waliokuwa pale; "Samahani mmemuona Joanyther hapa.
""Nimemuona kaingia mapokezi pale alikuwa anakimbia kimbia. Baada ya kufika pale na kuanza kuangaza alimuona mwanae kabebebwa na mzungu mmoja huku akiwa ameongozana na wenzake wawili, muda huo Joanyther katulia huku akichezea mdori wake alimfuata.

""'Joanyther,mwanangu" nimekuwa na hofu kweli usiwe unamtoroka mama Tena sawa mtoto mzuri, huku akimumbina shavuu. "mama siku zote anakuangalia wewe na Ana hofu juu yako. Alimchukua na kumbeba.

 ""Oooh!!!!, inaonekana Mtoto msuri kama mama yake hii. Mzungu aliongea japo kiswahili chake Cha shida kuzungumza. Nahisi hi itakuwa ni Mrs ya Chimpompo niliona kwenye picha nikaikalili si niwewe?

""Ni yenyewe karibia ikapumzike naona imechoka na Kasi(akijaribu kuiga sauti yao kimatamshi)

""Kwa kweli imechoka hii inaonekana ni restaurant mzuri Sana Kwanza ipo na yenye upepo msuri hali ya hewa safi Hadi mke yenyewe safi. (Huku akitania)

Mrs. Chimpompo aliwakaribisha wageni wake pamoja na kuwaonyesha sehemu ya kupumzika. Lakini Kuna mzungu mmoja alionekana muda wote kavutiwa Sana na Mrs.chimpompo muda wote alikuwa akimtazama tu ikabidi atafute muda wakuzungumza nae aseme ya moyoni.

  ""Sorry Mrs.chimpompo, I want to see u (ninaweza kukuona? ) 

  ""Yes, u can. ( Ndio unaweza )

""Sorry, Sorry, Tena ukweli moyo wangu umeshidwa kutulia tangu tu nilipoiona hii Toto ilivokuwa msuri nikatamani niione mama yake enyewe itakuwa ni msuri ya aina gani, kweli nimeona inavutia sana nimeona iseme ninini moyo inasibu Naomba chukua hi business card( kadi ya biashara) ina namba nitafute tusungumze vizuri hapa mazingira sio sitahili. Mrs Chimpompo alichukua kadi ile na kuweka kwenye pochi yake.

Siku zilizidi kunjongea, Mrs Chimpompo leo alikuwa amekaa sebuleni kwake kapumunzika alimtuma mfanyakazi wake pochi yake amletee..

  ooh!! Sio muelewa na wewe nimekwambia niletee ile nyekundu nawewe unaniletea nyeusi. Au leta tuu hebu fungua Kwanza humo ndani Kuna Nini?

  ""Kuna kadi tuu."

  ""Leta hapa. Baada ya kufungua na kukuta kadi hiyo alikumbuka siku yenyewe amepatiwa na mzungu. 

"" Ngoja Leo nikutafute Nisamehe nilisahau kukutafuta, Alirekodi ujumbe was sauti Kisha Alituma ujumbe huo moja kwa moja ulifika.

   ""Mzungu, Alijibu Wao it's amazing ndio umenikumbuka; I miss u, I need u.

"Maongezi yaliendelea kila mtu alimtumia ujumbe mwenzake na mawasiliano yalizidi kunoga.

 Mawasiliano yalizidi kuendelea na kujikuta Mrs. Chimpompo ameanza kuzama kwenye dimbwi la mapenzi na mzungu taratibu na kuanza kumsaliti mme wake na migogoro kwenye familia ilianzia hapo.

Siku moja Mrs.chimpompo alionekana akijiandaa na kuvalia mavazi yake mazuri Kisha alimuita mfanyakazi na kumpa maelekezo; Naomba umchukulie uangalifu Joanyther, natoka kidogo baba yako akipiga Simu mwambie nimeenda kwenye hotel iliyopo mbezi naenda kukagua mahesabu naweza nisiwe napatikana kutokana na khari ya hewa hii  si nzuri chukua hela hii Mtoto akilia Naomba umchukulie maziwa anywe.

Mrs. Chimpompo aliwasha gari yake ya kifahari kuelekea mbezi alifika mpaka hotelini kwake na kupaki gari Kisha aliamuru mtumushi mmoja katika hotel amuendeshe moja kwa moja kuelekea hoteli moja iliyokuwa nje kidogo na mji. walifika hoteli moja iliokuwa maarufu Sana hasa Watu wa nje walipenda kuitumia Kisha alishuka na kumgeukia dereva wake na kusema; 

""Naomba uniache hapa leo tuna Kikao kidogo na Hawa wazungu, tukimaliza nitakupgia uje kunichukua, Sitaki taarifa zisambae kwa mtu mwingine kuwa makini na kibarua chako.

  "" Sawa Madam, sitasema kamwe nalinda Kazi yangu na ninaipenda.

Muda huo alifika yule mzungu , alishuka kwenye gari yake lakini mkononi alibebelea nyaraka zenye mafaili mawili, Kisha alimuona Mrs. Chimpompo alimpungia mkono na kutabasamu moyoni na kusema "" There are life after this life ( Kuna maisha badala ya haya ).

     ,,,,,,, Itaendelea,,,,,,

Unazani Nini kitafuata hasa kwanini mzungu kutabasamu , tukutane sehemu ya pili.
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GROOM SUNDAY                  SEHEMU:03,"0743798113"what'sup


      
  NURSING SCHOOL. 

Ni siku ya alfajili Joanyther alikuwa tayari kaingia kwenye chuo hicho, muda wote alikuwa ni mpweke hakuwa na mtu aliemfahamu ilibidi atoke na kwenda nje kupumzika baada ya break kufika, alikaa kwenye kimvuli Cha mti huku akiendelea kusoma  vitabu vyake.  Ghafura alihisi Kuna vishindo vinakuja kwa nyuma yake aligeuka na kuwaona wadada Watatu wakasimama mbele yake.

  "" Hellow Villa girl!! Naona bado mshamba kweli hata nywele hujui kuweka vizuri skafu hujui kufunga.

Walikuwa Ni princess Watatu walikuwa wakijiita hivyo, watoto Hawa walikuwa Ni watoto wa vigogo, Wazazi wao walikuwa Ni wafanya biashara wakubwa Sana Nchini pia walikuwa Ni ndugu hivyo waliwamilikisha watoto, wajukuu na vitukuu ndio mgawanyo wa Mali zao zilikuwa nizakulisishana. Na hawa ndio mabinti waliokuwa wakisimamia miradi  yaani Lillian, Ancilah, na Muzdalpher.

Pia kulikuwa na upande wa ma Prince nao walikuwa Ni watoto wanne wanaotoka kwenye familia za kitajili Sana Wazazi wao walikuwa wakimiliki  makampuni Makubwa na wao walifanya kumilikisha Mali zao kwa watoto na wajukuu na Mali zao zilikuwa zikizunguka katika Koo moja. Maprince Hawa waliitwa; Jolvin, Collin, Razack, na Alvin. 👇👇


Mdada mmoja (Ancillah) alimsogelea. Joanyther huku akimsaidia kufunga skafu lakini hakumsaidia kwa wema alimfungia skafu kwa nguvu huku akimkaba nayo shingoni, rafiki zake walianza kumcheka Sana  huku wakimpongeza kweli umefanya vizuri leo. Halafu kaa ukijua sisi ndio ma princess hapa lazima tukupokee kwa mapokezi haya halafu usikae karibu na ma Prince wa hapa chuoni naimani utawaona tu. Ancillah alionekana Ni mrembo Sana aliwazidi wenzake na alijawa na madharau Sana, akiamua kufanya kitu Hakuna aliyempinga.


Joanynther muda wote alibaki akiwatizama wadada wale mwisho aliamua kucheka tu. "" Niwaheshimu Kama Nani?? Nina mtuu mmoja tu wa kumheshimu...

Walisogea karibu huku wakitega masikio, "" wataka kunambia ndio kina Princee ee ndo umechukua mmojaa??"" Huku wakimtolea machoo.

  ""Nyie ndio watoto wa matajili mnajiona kweli hapa shuleni yaani hamjali masomo muda wote mnawaza mapenzi tu, Et Prince!! Prince Ni baba yangu tu tena anaitwa Chimpompo huyo ndo namtambua ndo prince, Nyie hao mnaowasema ndio baba zenu???"

 
Walimcheka kwa sauti huku wakimumwagia juisi. Jina tu la huyo babayako linaonesha Wewe ulivyo Kama Wewe upo Hivi baba yako ndio mnuka maziwa kabisaaa.""  Kisha waaliondoka na kumuacha kakaa huku akifuta juisi usoni.


Joanyther alilia Sana na kuanza kufikilia, ""lakini hata Kama mimi Ni maskini namaisha magumu nguo zangu Mbaya, wao nimewauzi Nini mpaka wanifanyie Hivi!!' mnamzalilisha baba yangu et ananuka maziwa kweli mmenikosea Sana mtalipa kwa hilii.

Alisimama na kujivuta huku nguo zake zimechafuka, Alitokea kijana mmoja Alikuwa ni Jolvin Kisha alimpatia kitambaa nakumuonesha ishara ajifute.

Joanyther alimwangalia kijana yule akiwa anaondoka Kisha aliamua kujifuta na kuelekea hostel kabadilisha nguo.

Muda ule mabinti wale hawakuondoka walibanza Sehemu na kumwangalia Joanynther atafanya Nini. Baadae walimwona Jolvin akimpatia kitambaa.

   "" Duuuuh!!! Jolvin Nini tena anafanya kumsaidia mwanamke yule maskini angemuacha tu, Naona Badoo anatutafuta huyu lazima tumfuate tena tukampe onyoo. Alikuwa ni lillian.


Muda kidogo walikuwa darasani wakiendelea na masomo. Joanyther aliingia darasani huku kachelewa alikuta kipindi kinaendelea, Mwalimu aliamua kumuita Wewe mwanafunzi mgeni mbona umechelewa Hivi ulikuwa wapi??

Joanyther alishidwa kujitetea aliwaza aseme alienda kufua nguo baada ya kumwagiwa juisi aliishia kujikanyaga tu huku akiuma midomo yake.

Mwalimu alimruhusu tu akakae, ""hakikisha unakuwa makini na masomo yako. Alielekea Hadi Sehemu yake kukaa alifika na kukuta kiti chake kimemwagiwa maji alitazama huku na kule na kuwaona kina Ancillah wakimcheka, aliachana nao na kuchukua kitambaa chake alitoa kitambaa. kumbe!! ndio Cha prince Jolvin alipatiwa siku ile, alifikilia akifutie akaona haifai akachukua karatasi na kufutia.

Upande wa Jolvin muda wote Alikuwa akimwangalia Joanyther na kumuhurumia Sana, muda wote kipindi kiliendelea lakini yeye Alikuwa akimwangalia Mara mbili mbili Joanyther na kubaki akicheka tu.

Razack' Aliamua kumsitua rafiki yake Oyaaa!! Mzee baba Vipi!! Mbona wajichekea tu au Manzi villa anakusumbua.

Alvin na yeye alisituka baada ya kusikia binti villa, "" isiwe Jolvin nawewe wamfikilia binti Villa mbona hata Mimi nimekuwa namuwaza tangu nimuone, inaonekana Ni  mcheshi hafu anajiamini Kweli.

Jolvin aliamua kumjibu Razack' Hapana nimependa somo la leo tu at kiapo Cha hypocretus nitakiweza Kweli Mimi na wakati natafuta pesa Daaah!! Kwakweli Maswala ya afya Ni magumu!!"

 "" Kiapo gani hichoo""

At Razack' hujamsikia Joanyther huko ndio amekimeza chote anajibu na anatililka tu na Ana siku tatu tu kameza. Hii midwife hii Mimi nitakuwa mkunga Kweli??"

Joanyther Alikuwa akisoma kiapo kile mbele ya darasa Alikuwa kakalili Sana ili asiaibike tu kukisoma mbele ya darasa na wale adui zake Watatu 

Alisimama na kusema, "" kwa kiapo Cha hypocretus ninaapa kuwa, 

""Mimi Joanyther Joachim ninaapa kupitia  kiapo Cha hypocretus, " Sitampa kamwee mwanamke dawa iuayo uzao wa  tumbo lake hata siku moja. Ninaapa mbele ya Madaktari bigwa na wanafunzi wenzangu kupitia kiapo hiki.

Wanafunzi wote walimpgia makofi huku wakimpongeza. Lakini Jolvin alionekana kufurahia Sana mpaka wanafunzi wengine walimgeukia make muda wote alibakia peke yake akipiga makofi.

Collin aliamua kumkoa  hapo ndio akashituka huku wanafunzi wenzake wakiangua Kicheko.

Upande wa three princess walichukia Sana kitendo hichoo Muda wote walikua wakimfolea midomo na hasira ziliwawaka inakuaje pekee ashangiliwe kiasi hicho. Wakaanzisha bifu jingine.

Kipindi kiliisha Joanyther alielekea hadi hostel, alifika na kuweka vitabu vyake kwa pembeni aliangalia begi lake na kuona liko wazi na halikuwa na nguo aliangaza huku na kule aliamua kutoka nje huenda Kuna mtu labda kamfulia. Alifika hadi nje hakuamini  nguo zake zilikuwa chini zimetupwa huku zimejaa vumbi. 

Alizikusanya huku akisononeka Sana Kisha alielekea bombani na kuanza kufua, aliamini ipo siku yataisha tu na alimlaumu Sana mamayake kwa kulaghaiwa na tajiri mkubwa na kupelekea kuwa maskini huzuni ilimzidi na kuanza kulia, Alikumbuka familia yake baba yake na mdogo wake Movick walimsihi Sana asome kwa bidii na walikuwa wakimtegemea Sana.  nguvu zilimuishia ikabidi akae Kwanza alie.

Ghafura Jolvin, Alifika hapo Kisha alikaa pembeni yake na kutoa kitambaa tena na kumpatia.

Joanyther alichukua kitambaa na kufuta machozi, Alimwangalia kijana yule na kumuuliza,

 ""Mbona Muda wote unakuwa karibu yangu'? Wewe Nani Kwanza.""

 '''Niite Jolvin"" Mbona Muda wote nakukuta upo katika khari hi?

  "" Hata Mimi sipendi kuwa Hivi ila inanilazimu tu kuwa hivi.

Jolvin aliamua kumfuta machozi Kisha alikusanya nguo za Joanyther na kuweka kwenye beseni. Joanyther Alikuwa akimwangalia Jolvin akijiuliza anafanya Nini?

   "" Jolvin Mbona unakusanya hizo  nguo"??

  "" Wewe hutaki tufue wote kwani??""

  "" Niache nifue kwa Sasa nipo vizuri na Nina nguvu za kufua Muda ule moyo wangu ulikuwa unauma Sana kwa Sasa nahisi Nina amani ya kutoshaa.""

   "" Sawa ngoja nikuache but kuwa makini wafanye yote wasije kukuzuru tu. Byee lakini ukiona unahuzuni uwe unakuja hapa namie Muda wote huwa nipo hapa.""

Joanyther alimsindikiza  kwa jicho la wiziwizi Daaah!! " Jolvin unaonekana Ni kijana mzuri wa sura Hadi moyo"" Kisha aliendelea kufua.

Muda kidogo alifika Alvin,
"Villa girl'' Naona unafua.

Joanyther Alisituka na kugeukia sauti ile aliduwaa kidogo. "" Mbona mmefanana hivyoo na Jolvin?" Alikuwa akijiuliza moyoni.

  
 "" Joanyther, sema usikike naona unamung'unya maneno tu Vipi watufananisha."


  """Aaa a Hapana!! Nafua.

  ""Unajikanyanga Kweli Vipi nikusaidie kufua??"

  "" Hapanaa Wewe acha tu  namalizia kufua.


Alvin hakumsikiliza Joanyther, Alichukua nguo na kuloweka kwenye beseni Kisha alianza kufua. Alikunjua nguo na kuziona za maskini sana alianza kujisemea;

 "" Joanyther Wewe Ni mrembo Sana Sasa unavaaje mavazi yaliyoisha kiasi hiki Wewe Ni mtoto wa mfugaji nimeona unyoya kabisa.""


Muda kidogo walisitushwa na sauti za kike zikiita'' Alvin!!, Alvin!! Kwa sauti ya juu.

Waligeuka na kuwatazama walikuwa Ni three princess. Muzdalpher alisogea kwa nguvu na kumvuta Joanyther huku akimkaba; 

   "" Unamfahamu huyu unaefua nae hapa, Huyu Ni Prince hafanyagi Kazi ngumu Kama hizi na hachangamani na mtoto wa mfugaji Kama Wewe. Wataka umnukishe maziwa??" Kisha alimsukuma chini na kuanguka.

 
Lakini kabla hajaanguka alidakwa mikononi na Jolvin.
  '" Vipi mama upo salama lakini??"


Joanyther alihisi Hari ya tofauti kukaa kwenye mikono ya Jolvin, Alijitoa haraka na kusogea pembeni huku kainamisha kichwa chake chini.

Jolvin alimwangalia na kuishia kucheka tu, "" Vipi umeogopa??" Alimsogelea tena na kumshika mkono Kisha alimnong'oneza sikioni, "" Usiogope huu Ni wakati wako  kufurahi.""

Alvin alijisikia vibaya Sana baada ya kuona, Jolvin yupo karibu Sana na Joanyther, Aliamua kuondoka sehemu ile huku Lillian akimfatia nyuma.

Muda huo Razack' na Collin walikuwa wakiangalia Mambo yanavyoenda walibaki kucheka tu na kusema Hawa vijana mapenzi yameanza kuwasumbua, tuondoke. Ancillah na Muzdalpher na wao waliamua kuwafuata nyuma.

 
Walibakia Joanyther na Jolvin. Walibakia wakitazamana tu. Jolvin alimshika mkono Joanyther na kutoka nae nje ya shule Kisha alichukua tax na kuelekea kwenye maduka ya nguo huku Joanyther akiwa ametulia akitoa mimacho yake nje; ""Nini kinaendelea mbona nimekuwa zuzu hivi""

Jolvin alifika na kushuka Kisha alimfungulia mlango Joanyther.  "" Joanyther tumefika naomba ongozana na Mimi Tafadhari""



     ,,,,, Itaendelea,,,,,
Usikose sehemu ya nne, Nini kitafuata.
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU:04,"0743798113"what'sup

SONGA NAYO.

Jolvin alifika na kushuka Kisha alimfungulia mlango Joanyther.  "" Joanyther tumefika naomba ongozana na Mimi Tafadhari""


Waliingia katika duka moja la nguo. Mhudumu mmoja alifika na kuwakalibisha pale alionekana kufahamiana sana na Jolvin.

"" Nakuona Leo umekuja na Manzi vipi wataka pigo zako nimvishe Manzi wako?""


Jolvin alikubali kwa ishara ya kichwa huku akitoa maelekezo kutumia ishara ya mkono. 

Joanyther yeye alikuwa akiangalia jinsi wanavyozungumza, baadae mdada alimwomba asimame na atoke nae ampeleke Sehemu ya kujaribishia nguo.

Joanyther aliamua kumuulizia Jolvin;
"" Jolvin Hivi Ni Nini lakini mnaniganyia??''

 
  "" Mbona unahofu wakati upo na Mimi, ningeamua kukutelekeza nisingeshindwa, Niamini utanikuta hapa''  halafu kuwa makini huko, Mimi nitakuwa mbali na wewe kukusaidia.""


Baadae Joanyther alirudi akiwa kapendeza Sana mpaka na yeye alikuwa anajishangaa na kujisemea moyoni kumbe na Mimi Ni mrembo Hivi.


Jolvin alimwangalia Joanyther alibaki kaduwaa, mtoto mtoto kweli aliamua kumsogelea na kumkumbatia alishidwa kujizuia: "" Joanyther Wewe Ni mrembo kweli muda wote unapendeza ukiwa hivi, Basi tuondoke turudi chuoni.''


   "" Lakini Jolvin Mimi hio hela ya kulipia Sina, na Hapa nilikuwa  najaribishia tu.""

Jolvin alimwangalia Joanyther na kubaki akicheka tu; 
  "" Acha kuwa na hofu najua hauna ndio!' mimi ndio nalipia""

  ''"" Jolvin lakini...........

"" Lakini Nini kuwa muelewa"",
 Kisha alimshika mkono na kuelekea kwenye gari huku wahudumu wakiweka beg kubwa kwenye but lililokuwa limejaa nguo na Safari ikaendelea moja kwa moja hadi chuo.


Walifika Hadi chuoni na kushuka muda huo wanachuo walikuwa pared baada ya kusikia muungulumo wa ghari wote waligeuka na kuangalizia mgeni aliekuwa kafika pale.

Jolvin alishuka na kumfungulia mlango Joanyther, Alishuka huku amejawa hofu Sana akiogopa wanachuo wenzao walivyokuwa wakimtolea machoo.

Kisha Jolvin aliamuru dereva wake alishusha Lile begi la nguo na kupelekwa Hadi hostel. Kisha alimshika mkono Joanyther Hadi pared na kutulia akisikilizia muongozo wa siku hiyo baada ya pared kumalizika alimchukua Joanyther nakumsindikiza Hadi hostel alimfikisha Kisha alimshika mkono na kumwambia;

  """ Kuwa makini na three princess halafu muda mwingine jichukulie uangalifu Wewe Kama Wewe""
 Kisha aliondoka.

Joanyther alifika hadi hostel wanafunzi wenzake muda wote walianza kumuonea wivu Sana na kuanza kumtenga. 

"" Inakuaje mwanafunzi anatoka kijijini anaweka ukaribu hivyo na maprince Mimi nahisi Ni mchawi"" hayo Ni baadhi ya maneno yalivyokuwa yakisemwa.

Joanyther aliona Hana muda wote mtu wakuwa karibu yake aliona kaboeka Sana, Alichukua Sweta na kikoi chake alielekea Hadi bombani kukaa Kila alipojihisi mpweke.

Alifika na kujifunika kikoi chake gubi, baridi Ilikuwa Kali Sana.

Ghafura walitokea three princess walifika pale na kuanza kumshangaa ndipo Ancillah aliwageukia wenzake na kusema;
"" Mwoneni Joanyther anawanga, niliwaambia Ni mchawi hebu kaiten staff ya hostel waje kumuona.""


Muda kidogo hostel nzima ilifika pale na kuanza kupiga makelele mchawi!!, Mchawi!!' analoga Maprince wamfuate.

Ndipo Joanyther anasituka muda wote alikuwa kwenye wimbi zito la mawazo akiwaza huku baridi ikimpiga kisawasawa alifunua kikoi chake baada ya kusikia kelele zile.


"" Jamani oneni mchawi kamaliza kuroga, huyo ndo anashituka. Wanafunzi walianza kumumwagia matope wengine na mabaki ya chakula ""

Lillian alisikika akisema; "" Tuone alizoea kusaidiwa na ma Prince leo wote hawapo wameenda mjini"


Ghafura alitokea Madaam na kuwaamulu waache ndipo wanafunzi wote wakasambaa. Madaam alimchukua Joanyther Hadi kwake alianza kumhoji ilikuwaje mpaka Watu kumjalia na kumuita mchawi??"

   "" Kweli Madam Mimi nlikuwa hostel nmekaa nikaona nmeboeka Sana hostel nzima walikuwa wakinijadili na kujitupia maneno kisa nilitoka na prince Jolvin ndio nikaamua nikakae bombani pekee baada ya kuchoka kelele zao nimefika pale nikakaa Mbu wakaanza kunig'ata ndipo nikachukua kikoi nikajifunika baadae nasitusha na makelele huku madongo yakitua mwilini ndo ilivokuwa mpaka Wewe wafika."'

  "'' Pole sana Ni mtihani tu unapitia najua wasababishi Ni Hawa Three princess lazima nitalifikisha kwa mkufunzi wa chuo walishughulikie.'"


Maprince walifika Chuoni baada ya kutoka kuisimamia miradi yao. Muda mwingi siku za weekend huwa wanatoka kusimamia miradi yao. Ile wanafika tu walipokelewa na Three princess na kupelekwa moja kwa moja hadi kwenye mgahawa mkubwa ulikuwa ndani ya chuo kile hasa ulitumika kwa watoto wa matajili tu. Walifika na kuagiza vinywaji na kuanza kutumia.

 Ancillah muda wote alikuwa akijigonga kwa Jolvin lakini Jolvin hakuwahi hata siku moja kumfikilia mwanamke yoyote pale Chuoni muda wote alikuwa Ni mkimya akifanya Mambo yake na mikakati yake, Muda wote alikuwa Ni mtu wa kucheka na kutabasamu pasipo kuongea Sana na kuongea zaidi ameanzia kwa Joanyther na Ni mtu romantic Sana.

Ancillah alichukua kinywaji na kumuwekea Jolvin huku akimunyeshwa Jolvin nayeye alifanya vivyohivyo kumfurahisha asimtenge. 

Lakini Razack' na Collin wao walikuwa busy na Mambo yao Hawa wawili walionekana kuwa pamoja Sana huku Muzdalpher Alikuwa akidate na Razack' kwa sili Sana, na Razack' alishidwa kumpa Muda wakuwa nae kutokana na kuwa busy na Collin Sana.

Upande wa Lillian alimpenda Alvin na Alvin Muda huo hakuwa na Muda wakukaa na mwanamke na hakuwahi kufikilia kuoa mwanamke anayetoka katika Koo tajiri.


Story ziliendelea baina ya Hawa Watu. Ancillah alianzisha stori; 
 '" Leo Chuoni Kuna mtu kashikwa uchawi yule Villa girl kakutwa anawaga bombani tena ananuia akiita Jolvin acha akutwe afurumushwe na wanachuo hakika wamemkomesha kweli leo. Ancillah alianza kucheka kwa sauti huku akipigiza meza.

  "" Yuko wapi kwa Sasa?"" Jolvin na Alvin waliuliza kwa pamoja.

  "" Sijui atakuwa kaenda wapi kwa aibu zile nahisi kaenda kuchunga ng'ombe kijijini kwao, anakuja na uchawi wa huko kwao anazani atatoboa.""

Muda huo Maprince wote walisimama na kwenda kumtafuta Joanynther. Upande wa Joanyther aliamua wiki nzima apumnzike kwa madam kuwaepuka adui zake. Jolvin aliulizia mpaka akampata Joanyther aliamua kukaa nae wazungumze.

   """ Poleee Joanyther kwanini Sasa umehamia huku?? " Naomba nikurudishe hostel Kama hutojali.


 "" Jolvin hapana kwa Sasa nataka nipumzike Kwanza, chuo kizima Mimi wananiita mwanga Wazani watafurahia uwepo wangu??"" 


  "" Niahidi Mimi na uniamini Mimi" sitakuangusha kamwee, najua familia yako na ndugu zako wote wanakutegemea usome then ukawasaidie nataka nikusimamie ili ukamilishe mipango yako nikuombe ambatana na Mimi kwasasa twende Hadi hostel.""

   "" Ni sawa kwakuwa nahitaji kusoma kwa bidii na ninategemea nitaongozana na Wewe lakini sio kwa lengo la kusaidia Ni maamuzi yangu nilikuwa nikipanga kwa Sasa nakuwa imalaa""


Jolvin alimchukua Joanyther Hadi kwenye holl kubwa la chuoni. Wanafunzi walikuwa wakipata chakula Alifika akaamulu kijana mmoja akagonga kengele na wanafunzi wote walikusanyika kusikiliza muito huo.

Kisha Jolvin alisimama na kumshika Joanyther mkono.
   "" Nimesimama mbele yenu Mimi Kama Prince Jolvin nikiwa na Joanyther kuanzia leo Joanynther sitaki aguswe na mtu yoyote katika chuo hiki hasa kwanyie Three princess naomba tuheshimiane naweza nikafanya lolote kuwaondosha shuleni kwa mtu yeyote atakayesadikika kamfanyia uzalilishaji binti huyu langu Ni Hilo tu naomba wote tuwe makini na masomo tujali kile kilichotuleta hapa.


  "" Razack', Alvin na Collin na wao walisimama kuunga mkono na baadhi ya wanafunzi walisimama wakipiga makofi na kutoa ishara ya kukubaliana na Maprince wote.


Upande wa Three princess walisimama na kuondoka huku wakiwa wamechukizwa na kitendo hichoo.


     +++++
Leo Ni siku nyingine tena Joanyther alikuwa katulia huku akipitia kitabu chake Cha ''Anatomy''. Ghafura simu yake iliita kutoka nyumbani kwao, alikuwa Ni Mwenyekiti wa Kijiji chao akimpgia simu. Joanyther alipokea na kumsikiliza baba yake;

   "" Mwanetu unaendeleaje huko na masomo??? Ni muda mwingi hatujawasiliana huku kwetu hatujambo lakini Kuna tatizo limetokea kidogo  usiku wa kuamkia leo. "" Nyumba yenu imeungua Moto 🔥 mpaka Sasa hatujajua chanzo Cha Moto huo lakini tumebahatika kumnusuru baba akiwa na majeruhi Sana mwilini kwa Sasa yupo Mhimbili anaendelea na matibabu kuhusu Movick hajaonekana mpaka Sasa hatujajua Atakuwa ameenda wapi na inasadikika wote walikuwepo ndani japo Bado tunalifanyia ufumbuzi kumtafuta mdogo wako.


,,,,,, Itaendelea,,,,,,,,,,
Usikose Sehemu ya Tano. Vipi maisha ya babake na Joanyther na Movick Atakuwa wapi?, Je Ni mzima?.""



MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU:04,"0743798113"what'sup

SONGA NAYO.

Jolvin alifika na kushuka Kisha alimfungulia mlango Joanyther.  "" Joanyther tumefika naomba ongozana na Mimi Tafadhari""


Waliingia katika duka moja la nguo. Mhudumu mmoja alifika na kuwakalibisha pale alionekana kufahamiana sana na Jolvin.

"" Nakuona Leo umekuja na Manzi vipi wataka pigo zako nimvishe Manzi wako?""


Jolvin alikubali kwa ishara ya kichwa huku akitoa maelekezo kutumia ishara ya mkono. 

Joanyther yeye alikuwa akiangalia jinsi wanavyozungumza, baadae mdada alimwomba asimame na atoke nae ampeleke Sehemu ya kujaribishia nguo.

Joanyther aliamua kumuulizia Jolvin;
"" Jolvin Hivi Ni Nini lakini mnaniganyia??''

 
  "" Mbona unahofu wakati upo na Mimi, ningeamua kukutelekeza nisingeshindwa, Niamini utanikuta hapa''  halafu kuwa makini huko, Mimi nitakuwa mbali na wewe kukusaidia.""


Baadae Joanyther alirudi akiwa kapendeza Sana mpaka na yeye alikuwa anajishangaa na kujisemea moyoni kumbe na Mimi Ni mrembo Hivi.


Jolvin alimwangalia Joanyther alibaki kaduwaa, mtoto mtoto kweli aliamua kumsogelea na kumkumbatia alishidwa kujizuia: "" Joanyther Wewe Ni mrembo kweli muda wote unapendeza ukiwa hivi, Basi tuondoke turudi chuoni.''


   "" Lakini Jolvin Mimi hio hela ya kulipia Sina, na Hapa nilikuwa  najaribishia tu.""

Jolvin alimwangalia Joanyther na kubaki akicheka tu; 
  "" Acha kuwa na hofu najua hauna ndio!' mimi ndio nalipia""

  ''"" Jolvin lakini...........

"" Lakini Nini kuwa muelewa"",
 Kisha alimshika mkono na kuelekea kwenye gari huku wahudumu wakiweka beg kubwa kwenye but lililokuwa limejaa nguo na Safari ikaendelea moja kwa moja hadi chuo.


Walifika Hadi chuoni na kushuka muda huo wanachuo walikuwa pared baada ya kusikia muungulumo wa ghari wote waligeuka na kuangalizia mgeni aliekuwa kafika pale.

Jolvin alishuka na kumfungulia mlango Joanyther, Alishuka huku amejawa hofu Sana akiogopa wanachuo wenzao walivyokuwa wakimtolea machoo.

Kisha Jolvin aliamuru dereva wake alishusha Lile begi la nguo na kupelekwa Hadi hostel. Kisha alimshika mkono Joanyther Hadi pared na kutulia akisikilizia muongozo wa siku hiyo baada ya pared kumalizika alimchukua Joanyther nakumsindikiza Hadi hostel alimfikisha Kisha alimshika mkono na kumwambia;

  """ Kuwa makini na three princess halafu muda mwingine jichukulie uangalifu Wewe Kama Wewe""
 Kisha aliondoka.

Joanyther alifika hadi hostel wanafunzi wenzake muda wote walianza kumuonea wivu Sana na kuanza kumtenga. 

"" Inakuaje mwanafunzi anatoka kijijini anaweka ukaribu hivyo na maprince Mimi nahisi Ni mchawi"" hayo Ni baadhi ya maneno yalivyokuwa yakisemwa.

Joanyther aliona Hana muda wote mtu wakuwa karibu yake aliona kaboeka Sana, Alichukua Sweta na kikoi chake alielekea Hadi bombani kukaa Kila alipojihisi mpweke.

Alifika na kujifunika kikoi chake gubi, baridi Ilikuwa Kali Sana.

Ghafura walitokea three princess walifika pale na kuanza kumshangaa ndipo Ancillah aliwageukia wenzake na kusema;
"" Mwoneni Joanyther anawanga, niliwaambia Ni mchawi hebu kaiten staff ya hostel waje kumuona.""


Muda kidogo hostel nzima ilifika pale na kuanza kupiga makelele mchawi!!, Mchawi!!' analoga Maprince wamfuate.

Ndipo Joanyther anasituka muda wote alikuwa kwenye wimbi zito la mawazo akiwaza huku baridi ikimpiga kisawasawa alifunua kikoi chake baada ya kusikia kelele zile.


"" Jamani oneni mchawi kamaliza kuroga, huyo ndo anashituka. Wanafunzi walianza kumumwagia matope wengine na mabaki ya chakula ""

Lillian alisikika akisema; "" Tuone alizoea kusaidiwa na ma Prince leo wote hawapo wameenda mjini"


Ghafura alitokea Madaam na kuwaamulu waache ndipo wanafunzi wote wakasambaa. Madaam alimchukua Joanyther Hadi kwake alianza kumhoji ilikuwaje mpaka Watu kumjalia na kumuita mchawi??"

   "" Kweli Madam Mimi nlikuwa hostel nmekaa nikaona nmeboeka Sana hostel nzima walikuwa wakinijadili na kujitupia maneno kisa nilitoka na prince Jolvin ndio nikaamua nikakae bombani pekee baada ya kuchoka kelele zao nimefika pale nikakaa Mbu wakaanza kunig'ata ndipo nikachukua kikoi nikajifunika baadae nasitusha na makelele huku madongo yakitua mwilini ndo ilivokuwa mpaka Wewe wafika."'

  "'' Pole sana Ni mtihani tu unapitia najua wasababishi Ni Hawa Three princess lazima nitalifikisha kwa mkufunzi wa chuo walishughulikie.'"


Maprince walifika Chuoni baada ya kutoka kuisimamia miradi yao. Muda mwingi siku za weekend huwa wanatoka kusimamia miradi yao. Ile wanafika tu walipokelewa na Three princess na kupelekwa moja kwa moja hadi kwenye mgahawa mkubwa ulikuwa ndani ya chuo kile hasa ulitumika kwa watoto wa matajili tu. Walifika na kuagiza vinywaji na kuanza kutumia.

 Ancillah muda wote alikuwa akijigonga kwa Jolvin lakini Jolvin hakuwahi hata siku moja kumfikilia mwanamke yoyote pale Chuoni muda wote alikuwa Ni mkimya akifanya Mambo yake na mikakati yake, Muda wote alikuwa Ni mtu wa kucheka na kutabasamu pasipo kuongea Sana na kuongea zaidi ameanzia kwa Joanyther na Ni mtu romantic Sana.

Ancillah alichukua kinywaji na kumuwekea Jolvin huku akimunyeshwa Jolvin nayeye alifanya vivyohivyo kumfurahisha asimtenge. 

Lakini Razack' na Collin wao walikuwa busy na Mambo yao Hawa wawili walionekana kuwa pamoja Sana huku Muzdalpher Alikuwa akidate na Razack' kwa sili Sana, na Razack' alishidwa kumpa Muda wakuwa nae kutokana na kuwa busy na Collin Sana.

Upande wa Lillian alimpenda Alvin na Alvin Muda huo hakuwa na Muda wakukaa na mwanamke na hakuwahi kufikilia kuoa mwanamke anayetoka katika Koo tajiri.


Story ziliendelea baina ya Hawa Watu. Ancillah alianzisha stori; 
 '" Leo Chuoni Kuna mtu kashikwa uchawi yule Villa girl kakutwa anawaga bombani tena ananuia akiita Jolvin acha akutwe afurumushwe na wanachuo hakika wamemkomesha kweli leo. Ancillah alianza kucheka kwa sauti huku akipigiza meza.

  "" Yuko wapi kwa Sasa?"" Jolvin na Alvin waliuliza kwa pamoja.

  "" Sijui atakuwa kaenda wapi kwa aibu zile nahisi kaenda kuchunga ng'ombe kijijini kwao, anakuja na uchawi wa huko kwao anazani atatoboa.""

Muda huo Maprince wote walisimama na kwenda kumtafuta Joanynther. Upande wa Joanyther aliamua wiki nzima apumnzike kwa madam kuwaepuka adui zake. Jolvin aliulizia mpaka akampata Joanyther aliamua kukaa nae wazungumze.

   """ Poleee Joanyther kwanini Sasa umehamia huku?? " Naomba nikurudishe hostel Kama hutojali.


 "" Jolvin hapana kwa Sasa nataka nipumzike Kwanza, chuo kizima Mimi wananiita mwanga Wazani watafurahia uwepo wangu??"" 


  "" Niahidi Mimi na uniamini Mimi" sitakuangusha kamwee, najua familia yako na ndugu zako wote wanakutegemea usome then ukawasaidie nataka nikusimamie ili ukamilishe mipango yako nikuombe ambatana na Mimi kwasasa twende Hadi hostel.""

   "" Ni sawa kwakuwa nahitaji kusoma kwa bidii na ninategemea nitaongozana na Wewe lakini sio kwa lengo la kusaidia Ni maamuzi yangu nilikuwa nikipanga kwa Sasa nakuwa imalaa""


Jolvin alimchukua Joanyther Hadi kwenye holl kubwa la chuoni. Wanafunzi walikuwa wakipata chakula Alifika akaamulu kijana mmoja akagonga kengele na wanafunzi wote walikusanyika kusikiliza muito huo.

Kisha Jolvin alisimama na kumshika Joanyther mkono.
   "" Nimesimama mbele yenu Mimi Kama Prince Jolvin nikiwa na Joanyther kuanzia leo Joanynther sitaki aguswe na mtu yoyote katika chuo hiki hasa kwanyie Three princess naomba tuheshimiane naweza nikafanya lolote kuwaondosha shuleni kwa mtu yeyote atakayesadikika kamfanyia uzalilishaji binti huyu langu Ni Hilo tu naomba wote tuwe makini na masomo tujali kile kilichotuleta hapa.


  "" Razack', Alvin na Collin na wao walisimama kuunga mkono na baadhi ya wanafunzi walisimama wakipiga makofi na kutoa ishara ya kukubaliana na Maprince wote.


Upande wa Three princess walisimama na kuondoka huku wakiwa wamechukizwa na kitendo hichoo.


     +++++
Leo Ni siku nyingine tena Joanyther alikuwa katulia huku akipitia kitabu chake Cha ''Anatomy''. Ghafura simu yake iliita kutoka nyumbani kwao, alikuwa Ni Mwenyekiti wa Kijiji chao akimpgia simu. Joanyther alipokea na kumsikiliza baba yake;

   "" Mwanetu unaendeleaje huko na masomo??? Ni muda mwingi hatujawasiliana huku kwetu hatujambo lakini Kuna tatizo limetokea kidogo  usiku wa kuamkia leo. "" Nyumba yenu imeungua Moto 🔥 mpaka Sasa hatujajua chanzo Cha Moto huo lakini tumebahatika kumnusuru baba akiwa na majeruhi Sana mwilini kwa Sasa yupo Mhimbili anaendelea na matibabu kuhusu Movick hajaonekana mpaka Sasa hatujajua Atakuwa ameenda wapi na inasadikika wote walikuwepo ndani japo Bado tunalifanyia ufumbuzi kumtafuta mdogo wako.


,,,,,, Itaendelea,,,,,,,,,,
Usikose Sehemu ya Tano. Vipi maisha ya babake na Joanyther na Movick Atakuwa wapi?, Je Ni mzima?.""
MWANDISHI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY.                    SEHEMU:02,"0743798113Whatsp.

 Songa nayo,,

Muda huo alifika yule mzungu , alishuka kwenye gari yake lakini mkononi alibebelea nyaraka zenye mafaili mawili, Kisha alimuona Mrs. Chimpompo alimpungia mkono na kutabasamu moyoni na kusema "" There are life after this life ( Kuna maisha badala ya haya ).

Kikao kilimalizika. Mrs Chimpompo alikuwa anasaini mikataba pale.
Kuna mzungu mmoja Leo hii alikuwa anapiga Simu eneo ili Simu yake ilipokelewa; "kazi nimeshamaliza saini tayari" "kazi njema umefanya nitumie mikataba hiyo niipitie.

Ni miezi miwili imepita tangu Mrs. Chimpompo asaini mikataba ile leo simu iliita kwa upande wa mmewe. "" Mr. Chimpompo unaongea na Angelica Askari upelelezi hapa tunaomba kuonana na wewe tuna mazungumzo naona Kuna Watu wako mnadaiana hapa uliingia nao mkataba naona bado asilimia kumi hujawalipa mwezi huu na mlikubaliana ukishidwa kuwalipa hotel yako ya mbezi I mikononi mwao naona naona sahihi yako hapa.

 "Unasemaje mkuuu hebu rudia kukagua taarifa yako naona umechanganya.

Nipo makini na kazi yangu, Tafadhari unaombwa ufike kituoni kwa maelezo zaidi.

Mr. Chimpompo alikuwa ni mtu anaejiamini na ni mtu ambae alifanya kazi yake kwa ustadi mkubwa, Alichukua gari yake moja kwa moja Hadi kituoni.

Mr. Chimpompo Kuna Watu wako hapa umeingia nao mkataba katika Shea yako ya hotel wanadai asilimia kumi, halafu hoteli ya masaki Leo wamekuja kumalizia hela yao waimiliki hoteli na mzigo wako huu hapa.

Mnasemaje!!!; Mbona siwaelewi leo Mimi sijaingiza shea katika biashara zangu na mtu nafanya mwenyewe.
 
Uliagiza mkeo aje aweke saini tayari Kila kitu kipo kwenye makubaliano inabidi upokee pesa yako na asilimia kumi lipa hi ni kwa usalama zaidi.

Mr. Chimpompo Lijizihilishia kwa kukagua zile dokomenti kweli alikuta sahihi ya mke wake hapo hapo ndipo alipojua mkewe kaibiwa na yule mzungu aliekuwa karibu nae mbaya zaidi ameingia kwenye mahusiano Nia ilikuwa ni kumlaghai achume Mali.
Mkewe baada ya kusikia hoteli yake imechukuliwa alimfuata yule mzungu mpenzi wake alienda akilalamika na kumwambia mbona umenifanyia utapeli Mimi sahihi ile nilijua mnawekeza kwenye hoteli lakini imekuwa nikutufilisi, Mzungu alimbembeleza Mrs Chimpompo na kujikuta amekubali alimuahidi akamuoe hata hangaika Tena maana hotel ile itakuwa I mikononi mwake.

Mrs Chimpompo aliamua kutoroka akaungane na Mzungu wakaanze maisha alimuacha Joanyther akiwa na miaka mitatu na kumwachia kijakazi wake tayari kuanza maisha mapya ulaya lakini aliondoka akiwa na ujauzito wa Mr Chimpompo wa mwezi mmoja. Maisha yalianza vizuri ulaya mmewe alimpenda Sana zaidi alimwambia mimba ni yake furaha ilizidi kuongezeka lakini ilikatishwa Mara tu baada ya kujifungua mtoto wa kiume ambae alifanana na Mr Chimpompo alimpa jina la Movick lakini vurugu ilianza ikabidi Mrs Chimpompo amuahidi mmewe mtoto akifikisha mwaka mmoja atampeleka Tanzania kwa babake alelewe kule aliona hapo ndio furaha itarudi Tena na hayo ndio yalikuwa makubaliano yao.

Miezi ilizidi kusogea hatimae mwaka mmoja leo Mrs Chimpompo pamoja na mmewe walionekana airport dsm wakishuka walifika moja kwa moja na kuulizia Mr Chimpompo kwa Sasa makazi yake baada ya kufirisika aliamua arudi kijinini kuanza maisha mapya akiwa na mwanae Joanyther. Walifika mpka kwenye nyumba waliokuwa wakiishi tayari Ilikuwa ishanunuliwa na bosi mmoja alikuwa akiitumia Kama ofisi ya mikopo zaidi walizidi kuulizia mwisho walimpata mtumishi wake aliekuwa mlinzi Kisha walimpatia hela na kumwambia mtoto afike kwa Mr Chimpompo akiwa salama zaidi waliacha barua ikisema,

 ""mme wangu najua umeumia Sana Mimi kuolewa na Mzungu sikuwa na changuo zaidi nikaona Mimi ndo nimeleta umasikini ndani ya nyumba nimeona bora tukaungane pamoja na Mimi nikatengeneze kizazi changu zawadi pekee nitakayo kupa ni mtoto wetu movick pale naondoka nlikuwa ni mjamzito wa mwezi mmoja Naomba umtunze na uniombee msamaha kwa Joanyther nilimuacha vibaya zaidi kesho tunarudi ulaya alfajili.

Mlinzi baada ya kupokea mzigo ule aliingiwa na huruma ikabidi atafute mawasiliano alimpgia Mr Chimpompo alimweleza Kila kitu kilichotokea, Mr Chimpompo alimuahidi asubuhi Sana atafika.

Mr Chimpompo siku iliyofatia aliongozana na mwanae joanyther yapata Sasa alikuwa na miaka minne alifika mpka mahali alielekezwa, macho yake hakuamini alimkuta ni mwanae kweli alifanana nae alimbeba huku akiwa na majonzi Sana, "Mama Joanyther ni Nini kimekupata mpaka unasahau hata uchungu wa wanao Kama umeshidwa kuwa mama bora Mimi pia naweza kuwa baba Bora kwa Wanangu nashukuru kwa kuwa umeniletea damu yangu mwenyezi Mungu akutangulie huko uliko lakini bado Nakupenda Sana mke wangu na utabaki kuishi moyoni mwangu kamwe, aliongea huku machozi yakimdo ndoka moja kwa moja hadi kwa Movick, Mr Chimpompo aliamua kumubeba Movick mgongoni Kisha alimbeba Joanyther mkononi na mkono mwingine alibeba begi lilokuwa limewekwa nguo za Movick pamoja na nguo za Joanyther mama yake alimletea Kama zawadi.

Alielekea Hadi Airport huku akiwa na wanawe,aliona Ndege ilikuwa inaondoka, Movick alianza kulia kutokana na njaa Kali aliyokuwa nayo Mr Chimpompo ilibidi amnunulie mtoto juice ya embe angalau atumie lakini mtoto muda wote alikuwa akimuita mama!,mama! Huku akilia baadae Movick aliona Ndege inapaa alizidi kulia huku akinyosha mkono. 

 Ndani ya ndege Mrs Chimpompo alimuona mmewe kwa mbali akiwa na watoto huzuni ilimwingia na kuanza kulia;" Nisamehe mme wangu nafanya hivi kwa sababu nahitaji kurudisha Mali zetu punde, alifuta machozi na kuendelea na Safari yao.
 
Mzee Chimpompo aliondoka taratibu na wanawe wawili alielekea stendi kuchukua usafili moja kwa moja Hadi nyumbani kwake na hapo ndipo maisha yalianza akiwa na watoto wake Hadi kufikia hapo. Na hii Ilikuwa ni kumbukumbu baada ya Movick kuongea vile............................


Mr Chimpompo alimshika shavuni, wewe ni jasiri lazima Ndege uendeshe ndio, walielekea Hadi mezani na kuanza kula chakula Cha usiku, "Naomba mwanangu Joanyther wiki kesho ujiandae kwenda chuo nmepata meseji ya mjomba wako nayeyeye kaahidi atamalizia Ada iliyobakia.

Joanyther, alikuwa na furaha muda wote hakuamini Kama kweli ndoto yake ingekamilika mapema hivo alitoka nje kwenda kumgongea mdogo wake mlango.

 ""Vipi Movick umelala?

  ""Dada nitalala vipi wakati unaondoka na unaniacha peke yangu muda wote niwe napika mwenyewe bado shamba.

""Usijali na wewe, Sasa mpka ulie kweli hebu futa machozi, mwanaume halii mbona unakuwa sio jasiri wewe.

""Sawa, silii Tena niahidi ukienda huko muda wote utakuwa wanikumbuka halafu picha zile ulizokuwa unanicholea Kila siku halafu unaandika Gloomy Sunday" ulimanisha Nini?? Au ndio siku mama ananiacha ilikuwa jumapili?

Muone, Movick umekua siku hizi Hadi unapitia notebook zangu, hamna uliona nimechora picha nikaandika hivyo, sikuwa na maana hiyo  Basi ni wewe tu mdogo wangu unawaza mbali. Gloomy Sunday ni wimbo wa Reszo Seress huwa naupenda tu ndio maana nikaamua kuandika.

Lakini Dada a!!!

"Lakini nini?, Soma kwa bidii uwaze kitabu siku zote sawa na usiwaze mapicha picha, byee usiku mwema, usisahau kushusha neti.

Ilikuwa ni wiki tayari Joanyther, alikuwa akifanya mahemezi ya kwenda chuo akiongozana na Movick kakake alimpenda Sana,
 
"" Dada, unajua siamini kesho ndo waondoka, na huzuni et,

   "" Usiwe hivyo mdogo wangu k Nitakuwa Kila likizo naja kwa hilo usihofu. 

""Sawa, muda mwingine uwe unanipgia Simu unanifundisha bila Shaka unajua na Mimi basic kwangu ni jiwe, Tena mwamba.

""Usijali baba atakupeleka ujifunze kwenye masomo ya ziada Kuna mwalimu anawezea kweli.


Baada ya kumaliza mahemezi walifika moja kwa moja Hadi nyumbani na kuendelea kupanga vitu vyakuondoka navyo huku stori za wanafamilia ziliendelea. 

      ,,, Itaendelea,,,
Usikose SEHEMU ya tatu.
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU: 05 ,"0746638941"what'sup"


SONGA NAYO.

Muda kidogo Mkufunzi wa chuo alipokea simu kutoka kijijini kwao Joanyther Ilikuwa Ni simu ya Huzuni kidogo. Taarifa alizopata siku hiyo Ni Baba wa Joanyther kajirusha ghorofani baada ya kuzinduka na kukuta mwili wake una majeraha Makubwa akili yake ilichanganyikiwa na kuamua kuchukua maamuzi ya kujitupa Orophan.


Alitoka pale na kumkuta Madam Yuko bize kumbembeleza Joanyther. Alimwita pembeni waongee kidogo Kisha alimwambia kilijojili na kumuomba aongeze Watu wa kumsindikiza msibani pamoja na walimu baadhi wataungana nae, zaidi aliomba Joanyther asiambiwe taarifa za msiba Kwanza mpaka watakapofika.


Safari ilikamilika Lakini Joanyther siku hiyo alianza kuhisi khari ya utofauti Sana alikuwa na maswali mengi akiangalia Watu walivyojitoa kumsindikiza Ni tofauti kabisaa make walikuwa wengi Sana ndipo alipoanza kulia huku Kumbukumbu nyingi zilikuja za baba na mdogo wake Movick walivyokuwa wakiishi siku hiyo asimkumbuke hata mama yake jinsi alivyowatelekeza alizidi kulia Sana.


Muda kidogo alifika Jolvin na kumpatia mkono wake.
  """ Joanyther ee usiwe mnyonge kiasi hichoo Mimi nipo upande wako muda wote hakuharibiki kitu, pia nimeambatana na Prince wenzangu wote naamini tutaondoka wote.""


Joanyther Hakuamini aliwaona kina Prince wote wamesima mbele yake Kisha walimtaka asimame na kupanda gari ili waondoke Lakini muda huo huo hutaamini Three princess na wao walifika huku wakiwa wamejiandaa na Safari na kumpatia mkono Joanyther ishara ya kwamba wao pia wanamuunga mkono.


Safari ilianza kuelekea kijijini muda huo Prince Alvin na Jolvin wao walikaa nyuma na Joanyther, huku mbele dreva alikuwa Ni Razack' na Collin. 

Alvin na Jolvin muda huo walikuwa wakimbembeleza Joanyther mwanzo wa Safari Hadi mwishoni.

Siku iliyofuata walifika Hadi kijijini kwao Joanyther. Walipokelewa na wanakijiji wa hapo akiwemo mtendaji wa kata.

Upande wa Joanyther alishuka kwenye gari na kuanza kutizama Nyumba yao jinsi ilivyokuwa imeungua bati zote zilikuwa zimebadilika na kuwa nyeusi na Nyumba Ilikuwa imebomoka na tofari zilikuwa zimemeguka vipande vipande, Alitazama Watu vile walivyokuwa na huzuni ndipo akatambua kabisaa Baba yake atakuwa Ni marehemu, alipiga ukunga na kuanguka chini huku akitapatapa baadae alizimia.


Ndugu wa karibu walimchukua Joanyther Hadi ndani na kuanza kumpepea mpaka pale Kumbukumbu Zaki ziliporejea aliinuka kitandani na kukaa Kisha aliuliza;

  "" Ni kweli ndio nimeamini baba yangu sipo nae Tena. "" Vipi kuhusu mdogo wangu Movick na yeye atakuwa wapi au na yeye kafariki???!""

  """ Mwanangu nashidwa hata nikwambie Nini, utaratibu unaendelea kupeleleza Calvin aliko Lakini inasadikika siku yenyewe ya tukio linatokea Ilikuwa Ni usiku wamelala sisi tuliona Moto 🔥 unawaka na Moshi ukifuka ndipo tulikimbia kutoa msaada ndio tukamkuta baba yako akiwa kajeruhiwa Sana na Moto tulimchukua na kumpeleka Mhimbili na ndipo Safari yake ilikomalizikia huko.


Tumejitahidi kufatilia Jambo hili Lakini inaonekana Ni la kusababishwa na tetesi za majirani walimsikia Movick akilia akihitaji msaada baadae alitoka akikimbia huku Kuna mtu alisikika akisema kamateni huyo baadae kukawa kimya ila naimani atakuwa anaishi naomba jitie nguvu mwanangu kwa wakati huu mgumu na Mungu akutangulie tu.

Alikuwa Ni mama mmoja wa makamo Hivi aliitwa Bi Emma. alikuwa Ni jilani wa karibu Sana  na Mzee Chimpompo na msiba ulifanyikia kwake make kwao Joanyther hakukuwa na Sehemu ya kukaa Tena hivyo aliamua kuchukua jukumu hili kuwa karibu na Joanyther kumbeba Kama mwanae.

Muda ulifika wa kwenda kuaga maiti kwenda malaloni. Joanyther muda wote  alikuwa kashikiliwa alijitahidi kujikaza Lakini alishidwa kujizuia ile kuona maiti tu nguvu zilimuisha na kuanguka chini Tena na kuzimia walimchukua na kumpeleka ndani siku hiyo hakupata hata muda wakufika Sehemu aliyolala babake.

Mwili wa Mzee Chimpompo ulienda kupumzishwa kwenye moja ya mashamba yake, lilikuwa Ni shamba la mihogo.
 

Joanyther alikuja kuamka na kumkuta pembeni yake Jolvin, alimwangalia tu na kumuuliza.
"" Kwaninii Jolvin uko hapa?? Na Hapa wamelala wanawake imekuaje ukavaa mavazi ya kike??"


Jolvin alitoa ishara ya kumnyamazisha asiendelee kuzungumza Tena Kisha alimvuta na kumtoa nje huku wakinyata taratibu.

Ghafura mama mmoja alisikia kukanyagwa alipayuka.
   "" Nani Tena anayenikanyanga hafu Watu wamelala na yeye anasumbua.""


Joanyther aliamua kujibu.
"" Samahani Ni Mimi mamaa naenda kidogo uwani""

  "" Uwahi Sasa uje upumzike, hafu na Wewe msindikizaji naomba umuwahishe huko Kuna baridi.""


Jolvin alimtizama Joanyther na kubaki kucheka tuu.
  "" Daaah!!! Angejua Mimi Ni dume Wala asingesema hivyo naona nimefanikisha hapa""


Walifika Hadi nje kidogo na Nyumba. Jolvin alichukua simu yake ndogo na kuwasha Kisha alimumulika Joanyther usoni, Kisha aliishia kumtizama tu.
   "" Pole Sana Joanyther inaonekana una mtihani Mkubwa Sana japo siwezi kukupunguzia mtihani huo ila nakuomba jitie moyo kwa hili.""


  "" Jolvin ndio ulichoniitia!!!??" Kwahilo usijali Mimi nitakuwa sawa tu, katika mtihani huu.""

   """ Joanyther niahidi kweli Kama hautakuwa mnyonge kiasi hiki nataka uwe normal kiasi chake""

   """ Usijali bhana tatizo unawaza Sana juu yangu kuliko hata wenzako but na wao wananiwazia pia ila niwaahidi nitakuwa imara tu.""


  "" Hicho ndio nakitaka kwakoo Basi nilitaka kusema na Wewe hiko tu, Kisha alichukua shuka lake alilokuwa kajifunika na kumfunika: "" litasaidia kukupunguzia baridi usiku wa leo, byee kesho""


Joanyther aliondoka pale na kwenda kulala. Alijifunika shuka lake na kuongeza shuka la Jolvin siku hiyo kulikuwa na baridi Sana Lakini baada ya kujifunika shuka Hilo alizidi kumkumbuka Sana Jolvin baadhi ya matukio ya nyuma japo Ni kwa muda mfupi Sana alifurahia tu.

Ilikuwa Ni siku nyingine tena. Leo wanafunzi walikuwa wakijiandaa kuondoka. Walikusanyika pamoja na kuanza kupangilia Safari Yao. 

Joanyther nayeye alifika Sehemu hiyo kujumuika na wenzake. Kisha Alikuwa na Cha kusema;
   "" Niwashukuruni wote kwa wale mlioguswa na msiba wa marehemu Baba yangu na niwashukuruni kwa Moyo wenu mlionesha kuja kunitia nguvu ukweli sikutegemea Kama mtakuja kwa wingi kiasi hiki na fadhira zangu nazirudisha kwa uongozi wa shule kwa kutoa idhini hii na Mwenyezi Mungu awabariki wote.

Pia niwatake radhi kwa vyovyote vile ulivyoona kwenye haki za binadamu hazikutimia na hi Ni kutokana na uwezo wa Nyumbani kwetu naomba mtusamehe. pia.......... Joanyther alishidwa kujizuia machozi yalianza kumtoka nakuanza kulia aliamua kuondoka Sehemu hiyo.


Wanachuo wote waliingia na huzuni baadhi Yao walianza kulia pamoja na walimu. Mkufunzi aliwatia moyo nyie mkilia Hivi wazani Joanyther yeye atajisikiaje naomba tujikaze tumtie nguvu yeye yupo katika wakati mgumu kwa Sasa ndio anapaswa atiwe Moyo na sisi, sawa tumeelewana??""

Ancillah siku hiyoooo kitendo Cha kumuona Joanyther analia mbele yake. Alimuonea huruma Sana.
   """ Joanyther nisamehe Mimi sikuwa najua kwa kile nilichokuwa nakifanya kwako, nilijiona Mimi Ni mtu wa thamani Sana kuliko Wewe lakini leo hii najutia, najua unawakati mgumu Sana hauwezi hata elezeka nataka nilipe kwa Yale mabaya niliyokufanyia now Ni muda wa kulipa mapya kwako naimani nitafanya hivyo."" Kisha alifuta machozi na kuendelea kumsikiliza kiongozi wao.


Jolvin alishidwa kujizuia aliamua amfuate Joanyther alikoelekea alimkuta kusimama kwenye zizi la Ng'ombe huku akiwa Mbali Sana kimawazo. Alifika na kusimama pembeni yake huku kaegema kwenye zizi.

""" Vipi Naona Ng'ombe wameshiba Kweli na wanaonekana wana afya nzuri Sana.""

"" Kweli ndio wameshiba na wanna afya nzuri swali Ni kwamba, Je wataendelea kushiba Hivi na kuwa na afya Hivi, ingali mwangalizi hayupo kwa Sasa Nani atawakatia majani Tena!!?"

Lakini ngoja twende ukawaone Kwanza  na Hawa Nguruwe.

Walifika Hadi kwenye Banda la Nguruwe. Joanyther alichukua Mwana wa Nguruwe mdogo na kumshika Kisha alimpatia Jolvin ashike.

Jolvin baada ya kumuona Nguruwe alipiga kelele na kutoka anakimbia kwa spidi Kali. Joanyther alizidi kumshangaa Jolvin baadae Sana ndipo anagundua kaogopa Nguruwe alianza kucheka tu huku akimfukuzia.

  """ Jolvin Wewe jinga Kweli, na ukubwa wako waogopa Nguruwe Kweli naomba usimame Basi nishamrudisha kwa mamae""

  Ndipo Jolvin aligeuka na kusimama.
""" Hapanaa bhana bado unae huko nyuma umeficha Nini Lakini???""

 "" Wewe simama Kwanza nikwambie, sijaficha kitu Nina mhogo wa kuchomaa tu vipi watumia??, huku akiukata na kumpatia""

  """ Joanyther Mimi sipendagi michezo hiyo ya kuchezea wanyama wa pori bhana niahidi siku nyingine hautarudia Tena, "" sawa!!!!?"""

  
  "" Nikikuahidi hafu nikarudia Tena utanifanya Nini, thaminisha kitu namimi nisirudie hapo sawa""

"" Nithaminishe Nini Sasa!!?, basi nikuthaminishe Wewe mwenyewe Basi ntakufanya kuwa Princess yaani muwe four princess nikuongeze na Wewe""


 """ Usemayo Ni Kweli basi sitarudia Tena, hafu mbona washikilia shingo namna hiyo kulikoni??""

  "" Aaaah nahitaji majii, mhogo umekaba Koo""

"" Tatizo unakula kwa kupalamia Sana Hapa tushafika mbali na Nyumbani Basi tusogee mtoni ndio upate maji""


Walifika Hadi mtoni Jolvin alikunywa maji kwa fujo mpaka yakampalia.
  "" Maji yenu yananyonga bhana""


   ""Wewe nawee!!!' yananyonga wapi tatizo umeyapalamia Sana Basi tuondoke twatafutwa huko.""

Upande wa wanachuo walizidi kumsubili Jolvin pasipo kutokea. Alvin aliamua kumfuata Jolvin aliangaza huku na kule baadae aliwaona wakiwa sambamba wanakuja huku wakiwa nafuraha pamoja na cheko za Hapa na pale, moyo wake ulijisikia Wivu aliamua kugeuza mdogo mdogo Akirudi.

Alizidi kujivuta huku hasira zilizidi kumuongezea Wivu na kumpelekea asione njia vizuri na kupita kwenye majani. Lakini kwa ghafura alihisi maumivu mguuni pake Kisha alipiga kelele. Mamaaaaaa!!!!!!""

,,,,, Itaendelea,,,,
Usikose sehemu ya sita Nini kitafuata. Kipi kimemsibu Alvin.
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU: 06 ,"0746638941"what'sup"

ANZA NAYO.

Alizidi kujivuta huku hasira zilizidi kumuongezea Wivu na kumpelekea asione njia vizuri na kupita kwenye majani. Lakini kwa ghafura alihisi maumivu mguuni pake Kisha alipiga kelele. Mamaaaaaa!!!!!!"" ENDELEA..


Joanyther na Jolvin walimuwahi na kuanza kuangalia mguu wake.

  "" Joanyther naona Alvin kugongwa na Nyoka Kuna alama mbili za meno inaonekana kan'atwa hapa.""


Joanyther alichana gauni yake kipande Kisha aliinama na kuchukua mguu wa Alvin na kumfunga ili kuzuia sumu isisambae mwilini.

Walimchukua huku wakimkokota taratibu Hadi walifika kwa wanafunzi wenzao.

Ancillah alimuwahi haraka Alvin na kuanza kumuuliza;-
  "" Nini Tena Alvin kimekusibu mpaka umekuwa hivi?? au Joanyther kasababisha ukang'atwa na majoka ya huku, jikaze twende nyumbani Prince.


Joanyther alijihisi vibaya Sana baada ya kusikia maneno ya Ancillah, Aliamua kuondoka na kwenda kutafuta suluhisho la Prince kuwa mzima.

Muda kidogo alirudi akiwa na Babu mmoja umri wake ulikuwa yapata Kama miaka sabini. Alifika na kutoa  dawa kwenye mikoba yake Kisha alimchukua Alvin na kumupeleka kwa Bi Emma na kuanza kumtibu.


Mkurugenzi wa chuo alifata Babu huyo na kuulizia maendeleo.
     "" Dokta zoezi hilo litachukua muda gani mpaka awe imara??"


  "" Hapa inabidi akae Kama wiki moja atakuwa imara. Hapa kang'atwa na Nyoka mwenye sumu Kali Sana na tukizembea hapa atakatwa mguu, kwani sumu hii hukimbia kuathiri viungo pamoja na Joint zote kwahiyo atabaki hapa kwa usalama zaidi.""


   "" Daaaaah!!!! Itakuwa balaa Sasa tukiondoka naomba abakie na Joanyther siku akirudi atarudi nae na hi itamsaidia Joanyther asiwe na upweke.


Baadae Mkurugenzi alitoka pale na kuwaitisha wanafunzi wake, Aliwaeleza Kila kitu kinachojili kuhusu Alvin na kuomba waondoke yeye atafatia Nyuma na Joanyther baada ya khari yake kutengemana.


Wanafunzi wote waliishia kuguna tu kumanisha hawakubaliani nae Lakini alijaribu kuwapa madhara yatakayotokea baada ya kuacha tiba. Woote Tena wakamuunga mkono na kuanza maandalizi ya Safari ya kurudi chuo huku baadhi ya wanakijiji waliwapatia mahindi, mihongo, ndizi, karanga na vitu vinginevyo kadhaaa.


Baaadae aliwaruhusu wanafunzi wakamuage Kwanza Alvin wajue khari yake.

Jolvin yeye aliumia Sana hakutaka Alvin abakie na Joanyther na aliamini adui yake kwa Sasa Ni Alvin aliamua kumfuata Joanyther faragha alikuwa na maneno machache ya kuongea nae kabla hajaondoka.

  "" Joanyther Mimi ndo naondoka hivyo naomba ujisimamie mwenyewe kuwa makini na changamoto zisizo za lazima pia epuka vishawishi, kingine mwangalie Alvin hakikisha anakuwa sawa na mnarudi mapema kujiandaa na mitihani iliyopo hivi punde.""

   "" Usijali bhana mi najilinda siku zote Wewe tangu nije Chuoni umewahi kusikia hata nimeng'atwa Nge au Nyoka hafu nikawa mwoga wakuogopa Kinguruwe.""


  "" Najua!!!, Wewe fanya hima uwahi kurudi bhana, unajua nitakumisi sana, ila ukichelewa kurudi nitaugua maradhi ya kukumisi ujue.""

   "" Wewe Nendaa!!! Hata ukiugua uzuri huko Kuna hospital nzuri na waataalumu wa afya wamejaa, Mimi pia nitamisi uwepo wenu Japo angalau nitakuwa na Alvin nitafurahia uwepo wake.""

Muda kidogo Razack' na Collin wakiwa na na Muzdalpher, Ancillah, Lillian walifika na wao.
   "" Joanyther sie ndo twaondoka nikuombe ubaki salama na Mungu azidi kukutia nguvu zaidi nikuombe mwangalie Sana Prince Alvin awe mzima hafu msikawie kurudi. Ancillah aliongea kuwawakilisha wenzie.


Collin yeye alimshika mkono Joanyther na kumnongoneza sikioni.
   "" Ubaki salama na muwahi kurudi ila usisahau ""Unapendwaa""

Joanyther alimwachia mkono Collin na kuduwaa kidogo Kisha aliamua kucheka ili awafurahishe wengine.
   """ Basi nitawamisi na nitawakumbukeni sanaaaaa na nitawamisiii wasalimieni wanafunzi wenzangu ambao hawakupata muda wa kuja wambieni ninakuja na zawadi zaoo.""

 
Wote walifurahi na kumuaga kwa pamoja byeeee huku wakimpungia mkono Joanyther.


Baadae Kila mwanachuo alikaa kwenye seat yake tiyari kwa Safari. Japo walikuwa na huzuni Sana baada ya gari tu kuaanza kutokomea kwenye Kijiji hicho. Kila mtu alikuwa akiwaza na kuwazua ya kwake.

 "" Joanyther anaishi kijijini Lakini watu wa Kijiji hicho wanaupendo Sana, wanajali muda wote wanafuraha Richa ya hayo wametupatia na mazao pamoja na matunda mengi hakika nitamisi Kijiji hiki""

Upande wa Jolvin aligeuka nyuma na kuangalia vile Kijiji walivyokuwa wakikiacha na kuingia barabara kubwa alijisemea moyoni mwake.

   "" Nitakukumbuka Joanyther hata kwa ucheshi wako najua hujawahi kuwaza kitu chochote moyoni mwako ila kuna siku  utajua Ni Nini  kitakacho ufanya moyo wako uwaze.""

Kisha aliegama kwenye kiti huku usingizi ukimpitia taratibu na njozi ya matukio waliofanya na Joanyther yakijirudia Mara mbilimbili na kubaki akicheka mwenyewe.
   
     ++++++

Huku Kijiji Joanyther alikuwa akichemsha dawa jikoni baadae aliiepua na kuelekea Hadi Chumbani kwa Alvin huku ameandaa kitambaa na  kikombe Cha maji.

Alifika na kumuamusha Alvin make muda huo alikuwa Bado kalala.
  "" Alvin Ni muda wa dawa umefika amka unywe hafu nikukandee""


'"" Joanyther!!' Mimi nimechoka na dawa yaani muda wote dawa! Dawa!!  Hafu chungu Kama Mualovera wazani nitavumilia mpaka lini??""


   """ Mwanaume muoga muoga tu, Nyie mliozaliwa mjini bhana Ni shida tu!! Mimi Dokta kaniachia jukumu la kukupatia dawa kwahiyo naomba usinisumbue. Tafadhari Nyoosha mguu wako Kwanza nifanye kazi yangu. Huku alisogeza maji ya dawa na tambala.""


  "" Tupeane masharti kwanza kabla hujaanza kunikanda!!!""


   "" Nakusikilizaaa ongeaaa!!!!"

   "" Sharti la kwanza sitaki uwe siliazi, la pili, '' dawa isiwe ya Moto Sana, la tatu, ukinikanda kwa nguvu nakung'ata!!!""


   """Hahahaaaa! Hahaaa!! Yaani Alvin unafurahisha kweli!!! ' Et sharti la kwanza... ,la pili..., la tatu... et Waning'ata  Mimi nitakufanya kitoweo Kama Ni hivyo!!!"


Kisha alichukua tambala na kupitisha kwenye dawa na kumuwekea kwenye jeraha lake huku akimkandamizia kwa nguvu.

Alvin Alimkazia jicho Joanyther mpaka na yeye aliingiwa na hofu kisha alimshika   mkono  kwa Nguvu.
  "" Wataka kuniua kwa kunikandikia maji ya Moto we mwanamke??, Mimi naumia et, kuwa na huruma hata Kama unaroho ya uness ndani yako usinifanyie hivyo.

  "" Samahani basii Alvin, hebu jikazee bhana!!! nafanya hivyo kwa sababu nataka upone turudi shule huu ndio mtihani nilioachiwa na wenzako.""


 "" Wao ndo wanataka nirudi mapema je wameniuliza kuwa ndo nataka nirudi pasipo na ridhaa yangu???' Basi Mimi Sina haraka hiyo nitakaa mwezi hapa hata wakipiga simu waambie Bado naumwa!! Sawa mamaaa!!! Wewe fanya taratibu nitapona tu hata hivyo Mimi sijapachoka huku!!, natamani uwepo wako na ukaribu wako muda wote.""

  "" Wewe jiandae tu kurudi, hapa sio kwenu Ni kwetu, ukiendelea kukaa huku utadhurika na marazi ya ukosefu was chakula bora, hapa kuku zote umemaliza sijui wataka tukuchinjie Nguruwe!!""

"" Nadhurikaje sasa!!? Kwa amani niliyonayo hapa sitamani hata hayo maisha ya nyumbani huku nakula vyakula vya asili mpaka na enjoy tu.""

"" Tutaona Kama utabakia hapa, labda sio Mimi et!! ""


+++++++

Ni wiki moja ilipita upande wa wanafunzi walikuwa wakimsubili Alvin na Joanyther kwa hamu Sana hasa kwa Three princess walimgonja Alvin na kwa Prince nao walikuwa wakiwangonja kwa khari hamu Sana. Huku baadhi ya wanafunzi walikuwa wakisubili zawadi za kutoka kijijini.

Lakini kwa baadae alionekana Alvin alishuka kwenye gari. Baadae walishuka vijana wawili na kumsaidia kupakua mizigo kwenye buti, Ilikuwa Ni mizigo katoka nayo kijijini.

Prince na Princess wote walifika kumlaki. Lakini Jolvin muda wote alibaki kuangaza huku na kule akimuuangaza Joanyther, baadae aliamua kumuuliza Alvin;

   "" Alvin!!!' Mbona Joanyther haonekani, au hukuja nae??""


  "'" Joanyther nimejaribu Kila njia kumbembeleza Lakini Bado Kanigomea kadai atakuja wiki ya mtihani ndio atahudhuria kwa Sasa yupo anakamilisha ratiba za nyumbani leap kwanza aweke sawa. ""

   
Collin na yeye aliuliza.
 "" Inawezekanaje mtu aje wakati wa mtihani na wakati masomo bado yanaendelea na hapa anapitwa na masomo Basi asifanye mtihani kwanza atafeli.""

   "" Wewe Collin hapana!!! Joanyther lazima afanye mtihani iwe isiwe akifeli ndio anajifunza. Alikuwa Muzdalpher akiongea.""


Jolvin aliamua kuingilia.
  "" Hili niachieni Mimi!!! Nitakaa na Joanyther nitete nae nitaenda hata kwao nihakikishe anarudi kabla ya Hilo juma la mtihani halijafika.'"


Baadae Madam alifika pale na kuwauliza.
   "" Kuna mzozo gani tena hapa!! Naomba wote tuingie madarasani tuendelee na vipindi majadiliano baadae.""

Mida kidogo baada ya masomo Jolvin aliamua kumfuata Alvin wazungumze.
   "" Hivi Ni Kweli Alvin, Joanyther atarudi wiki la mitihani??""


"" Ndivyo hivyoo alivyoniambia""

"" Lakini Vipi ukiangalia uelekeo wa shule ipo kichwani Kweli??"

"" Kwa kuangalia tu Joanyther kwa Sasa Ana mambo mengi bado anamuwaza baba'ke na Mdogo wake, hajui hata atampata wapi?, Mimi najua Joanyther kanambia hivyo kunirizisha tu huenda kabisa asirudi Chuoni. ""

"" Lakini tufanye Nini?, Joanyther arudi shule hapa asipopata elimu unazani ataishije na khari ya mazingira ya Nyumbani kwao umeonaa??. Hapa itabidi sisi Tujichange tukailudishe ile Nyumba na baadhi ya vitu tukanunue hapo ndio itasaidia arudi shule.'" 


Muda kidogo alifika Ancillah na kuketi pale akisikilizia maada inayozungumziwa hapo aliamua kuchangia.
   "" Mipango yenu ipo sawa Lakini Mimi piwa nanuiwa kufanya ujenzi pale. Naomba Tujichange na Mimi Nina kiasi nitachangia katika ujenzi.


Baadae walifikia muafaka wa wazo lao walilipitisha na kuitisha kikao Kati ya himaya ya Prince na Princess walikaa kikao na kupanga vitu vinavyohitajika na siku ya kwenda. walipanga wafanye kabla ya mitihani ili kumvuta Joanyther ahuzurie kwenye mitihani.


   ,,,,,Itaendelea,,,,,,,
Usikose Sehemu ya Saba, Je baada ya ujenzi, Joanyther ataendelea na Chuo??
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU:  , 08 "0746638941"what'sup"

SONGA NAYO.
Upande wa Joanyther walifika katika Nyumba moja iliyokuwa nje kidogo na Nyumba ya Cheaf.

Kijana mmoja alionekana akitoka ndani huku  kavaa kimasai. Alifika pale na kuwakalibisha ndani.
   """ Samahani Jovitha naomba utupishe kidogo Nina maongezi na mgeni.""

""" Aaaah aa!! Hapana tunaondoka wote na Jovitha, Wewe Kama wataka kuongea ongea tu na Jovitha akiwepo""

Jovitha alimwangalia Joanyther usoni Kisha alimshika mkono kumtoa hofu.
   "" Niamini Mimi!! Muda wote nipo na Wewe karibu!!'. Kisha alimwachia mkono na kuondoka kumsubili nje.


   """ Samahani Binti nataka nikujue jina lako angalau, Mimi niite Julius, sijui Wewe nikuite nanii??"

"" Joany!!!, Au Joanyther!!!'' Okay Nini shida kunikaliza hapa??"

"" Joany!! Hebu kuwa mpole Kwanza tuongee Kama itawezekana utajua Nini kukukawizia hapa!!?"" 

Mimi sitakuwa muongeaji Ila kuna mtu mwenye maongezi na wewe., Ngoja Kwanza nikufafanulie kuhusu huyo mtu kabla hujaongea nae Ni vizuri uwe umepata mawili machache ya kumhusu.

Ibrahim Ni mtoto wa chief, Ni mzaliwa wa kiume pekee Kati ya watoto watano wa Chief, wane Ni wakike na yeye ndio mtoto wa mwisho katika uzao wa Chief.

Muda mwingi Ibrahim aliweka ahadi na mababu zetu, kuwa mwanamke atakayekanyanga Kijiji hiki akija ameongozana na mwanamke Mzee huyo ndio atamfanya kuwa mkewe na Bibi huyo atatolewa sadaka kwa mizimu ishara yakukubaliana na ahadi hiyo na mizimu.

Ibrahim muda wote tangu kuzaliwa kwake hajawahi kutoka ndani Wala kumuona mwanamke yeyote machoni kwake, hata Ile siku anazaliwa ibrah alikuwa Ni kipofu, Lakini kwa Sasa anaona, Na hiyo hiyo siku anazaliwa mamake alikufa papo hapo huku akiwa ametoa wosia kwa mwanae alelewe katika Nyumba ya Giza huku usimamizi ufanywe na wanaume siku ya kuwa huru Ni pale Binti mmoja atatokea magharibi akiwa na Bibi mmoja.

Binti atayekuja kaambatana na Bibi huyo ndio atakuwa kamfungua kijana Ibrahim na atamfanya kuwa mkewe na hiyo siku ndipo atakapoiona Nuru.

Na atafanya hivyo miaka yote mpaka atakapo timiza agano hilo ndipo atakuwa huru.

Kwa ufupi Joanyther nilivyokwambia ndio hivyo na kwa Sasa Ibrahim anaenda kufunguliwa katika chumba kile chenye Giza kwa muda wa miaka Ishirini na moja amekaa akiisubili hii siku.

Naamini Joanyther ulikuwa msikivu Sana kwa habari niliyokujuza, Sasa Ni wakati wakuongozana na Mimi tenaa Hadi aliko Ibrahim.


Joanyther alimwangalia Julius Kisha alicheka kwa sauti Sana.
   "" Julius naona unajua kusimulia, hii stori imekaa vizuri Sana hebu endelea, tuimaliziee. Ehee!! Niambie baada ya mtoto wa Chief kumuona huyo Binti itakuwaje???""

   "" Hapa Hakuna anaejua itakuwaje, make bado hajamuona na ndio Leo tukaone itakuwaje tukiwa Mimi, Wewe na mtoto wa chief""

   "" Lakinii!!!,,, Nina swali kidogo Julius??""

   "" Uliza??"". 

   """ Kwahiyo huyo Mwana wa Chief huwa haongei make muda wote yupo pekee, Vipi anaishije kwanza, unajua hata sielewi elewi maswali niliyonayo Ni mengi.

  "" Maswali mengine sitakujibu naona muda hautoshi Ila Ni hivi, Ibrahim anatambua binadamu Kama Ni mtoto, kijana, Binti, mama, baba, Bibi na Babu na Kila kitu anajua Kama Ni wanyama, vyombo, niseme vitu  vyote anajua.""

  "" Hiii sitori Ni balaa et, Sasa anajuaje wakati umesema yupo chumba Cha Giza?? Na haonani na Watu???.""

  "" Ibrahim Ana walimu wanaomfundisha na wao humfundisha ikiwa nigizani vivyohivyo, humfundisha kwa vitendo hata akitaka kuongea na mtoto huletwa akaongea nae na hata tofauti na  mtoto anaongea nao wote Rika zote.

   """ Sielewi bhana!! Mwishowe unanichanganya, okay swali lingine turudi nyuma kidogo.

   "" Vipi baada ya Bibi yake kutolewa sadaka kwa mizimu, huyo Binti atakuwa Hana ndugu tenaa!! Nikiangalia naona ndo kama mtu wa karibu anamtegemea.""

   "" Inasemekana kwamba huyo Bibi yake, atakaekuja nae atakuwa sio Bibi halisi kwake Ni Bibi mlezi tu, hivyo haitakuwa muhimu Sana labda angekuwa Ni mamake asingetolewa sadaka kwani ingemnyima furaha hata kwa mme wake asingefurahia kumuoa binti hafu awe na huzuni ya kumpoteza mzazi wake.""

"" Vipi Binti huyo Kama atakuwa na rafiki zake huko nyuma, ambao muda wote wapo upande wake kumjali na kujitolea kwa Kila kitu kumsaidia??, Na isitoshe Kati ya hao marafiki zake Kuna mtu anampenda Binti, Huoni ataumia Sana akisikia Binti haonekani, na kapotelea kijijini??""

"" Wewe Joanyther una maswali Sana, hivii Mbona wapindisha maada unaongea Sana, unamzungumzia mtu mwingine wakati mhusika Ni Wewe!!""

"" Julius nilijua tu mhusika Ni Mimi, tangu niingie kijijini hapa nilijua si salama mpaka Bibi ananiaga maneno yake nayakumbuka vizuri tu na ninajua mpaka Sasa Bibi yangu tiyari mmemtoa sadaka kwenye mti mkubwa wa mbuyu, nimekuuliza hivi ili nipate hatima yangu itakuwaje."" 

"" Nimekuwa mpole ili nijue Mdogo wangu Movick Yuko wapi?? Lakini katika mawasiliano sijasikia hata unaniahidi nitamuona tenaa,
 ""wazani Mimi nitakukubalia ufanye unavyotaka Wewe nikubali???.""


Joanyther alianza kuleta vurugu ndani,

Julius alichukua kitambaa na kukitia dawa huku Joanyther akiendelea kupiga kelele, kisha alimkaba kwa nguvu na kumfunika puani na kile kitambaa, na kumfanya azirai hapo.

Kisha alitoka Nje na kuwaita watumishi wake na kuwapa maelekezo.
  "" Naombeni mmubebe Binti huyu mpelekeni mpaka kwenye Nyumba ya mtoto wa Chief. ""

Walimbeba Hadi kwenye Nyumba ya Ibrahim. Ilikuwa Ni Nyumba kubwa iliokuwa imejitenga katikati ya Kijiji. Kulionekana Kuna ulinzi mkali katika Nyumba hiyo walifika moja kwa moja Hadi getini na kupewa maelekezo.

Muda huo huo walitokea vijana wawili wakampokea Joanyther huku wakiwa wamevaa vitambaa vyeupe vya kuficha nyuso zao na kubakisha macho tu.

Walimchukua Hadi Mlangoni kwa Ibrahim na kumuingiza Joanyther hadi chumbani Kisha walimulaza kitandani wakisubili mpaka atakapozinduka.

Ibrahim muda wote yeye alikuwa ameshazoea khari Ile ya Giza na aliwazoea walinzi Hawa kuongea nao kwa kukalili sauti zao, alimua kuuliza;
   "" Athumanii!!! Ni Wewe upo hapaa!!?"

Athumanii alijua Ni yeye anaulizwa Lakini aliamua kukaa kimya asijibu chochote.

Ibrahim alibadilisha tena jina na kuita.
  "" Mathew Ni Wewe upo hapa!!!""

Mathew alitaka kuitikia, Lakini Athumanii alimuwahi na kumziba mdomo na kumuomba waondoke.


 Ibrahim alichukia na kuanza kuongea peke yake.
   "" Leo mna Nini Lakini Nyie hamunijibu wakati Nyayo zenu nazijua, mmenikalia kimya ee!!" Basi tuone Kama nitakula chakula chenu, halafu nimechoka kukaa Sehemu moja Kila siku nawambia niongozane na Nyie Lakini mnanikatalia ipo siku nitawafuata, nikishidwa nitatoroka humu ndanii""

Muda kidogo fahamu zilianza kumrudi taratibu Joanyther, akiwa usingizi huku akisindikizwa na Ndoto ikimuijia.

Alimuona Movick kaja pale akiwa na babake, huku akiwa kashikilia mkononi zawadi. Joanyther aliinuka pale na kumkimbilia Movick na kumkumbatia.
"" Movick ee!! Mbona Sasa ulinikimbia muda wote nakutafuta mpaka nikaja Kijiji jilani kukutafuta, kumbe upo hai!!?" Ni Nini Lakini kwa box umeniletea!!??"

 
Movick alifungua box Lile, Kisha alitoa vitabu viwili na kumkabizi Joanyther.
   "" Daa Joany!! Nimekuletea vitabu hivi baba alinipa siku Ile kabla Moto haujawaka, nilijitahidi kuvisaidia visiungue Lakini naona Ni jarada tu liliungua kwa Kila kitabu.""

   "" Waooo!!! Nilijua na Wewe Mdogo wangu ulimfuata baba kumbe uko hai!!, Vipi lakini mkono mmoja umeuficha nyumaa??""

   "" Pozi tuu Daa Joany!!" Hamna shida. Huku Movick alianza kurudi nyuma nyuma.

Joanyther alizidi kumshangaa Movick kwanini anaficha, Alisimama haraka na kumsogelea Kisha aliuvuta mkono wa Movick, baada ya kuuangalia vizuri Hakuamini Mkono wa kushoto wa Movick haukuwa na vidole vyote, Ndipo alipiga kelele.
"" Nooo!! Movick Mdogo wangu usiwe hivyooo, kwanini Sasa!!!, umekuwa hiviii!!!???"' tatizo Ni Moto!!?, Ile siku wachukua vitabu ndio uliungua??,  au ninii tenaa!!!?""


Hapo hapo Joanyther ndio anakurupuka kwenye Ndoto Ile huku machozi yakimtoka na mapigo ya moyo yalikuwa Kasi Sanaa alianza kuangaza huku na kule akiangalia Ni wapi alipo.

Alipiga kelele kwa Nguvu akiomba msaada.

Kelele hizo zilipenya moja kwa moja masikioni kwa Ibrahim na kumuamusha toka usingizi.
  ""Kuna Nini tenaa!!!'', Mbona nasikia Ni sauti ya kike Kuna mtu analilia ndani kwangu tenaa!!??'. Aliamua kuuliza;
 "" Ni Nani Wewe unayelia kwenye Chumba changu??"

Mlinzi mmoja alikuwa Nje alifika pale baada ya kusikia kelele alisogea Hadi chumbani kwa Ibrahim Kisha aliwasha taa, na kuondoka. Chumba kizima kikawa na Mwanga na Nuru ikatanda.

Ibrahim baada ya Taa kuwashwa chumbani kwake, Kila akijitahidi kuangaza huku na kule macho yake yalizidi kuumia kwa ule mwanga, make hakuwa ameuzoea. Alichukua kitambaa na kujifunika macho yake na kuanza kupiga kelele.

""" Msaada jamani weka Giza Mimi naumia macho yangu, yanauma nisaidieni jamani, huku akifikicha macho yake!!"
 Athumanii, Mathew mko wapi mi naumia huku!!.""


Joanyther yeye Muda wote alibaki akishangaa mazingira ya mule ndani yalivyokuwa mazuri, Kisha alianza kumshangaa Ibrahim alivyokuwa anahangaika.

Alisogea Hadi kitandani kwa Ibrahim na kuanza kumchunguza kwa makini huku akiongea peke yake na kuanza kucheka.
   """ Huyu nae sijui mshamba wa wapi?? Yaani hataki mwanga anataka Giza, mbona mazingira na vitu vilivyomo humu Ni vya Thamani Sana, ina maana hakuwahi kuona mwanga tangu azaliwe!! Anaonekana kuwa na ngozi laini Sana, sijui hafanyagi kazi huyu nae.""


   """ Au Ile stori niliyokuwa nasimuliwa na Julius ndo hiki kitatokea baada ya yule kijana kupata mwanga!! Mbona Makubwa Sasa ka Ni hivyo!!!''

Joanyther alikuwa akiwaza baadae alipata wazo la kuzima taa, Alisimama na kuzima taa Kisha ariludi Hadi kitandani kwa Ibrahim na kukaa huku akimhurumia Sana.
   "" Wewe Ni binadamu kwelii!!! Mbona unapenda Giza au Ni Mshetani!!??

   "" Kwani nimefanania na huyo MShetanii unaemsemaa!!??""

   "" Ndio kwa sababu, unapenda Giza na mashetani yanapenda Giza!!.""

   Ibrahim alimgeukia Joanyther na kumuuliza"" Hivi Wewe ndio Joanyther??""

Joanyther Alisituka kidogo baada ya kusikia Ibrahim akimtaja.
"" Hapana Mimi Jovitha, kwani huyo Joanyther!!, "Wewe unamjuaje??"

"" Joanyther Ni Mwanamke niliyeambiwa ndie atakaye nifanya nitoke kifungoni na nisione Giza Tena, Ila nahisi umeniongopea Jovitha ninae mjua Mimi Ni dadaangu, hii sauti siyoo."


"" Hapana Mimi rafiki yake tu ndo maana nimeamua nitaje jina lake, Vipi lakini Kama Joanyther atakuja akutoe Gizani upate Nuru kwanini Nuru imekuja na ukaiogopa!!" inaonesha bado unapenda Giza??""
, na hio Nuru Wewe unaijuaje wakati hujawahi kuiona.!!??"


"" Sio hivyo macho yangu yananiuma Kweli, Hio Nuru niliambiwa siku nikianza kuona macho yangu yananiuma na kuanza kuona vitu vinavyoonekana hio ndio itakuwa Ni Nuru!!""


Joanyther Alisimama Tena na kuwasha Taa, Huku Ibrahim alianza kusumbuka huku alijaribu kutoa macho aone Hio Nuru inafananaje??


Joanyther alimsogelea kwa karibu na kuanza kumkagua Muda huo Ibrahim alikuwa bado anasumbuka kutizama akiona kijivujivu. 

Joanyther alizidi kumtizama huku Ibrahim akijaribu kucheka na kutabasamu baada yakuanza kuona vitu vilivyozidi mfurahisha.


 Baadae Joanyther aliamua kumuacha pale na kwenda Hadi mlangoni atoke Nje, lakini kabla hajafungua mlango alishika kichwa chake ishara ya maumivu  na kizunguzungu kilianza kumuelemea baadae alishuka hadi chini na kuanguka.

   ,,,, Itaendelea,,,,,
Usikose Sehemu ya Tisa. 
Je, Joanyther kapatwa na nini??
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU:  , 09 "0746638941"what'sup"

ANZA NAYO.

Baadae Joanyther aliamua kumuacha pale na kwenda Hadi mlangoni atoke Nje, lakini kabla hajafungua mlango alishika kichwa chake ishara ya maumivu  na kizunguzungu kilianza kumuelemea baadae alishuka hadi chini na kuanguka.

Ibrahim Alisituka baada ya kumuona Joanyther kaanguka chini, Ndipo alimsogelea Hadi sehemu alipokuuwa amelala na kuanza kumuita;

   ""Joany ee!! Sa' kwanini Unataka kunikimbia Tena na wakati niliambiwa Wewe ndio Nuru yangu!!?" Mimi nilikulushia mpira lakini sikutaka nikuzuru Nilitaka tu uniangalie na usiniache, kwanini Sasa umeanguka tenaa!!??""

Muda huo Ibrahim Alikuwa akizungumza peke yake. Joanyther Alikuwa bado hajitambui.  Ibrahim alivua shati yake na kuendelea kumpepea Joanyther, Lakini alisitushwa na mlango baada ya kufunguliwa kwa Kasi Sana, aliwaona walinzi wakiingia kwa kasi Kisha walifika na kumchukua Joanyther na kuondoka nae huku Ibrahim alibaki ametulia tu akiwashangaa.

Mlinzi mmoja alibakia pale Kisha aliurudisha mlango kwa ndani na kumsogelea Ibrahim na kumpa ishara atulie na kumkalibisha aketi.

Baaadae kidogo walionekana watumishi wawili wakiingia ndani wakiwa wamebebelea chakula na mavazi yalionekana yaking'aa yapo maalumu kwa kuvaliwa kwa matukio ya sherehe za harusi. 

Walifika na kuweka chakula mezani Kisha Yale mavazi walimpatia mlinzi mmoja na kumpa maelekezo Kisha waliondoka.

Ibrahim muda huo alijitahidi kudadisi kwa kitu kilichokuwa kinaendelea pale Lakini hakupata majibu kutokana na vitu alivyokuwa anaona pale Ni vingine machoni kwake.

Alisimama na kuchukua vazi Lile na kuanza kuliangalia kwa makini Kisha alimgeukia yule mlinzi na kumuuliza;
  "" Ni vazi la Nani hilii!??' inaonekana mtu atakae livaa vazi hili nayeye lazima awe nadhifu!!""


"" Hata hivyo na Wewe u'  "nadhifu" vazi hili linakufaa naomba tule kwanza Kisha utaoga na kulivaa vazi hili, lipo kwaajili yako pia'' Athumanii alimjibu.

 "" Yule Mwanamke kaenda wapi??' niliambiwa Ni Nuru yangu nisimuache, Mbona simuoni tenaa??""

"" Na yeye kaenda kujiandaa kuvaa vazi Kama lako, nakuomba kula haraka ili akirudi hapa akukute nawewe tayali umevaa vazi hili.""


Ibrahim baada ya kusikia Nuru yake itarudi, aliamua kula haraka Kisha alimaliza kula na kuwauliza walinzi;
   "" Nimemaliza, naomba kuvaa kabla Nuru yangu haijaja.""

Mathew aliamua kumuuliza Ibrahim
"" Kwanini yule Mwanamke unamuita Nuru??""

 "" Assume Ni Wewe!! Siku zote unakaa Gizani hafu anatokea mwanamke, siku ya kwanza tu kumuona unaona mwanga mbele yako kwanini usimuite Nuru huyo Mwanamke???""


   """ Aya vizuri basii, jiandae kwanza.""

Upande wa Joanyther alikuja kuzinduka akiwa tayali kavalishwa mavazi mazuri yalikuwa Ni spesho kwa harusi na Muda huo Alikuwa  tayali kwenye ukumbi mkubwa huku sherehe za kijadi ziliendelea.

Muda kidogo aliletwa Ibrahim akiwa kwenye vazi lake la harusi kavaa, alionekana akishangaa Sana mazingira pamoja na Watu walivyokuwa na raha siku hiyo aliangaza kwa pembeni na kumuona Joanyther kakaa.


Aliwahi mpaka sehemu ile aliokuwa kakaa Kisha alikaa na kumtizama Joanyther usoni, alimwangalia kwa makini na kumuona machozi yanamtoka, Alimuuliza;
'" Mbona unaonekana una huzuni hivyo??" na machozi yanakutoka!!' wakati wenzako wanafuraha, au hujafurahia kuwa hapa??""


"" Ibrah ee!!"" Sina tu amani na sifurahii kuwa hapa!! Bibi yangu kafariki kisa Mimi na Wewe unazani Kuna umuhimu wa kuwa hapa, Ni kheri ningeungana na Bibi yangu tu nikasahau huu mtihani ninaoupitia.""


"" Lakini Joany!!!" Mbona unatoa maneno mazito kiasi hicho?? Unasema hujafurahia uwepo wangu Kweli siku ya leo!! Mbona Mimi nafurahia uwepo wa Nuru yangu kuwa nayo karibu.""


Joanyther Alisimama na kumnong'oneza mshenga Wake, Na kumuomba kidogo atoke na Ibrahim.

Alimtoa pale Ibrahim na kutoka nje kidogo na Sehemu ya tukio Kisha walisimama kwenye daraja moja kwa chini kulipita mto unaotililka.

Upande wa Joanyther alifika na kusimama pale na kuanza kuyatazama Yale maji ya mto, Lakini Alikumbuka Mbali Sana, Alikumbuka siku hiyo walitoka na Jolvin na kuelekea kwenye mto mmoja uliokuwa ukitililika siku hiyo walikuwa wakipata maji ya kunywa Mara tu baada ya Jolvin kula mhogo umkabe kooni, siku hiyo alimkumbuka Sana Jolvin na kuanza kuongea peke yake.

   "" Kweli Jolvin nimekumbuka Sana huku niliko sizani hata nitatoka salama, vitu vinavyoendelea huku sijui hata hatima yake ila nakumisi Sanaa Jolvin.""


Muda huo Ibrahim Alikuwa amesimama kando huku akisikiliza maneno ya Joanyther yakipenya masikioni kwake, Aliamua kumuuliza tu;
     "" Joany!!!' Kwanini umeniita hapa, na huongei kitu chochote, Nini kikusibuchoo??""


Joanyther alimwangalia Ibrahim pasipo kumjibu chochote. Alimshika mkono na kumpeleka Hadi kando ya mto huo, alifika na kuketi nae chini Kisha aliamua kumjibu kwa  kumuuliza;


""" Ibrahim Unaweza ukamshauli Cheaf au Baba yako akaniacha huru nirudi kwetu??, make nikiangalia Sina chochote Cha kunifanya niwe hapa, Kama shida Ilikuwa Ni Wewe utoke kifungoni uwe Nuruni kwa Sasa u' Nuruni naomba please niruhusu nirudi kwetu.""


"" Joany!!! Hebu simama kwanza, kwanini unanipigia magoti tena!! Unajua sikuelewi kwanza hebu nieleze kwa kirefu nielewe vizuri ndio nijue nakusaidiaje??.""

Joanyther aliamua kukaa na kuanza kumueleza Ibrahim mwanzo mwisho mpaka hapo walipofikia.

Ibrahim alimhurumia Sana Joanyther alisogea pale alipokaa na kumkumbatia Kisha alimwachia na kumwangalia tu usoni pasipo kusema kitu chochote.

Joanyther aliamua kumuuliza Ibrahim
  "" Vipi unawaza Nin??i, au Kuna chochote umekiwaza Cha kunisaidia??""


Ibrahim aliamua kumjibu.
   "" Vipi Kama na Mimi nitakuwa ninakuhitaji??" Na Wewe unaplan kitu gani kunisaidia kwa hilo??""


""" Sasa Ni plan kitu gani Cha kukusaidia wakati hapa tayali nishakusaidia mpaka hapa unaona, Naomba nisaidie na Mimi hebu nilipe fadhira na Mimi nirudi tu kwetu.""

"" Daaaah!!! Sawa, lakini ngoja kwanza twende huko tumesubiliwa!! Lakini Joanyther,,,,,,,,,""

"" Lakini Nini tena, "" Ibrah!??""
 
"" Basii tu, lakini Mimi pia napenda kampani yako, Vipi Kama ukibaki huku ukawa rafiki yangu hafu nisikuoe, make nimegundua kitu unachoogopa Wewe Ni kuolewa""


"" Ibrahimu ee!! Acha basii naomba uniahidi tu, nitarudi nyumbani kwetu hata hivyo Wewe utakuwa Ni rafiki yangu, Muda wote Tutakuwa tunatembeleana si ndivyo hivyooo???"

 "" Ayaaa basi tutaenda wote huko na Mimi sipo tayali kupoteza Nuru yangu, au Nuru yangu ikakaa mbali na Mimi siku zote hapo sipo tayali, Si sawaa!! Joany!!!??"" Upande wa harusi tutakubaliana nao wazazi ila sisi tutakuwa marafiki tu ndio tutaishi hivyo huku nikikutafutia Muda wa kutoroka.

 "" Sawa bhana!!!, Nuru Nuruni na izidi kuangazaa siku zote, kikubwa naomba ndoto zetu zikatimie tu Mimi nirudi kwetu""


Upande wa Sherehe maandalizi yalizidi kuendelea. Muda huo Bibi na Bwana ndo walikuwa wamesubiliwa.

Joanyther na Ibrahimu walifika Hadi kwenye sherehe na kukaa katika sehemu zao huku Sherehe iliendelea mpaka ikamalizika, Huku Ibrahimu akakabidhiwa mke na Nyumba aliokuwa akiishi Ibrahimu akakabidhiwa rasmi siku hiyo itakuwa Nyumba yao.

Baada ya sherehe kuisha Joanyther na Ibrahimu walielekea Hadi kwenye Nyumba yao ya kuishi na kupumzika.

Joanyther siku hiyo Alikuwa na mawazo Sana, Muda wote Alikuwa akiwazia Safari yake siku ikitimia atakuwa na furaha gani?, Alijitahidi kutafuta usingizi lakini hakupata Alisimama na kuelekea bafuni kupata maji ili apate usingizi angalau.

Muda huo Ibrahimu Alisituka usingizini baada ya kusikia maji bafuni Kuna mtu anaoga aliamua kunyanyuka na kuanza kuongea pekee;
""" Huyu Nuru wangu, Muda wote halali anawazia tu huko kwao, daaaah!! Sasa ataondokaje na Mimi naona nimemzoea Kweli.""


Muda huo Joanyther alikuwa akitoka bafuni huku akifuta maji nywele zake na taulo. Alimwangalia Ibrahim na kumuona Bado yupo Macho.
"" Vipi na Wewe hulali??, '' Muda wote unanitolea macho wazani nakutoroka?!""


"" Bora hata ungenitoroka ningekuludisha kuliko ukiondoka kabisa najua hutarudi!!""

"" Basi tizama huko Basi Mimi nivae, naona huchengeshi macho unanitolea tu,""


"" Nawee Joany lakini!! Sa'' kwanini usivalie huko bafuni Kama sio uchokozi huo Ni Nini??""


"" Nilitania tu bhana!!' Mimi nishavaa at, sema nilijifunga tu kitenge, Kuna kitu Nilitaka nijue kutoka kwako kwa Sasa nishakijua basiiiii,""

"" Wewe'',  Nuru!!!" Hayo hayo mazoea unayotaka kunizoesha, siku ukiondoka huoni nitakumisi??""


 "" Nitakumisi pia!!" Vipi lakini kesho tuanze mchakato wa kuniondosha hapa si itapendeza Sanaa!!"

 "" Lala kwanza ukue, ili uzidi kuniangazia Nuru siku zote niendelee kukuona vizuri, tena kwa hio rangi yako kwangu Ni Mwanga tosha kabisa lakini nataka uzidi hapo.""

"" Aaaah!! Umezidi Ibrahimu. Wewe maneno mengi Kweli, Basi usiku mwema, asubuhi njema, na mchana mwema.""


"" Kwahiyo ushaanza kuniaga mpaka asubuhi njema na mchana mwema, kumanisha huamki mpaka usiku wa kesho Tena'', ""Basi tulale na swala lako sitarifatilia tenaa.""


"" So hivyo Ibrah" Mimi Sina maana hiyo at usifatilie swala langu, tatizo unaongea Sana ndio maana nikakuaga ulale!!""

"" Poaa!!!"
 
"" Poaa!!!" Wamaanisha umechukia, sa'' Mbona wanijibu kwa kifupi hivyo??""

""" Sijachukia bhanaa!! Mimi usingizi tu wanisumbua.""


Baaadae usingizi uliwachukua wote. Lakini Joanyther alikuwa akiweweseka Sana  akiwa usingizini baadae aliamka na kunyata Taratibu alimchungulia Ibrahimu na kumuona kalala fofofo.

Alifungua mlango Taratibu Huku akinyata Taratibu na kutoka nje. Alifika nje na kuwakuta walinzi wote wamepitiwa na usingizi aliwapita na kuelekea sehemu ya pili kabisa kwa nje na kukaa huku akitizama mazingira ya sehemu ile.

Wakati akiwa amekaa alisitushwa na nyayo za Watu zilikuwa zikija sehemu ile, aligeuka akiangaza Huku na kule Lakini hakuona kitu alianza kujisemea tu;
  "" Hivi Kuna wanga hapa!! Mara nyayo za Watu!!, hafu siwaoni au mizimu inataka kunikula??"

Joanyther aliona sehemu ile sio salama alitoka ili aingie ndani aliona sehemu ile si rafiki kwake.

Ile anasimama tu, aondoke alihisi kuna mtu anakuja nyuma yake akimfuata aliamua kugeuka kwa woga ili ajue Ni Nani anayemfatilia.

Ghafura mtu yule alimshika bega Joanyther nakumfanya ageuke na kukutana nae uso kwa uso na mtu yule. Joanyther alisikika akipiga kelele tu, ""Mamaaaaaa,,,,,,,,,,,,


,,,,,,,,,Itaendelea,,,,,,,,,,,
Usikose sehemu ya kumi. nini kitafuata. Je, Joanyther kaona Nini?? Usisahau ku like, comments na ku share katika magroup ya hadithi na simulizi.
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU: 07 ,"0746638941"what'sup"

ANZA NAYO.

Leo Ilikuwa Ni siku nyingine tena. Baada ya Arobaini ya Mazishi ya Mzee Chimpompo. Joanyther alitoka na Bi Emma kuelekea mbali kidogo na Kijiji jilani.

Kulikuwa na kijiji jilani kiliitwa Nyakwasa. Kijiji hiki Watu wake walijihusisha Sana na uwindaji pamoja na ufugaji.

Bi Emma na Joanyther waliamua kukitembelea hicho Kijiji, Nia Yao Ilikuwa Ni kumtafuta Movick huenda atakuwa Kijiji hicho.

Walifika na kupokelewa na Cheaf wa Kijiji hicho walijieleza Nia ya kufika katika Kijiji hicho. Cheaf aliwaita viongozi wake na kuwatambulisha wageni waliofika siku hiyo kwa maelezo ya kina.

Muda kidogo walifika walinzi na kuwachukua na kuwapeleka wakajumuike na wenzao huku chakula kikiwa kinaandaliwa.

Joanyther Alikuwa karibu Sana na Bibi ake akiwa anashauku Sana ya kupata majibu ya Mdogo Wake aliamua kumuuliza Bibi ake;
   """ Bibi Hivi hapa unaona Kuna dalili Kweli ya kupata chochote kuhusu Movick,  naona wametuweka tu hakuna utaratibu unaendelea, si tuage tu tuondoke!!?""

   """ Mjukuu wangu Mimi mwenyewe nimeingiwa na mashaka hapa nahisi sio Sehemu nzuri hii kutakuwa Kuna kitu kinaendelea.""


Baadae kidogo aliingia Mdada mmoja alionekana ana umri sawa na Joanyther. Alifika na kawasalimia Kisha alimwomba Bibi aondoke na Joanyther.

Bibi alimshika mkono Joanyther wakati anasimama baadae alimvuta na kumnong'oneza sikioni;
   "" Mjukuu wangu nimekuruhusu nenda lakini jaribu kujisimamia Kama utaona utofauti huko jitetee, Mimi sitakuwa karibu yako tena, uishi Kama Wewe na usimtegemee mtu nyuma yako Tena"""


Joanyther alitabasamu tu, na kumuaga Bibi yake.
   '" Bibi sichelewi naenda, nikirudi tu tunaondoka kimya kimya asijue mtu, tatizo ushaanza kuogopa sasa, Uzee huoo!!!!?"""

Joanyther aliondoka sambamba na Binti yule walitembea kama km moja, aliamua kumuuliza.
"" Wewe waitwa Nani kwanza?, Naona hata hauongei muda wote upo kimya tu, Mimi niite Joany!!""


"" Nikajua na Wewe hautaniuliza?""
Mimi niite Jovitha, halafu Mbona mmekuja huku??"

""" Sasa!! Swali gani Sasa Hilo waniuliza?" Wewe hujui namtafuta Mdogo wangu alipotea baada ya  Nyumba yetu kuchomwa Moto na Mdogo wangu inasadikika kuwa alikuwemo ndani lakini mwili wake haukuonekana, tumejaribu kufatilia inaonekana kwamba alikimbia, na Sehemu aliyokimbilia haijulikani ndio maana tumeamua kumtafuta kwenye vijiji jilani.

"" Pole Sana Joanyther kwa mkasa huo, usiendelee Tena kuzungumza mpaka tufike tunapoenda, sawaa!!! ""

-------------------------

Huku upande wa Bibi Emma, Kuna wamama walifika na kumletea chakula baadae aliamua kuwauliza?
  "" Mjukuu wangu mmempeleka wapi? Mbona kakawia kurudi?"


 '"" kaitwa na mtoto wa Cheaf Ana mazungumzo nae, si unajua vijana tena wakikutana huwa wana mambo mengi ya kuongea. Mama mmoja alimjibu Kati ya wale wa mama.""


Bi Emma aliingiwa na duku duku akiwa haamini na kile alichokuwa anaona kinaenda kutokea.

Mmama mmoja alimsoma Bi Emma, khari aliyokuwa nayo.alimsogelea na kukaa karibu yake.
   "" Mbona unakuwa na mashaka mjukuu wako yupo salama si Wewe wataka umpate mjukuu wako Movick basi tulia ukileta za kuleta utawapoteza wajukuu wako wawili au Wewe mwenyewe utapotea kwahiyo kuwa makini.""


   """" Aaaah!! Naombeni wajukuu wangu msiwaguse kabisa kumbe Movick yupo nayeye!! '' si ndio???""

""" Utajua baadae Wewe naomba utulizane tu majibu utayapata.""

++++++

Upande wa wanachuo siku hiyo walifika Kijiji kwa kina Joanyther. Walifika Hadi Nyumbani kwa Bi Emma lakini walikuta Nyumba imetulia kimya. Waliangalia mlango lakini ulikuwa umefugwa walizunguka huku na kule wakiiita Bibi! Bibi!!!, Joanyther!!! Joanyther!!! Lakini kulikuwa kimya tu.

Baadae Jolvin aliondoka na Alvin Hadi kwenye zizi la Ng'ombe walikuwa wakitembelea siku ile. Waliangaza Kila Kona hamna mtu. 

Muda walikutana na Princess na kuwajulisha kuwa hawaoni mtu, 
  "" Razack' aliwasihi wafike kwa mwenyekiti watapata majibu zaidi.


Walifika Hadi kwa mwenyekiti na kumweleza kipi kimewarudisha Tena kijijini.

  "" Hapa nahisi Kuna tatizo Leo Ni siku ya tatu tangu naona Nyumba kimya Mimi pia nimejaribu kufatilia kwa majirani wa karibu wote wanadai hakuna mtu alieagwa Sasa sijui watakuwa wapi nahisi hawapo mbali itakuwaje Ni kwa ndugu zake na Bi Emma au wameenda kuangalia mashamba ya mbali kidogo na hapa. Niwaombe Nyie twendeni Hadi kwa Bi Emma tutavunja komeo mmuendelee na kazi iliyowaleta nitawakabizi kitoweo ndio kitawasaidia kwa mboga.

Walikubaliana nae nakufanya Kama walivyokubaliana.  kesho yake ujenzi uliendelea, mawe ya msingi yakaletwa na paa likaanza kuinuliwa.

Upande wa Jolvin hakuwa na Raha kabisaaa siku hiyo alimkumbuka sana Joanyther aliamua kutoka kidogo na kwenda Hadi mtoni akikumbuka siku yenyewe walitoka wote wawili Hadi mtoni.

Alifika na kukaa pembeni ya mto kulikuwa na mti wenye kimvuli akiwaza mambo mengi Sana.

Muda huo huo Ancillah Alikuwa akimfatilia Jolvin Hadi sehemu alokuwa anaenda, alimwona kakaa na yeye alisogea pale na kumziba macho yake, baadae alimuachia na kusogea karibu yake Alimuuliza tu.
""" Jolvin unampenda Joanyther??"

'" Kwanini unaniuliza hivyo??""

Ancillah alishidwa kumjibu Jolvin alimuegemea tu begani na kumjibu.
  "" Watu wote wanajua kuwa moyo wako una mapenzi na Joanyther""


   """ Kumbe!! Wote wanajua ninampenda Joanyther ukiwemo na Wewe Basi nahisi wasemavyo ndivyo hivyo, kwani Nyie hammupendii??""

""" Twampenda ndio!! But Wewe umezidi mpaka unajionesha kabisa""

"" Wewe wataka niwe na upendo upi kwani kwa Joanyther??""

""" Si, upendo Kama wetu tu, tunaomuoneshea ndo unafaa""

""" Basi msijali nitakuwa na upendo Kama wenu si ndio mwataka hivyoo??""

 "" Itapendeza ndio, ukiwa upande wetu ""


Nimekuelewa Hivi umemuona samaki yule kwa maji nahisi Ni kambale si et??"

Ancillah alisogea karibu huku akitaka kumuona vizuri lakini kwa bahati Mbaya aliteleza na kuangukia mtoni.

Jolvin alimvuta Joanyther kumsaidia asiangukie mtoni na yeye kwa bahati Mbaya naye aliteleza na kuangukia majini na kuanza kujinusuru kwa kuogelea mpaka walitoka huku wakiwa wamelowa chepechepe.

Ancillah Muda wote alijawa na furaha Sana baada ya kuona kitu alichokuwa anakitafuta Leo kakipata, siku zote alitamani ukaribu na Jolvin.

Jolvin alionekana kuchukizwa Sana na kitendo hichoo alijua Ni makusudi ya Ancillah ndo triki zake huwa anazifanya ili awe karibu yake. Alimtizama Muda ule Ancillah kalala chini huku kajilegeza Kweli kuzidiwa.

Alimtizama na kumuuliza.
 "" Vipi Ancillah!! Upo sawa lakini??"

Ancillah alifumbua macho Taratibu Kisha alishika mkono mmoja kichwani na tumboni.
   """ Jolvin sipo sawa kabisaaa"

Jolvin alimsogelea na  kupima joto la mwili huku akimsikilizia kwa kusikiliza mapigo yake ya moyo kwa kumuegameza kichwa.

Ancillah aliona ndio Muda wake wa kuwa karibu na Jolvin alimvuta kwa nguvu nakumkumbatia huku akijitetea baridi limezidi.
   """ Jolvin nahisi baridi Sana Tafadhari nikumbatie nipate joto kidogo.""

""" Basi Jikaze, lakini sehemu hii sio salama, mavazi yetu yote yamelowa sizani Kama baridi itaisha naomba tuondoke.""

"" Aaaah!! Tukae kidogo Jolvin nipate joto kidogo ndio tuondoke.

Muda kidogo Razack' na  Collin walikuwa na Lillian na Muzdalpher wakitembea tembea kuangalia mazingira ya Kijiji hicho.

Alvin yeye alikata kutoka Alikuwa Badoo anakumbuka siku ile alipogongwa na Nyoka aliamua abaki akisimamia  wajenzi.

Katika tembea tembea Yao walifika sehemu na kuona Kuna maji yanatiririka. Waliamua kuyafuata Hadi yalipoishia.

Walifika Hadi mtoni huku Kila mtu akiwa na pupa ya kuchezea maji lakini kwa pembeni kidogo karibia na mti waliona Kuna Watu wametulia, walisogea karibu kuulizia utaratibu wa kuogelea sehemu hiyo.


Lillian aliuliza.
  "" Mbona huyo Ni Kama Jolvin na Ancillah, hapo wanafanya Nini??

Muzdalpher hakuchelewa alichukua simu yake nakuanza kupiga picha.

Razack' aliinyakakua simu ya Muzdalpher.
   "" Wewe mwanamke mbeya tu Unataka kufanya Nini hio picha unayochukua??, nitazifuta picha zako zote.""
 
"" Please Razack usifanye hivyo Mimi nimepiga kwa Nia nzuri tu Kama ukumbusho.""

Baadae Ancillah alisikia sauti za wenzake aibu ilimjaa alimsukuma Jolvin na kuanza kulalamika.
   "" Anataka anibakee jamaniii""?

Jolvin alichukia Sana alimuwasha Kofi la shavu Kisha alimuacha akiugumia maumivu.
"" Kuwa na adabu we mwanamke, jiheshimu!!, ''Mimi hata hio hisia ya kukubaka Wewe sinaga kabisa!!, jiangalie kuwa mbali na Mimi nisije kukuzuru""

Jolvin aliondoka akiwa amechukizwa Sana, Taratibu alikung'uta nguo zake  zilikuwa zimelowa zote, akiwatizama rafiki zake mmoja baada ya mwingine huku akiwa amewakazia macho, na kutembea mbele!!""

   ,,,, Itaendelea,,,,

Usikose sehemu ya nane. Nini hatima ya Jolvin na Ancillah na Vipi kuhusu Joanyther na Bi Emma walipo.
MTUNZI: TINNER ROBER.                SIMULIZI: GLOOMY SUNDAY                  SEHEMU:  , 10 "0746638941"what'sup"

SONGA NAYO.

Ghafura mtu yule alimshika bega Joanyther nakumfanya ageuke na kukutana nae uso kwa uso na mtu yule. Joanyther alisikika akipiga kelele tu, ""Mamaaaaaa,,,,,,,,,,,, ENDELEA.

Mtu yule alisogea na kumziba macho Kisha alimvuta Hadi ndani huku walinzi walikuwa Bado wamepitiwa usingizi.

Alifika Hadi ndani na kutoa kinyago alichokuwa kavaa usoni na Ile minguo aliivua.

Upande wa Joanyther alikuwa kakata Moto kwa uoga Ile anakuja kuzinduka hakuamini macho yake kumwona Ni Ibrah!! Kakaa mbele yake huku kinyago na nguo zile alikuwa kaziweka pembeni.

Kwa Ile hofu aliyokuwa nayo alimkimbilia Ibrahim na kumukumbatia huku akipiga kelele;
  "" Ibrah!! Mchawi!! Mchawi!! Nimemuona nje kavaa,,,,,,,"

""" Mchawi tenaa!!! Sa' kavaa Nini tenaa!!!??""

"" Nguo nyeusi' Alikuja kuniwangiaa nje jamanii, mi naogopa' muone huyo hapo tena mezani!!!""

"" Tulia kwanza!!' Hebu punguza mhemuko, halafu muda mwingine usiwe wanitoroka bila kuniaga, utakutana na wachawi zaidi, " fumba macho kwanza nimkemee huyo mchawi nikisema Amina!! Ndio ufumbue sawa!!""

"" Sawa!! Omba kwa kumanisha Sasa!!"

Ibrahim alichukua kinyango kile na Yale mavazi Kisha aliyaficha huku akijisemea moyoni.
"" Kwa ujanja niliotumia leo na kwa hofu uliyonayo naamini hautakuja nitoroka tenaa, na hii ndio chambo yako nitaifanya siku zote.""

Baaadae ya kuhifadhia vizuri alifika kwa Joanyther, huku Joanyther alikuwa Bado kafunga macho yake aitikie Amina!!

Ibrahim alianza kuomba
  "" Eee!! Mwenyenzi Mungu naomba utuepushe na pepo mchafu anaetaka kututeka na kutupa hofu, ninaomba kasimame na sisi ututetee na Moto wako ukamteketeze pepo mchafu asitokee Tena mbele yetu, Ninaomba haya machache nikiyakabithi kwako,;

"" Aminaa!!!!""
Waliitikia kwa pamoja.

Joanyther alianza kuangaza huku na kule akiangalia Kama atamuona pepo, baada ya kujithihilisha haoni kitu aliamua kumuuliza Ibrahim;
     '"' Ibrah!! Eee!! Kwelii pepo ameteketea!!!', wakati unaomba niliona Kama Moto na yule pepo kateketea kabisa si Ni kwelii!!??"""

     """ Ndio hatatokea Tena mbele yako, lakini ukitaka asitokee kabisa usitoroke tenaa!! Make ukitoroka tu Malaika atamrudisha kwako make atajua Bado unamhitaji!!""

      """ Hapanaa simhitaji kabisa' Nikuahidi tu sitatoroka!!"

     "" Sawa!!'' Basi tupumzike kwanza make mi Bado na usingizi umenikulupua tu, wakati nilikuwa natafuta Njonzi nimuone Nuru wangu akiniahidi atabakia na Mimi!! ""

     "" Ayaaa Bhanaa!!'' Wewe lala!'' lakini Mimi pia silali pekee Bado namuogopa atanikujia tenaa!! Tutabanana wote kitandani kwako!!""

"" Unamuogopa???"" Kwangu hapana!!, " Tukubaliane nikikuruhusu kulala kwangu siku zote tutakuwa twalala wote hafu kitanda chako nitakifunga' Amua Sasa!! Huku akijitupia kitandani.

"" Hapana!! Usiku mwemaa!!"

"" Umechukia kumbe!!! Mimi nilitania tu ok njoo ulale mwayaa!!"
 
"" Wewe matani mengi Sana Ibrah! Kuna siku nitakutoroka na akija pepo na yeye natoroka nayee ndio utajua nimekuruhusu!!"
 
""" Hahaaaaaaa!!! Nuru wangu huyuhuyu anitoroke na Mimi nitaroka nae niende nikamuone na Jolvin!!"
 
"" Ibrah ee!!! Jolvin tenaaa na Wewe wamjuaa!!??""
 
"" Usiku mwemaa bhana, Mimi na usingizi, kesho tutaongea zaidi.

  ++++++

Siku iliyofuata Joanyther na Ibrahimu walionekana wametoka kidogo nakuelekea polini. 

Walifika Sehemu moja kulikuwa na Mbuyu mkubwa kwa chini yake kulijaa vyungu na tunguli nyingi zikiwa zimefugwa mtini na kwa chini ya Mbuyu kulikuwa na shimo refu lilokuwa limechibwa kwaajili ya tambiko zote zilikuwa zikitambikwa na mabaki ya tambiko yalimwagwa kwenye shimo hiloo.

Joanyther alizidi kusogea pale ili aweze kudadisi vizuri Mbuyu ule, alifika Hadi kwenye shimo huku akijitahidi kuchungulia lakini alizidi kuona Giza ndani ya shimo Hilo. 

Muda huo Ibrahim alikuwa kakaa pembeni akimwangalia Joanyther alivyokuwa akizidi kutathimini shimo lile, alimua tu kumuita;
  "" Joany ee!! Njoo huku tushilikiane naona una maswali mengi kuhusu Mbuyu huu.""

Joanyther alisogea moja kwa moja Sehemu aliyokaa Ibrahimu, alifika na kukaa huku akichora pichaa ya Mbuyu ule, Kisha alimuuliza Ibrahimu;
     "" Hivi Ibrahimu!!,," Vipi Kama siku Mbuyu huu utakatwa, matambiko pamoja na mauaji yataendelea tenaaa!!??""

   """ Kwanini umeuliza hivyoo??""

   """ Umeona picha ninayochora hapa chini?? "" Hapa nimechora Mbuyu hafu nikakata matawi yake na kuyatupia ndani ya shimo pamoja na matunda yake.""

"" Halafu Tena nikakata ule Mbuyu nikawapatia wanakijiji wakakata mbao, na Ile miti midogo midogo wakatengeneza kuni, 
Baada ya hapo wanakijiji wote wakafurahi na wakaamua kufukia shimo Lile kwa ushirikiano huku wakifurahia na wakiamini tenaa ibada za matambiko zimekomeshwa. 
  
   ""Sijui wanielewa Lakini maana yangu na kitu ninachotaka kukushirikisha Kama kipo sawa!!??""


Ibrahimu alimwangalia Joanyther pasipo kumuelewa kipi Alikuwa akimaanisha alimuuliza;;
   "" Wewe unamaanisha Nini kwanii?? Make unatumia mafumbo tu, Hebu ongea wazi tuelewanee wote.""

""Ibrahimu Wewe hata picha huelewi jamaniii namaanisha Hivi,,,,,,,


Kabla hajamaliza kuongea walinzi walifika Sehemu hiyo, Mathew na Athuman.

""Mbona mmetoloka kwenye himaya ya Cheaf pasipo na mawasilino yoyote muda wote tumekuwa tukiwatafuta Tena Kwa amri ya Cheaf mnahitajika mfike kwenye nyumba ya Cheaf kwanza kabla hamjaenda kwenye himaya yenu."" Alikuwa Ni Athuman.


Waliongozana moja kwa moja Hadi kwa Cheaf. Njiani Joanyther alikuwa na maswali akiwauliza wale walinzi;
"" Wewe ndo Athuman?? Mbona upo siliazi Sana hauongei unaongea neno moja tu na kunyamaza??.""

 
Athuman alimwangalia Joanyther, na kumnyamazia tu huku akiwa anajiuliza moyoni. "" Haka ka mwanamke Ni kajuaji Sana inaonekana ndio kamemdanganya Ibrahimu Hadi kufika huku""

      "" Sasa mbona haunijibu, Vipi Cheaf Ni mkali atatupa adhabu leo??""
     
"" Wewe mwanamke punguza kuongea Basi!!!" Mathew alimjibu.

"" Basi' Kama hamunijibu Mimi siendi nendeni nitakuja kivyangu', Kisha alikaa chini.""

Athuman alishikwa na hasira alitamani amuwashe kibao lakini Alikumbuka kuwa Ni mtoto tayali yupo kwenye utawala wa Cheaf kwa Sasa, alitangulia mbele na kusimama Kisha aliamua kumrudia Joanyther na kumjibu.
"" Cheaf hawezi kutoa adhabu kwa wanae kumbuka Ibrahimu Ni mtu wa thamani Sana kwake, Sawaa!!!""


Joanyther baada ya kusikia hivyo ndipo alijivuta Taratibu na kusimama huku alimkimbilia Ibrahimu na kumnongoneza sikioni;
"" Hivi umepata hata njia ya kutorokea? Make naona huku njia nyembamba tu zipo Kama chochoro.""

"" Nikuulize Wewe kwanza!! Vipi Ile siku mnakuja huku kijijini kwani Nyie mlitokea wapi???""

""" Oooh!; Tayali nimekumbuka ngoja tufike kwa Cheaf ndio nitajua njia tuliokuja nayo siku hiyoo.""

Mathew alihisi Kuna kitu wanakijadili aliamua kuwamiliki have.
  "" Cheaf Mdogo mnajadili Nini Muda wote mnanong'onezana sikioni, Kuna Jambo la Siri mnataka kulifanya et, hafu mbona mnawahi mbele Sana mnataka kukimbia!!???;""


Joanyther Alisimama na kujirudisha nyuma Hadi kwa Athuman na kumuuliza.
   "" Vipi wewe mkimya Sana  hafu unapua ndefuu Kama runguu""

Kisha alianza kurukaruka huku akicheka Mara amkanyage Mara amrukie mgongoni.

Athuman alizidi kumwangalia Joanyther vituko vyake baadae alishidwa kujizuia aliamua kucheka tu huku akiangalia chini.

Joanyther baada ya kumuona Athuman akicheka, alisogea Taratibu na kumshika midomo huku akiipanua.
   "" Kumbeee!!! Na Wewe huwa unacheka Hebu cheka tena halafu una meno Makubwa kweli mazuri hafu yamepangika, hebuuu chekaa tenaaa!!!!""

Athuman alijikuta akicheka Tena baada ya kufurahishwa na Joanyther, Mbaya zaidi kamsifia. Muda wote alijikuta alitamani kutaniwa na Joanyther na mazoea yakaanza siku hiyo.

Upande wa Joanyther baada ya kufanikisha swala lake kwa Athuman alibaki akifurahi Sana moyoni na kujipa ushindi mkubwa;
"" Tayali nimefanikisha kazi yangu Mara ya kwanza ulionekana kuwa Nunda Sana kwa Sasa nimekulegeza Wewe na Mathew ndio mtakaonifanya nirudi kwetu kiulaini."""


Muda kidogo walifika Hadi kwa Cheaf, siku hiyo kulionekana Kuna shamrashamra nyingi mahanjumati na mapochopocho yalikuwa yakiandaliwa jikoni.

Walifika na kukaribishwa na mdada mmoja, hakuwa mgeni Sana machoni kwa Joanyther si Mwingine Alikuwa Ni Jovitha, Alifika na kuwakalibisha Hadi ndani.

Joanyther Muda wote Alikuwa kinyuma nyuma akiangalia njia ya kutorokea, Muda wote wazo lake lilikuwa Ni kuondoka pale tu, baadae aliiona njia na kukumbuka siku yenyewe anakuja na Bi Emma walipita njia hiyo, alijikuta akicheka pekee "" Soon nawakimbia na Ucheaf wenu!!!""

Ibrahimu aligeuka nyuma kidogo na kumuona Joanyther anacheka peke yake.
"" Joany!!! Unaelekea kuwa chizi Wewe Muda wote unacheka cheka hebu kuwa Kama mke wa mtoto wa Cheaf usiniaibishe bhana!!""

 Walifika na kusalimia huku wakiketi mezani na chakula kililetwa mezani. Siku hiyo kilikuwa Ni chakula Cha kumkalibisha Ibrahimu na mkewe kuuanganishwa kwenye familia hiyo.

Muda kidogo waliingia wageni Watatu walifika na kujumuika pamoja na kuanza kutumia chakula.

Upande wa Joanyther Muda wote Alikuwa akiwaangalia wageni wale Lakini Kuna sura Alikuwa akiifananisha machoni kwake. Kila akijaribu kukumbuka sura inakuwa Kama ya Jolvin lakini aliwaza, mbona Jolvin havaagi mavazi ya jadi na kofia aliishia kunyamaza tu akibaki akijiuliza. Na yule mbona Kama Collin lakini mbona midevu mingi hivyoo!!??' Hapana nawaza Mbali TU!!""

Ibrahimu na yeye alikuwa akiwatizama wageni wale baadae aliamua kuuliza kwa babake baada ya kuona Joanyther anadadisi Sana pasipo majibu.
"" Babaa!! Vipi tukitambuana leo naona meza imejaa na sisi tuwageni humu naona itakuwa Ni vizuri tukitambuana!!""


   """ Ooh!! Vizuri mwanangu kumbe!! Unazidi kukua, Sawa huyu Mzee anaitwa Mzee Omario, Hawa Ni vijana wake wanatoka Kijiji Cha kusini kutoka hapa kwetu, leo wamekuja kututembelea, wajue  miundombinu yetu, lakini Mimi Nina uenyeji Sana na Mzee huyu Japo Hawa vijana wake Sina uenyeji nao Sanaa!!' naomba wajitambulishe angalau kwa majina Yao.""

   "" Ahsante Mzee wetu Cheaf wa Kijiji hiki Mimi Naitwa Collin, Huyu Ni Mdogo wangu Anaitwa Jolvin, sema yeye hawezi kuongea huwa anashida ya kuongea Muda wote anatumia ishara Ila tatizo lake limeanza karibuni baada malazi ya hapa na pale Lakini anasikiaa!!"

"" Ahsanteni sana Vijana, lakini pole Sana Jolvin mwenyezi Mungu akuponyee na Uongee tenaa!!"". Cheaf alimpatia mkono Jolvin.

,,,,, Itaendelea,,,,,,,
Usikose sehemu ya kumi na moja.

Vipi ujio wa Mzee Omario na vijana wake wawili je, Huyo Ni Collin na Jolvin?? Majibu kipande kinachofuata. Usisahau 👉 Like, comments, share.

Joseph

Karibu tuweze kujadili na kupakua habari mpya zilizojili Afrika, Tanzania na pia hata Kidunia kwa ujumla

Chapisha Maoni

I, (taja jina lako/indicate your name)

Mpya zaidi Nzee zaidi